Kitendo cha kuzuiliwa bint na askari alafu watuhumiwa ni maaslari bc apo ushahidi ushapotezwa zamani sana. Naamini yule bint kashafungwa mdomo asitoe ushahidi kamili hawawez kukubal askari mwenzao akafungwe . Na kitendo cha kuzuiwa yule bint ni kuzuia watu wanaotaka kumtetea wasipate maelezo ya bint. Hii ndo Tanzania. Sheria tumetungiwa sisi wanyonge tu
Wakwanza Leo wasifi oyeeee mko vzr sanaaaa
Kinacho niuma mmi eanaenda police wamevaa vizuri na wanatanasam wakati mwizi wa kuku wanamvunja mpaka anachechemea😢😢😢😢
Itakuwa kama Ile kesi ya gekuli Dpp aliifuta kijana kiingiziwa chupa kwenye makalii
Hamna kesi apo
Binafsi kinacho niuma mimi watuhumiwa wamefikishwa mahakamani bila ata kuguswa kofi 1! Ukweli inaniuma sana
Maji si yameombwa😂
nimecheka
Mko vizur sana
Ikumbukwe kua zembwela ndo raia pek Alie peleka polisi nakumushtaki polisi
Ujue braza zembwela ni mjinga sana kwan mpaka utaje maji jmn????
Uongozi wa nchi una jua kila siku na viongozi wame kaa kimny mkuu wa jeshi la polisi ame kaa kimny😮
Afandeeee
KESI YA NYANI KAPELEKEWA NGEDELE 😂😂😂
Zembwela kweli tutakushukur baadae
DPP nae ni polisi kwani?
wanawake walalamike kwa mama Samia mbaka wapate jibu
Kesi ya nyani hakimu ngedere kutakua nahakihapo afande anahojiwa na afande kitakacho tokea Nini razimawabebane
Polisi kaojiwa na polisi
Kitendo cha kuzuiliwa bint na askari alafu watuhumiwa ni maaslari bc apo ushahidi ushapotezwa zamani sana. Naamini yule bint kashafungwa mdomo asitoe ushahidi kamili hawawez kukubal askari mwenzao akafungwe . Na kitendo cha kuzuiwa yule bint ni kuzuia watu wanaotaka kumtetea wasipate maelezo ya bint. Hii ndo Tanzania. Sheria tumetungiwa sisi wanyonge tu
Hili ni gumu tatizo imejulikana Afrika nzima watafungwa tu.inachochelewesha ni kuhojiwa afande tu.
Meno ya mbwa hayaumani. Zembwela ni genius ambaye hajastukiwa tu.
Na yule alie mtishia mwandishi wa habar inatakiwa ashtakiwe
Magizo ndio yametawala hapa
Kama alikamatwa kwann alirudi nyumbani alipewa dhamana au mbona mambo meusi
Kwakweli kuna upendeleo wa wazi kabisa,angekuwa mtu mwingine angeshafuatwa,kukamatwa,kupigwa,kutiwa pingu,asingeruhusiwa kurudi,angewekwa ndani
Iundwe tume ya upererezi bana
Apeleleze nani sasa
😂😂😂😂😂