😂😂😂😂ila Darkid mwenzako ashakuambia ana uwezo wa kuona ucvyoviona we unasema angekua na mkia siningeuona..... Hii nzur sanaa wapendwa imeanza na motoooo❤❤
Dah !!! Kep and zebuu kweli nyinyi ni Noma Sana ongereni Sana kwa kazi zenu nzuri Sana, nawa fwata 5/5 kutoka Congo 🇨🇩🇨🇩 kuanziya séries yenu ya binti nyoka mpaka hii nyingine séries, bado nipo na nyinyi nasito acha kuwa sapoti hata iweje ♥️♥️♥️♥️♥️✌️✌️✌️ ongereni Sana.
ZEBUUUUU NA KP BILA KUMSAA DAR KID NAWAKUBALI SANA NA KUNDI LENU LOTE KAZI ZENU NI NZURI UBUNIFU KAMA WOTE, NAOMBA MISS SHEISHEI ASIKOSEKANE KTK HII KITU MPYA
Nzuri sanaaa
Walio ikubali sonaa gonga like apa
Kali sana🎉🎉
Nipeni like zangu from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮 to 🇸🇦🇸🇦🇸🇦 Kp&zebu love you so much
Am from Kenya currently live is south sudan more love to KP and zebu dakidi work done
Itakuwa ni zuri sana wa kwanza munipe like zangu jamani ❤❤
D hivi mkia huuoni ww ama macho yko ykona pazia
😂😂😂ndio
Wewe hiii Kali sasa zebu unatisha 😅😅mama
Sonaa episode 5
😅,,🎉,❤
Kp na zebuu tuna wapenda saaana sonaa ❤❤❤❤from Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 wekeni like zangu jamani wekeni
Hujawah kufeli kijana KP 🎉
Kingine tumieni beat zenu msitumie nyimbo za wasanii wengine mnakua kama comedian 😏
Mu huwa Nazipend saan hiz background song🤣🤣 nakuw na enjoy
Kp
Nawapenda sana mimi nimeisubulia kwa hamu sana kp zebuu l love ❤❤❤
😂😂😂😂ila Darkid mwenzako ashakuambia ana uwezo wa kuona ucvyoviona we unasema angekua na mkia siningeuona..... Hii nzur sanaa wapendwa imeanza na motoooo❤❤
Jamanii tunawasubiliii kwa hamu kubwa baada ya ukimwa huo
Ila tutaikumbuka sanaaaaaaaa LAST CARD 😢😢😢😢😢😢😢
Zebuu umevaa dera kma langu 😂😂😂...kma unaikubali SONAA achia like tukisonga jamanii...natawakia ramadhan mubaraq wa swaumu maqbul...na Eid Mubarak njema insha'Allah
Kumehebuka kipya
Yani m hapa napenda Dar kid sana Yani kwenye nyimbo za mapenzi yupo hodari na hata kwenye sirisi pia ebu nipeni like zake daah m mkenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
😊
😊😊😊😊😊😊😊😊😊
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
nawakubali sana grupo kp kazi nzuri, from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
KP kazi njema sanaa natamani kujiunga na nyinyi tufanye hii kazi ya sanaa Pamoja
Waiting for it mkuu ,,dah ! achia bana
Waah hii kali sana much love from Kenya 🇰🇪
Tunaisubiri kwa hamu Sana ,mi wa tano leo ❤ like zenu plz
Zeebu unaogopesha San km umeogopa km mm gonga like
Aisee talented sanaa
Nimeogop keeel si mchezo
Kp amekuja na kigongo kipyaa ❤❤nawapenda sana wapenzi ❤❤
Nakubali San team KP dude. Ndio limeanza ila kali San hongereni San kwa burudani tu enjoy San
Nzuli san nime ipenda sonaa nawey kama umeipend gong like apa❤❤
Kama umeikubali suruali ya kp gonga like😅
Nawapenda bure kp na team yko kazi nzuri sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nous attendons impatiemment kp, de cœur avec toi Fréro!!!
Every episodes is so nice 💝💝💝💝keep it up team KP and zebu 🎉🎉🎉🎉 I have been waiting new episode but finally 💝💝💝good work ,keep it up
Waiting kujeni hapa team strong tusubir chombo kipya kwa team kp na zebuu❤❤
Noma sana Cha muimu tunaitaji episode 2kesho kutwa inshallah 💝
Na kumbuca kuna comedy ambayio ina itwa #sonia love story
Safi sana nilisubr kwa mda mrefu ila naamini hii kitu ni zaidi ya last card hongeren sanaaa ❤
Naikubali sanaa tu hiko vzr Nawapenda sana kp na zebuu ❤❤❤
Safi kabisa kp naipenda sana movie 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Asanten sana kwa kuleta Sanaa mpya nmeipenda hiyo na nakupenda sana kp
Naamini kazi zako kp hope tutaenjoy pia hii🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Yaan mmekaa kimya mpk mnatuboa....
Jamani kp hajawahi kutosha movie ya kutosha sanaa ila naomba hii iwe ya kutosha zaidi ya wamangushi🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Iko poa sana sema wazngatie kutoka chap chap isiwe wanatoa tukishasahau mwanzo ulkuaje
Bashili mambo
Ww ni Bashili mwachindiri kutoka kombani
Jaman Iko poa sana
Dah !!! Kep and zebuu kweli nyinyi ni Noma Sana ongereni Sana kwa kazi zenu nzuri Sana, nawa fwata 5/5 kutoka Congo 🇨🇩🇨🇩 kuanziya séries yenu ya binti nyoka mpaka hii nyingine séries, bado nipo na nyinyi nasito acha kuwa sapoti hata iweje ♥️♥️♥️♥️♥️✌️✌️✌️ ongereni Sana.
