HISTORIA YA NABII ISSA NA MIUJIZA YAKE - SHEIKH OTHMAN MICHAEL

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 76

  • @officialidrisadc8638
    @officialidrisadc8638 Год назад +3

    Mwenyezimungu atujalia sisi waisilam wote dunia na ahera inshah ALLAH

  • @ibrahimwario3177
    @ibrahimwario3177 5 лет назад +4

    Masha Allah shukran kwa mafunzo mazuri Wlh shk Othman nakupenda sana kwa ajili ya Allah na naomba Allah usiku na mchana tukutane Janatul Firdos Insha Allah

  • @karistkanuti2747
    @karistkanuti2747 5 лет назад +3

    Nakupenda Sheikh kwa ajili ya Allah,Mimi n Muslim,mgen ktk uislam naomben mniunganishe ktk magroup y Wasap y uislam,nijifunze kuhusu Allah

  • @fatmaismail13
    @fatmaismail13 5 лет назад +5

    Mashallah barakallahu shekh tafadhal tunaomba darsa la kuhusu shia'a

  • @saeedsaeed7381
    @saeedsaeed7381 5 лет назад +3

    Masha Allah sheikh Othman mawaidha mazuri sanaaa na kisa kizuri tumejifunza mambo mema lnshallah mungu akubariki emaan na furaha Ameen yarab..Ma Salam

  • @salamaramadhan2641
    @salamaramadhan2641 5 лет назад +3

    Ma shaa Allah nakupenda bure kwa kutufaidisha kwa mengi katika dini yetu

  • @muhammadahmedaliyyu3854
    @muhammadahmedaliyyu3854 5 лет назад +2

    Walaykum salam warahmatullah wabarakatuh/Shukran kwaukumbusho mzuri sana Allah Ghaz'wajallah ajalye tuwe wenye kuelezwa khayri nakuyipenda nakuifanyia kazi Awadhidishie Elmu na Umli mrefu wenye khayri na na afya nzuri barka! ALLAH awadhishie ufahamu ln shaa Allah Awajalye Khusnul khatima viongozi wetu waki dini Mwenyezi Zimungu adhidi kuwalinda na vyiote viovu nyuma yenu na mbere yenu awawekee Nuru ya khayri 🤲🤲🤲🌺

  • @aishaaisha9094
    @aishaaisha9094 5 лет назад +2

    Mashaalla nakupenda kwa ajili ya mwenyenzi mungu akupe umri mrefu

  • @yusrakombo5123
    @yusrakombo5123 5 лет назад +4

    ASAALAM ALAYKUM warahmatullah wabarakatuh yaaani kaka angu simu, iko video zako maaana nnnakupenda sanna kwa ajili ya Allah mpaka nnajiuliza ulisomaje mambo yooote haya wakati unasema wewe kwa ulitokea kwenye mkiristo ,sasa ulikuwa miaka.mingapi mpaka ukawa ivi mashaaallah ukahifadhi Qur-an tukufu yooote kwa kweli Alhamdulillah

  • @fatmamombasa3430
    @fatmamombasa3430 5 лет назад +1

    Masha Allah ya shekh Allah akupe umri mrefu akuzidishie umri tawiil uzidi kutupa ilmu

  • @fatumaramadhanmashaallahal9966
    @fatumaramadhanmashaallahal9966 5 лет назад +2

    Mashaallah mashaallah mashaallah tabaraka llahu shukran wajazaka llahu heri Allahu akbar kabira shukran shehe wetu Lakin hii miujiza ni ya kweli mm nilipatwa na kisa mm mwenyewe nikajishangaa nilikua na mimba miezi tisa nikalala saa nane usiku nikahisi vibaya nikasoma ayatul kursi basi baada ya hapo nikazimia nilipoamka nilijua nimelala usiku na kuamka usubuhi kumbe nililala siku nne ambayo ni jumamosi usiku nikaamka juma nne saa nane mchana ya subhana Allah alhamdhulilah daktari akaja akaniletea mtoto namuliza daktari mtoto wanani daktari akanijibu kwani mtoto wako yuko wapi fatuma nikapiga tumbo kofi kwa nguvu nikahisi maumivi makali sana kuangalia tumbo niko na bendeji nikashtuka namuliza mamaangu kwani vp anijibu chukua mtoto ni stori ndefu ntakuelezea ukipowa nikajibu sawa mama nikachukua mtoto alhamdhulilah nilifanyiwa oppression kumbe presha ilinipanda usiku nikazimia nakuamka baada ya siku nne Allahu akbar nashukuru mwanangu yupo mzima sahii ana miaka 16 alhamdhulilah kumbuka visa vya mitume singano za kale nivyakuzingatia sana kwani ni ukweli kutoka kwa mwenye zimungu subhana wataala shukran

