Maisha ya Diddy yapo hatarini kwenye Jela aliyofungwa, ametengwa, wafungwa wanamuwinda, ni pabaya

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Комментарии • 82

  • @ericksonmuhulo1570
    @ericksonmuhulo1570 4 дня назад +5

    Mtangazi anasauti mbaya sana tunashindwa kusikiliza story au taarifa

    • @seifmiraji43
      @seifmiraji43 День назад

      Nilishasema sana lakini Anaonekana haambiliki,anatakiwa achuje saut inatoka nzito sana kiasi huwezi kuelewa vizuri anacho ongea.

    • @nikrahayubu-sz3pw
      @nikrahayubu-sz3pw 16 часов назад

      😂😂😂😂😂😂had mie huwa naangalia nikumkuta yy anaacha siwez saut yake mbya haivutiii hata kama story nzr jmn mie nikumkutaga sky hata story mbya naskliza saut nzr😢

    • @ericksonmuhulo1570
      @ericksonmuhulo1570 4 часа назад +1

      @@nikrahayubu-sz3pw anajikamua Sana bwanaaaa

  • @dianajohnson7268
    @dianajohnson7268 7 дней назад +2

    Umerekebisha sauti safi sana❤ na umetoa ile sauti ya kuumiza ya mwanzo kabisaa, sahiv tunakusikiliza adi mwisho🎉

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 8 дней назад +24

    Sio poa halafu basata mbona wasingilie kati

  • @IbniAbbas-yz3kt
    @IbniAbbas-yz3kt 8 дней назад +5

    Jela kama Apartment!!

  • @ZiyandaMhlana
    @ZiyandaMhlana 8 дней назад +7

    Kaka sonny music niwanoko sana ukiwakataa kama hupotez maisha unakwenda jela

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 8 дней назад +1

      Ukiwa na skendo platform ZOTE zinakukataa

    • @shaviercharvinho18
      @shaviercharvinho18 8 дней назад +1

      😂😂😂😂😂 hao ndio freemason sasa kama huwajui wameanza na r Kelly saivi p Diddy dj Khalid yu njiani pamoja na Rick Rose wakijichanganya tu

    • @shaviercharvinho18
      @shaviercharvinho18 8 дней назад +1

      ​@@josephwilliam5813ata kama huna masonic akiwasaliti tu wanakufilisi na kukufunga tyson yeye wamemfilisi tu 😂😂😂😂😂😂

    • @hamsikemery2736
      @hamsikemery2736 8 дней назад

      Kwahiyo kasingiziwa kesi zote hizo???

    • @hamsikemery2736
      @hamsikemery2736 8 дней назад +1

      ​@@shaviercharvinho18usisingizie freemason ni vitu wamefanya hayo ndio malipo

  • @daprince7545
    @daprince7545 8 дней назад +5

    Ama kweli pesa na umaarufu sio kitu cha kujigamba, uchafu wote alioufanya umefika mwisho. Shetani sio kiumbe kizuri. What gos around comes around

    • @faidhamyovela179
      @faidhamyovela179 7 дней назад

      freemason wamemchokaa😢😢😢 wakikuchok unateseka😢

    • @gervasonvenansi9204
      @gervasonvenansi9204 7 дней назад

      Nani alikwambia shetani anatoa mali ideal poor living

  • @trizereve3386
    @trizereve3386 7 дней назад +1

    Pengine shetani anataka wale twins wake wakike akaona hapana 😂😂

  • @FredrickMatiku-xf2uk
    @FredrickMatiku-xf2uk 8 дней назад +1

    Babutale alivyoenda marekani na diamond platinum walienda kwa p.didy waliporudi tanzania walituambia jamaaa analindwa kinoma ana mabodigadi wengi na watu wana silaha za moto aya leo mabodigadi wako wapi watakuja jelaaa kukulinda mzee baba

  • @gigoyrn4394
    @gigoyrn4394 8 дней назад +5

    😂😂 ko basata wametoa kauli ganj

  • @happynesssamwel4249
    @happynesssamwel4249 3 часа назад

    Sema lisaut la mtangazaj baya kweli Yan

  • @SaidyMpoyoka
    @SaidyMpoyoka 2 дня назад

    Marekani anakutumia Kwa faida yake t wap Kelly Sasa ni Didi tusubili mweus mwingine

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam2491 8 дней назад +2

    Duh hatar

  • @SAYUKI513
    @SAYUKI513 7 дней назад +1

    Je ni kwann kila msaanii wa kimarekani mweusi akishakua mkubwa na kupingana na sera zao huwa anatengenezewa kesi ?

    • @dianajohnson7268
      @dianajohnson7268 7 дней назад

      Wap ?? Sio kweli bhana mbona adi wasanii wenzie na weusi WANATOA ushuhuda kua ni kweli didy sio mtu mzuri

    • @SAYUKI513
      @SAYUKI513 7 дней назад

      @@dianajohnson7268 Kuna mweupe hata mmoja tu unayemjua ?

