Waimbaji wote wa nyimbo za kumtukuza Mungu wanastahili kuimba maneno kutoka kwenye Biblia. Hii kwaya naipenda. Mungu wangu naomba uwabariki mno kwaya ya Mapigano Ulyankulu.
Amen:fahari yangu ni bwana yesu 'enafsi yangu umuhimidi bwana"mnanikumbusha mbali sana mwaka2003 nilipokuwa sumbawanga 'silali bila kuweka fahari ya vijana:ilikuwa inanipa power ya kuomba sana""
Yaani kwaya za siku hizi ni kama taarabu mtu anaimba nyimbo mpaka ukiwa huelewani na mtu unaogopa kuusikiliza mbele yake asije akasema umemuwekea can you imagine that.huu ndio uimbaji Mungu tusaidie uimbaji wa siku hizi
Waimbaji wote wa nyimbo za kumtukuza Mungu wanastahili kuimba maneno kutoka kwenye Biblia. Hii kwaya naipenda. Mungu wangu naomba uwabariki mno kwaya ya Mapigano Ulyankulu.
Kwangu hawa ndio walikuwa waimbaji wenye kipaji cha pekee kabisa cha kuhubiri neno la Mungu kwa njia ya uimbaji..
safi sana hii video yani inanigusa sana namkumbuka marehemu mama
Nabarikiwa sana ninapowatazama waimbaji hawa:
Amen:fahari yangu ni bwana yesu 'enafsi yangu umuhimidi bwana"mnanikumbusha mbali sana mwaka2003 nilipokuwa sumbawanga 'silali bila kuweka fahari ya vijana:ilikuwa inanipa power ya kuomba sana""
2024❤❤❤
Yaani kwaya za siku hizi ni kama taarabu mtu anaimba nyimbo mpaka ukiwa huelewani na mtu unaogopa kuusikiliza mbele yake asije akasema umemuwekea can you imagine that.huu ndio uimbaji Mungu tusaidie uimbaji wa siku hizi
Hawa watu waliimba bwana dah sijui bado wapo jamani nasikiliza nyimbo zao zote leo 5/31 yaani hakuna na atakuwepo waimbaji kama hawa👌👌❤️
Kamdundo amazing...message kamilifu...wokovu umetufikia
hizi ndizo kwaya takatifu za zaman sio kwaya za siku hizi za kuluka majoka na kukata viuno.
Ukweli ndugu.
nyimbo zenye upako ndio hizii
Kabisaa
Kwaya bora kabisa
Mbarikiwe sanaaaaaaaa
Niliwapenda sana maana nyimbo zao zote zinaendana na maandiki matakatifu mbarikiwe sana
yani unaugusa moyo wangu hapa naburudika safi
Huyu mwamba yupo kwa wapi kwa sasa? Maana hii sauti ni adimu kama alimas..nawapendaga sana
Wengi wao walikufa na mv bukoba
kwaya za Leo hazitumii mistsri ya biblia,good ulyankulu!!!!
Rebecca Meckson sana kwaya za zamani zilikua zinatumia sana mistasi ya biblia ndio maana zilikua nzuri sana
Mungu awabariki
SAFI KABISA,NIMETAFUTA SANA HII VIDEO NIKAPATA
Mimi nimekusea sana sana ubarikiwe na mungu wa majeshi
nimeguswa sana
Kitambo sana Mungu azidi kututunza
kweli baba lowasia hizi ndo kwaya yani hadi raha
Greatest ever
Nakumbukazamani
Munaweza kunipa contacts za mmoja Kati ya wailbaji Hawa????
Kwaya ndo hii acha wanaocheza dance eti kwaya mabarikiwe huko mliko
When music was from the soul
hii no mistari ya biblia,sio kuimbaimba tu
Natafuta Album yao inaitwa SISI NI BARUA yeyote ataipata anitafute Nina zawadi yake tafadhali
+25768348552 what's app me
Ninayo
2018
kila kitu hapo kimepangika kuanzia saut mpaka upigaji wa vyombo nakumbaka mbali sana 1999