KESI YA AFANDE HAIJABADILIKA| JALADA LA AFANDE LIMETUA KWA DPP

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 29

  • @MakamuaAlly
    @MakamuaAlly 2 месяца назад +5

    Wakwanza Leo wasifi oyeeee mko vzr sanaaaa

  • @Osm90-m3j
    @Osm90-m3j 2 месяца назад +3

    Kinacho niuma mmi eanaenda police wamevaa vizuri na wanatanasam wakati mwizi wa kuku wanamvunja mpaka anachechemea😢😢😢😢

  • @OscarBethel
    @OscarBethel 2 месяца назад +4

    Itakuwa kama Ile kesi ya gekuli Dpp aliifuta kijana kiingiziwa chupa kwenye makalii

  • @Aziz-p6s
    @Aziz-p6s Месяц назад

    Hamna kesi apo

  • @AhmedMohamed-zj8hi
    @AhmedMohamed-zj8hi 2 месяца назад +3

    Binafsi kinacho niuma mimi watuhumiwa wamefikishwa mahakamani bila ata kuguswa kofi 1! Ukweli inaniuma sana

  • @HenryWisaka
    @HenryWisaka 2 месяца назад +3

    Maji si yameombwa😂

  • @MaurusMpinga
    @MaurusMpinga Месяц назад

    Mko vizur sana

  • @ndikumasabodiegovevo9091
    @ndikumasabodiegovevo9091 2 месяца назад +3

    Ikumbukwe kua zembwela ndo raia pek Alie peleka polisi nakumushtaki polisi

  • @khadijayusuph9316
    @khadijayusuph9316 2 месяца назад +3

    Ujue braza zembwela ni mjinga sana kwan mpaka utaje maji jmn????

  • @wakalaafrica4013
    @wakalaafrica4013 2 месяца назад +3

    Uongozi wa nchi una jua kila siku na viongozi wame kaa kimny mkuu wa jeshi la polisi ame kaa kimny😮

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv 2 месяца назад +2

    Afandeeee

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 2 месяца назад +1

    KESI YA NYANI KAPELEKEWA NGEDELE 😂😂😂

  • @RamadhaniKitala-gx6wc
    @RamadhaniKitala-gx6wc 2 месяца назад +2

    Zembwela kweli tutakushukur baadae

  • @Aziz-p6s
    @Aziz-p6s Месяц назад

    DPP nae ni polisi kwani?

  • @BensonMpomo
    @BensonMpomo 2 месяца назад

    wanawake walalamike kwa mama Samia mbaka wapate jibu

  • @RizikiMlela
    @RizikiMlela 2 месяца назад +1

    Kesi ya nyani hakimu ngedere kutakua nahakihapo afande anahojiwa na afande kitakacho tokea Nini razimawabebane

  • @roytv8276
    @roytv8276 2 месяца назад +1

    Polisi kaojiwa na polisi

  • @KareemDully
    @KareemDully 2 месяца назад +2

    Kitendo cha kuzuiliwa bint na askari alafu watuhumiwa ni maaslari bc apo ushahidi ushapotezwa zamani sana. Naamini yule bint kashafungwa mdomo asitoe ushahidi kamili hawawez kukubal askari mwenzao akafungwe . Na kitendo cha kuzuiwa yule bint ni kuzuia watu wanaotaka kumtetea wasipate maelezo ya bint. Hii ndo Tanzania. Sheria tumetungiwa sisi wanyonge tu

    • @gervaslukaya
      @gervaslukaya 2 месяца назад

      Hili ni gumu tatizo imejulikana Afrika nzima watafungwa tu.inachochelewesha ni kuhojiwa afande tu.

  • @greydonalds4286
    @greydonalds4286 2 месяца назад

    Meno ya mbwa hayaumani. Zembwela ni genius ambaye hajastukiwa tu.

  • @omarimhd7716
    @omarimhd7716 Месяц назад

    Na yule alie mtishia mwandishi wa habar inatakiwa ashtakiwe

  • @BakariAthumani-vs8lk
    @BakariAthumani-vs8lk 2 месяца назад

    Magizo ndio yametawala hapa

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 2 месяца назад +1

    Kama alikamatwa kwann alirudi nyumbani alipewa dhamana au mbona mambo meusi

    • @avelinabaluhya2804
      @avelinabaluhya2804 Месяц назад

      Kwakweli kuna upendeleo wa wazi kabisa,angekuwa mtu mwingine angeshafuatwa,kukamatwa,kupigwa,kutiwa pingu,asingeruhusiwa kurudi,angewekwa ndani

  • @fabianmainchanyangachika5017
    @fabianmainchanyangachika5017 2 месяца назад +1

    Iundwe tume ya upererezi bana

    • @Aziz-p6s
      @Aziz-p6s Месяц назад

      Apeleleze nani sasa

  • @aaa64sa13
    @aaa64sa13 2 месяца назад +1

    😂😂😂😂😂