SONAA _ Episode 1

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • #bintinyoka #kp #kpnazebuu #lastcard #wamangushi #zebuu

Комментарии • 926

  • @AnnaShao
    @AnnaShao 5 месяцев назад +142

    Nzuri sanaaa
    Walio ikubali sonaa gonga like apa

  • @shukranntiyankundiye
    @shukranntiyankundiye 5 месяцев назад +38

    Nipeni like zangu from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮 to 🇸🇦🇸🇦🇸🇦 Kp&zebu love you so much

  • @NoahBoaz-o9h
    @NoahBoaz-o9h 5 месяцев назад +23

    Am from Kenya currently live is south sudan more love to KP and zebu dakidi work done

  • @Rehema-h4h
    @Rehema-h4h 5 месяцев назад +97

    Itakuwa ni zuri sana wa kwanza munipe like zangu jamani ❤❤

  • @Baudouin-Tv
    @Baudouin-Tv 5 месяцев назад +30

    Kp na zebuu tuna wapenda saaana sonaa ❤❤❤❤from Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 wekeni like zangu jamani wekeni

  • @veryboyplatnumz3506
    @veryboyplatnumz3506 5 месяцев назад +32

    Hujawah kufeli kijana KP 🎉
    Kingine tumieni beat zenu msitumie nyimbo za wasanii wengine mnakua kama comedian 😏

    • @lovelyakvee
      @lovelyakvee 5 месяцев назад +2

      Mu huwa Nazipend saan hiz background song🤣🤣 nakuw na enjoy

    • @HusseniChuse
      @HusseniChuse 5 месяцев назад

      Kp

  • @HadijaShabani-nh2wc
    @HadijaShabani-nh2wc 5 месяцев назад +35

    Nawapenda sana mimi nimeisubulia kwa hamu sana kp zebuu l love ❤❤❤

  • @aishaabeid8106
    @aishaabeid8106 5 месяцев назад +8

    😂😂😂😂ila Darkid mwenzako ashakuambia ana uwezo wa kuona ucvyoviona we unasema angekua na mkia siningeuona..... Hii nzur sanaa wapendwa imeanza na motoooo❤❤

  • @annaoscar3542
    @annaoscar3542 5 месяцев назад +29

    Jamanii tunawasubiliii kwa hamu kubwa baada ya ukimwa huo

  • @barakatv2575
    @barakatv2575 5 месяцев назад +22

    Ila tutaikumbuka sanaaaaaaaa LAST CARD 😢😢😢😢😢😢😢

  • @BiisheBugao
    @BiisheBugao 5 месяцев назад +161

    Zebuu umevaa dera kma langu 😂😂😂...kma unaikubali SONAA achia like tukisonga jamanii...natawakia ramadhan mubaraq wa swaumu maqbul...na Eid Mubarak njema insha'Allah

    • @rizmwMwriz-mf2cu
      @rizmwMwriz-mf2cu 5 месяцев назад +1

      Kumehebuka kipya

    • @QueenLinzy-vq8bz
      @QueenLinzy-vq8bz 5 месяцев назад +5

      Yani m hapa napenda Dar kid sana Yani kwenye nyimbo za mapenzi yupo hodari na hata kwenye sirisi pia ebu nipeni like zake daah m mkenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @judithmosha2534
      @judithmosha2534 5 месяцев назад

      😊

    • @AndrewMooka-hn2su
      @AndrewMooka-hn2su 5 месяцев назад

      😊😊😊😊😊😊😊😊😊

    • @AndrewMooka-hn2su
      @AndrewMooka-hn2su 5 месяцев назад

      😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊

  • @DeodataSimbewa-zp6ec
    @DeodataSimbewa-zp6ec 5 месяцев назад +16

    nawakubali sana grupo kp kazi nzuri, from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @Gladys-bn1cl
    @Gladys-bn1cl 5 месяцев назад +8

