😂😂😂😂😂😂had mie huwa naangalia nikumkuta yy anaacha siwez saut yake mbya haivutiii hata kama story nzr jmn mie nikumkutaga sky hata story mbya naskliza saut nzr😢
Babutale alivyoenda marekani na diamond platinum walienda kwa p.didy waliporudi tanzania walituambia jamaaa analindwa kinoma ana mabodigadi wengi na watu wana silaha za moto aya leo mabodigadi wako wapi watakuja jelaaa kukulinda mzee baba
Mbele bhana lile neno sheria msumeno wenzetu wanaishi nalo kwa usahihi mamae, did leo kalala ndani dah kweli dunia haina mwenyewe “anapita kweny njia za R-kelly
Unajua alichofanya jamaa au unaongea bila kufuatilia alikuwa anateka wasichana wadogo alikuwa ana baka vijana justin Biber ,usher casie na alikuwa anarekodi watu kwa siri alafu anatumia video yako aliyonayo mpaka cartel genge la wauza madawa wakamshitaki imagine power aliyonayo
Nilikuwa namuonea huruma baada ya kufiatilia aisee ameharibu watu kisaikologia huyu kina usher, Cassie nk Yan hafai anamajini ya ngono anakula Hadi wanaume wenzie kwakuwapa pesa nyingi.
Mungu awalinde waafrica wetu mnao kula viapo nchi za ughaibuni ili mpate riziki nakutimiza ndoto zenu, P.didy,R.kelly,busy.signal,pop.smoke,2pac,m.j.jackson
Mtangazi anasauti mbaya sana tunashindwa kusikiliza story au taarifa
Nilishasema sana lakini Anaonekana haambiliki,anatakiwa achuje saut inatoka nzito sana kiasi huwezi kuelewa vizuri anacho ongea.
😂😂😂😂😂😂had mie huwa naangalia nikumkuta yy anaacha siwez saut yake mbya haivutiii hata kama story nzr jmn mie nikumkutaga sky hata story mbya naskliza saut nzr😢
@@nikrahayubu-sz3pw anajikamua Sana bwanaaaa
Umerekebisha sauti safi sana❤ na umetoa ile sauti ya kuumiza ya mwanzo kabisaa, sahiv tunakusikiliza adi mwisho🎉
Sio poa halafu basata mbona wasingilie kati
😂😂😂😂😂
Hahahaaaa
Nomaaaaa basata Ina mmudu ney wamitego
😂😂
😂😂😂
Jela kama Apartment!!
Kaka sonny music niwanoko sana ukiwakataa kama hupotez maisha unakwenda jela
Ukiwa na skendo platform ZOTE zinakukataa
😂😂😂😂😂 hao ndio freemason sasa kama huwajui wameanza na r Kelly saivi p Diddy dj Khalid yu njiani pamoja na Rick Rose wakijichanganya tu
@@josephwilliam5813ata kama huna masonic akiwasaliti tu wanakufilisi na kukufunga tyson yeye wamemfilisi tu 😂😂😂😂😂😂
Kwahiyo kasingiziwa kesi zote hizo???
@@shaviercharvinho18usisingizie freemason ni vitu wamefanya hayo ndio malipo
Ama kweli pesa na umaarufu sio kitu cha kujigamba, uchafu wote alioufanya umefika mwisho. Shetani sio kiumbe kizuri. What gos around comes around
freemason wamemchokaa😢😢😢 wakikuchok unateseka😢
Nani alikwambia shetani anatoa mali ideal poor living
Pengine shetani anataka wale twins wake wakike akaona hapana 😂😂
Babutale alivyoenda marekani na diamond platinum walienda kwa p.didy waliporudi tanzania walituambia jamaaa analindwa kinoma ana mabodigadi wengi na watu wana silaha za moto aya leo mabodigadi wako wapi watakuja jelaaa kukulinda mzee baba
😂😂 ko basata wametoa kauli ganj
😂😂😂😂😂wataongea leo
Sema lisaut la mtangazaj baya kweli Yan
Marekani anakutumia Kwa faida yake t wap Kelly Sasa ni Didi tusubili mweus mwingine
Duh hatar
Je ni kwann kila msaanii wa kimarekani mweusi akishakua mkubwa na kupingana na sera zao huwa anatengenezewa kesi ?
Wap ?? Sio kweli bhana mbona adi wasanii wenzie na weusi WANATOA ushuhuda kua ni kweli didy sio mtu mzuri
@@dianajohnson7268 Kuna mweupe hata mmoja tu unayemjua ?
Hilo gereza linaitwa Hell on Earth nimekaa Sana apo gerezani, au kuzimu Duniani ni hatari Sana ilo gereza
Ulitokaje?
Mbele bhana lile neno sheria msumeno wenzetu wanaishi nalo kwa usahihi mamae, did leo kalala ndani dah kweli dunia haina mwenyewe “anapita kweny njia za R-kelly
Şaut mbayaaaa
Good morning
💔
Huku marecani watu weusi wanapata shida . Ukiwa tajari sasa watahakikisha unabaki maskini
Unajua alichofanya jamaa au unaongea bila kufuatilia alikuwa anateka wasichana wadogo alikuwa ana baka vijana justin Biber ,usher casie na alikuwa anarekodi watu kwa siri alafu anatumia video yako aliyonayo mpaka cartel genge la wauza madawa wakamshitaki imagine power aliyonayo
@@Urembomileleofficial kwahiyo wewe ulio fatiliya ulifaidika nini?? Kalale
@@Urembomileleofficialkwani wewe taarifa hizo umezipata wapi? na una uhakika gani nazo?
Angekimbilia urusi kabla
Kwaiyo uko akuna tena madem kama alivyozoea? Kweli jela noma
Uko lazima abomolewe 😂😂😂
Huko zamu yake wananyandua mpaka puan na vilainishi anavyo mwenyewe
Tayari shetani kashamuacha apambane pekee yake
Diamond akamsalimie mume wake did
Abakwe Tu nayeye
The media is the most powerful entity in the world, making the guilty innocent and the innocent guilty."
AMEISHA HUYU KAMA ALIVOISHA R.KELLY. FREEMASON WAMEWALA. UKIJIKWATU WANAKULA NDOOKAMA HIVI SASA HELA YAKE NA UMAARUFU WAKE IMEKUWA ZERO SASA.
BASATA wametoa hatima gani ?
filaun ulo jamaa acha liishie jela
Nilikuwa namuonea huruma baada ya kufiatilia aisee ameharibu watu kisaikologia huyu kina usher, Cassie nk Yan hafai anamajini ya ngono anakula Hadi wanaume wenzie kwakuwapa pesa nyingi.
Mond aende kumviziti baba yake
Hii saut hapana kwakweli Bora babysky
Mungu awalinde waafrica wetu mnao kula viapo nchi za ughaibuni ili mpate riziki nakutimiza ndoto zenu, P.didy,R.kelly,busy.signal,pop.smoke,2pac,m.j.jackson
Mjinga wewe yaani kwa matendo yao maovu kisa weusi ndo tuwe upande wao???
@@binseif2216 maovu ni sehemu ya kila mtu
Mtumeeeee 😮
Mungu wahurumie watu wako
Senge tu ilo
Kinachonikeraga tu saut ya huyu jamaa mbaya haifai kusimulia
Kwan unalazimishwa kumsikiliza wenae...