  • @alexkalonga5323
    @alexkalonga5323 7 дней назад +1

    Hilo gereza linaitwa Hell on Earth nimekaa Sana apo gerezani, au kuzimu Duniani ni hatari Sana ilo gereza

  • @raheemsaleh14
    @raheemsaleh14 8 дней назад +1

    Mbele bhana lile neno sheria msumeno wenzetu wanaishi nalo kwa usahihi mamae, did leo kalala ndani dah kweli dunia haina mwenyewe “anapita kweny njia za R-kelly

  • @MinahSamiry-f5e
    @MinahSamiry-f5e 3 дня назад

    Şaut mbayaaaa

  • @StevenTaylorx
    @StevenTaylorx 7 дней назад

    Good morning

  • @RecapFarFromWeak
    @RecapFarFromWeak 8 дней назад +2

    💔

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel 8 дней назад +3

    Huku marecani watu weusi wanapata shida . Ukiwa tajari sasa watahakikisha unabaki maskini

    • @Urembomileleofficial
      @Urembomileleofficial 8 дней назад +1

      Unajua alichofanya jamaa au unaongea bila kufuatilia alikuwa anateka wasichana wadogo alikuwa ana baka vijana justin Biber ,usher casie na alikuwa anarekodi watu kwa siri alafu anatumia video yako aliyonayo mpaka cartel genge la wauza madawa wakamshitaki imagine power aliyonayo

    • @RandB_Channel
      @RandB_Channel 7 дней назад

      @@Urembomileleofficial kwahiyo wewe ulio fatiliya ulifaidika nini?? Kalale

    • @HomeboyTZ19
      @HomeboyTZ19 7 дней назад

      ​@@Urembomileleofficialkwani wewe taarifa hizo umezipata wapi? na una uhakika gani nazo?

  • @EvelyneIsambi
    @EvelyneIsambi 8 дней назад +1

    Angekimbilia urusi kabla

  • @norobo205
    @norobo205 8 дней назад +1

    Kwaiyo uko akuna tena madem kama alivyozoea? Kweli jela noma

  • @JosephBrooklyn
    @JosephBrooklyn 8 дней назад +1

    Tayari shetani kashamuacha apambane pekee yake

  • @DavidKagulu
    @DavidKagulu 2 дня назад

    Diamond akamsalimie mume wake did

  • @JeanMalilo
    @JeanMalilo 8 дней назад +1

    Abakwe Tu nayeye

  • @alibachirofficial3939
    @alibachirofficial3939 5 дней назад +1

    The media is the most powerful entity in the world, making the guilty innocent and the innocent guilty."

  • @khadi-z4o
    @khadi-z4o 8 дней назад +3

    AMEISHA HUYU KAMA ALIVOISHA R.KELLY. FREEMASON WAMEWALA. UKIJIKWATU WANAKULA NDOOKAMA HIVI SASA HELA YAKE NA UMAARUFU WAKE IMEKUWA ZERO SASA.

  • @noela86rogers
    @noela86rogers 8 дней назад

    BASATA wametoa hatima gani ?

  • @DjMswati
    @DjMswati 8 дней назад +3

    filaun ulo jamaa acha liishie jela

    • @NancyMwaibula7634
      @NancyMwaibula7634 6 дней назад

      Nilikuwa namuonea huruma baada ya kufiatilia aisee ameharibu watu kisaikologia huyu kina usher, Cassie nk Yan hafai anamajini ya ngono anakula Hadi wanaume wenzie kwakuwapa pesa nyingi.

  • @WazirBoy-fe5ew
    @WazirBoy-fe5ew 8 дней назад

    Mond aende kumviziti baba yake

  • @Naju645
    @Naju645 17 часов назад

    Hii saut hapana kwakweli Bora babysky

  • @AFRICA_D669
    @AFRICA_D669 8 дней назад +9

    Mungu awalinde waafrica wetu mnao kula viapo nchi za ughaibuni ili mpate riziki nakutimiza ndoto zenu, P.didy,R.kelly,busy.signal,pop.smoke,2pac,m.j.jackson

    • @binseif2216
      @binseif2216 14 часов назад

      Mjinga wewe yaani kwa matendo yao maovu kisa weusi ndo tuwe upande wao???

    • @AFRICA_D669
      @AFRICA_D669 13 часов назад

      @@binseif2216 maovu ni sehemu ya kila mtu

  • @ShaniBihoiki-lx9jl
    @ShaniBihoiki-lx9jl День назад

    Mtumeeeee 😮

  • @Rodamathayo
    @Rodamathayo 5 дней назад

    Mungu wahurumie watu wako

  • @DeleAbdalla
    @DeleAbdalla 7 дней назад

    Senge tu ilo

  • @emanuelathanas6613
    @emanuelathanas6613 8 дней назад +2

    Kinachonikeraga tu saut ya huyu jamaa mbaya haifai kusimulia

    • @hopechidera
      @hopechidera 7 дней назад

      Kwan unalazimishwa kumsikiliza wenae...