  • @muhammadahmedaliyyu3854
    @muhammadahmedaliyyu3854 5 лет назад +4

    Alhamdulillahi RabilaAlamina shukran🌹 DARSA nzuri sana 🤝 🤝 🤝

  • @ashashaban6484
    @ashashaban6484 2 года назад

    MASHALLAH.ALLAH.AKULIPE.KILA.LA KHERI

  • @nasrauwimana2559
    @nasrauwimana2559 5 лет назад

    Ma in sha a Allah sheikh othma Mungu aku jaliye akulinde apa dunia ni na watu wabaya akujaliye pepu yake in sha a Allah

  • @hamiduhenjewele5369
    @hamiduhenjewele5369 Год назад

    Mashallah

  • @jasminyiddysulaiman9807
    @jasminyiddysulaiman9807 4 года назад

    Maashaallah Allah akujaalie umri mref inshallah

  • @officialidrisadc8638
    @officialidrisadc8638 Год назад

    Alahuma amin

  • @ashuramihayo2576
    @ashuramihayo2576 4 года назад

    Mashllaah Mungu akuzishie heri

  • @shantellemwanakombo3703
    @shantellemwanakombo3703 3 года назад

    MashaAllah hadithi nzur sana

  • @salmakundi2717
    @salmakundi2717 2 года назад

    MashaaAllah MashaaAllah MashaaAllah

  • @saidindagijimana524
    @saidindagijimana524 5 лет назад

    Mashalla allah bark shekh wetu tunakupenda

  • @maotv8884
    @maotv8884 5 лет назад +2

    Allahu Akbar

  • @kajoakother6041
    @kajoakother6041 4 года назад

    mungu akupandishe daraja zaidi yahapo uripo

  • @asedtembo4742
    @asedtembo4742 5 лет назад +1

    Shukran kwa darsa lenye tauhid

    • @nooras6404
      @nooras6404 5 лет назад

      Asante shekhe kwa darsa

  • @HABIBULLAH-nd9ft
    @HABIBULLAH-nd9ft 5 лет назад

    Maasha allah sheikh wetu

  • @jumakhamis226
    @jumakhamis226 5 лет назад +1

    JAZAKA ALLAH KHAYRAA SHEKH OTHUMANI

  • @salumkirumi5527
    @salumkirumi5527 2 года назад

    Masha Allah

  • @faizasaid8262
    @faizasaid8262 5 лет назад +2

    Mashallah shukuran

  • @muhimpundunourah8021
    @muhimpundunourah8021 5 лет назад +1

    mansha allah

  • @ramadhanihatibu1714
    @ramadhanihatibu1714 4 года назад +1

    Mashaallah

  • @neemafelister9584
    @neemafelister9584 2 года назад

    ISA MASIAH NDIYE NJIA KWERI NA UZIMA WA MILELE AMINA

  • @zubedatatu7852
    @zubedatatu7852 3 года назад

    Subhana Allah

  • @samanthaali873
    @samanthaali873 5 лет назад +1

    Masha Allah shukran Sheikh wetu kwa Nasaa nzur🌹

  • @kimnajim8724
    @kimnajim8724 5 лет назад +1

    Manshaallah ila inshaallah 2naomba mwendelezo wake pia make 2kopa1 sana

  • @shafiiboragamashafiigama7869
    @shafiiboragamashafiigama7869 3 года назад

    Vizur

  • @abdallahmustapha7125
    @abdallahmustapha7125 5 лет назад +2

    noma sana thank you jajalal

  • @officialidrisadc8638
    @officialidrisadc8638 Год назад

    Asalamwalk waykumsalam waramatuhla wabarakatuh

  • @osmanmohamed9652
    @osmanmohamed9652 2 года назад

    May Allah protect you to eye of devil

  • @musalumbi8490
    @musalumbi8490 2 года назад

    Assalamu alaykum Sheikh Uthman. Sheikh mko na darsa za Quran, Lugha na masomo ya dini kwa ujumla. Natamani sana kusoma kupitia mkono wako inshaa Allah. Mimi nko Kenya.