    KP kazi njema sanaa natamani kujiunga na nyinyi tufanye hii kazi ya sanaa Pamoja

  • @Pabloveesilah
    @Pabloveesilah 5 месяцев назад +13

    Waiting for it mkuu ,,dah ! achia bana

  • @AnzaziTsuma
    @AnzaziTsuma 5 месяцев назад +17

    Waah hii kali sana much love from Kenya 🇰🇪

  • @LilianLivingstone-zj6rg
    @LilianLivingstone-zj6rg 5 месяцев назад +46

    Tunaisubiri kwa hamu Sana ,mi wa tano leo ❤ like zenu plz

  • @elizabethysamweli2187
    @elizabethysamweli2187 5 месяцев назад +79

    Zeebu unaogopesha San km umeogopa km mm gonga like

  • @Wardat-o3l
    @Wardat-o3l 5 месяцев назад +8

    Kp amekuja na kigongo kipyaa ❤❤nawapenda sana wapenzi ❤❤

  • @kura.the.boy-
    @kura.the.boy- 5 месяцев назад +8

    Nakubali San team KP dude. Ndio limeanza ila kali San hongereni San kwa burudani tu enjoy San

  • @asanatiniyonkuru7593
    @asanatiniyonkuru7593 5 месяцев назад +8

    Nzuli san nime ipenda sonaa nawey kama umeipend gong like apa❤❤

  • @NasmaMudy
    @NasmaMudy 5 месяцев назад +4

    Kama umeikubali suruali ya kp gonga like😅

  • @Glorian-iv6xz
    @Glorian-iv6xz 5 месяцев назад +26

    Nawapenda bure kp na team yko kazi nzuri sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @marleymukangwa8955
    @marleymukangwa8955 5 месяцев назад +6

    Nous attendons impatiemment kp, de cœur avec toi Fréro!!!

  • @adonightkerush6875
    @adonightkerush6875 5 месяцев назад +6

    Every episodes is so nice 💝💝💝💝keep it up team KP and zebu 🎉🎉🎉🎉 I have been waiting new episode but finally 💝💝💝good work ,keep it up

  • @faridahally6314
    @faridahally6314 5 месяцев назад +6

    Waiting kujeni hapa team strong tusubir chombo kipya kwa team kp na zebuu❤❤

  • @finegatwiri2597
    @finegatwiri2597 5 месяцев назад +8

    Noma sana Cha muimu tunaitaji episode 2kesho kutwa inshallah 💝

  • @user-kingmaster478
    @user-kingmaster478 5 месяцев назад +10

    Na kumbuca kuna comedy ambayio ina itwa #sonia love story

  • @AbdillahMbarouk-l1q
    @AbdillahMbarouk-l1q 5 месяцев назад +6

    Safi sana nilisubr kwa mda mrefu ila naamini hii kitu ni zaidi ya last card hongeren sanaaa ❤

  • @madymag6926
    @madymag6926 5 месяцев назад +3

    Naikubali sanaa tu hiko vzr Nawapenda sana kp na zebuu ❤❤❤

  • @manixkasoye9050
    @manixkasoye9050 5 месяцев назад +8

    Safi kabisa kp naipenda sana movie 🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @ChristineTima-kg4rj
    @ChristineTima-kg4rj 5 месяцев назад +6

    Asanten sana kwa kuleta Sanaa mpya nmeipenda hiyo na nakupenda sana kp

  • @pendokache2400
    @pendokache2400 5 месяцев назад +9

    Naamini kazi zako kp hope tutaenjoy pia hii🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @neymahsangawe6156
    @neymahsangawe6156 5 месяцев назад +13

    Yaan mmekaa kimya mpk mnatuboa....

  • @EMMA-ONE.
    @EMMA-ONE. 5 месяцев назад +4

    Jamani kp hajawahi kutosha movie ya kutosha sanaa ila naomba hii iwe ya kutosha zaidi ya wamangushi🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @BashiliShaban
    @BashiliShaban 5 месяцев назад +23

    Iko poa sana sema wazngatie kutoka chap chap isiwe wanatoa tukishasahau mwanzo ulkuaje

  • @Pascal-mu5hf
    @Pascal-mu5hf 5 месяцев назад +4

    Dah !!! Kep and zebuu kweli nyinyi ni Noma Sana ongereni Sana kwa kazi zenu nzuri Sana, nawa fwata 5/5 kutoka Congo 🇨🇩🇨🇩 kuanziya séries yenu ya binti nyoka mpaka hii nyingine séries, bado nipo na nyinyi nasito acha kuwa sapoti hata iweje ♥️♥️♥️♥️♥️✌️✌️✌️ ongereni Sana.