Much love from kenya🥰🥰
Nilikuwa nimewamiss sana ❤
ZEBUUUUU NA KP BILA KUMSAA DAR KID NAWAKUBALI SANA NA KUNDI LENU LOTE KAZI ZENU NI NZURI UBUNIFU KAMA WOTE, NAOMBA MISS SHEISHEI ASIKOSEKANE KTK HII KITU MPYA
Kwa kweli munafanya kazi nzuri sana @Kp wa Apuino
Nakupenda sana
Waooo nimehpenda saana ili nakusubili sheyshey na likoma
Mpya mashallah Nawapenda kwa ajili ya Allah awazidishie inshaallah kwa vipaji vyenu
Waaaah tuliwaamisis sana kwa kweli😂😂❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪
Mwanzo Mzuri Tunaomba Kila Siku Mbili Iendelee❤ Nawapenda Sana
Waoooh nilimmis san zebuu wangu I love you ze buuu ❤❤❤
jaman nawapenda sana kp na zebuu move zenu nzur mnoo jmn du muda wote nawafatliaa mungu akuze vipj vyenu
Mano que não falha sempre......Kaká aukosei kila siku
Sana cha kuongea mimi zaidi ya kuwashukuru kwa kuleta kazi nzuri love ❤️ ❤❤❤ nyote 😢😢🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Shey shey nakungoj kwa hamu man unajua kunfurahish
Always the best mnaanza series na mnaiendeleza si Kama wengine
Paka lini wakuu nasubiri Kwa hamu sanaa
Itakuwa nzuri hii tunaisubiri kwa hamu ep 2 nawapenda sana ❤❤❤
Nipeni like
Napenda univyoweka miziki
Tuliwa miss sana
Mh jamn kp na zebuu hadi mnatutisha ila hongereni kwa kaz nzur mungu awaongoz na muendlee kutuletea kaz nzur
Wooooiiiiiiiiiyeeeee uku mambo yanaandaliwa uku jmni❤❤❤🎉🎉
Nawapenda sana kp na zebuu ila musichelewe kutowa nawakubali kinoma yani🎉🎉🎉🎉🎉🎉
waiting second part kwa hamu🎉
Welcome back kp n timu yote kwa kutuletea kazi mpya ❤❤❤❤❤ tunawapenda sana kutoka kenya
Hamjawai kuniangusha guys nadhani mamo moto
Ewaaaa hapo ndo nakupendeaga kp unajuwa kubuniiiiii like zenu jaman wadau wa kp na zebu😊😊
Nikiwa wa 100❤❤❤ nipeni likè zangu
Weee hiii iko wnsaw na nikali sana naikubali❤❤❤❤
Kumekucha Kaz inaendelea
Wau nafrahi sana kuwaona tena napenda sana kazi zenu 🎉🎉🎉
Kazi imeanzaaa.......................🎬
Dah mtakuja kututoa roho na madude makali ❤❤❤❤❤
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 niliwamic sana aisee
Yaan mnajua mpaka mnajua tena jmn mwanzo tu imeanza kwa kunoga hv huko mbeleni si itakua 🔥🔥🔥 nawapenda sana
achia mkuuu
Hongereni jamani kwa kazi nzr🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Fresh sana❤❤
nakubali sanaaa we ndo mtu wa kazi nzuri ko leta vitu mwendo wa bas
Haki nasubiri Sana hki
Ak kazi yenu n nzur sana hamnaga kaz mbovu nyie
Saf sana mpaka nlwamic
Waiting so much hii itaweza kushinda last card
SONAA❤❤❤ hii nayo ni more than 🔥🔥🔥🔥🔥 weweeeee mambo yamenoga tusonge nayo KP na ZEBUU bila kumsahau Mr Shey shey 🎉🎉🎉
Ms bna sio mr😂😂
@@Asia-dq3rt 😂😂😂utamu umepitiliza😋😋
😂😂😂😂 zebuu nakupenda sana umekuwa na mkia nzuri sana sonaa
Tunaingoja
Nawapenda Sana na mzee rikoma Yani wote Nawapenda
Hii sonaa iko na majanga mengi nimekumbuka move ingine sana tamu
Kazi nzuri sana congratulations kp❤❤❤
Kitu tamu wait team zebu kp
So interesting much love guys
Wainting from kenya
Tupe ndugu zetu myezi irikua nimying.tujawapend from 🇧🇮🇧🇮
daah nawakubali sana kanzi zuri sana hogera sana pambaneni
Nmeanza Leo ku comment na sita comment tena mpka finally 😊😊😊🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️❤️❤️🥰🥰🥰 chukueni maua yenu
Nimependa sona kweli ila sitosahau ajenti xxx nawapenda sana hawo watu kweli nitakuja tuishi pamoja
Nzuri sana.nawakubali mno mpewe 🎉🎉🎉🎉yenu.kp na zebuu❤❤❤❤❤❤
NAWASALIMU KWA JAMUHULI YA MUUNGANO WA TANZANIA KAZI ZIENDELEE 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Sijawai kuwapinga kwenye kazi zenu kp na zebuu amna baya nawafatilia toka kitambo
Wow! kazi nzuri sana Kp and your team am eagerly waiting for the next episode na msikawie sana pls
Najuta kuiangalia usiku huu jaman naogopa hadi kulala kiukweli zebuu sitak kukuota jmn😢
Mis sheyshey uko wap jaman Binti Likoma..!
Kazi nzuri keep na zebu nawapend bule
Muendelezo jmn muwah kutuletea Kaz nzr
Waja acheni ushamba jmni toeni maoni kuhusu kilichopostiwa mmekazana nimewahi naombeni like mm wa kwanza nipewe like mnakeraaaaa sanaaa
Watu wanaboa sana