  • @mira-gq3qg
    @mira-gq3qg 5 лет назад +1

    Allah akulipe pepo

  • @nurudinehamimu5658
    @nurudinehamimu5658 4 года назад

    Alla akuripe kila rakheri,

  • @Zainab-gs4mz
    @Zainab-gs4mz 2 года назад

    😄😄💖 mashallah

  • @aliidrisahmad5797
    @aliidrisahmad5797 3 года назад

    Assalam Aleykum warahmatullahi wabarakatuh

  • @faizasaid8262
    @faizasaid8262 5 лет назад +1

    Kurogwa sitatizo tatizo kua yeye karoga hilo ndo tatizo ila wenzetu wako kuzalilisha tu bila kufikiria

  • @aliidrisahmadhuvavaruu4918
    @aliidrisahmadhuvavaruu4918 3 года назад

    Assalam aleykum warahmatullahi

  • @omarimasanga
    @omarimasanga 5 лет назад

    Allah akuzidishie

  • @rashidbusanya7166
    @rashidbusanya7166 5 лет назад +3

    Haya ni masomo yaliyo sahaulika ktk jamii yetu ya kiislaam kuna watu hawakuwahi kuskia hicho kisa cha issa kwanzia wazaliwe

  • @omarimasanga
    @omarimasanga 5 лет назад

    Shekhe ungesema tu aluchojibu Ukasha kwa maswahaba wenzie

  • @muhimpundunourah8021
    @muhimpundunourah8021 5 лет назад

    mwenyezimungu anauwezo kwaukweli

  • @khamisoothman5294
    @khamisoothman5294 3 года назад

    Yaani bin adamu ni hatari hata hapa kwenye video watu wamegawika makundi kuna wale wame dislike video 28 .... Hawa nao mahasidi wenye roho chafu. Allah atuepushe nao mahasidi na husda zao

  • @zuwenazuwena1928
    @zuwenazuwena1928 2 года назад

    Hakika nafulah sana sheh

  • @kakulekagheni516
    @kakulekagheni516 4 года назад

    Nashukuru kwa somo lako lakini kwa nini uifanye salute of satan?
    Mimi ni Guy toka Goma DRC

  • @muhimpundunourah8021
    @muhimpundunourah8021 5 лет назад

    kwa nini haikuwa dini wa uwislam tuu duniani basi uwislam uwemo aina nyingi za dini ila zote ziwe source ya islam?nakwanini haikuwa wakristu tuuuu duniani?nathani sisi sote mungu ni moja,hata iwe kwa jina la yesu au mwislam,Allah atatizama matendo yetu

    • @ababukarlinus9355
      @ababukarlinus9355 Год назад

      Hicho kitu hakipo ndugu yangu dini ni Moja tu ni uislamu na Mungu ni Mmoja tu. Allah s.w.t ukifa si muislamu motoni milele kama huamini subili ufe ndiyo utajua utatamani kuludi duniani nafasi hiyo hutoipata. Kama wajinga wanavyosema nani alikwenda akaludi akatwambia ya huko. Huko ukienda huludi .

  • @faizasaid8262
    @faizasaid8262 5 лет назад

    😂😂

  • @mira-gq3qg
    @mira-gq3qg 5 лет назад +2

    Mashallah

  • @suleimanmwamtunza7311
    @suleimanmwamtunza7311 4 года назад

    Mashaallah

  • @kajoakother6041
    @kajoakother6041 4 года назад

    mashallaa ustazi nakupenda kwajiri aallaa

  • @sadahaluna1768
    @sadahaluna1768 5 лет назад +1

    Mashallah

  • @HABIBULLAH-nd9ft
    @HABIBULLAH-nd9ft 5 лет назад

    Maasha allah sheikh wetu