  • @MayaWambui-jh4yo
    @MayaWambui-jh4yo 5 месяцев назад +5

    Much love from kenya🥰🥰

  • @Mebo-o9y
    @Mebo-o9y 5 месяцев назад +5

    Nilikuwa nimewamiss sana ❤

  • @bihogorakaroli9691
    @bihogorakaroli9691 5 месяцев назад +5

    ZEBUUUUU NA KP BILA KUMSAA DAR KID NAWAKUBALI SANA NA KUNDI LENU LOTE KAZI ZENU NI NZURI UBUNIFU KAMA WOTE, NAOMBA MISS SHEISHEI ASIKOSEKANE KTK HII KITU MPYA

  • @mashakaesitasahani-qi9hk
    @mashakaesitasahani-qi9hk 5 месяцев назад +1

    Kwa kweli munafanya kazi nzuri sana @Kp wa Apuino

  • @BarakaThadeosebastian-sz8tt
    @BarakaThadeosebastian-sz8tt 5 месяцев назад +5

    Waooo nimehpenda saana ili nakusubili sheyshey na likoma

  • @nadzuamrema5837
    @nadzuamrema5837 5 месяцев назад +2

    Mpya mashallah Nawapenda kwa ajili ya Allah awazidishie inshaallah kwa vipaji vyenu

  • @SarahWanyonyi-dz6hq
    @SarahWanyonyi-dz6hq 5 месяцев назад +3

    Waaaah tuliwaamisis sana kwa kweli😂😂❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪

  • @RamlaTumbaNitschke
    @RamlaTumbaNitschke 5 месяцев назад +2

    Mwanzo Mzuri Tunaomba Kila Siku Mbili Iendelee❤ Nawapenda Sana

  • @MaryamSafi-vm6or
    @MaryamSafi-vm6or 5 месяцев назад +13

    Waoooh nilimmis san zebuu wangu I love you ze buuu ❤❤❤

  • @joharirashid-ny8hk
    @joharirashid-ny8hk 5 месяцев назад

    jaman nawapenda sana kp na zebuu move zenu nzur mnoo jmn du muda wote nawafatliaa mungu akuze vipj vyenu

  • @BoykandibaWagumu
    @BoykandibaWagumu 5 месяцев назад +10

    Mano que não falha sempre......Kaká aukosei kila siku

  • @Amena-z5r
    @Amena-z5r 5 месяцев назад +1

    Sana cha kuongea mimi zaidi ya kuwashukuru kwa kuleta kazi nzuri love ❤️ ❤❤❤ nyote 😢😢🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @agustinorichadi1253
    @agustinorichadi1253 5 месяцев назад +5

    Shey shey nakungoj kwa hamu man unajua kunfurahish

  • @Bibi-he6vt
    @Bibi-he6vt 5 месяцев назад +1

    Always the best mnaanza series na mnaiendeleza si Kama wengine

  • @AmosMbiko-oi2iu
    @AmosMbiko-oi2iu 5 месяцев назад +7

    Paka lini wakuu nasubiri Kwa hamu sanaa

  • @AzamJuji
    @AzamJuji 5 месяцев назад +2

    Itakuwa nzuri hii tunaisubiri kwa hamu ep 2 nawapenda sana ❤❤❤

  • @LouiseEbasomba-g6w
    @LouiseEbasomba-g6w 5 месяцев назад +5

    Nipeni like

  • @FerdinandElibariki
    @FerdinandElibariki 5 месяцев назад +1

    Napenda univyoweka miziki

  • @gogoloveofficial5666
    @gogoloveofficial5666 5 месяцев назад +5

    Tuliwa miss sana

  • @MusaMwema
    @MusaMwema 5 месяцев назад +2

    Mh jamn kp na zebuu hadi mnatutisha ila hongereni kwa kaz nzur mungu awaongoz na muendlee kutuletea kaz nzur

  • @Mummywamulumewe
    @Mummywamulumewe 5 месяцев назад +3

    Wooooiiiiiiiiiyeeeee uku mambo yanaandaliwa uku jmni❤❤❤🎉🎉

  • @ZitocrisantoMakaba
    @ZitocrisantoMakaba 5 месяцев назад +2

    Nawapenda sana kp na zebuu ila musichelewe kutowa nawakubali kinoma yani🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Zadig_Le_Juste
    @Zadig_Le_Juste 5 месяцев назад +3

    waiting second part kwa hamu🎉

  • @MwanamisiBakari-xh3jo
    @MwanamisiBakari-xh3jo 5 месяцев назад +2

    Welcome back kp n timu yote kwa kutuletea kazi mpya ❤❤❤❤❤ tunawapenda sana kutoka kenya

  • @luckylucky7153
    @luckylucky7153 5 месяцев назад +4

    Hamjawai kuniangusha guys nadhani mamo moto

  • @LoyceDaud
    @LoyceDaud 5 месяцев назад +1

    Ewaaaa hapo ndo nakupendeaga kp unajuwa kubuniiiiii like zenu jaman wadau wa kp na zebu😊😊

  • @MnyandwaMapeyo-u2k
    @MnyandwaMapeyo-u2k 5 месяцев назад +3

    Nikiwa wa 100❤❤❤ nipeni likè zangu

  • @MlongoChai
    @MlongoChai 5 месяцев назад +2

    Weee hiii iko wnsaw na nikali sana naikubali❤❤❤❤

  • @KhadijaSaid-vj9kh
    @KhadijaSaid-vj9kh 5 месяцев назад +5

    Kumekucha Kaz inaendelea

  • @mdnice3818
    @mdnice3818 5 месяцев назад +1

    Wau nafrahi sana kuwaona tena napenda sana kazi zenu 🎉🎉🎉

  • @liylahahmed829
    @liylahahmed829 5 месяцев назад +3

    Kazi imeanzaaa.......................🎬

  • @MICKEYBOYHB
    @MICKEYBOYHB 5 месяцев назад +1

    Dah mtakuja kututoa roho na madude makali ❤❤❤❤❤

  • @MoneyKey247-fk4oy
    @MoneyKey247-fk4oy 5 месяцев назад +4

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 niliwamic sana aisee

  • @AminaMaganga-j3l
    @AminaMaganga-j3l 5 месяцев назад +1

    Yaan mnajua mpaka mnajua tena jmn mwanzo tu imeanza kwa kunoga hv huko mbeleni si itakua 🔥🔥🔥 nawapenda sana

  • @allykuwingwatv2092
    @allykuwingwatv2092 5 месяцев назад +12

    achia mkuuu

  • @YawaYawa-bs6jd
    @YawaYawa-bs6jd 5 месяцев назад +1

    Hongereni jamani kwa kazi nzr🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @BerniceBelieve-tm6dd
    @BerniceBelieve-tm6dd 5 месяцев назад +3

    Fresh sana❤❤

  • @BensonMpomo
    @BensonMpomo 5 месяцев назад +2

    nakubali sanaaa we ndo mtu wa kazi nzuri ko leta vitu mwendo wa bas

  • @winnymbula
    @winnymbula 5 месяцев назад +5

    Haki nasubiri Sana hki

  • @UmaziKauli-bl2ce
    @UmaziKauli-bl2ce 5 месяцев назад +2

    Ak kazi yenu n nzur sana hamnaga kaz mbovu nyie

  • @richardmunishi1521
    @richardmunishi1521 5 месяцев назад +13

    Saf sana mpaka nlwamic

  • @MwanamisiBakari-xh3jo
    @MwanamisiBakari-xh3jo 5 месяцев назад +2

    Waiting so much hii itaweza kushinda last card

  • @theopisterjovent3483
    @theopisterjovent3483 5 месяцев назад +3

    SONAA❤❤❤ hii nayo ni more than 🔥🔥🔥🔥🔥 weweeeee mambo yamenoga tusonge nayo KP na ZEBUU bila kumsahau Mr Shey shey 🎉🎉🎉

    • @Asia-dq3rt
      @Asia-dq3rt 5 месяцев назад +1

      Ms bna sio mr😂😂

    • @theopisterjovent3483
      @theopisterjovent3483 5 месяцев назад

      @@Asia-dq3rt 😂😂😂utamu umepitiliza😋😋

  • @BintiKalima-ef6xl
    @BintiKalima-ef6xl 5 месяцев назад +1

    😂😂😂😂 zebuu nakupenda sana umekuwa na mkia nzuri sana sonaa

  • @jumandhale6096
    @jumandhale6096 5 месяцев назад +4

    Tunaingoja

  • @YohanmechaMarwa
    @YohanmechaMarwa 5 месяцев назад

    Nawapenda Sana na mzee rikoma Yani wote Nawapenda

  • @BahatiKadenge-n5r
    @BahatiKadenge-n5r 5 месяцев назад +5

    Hii sonaa iko na majanga mengi nimekumbuka move ingine sana tamu

  • @NoorEesa
    @NoorEesa 5 месяцев назад +1

    Kazi nzuri sana congratulations kp❤❤❤

  • @menzedickaliera4634
    @menzedickaliera4634 5 месяцев назад +3

    Kitu tamu wait team zebu kp

  • @victoriabonaya4143
    @victoriabonaya4143 5 месяцев назад +2

    So interesting much love guys

  • @Phoebenafula
    @Phoebenafula 5 месяцев назад +5

    Wainting from kenya

  • @Mpawenimanalionel
    @Mpawenimanalionel 5 месяцев назад

    Tupe ndugu zetu myezi irikua nimying.tujawapend from 🇧🇮🇧🇮

  • @FabianLutobeka
    @FabianLutobeka 5 месяцев назад +1

    daah nawakubali sana kanzi zuri sana hogera sana pambaneni

  • @dyderaryan4426
    @dyderaryan4426 5 месяцев назад

    Nmeanza Leo ku comment na sita comment tena mpka finally 😊😊😊🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️❤️❤️🥰🥰🥰 chukueni maua yenu

  • @PendoSamuella
    @PendoSamuella 5 месяцев назад +1

    Nimependa sona kweli ila sitosahau ajenti xxx nawapenda sana hawo watu kweli nitakuja tuishi pamoja

  • @SifaAimerance
    @SifaAimerance 5 месяцев назад

    Nzuri sana.nawakubali mno mpewe 🎉🎉🎉🎉yenu.kp na zebuu❤❤❤❤❤❤

  • @daltontemboTv
    @daltontemboTv 5 месяцев назад +1

    NAWASALIMU KWA JAMUHULI YA MUUNGANO WA TANZANIA KAZI ZIENDELEE 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @BwackBoy-h2n
    @BwackBoy-h2n 5 месяцев назад

    Sijawai kuwapinga kwenye kazi zenu kp na zebuu amna baya nawafatilia toka kitambo

  • @janepaul-pu3ds
    @janepaul-pu3ds 5 месяцев назад +1

    Wow! kazi nzuri sana Kp and your team am eagerly waiting for the next episode na msikawie sana pls

  • @smartlady6898
    @smartlady6898 5 месяцев назад +1

    Najuta kuiangalia usiku huu jaman naogopa hadi kulala kiukweli zebuu sitak kukuota jmn😢

  • @LagusyaMwaipopo
    @LagusyaMwaipopo 5 месяцев назад +2

    Mis sheyshey uko wap jaman Binti Likoma..!

  • @BaruaniNgem
    @BaruaniNgem 5 месяцев назад +1

    Kazi nzuri keep na zebu nawapend bule

  • @KhadijaSaid-vj9kh
    @KhadijaSaid-vj9kh 5 месяцев назад +2

    Muendelezo jmn muwah kutuletea Kaz nzr

  • @chikumdee8379
    @chikumdee8379 5 месяцев назад +1

    Waja acheni ushamba jmni toeni maoni kuhusu kilichopostiwa mmekazana nimewahi naombeni like mm wa kwanza nipewe like mnakeraaaaa sanaaa