Mapigano Ulyankulu Kwaya Fahari Ya Vijana Official Video

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • Fahari Ya Vijana By Mapigano Ulyankulu Kwaya

Комментарии • 37

  • @danielorango5875
    @danielorango5875 7 лет назад +8

    Waimbaji wote wa nyimbo za kumtukuza Mungu wanastahili kuimba maneno kutoka kwenye Biblia. Hii kwaya naipenda. Mungu wangu naomba uwabariki mno kwaya ya Mapigano Ulyankulu.

  • @noelbryson7840
    @noelbryson7840 Год назад +4

    Kwangu hawa ndio walikuwa waimbaji wenye kipaji cha pekee kabisa cha kuhubiri neno la Mungu kwa njia ya uimbaji..

  • @jastinbenjamin1132
    @jastinbenjamin1132 6 лет назад +3

    safi sana hii video yani inanigusa sana namkumbuka marehemu mama

  • @webingogo3633
    @webingogo3633 4 года назад +2

    Nabarikiwa sana ninapowatazama waimbaji hawa:

  • @lucianachelele2812
    @lucianachelele2812 6 лет назад +2

    Amen:fahari yangu ni bwana yesu 'enafsi yangu umuhimidi bwana"mnanikumbusha mbali sana mwaka2003 nilipokuwa sumbawanga 'silali bila kuweka fahari ya vijana:ilikuwa inanipa power ya kuomba sana""

  • @derickjuma4251
    @derickjuma4251 3 месяца назад +1

    2024❤❤❤

  • @childofgodthroughjesuschri3326
    @childofgodthroughjesuschri3326 6 лет назад +2

    Yaani kwaya za siku hizi ni kama taarabu mtu anaimba nyimbo mpaka ukiwa huelewani na mtu unaogopa kuusikiliza mbele yake asije akasema umemuwekea can you imagine that.huu ndio uimbaji Mungu tusaidie uimbaji wa siku hizi

  • @Linda-lr1lu
    @Linda-lr1lu 3 месяца назад

    Hawa watu waliimba bwana dah sijui bado wapo jamani nasikiliza nyimbo zao zote leo 5/31 yaani hakuna na atakuwepo waimbaji kama hawa👌👌❤️

  • @kuduishekisowile4676
    @kuduishekisowile4676 8 лет назад +2

    Kamdundo amazing...message kamilifu...wokovu umetufikia

  • @aliethlwaitama9592
    @aliethlwaitama9592 7 лет назад +2

    hizi ndizo kwaya takatifu za zaman sio kwaya za siku hizi za kuluka majoka na kukata viuno.

  • @dechardavid2555
    @dechardavid2555 7 лет назад +4

    nyimbo zenye upako ndio hizii

  • @foshizomanizo6881
    @foshizomanizo6881 6 лет назад +2

    Kwaya bora kabisa

  • @mrjemsimushi944
    @mrjemsimushi944 3 года назад +1

    Mbarikiwe sanaaaaaaaa

  • @edisonkatunzi
    @edisonkatunzi Год назад

    Niliwapenda sana maana nyimbo zao zote zinaendana na maandiki matakatifu mbarikiwe sana

  • @jastinbenjamin1132
    @jastinbenjamin1132 6 лет назад +1

    yani unaugusa moyo wangu hapa naburudika safi

  • @user-wd1oe9yr2n
    @user-wd1oe9yr2n 11 месяцев назад

    Huyu mwamba yupo kwa wapi kwa sasa? Maana hii sauti ni adimu kama alimas..nawapendaga sana

  • @rebeccameckson9091
    @rebeccameckson9091 7 лет назад +2

    kwaya za Leo hazitumii mistsri ya biblia,good ulyankulu!!!!

    • @foshizomanizo6881
      @foshizomanizo6881 6 лет назад

      Rebecca Meckson sana kwaya za zamani zilikua zinatumia sana mistasi ya biblia ndio maana zilikua nzuri sana

  • @sajentaniseth8029
    @sajentaniseth8029 5 лет назад +1

    Mungu awabariki

  • @jilldaniel2065
    @jilldaniel2065 10 лет назад +7

    SAFI KABISA,NIMETAFUTA SANA HII VIDEO NIKAPATA

  • @ntimiuswege8478
    @ntimiuswege8478 Год назад

    Kitambo sana Mungu azidi kututunza

  • @jastinbenjamin1132
    @jastinbenjamin1132 6 лет назад

    kweli baba lowasia hizi ndo kwaya yani hadi raha

  • @linahernest3978
    @linahernest3978 9 лет назад +2

    Greatest ever

  • @pascomusic-ys3gm
    @pascomusic-ys3gm 6 месяцев назад

    Nakumbukazamani

  • @ezechielrwibasirabashali5354
    @ezechielrwibasirabashali5354 Год назад

    Munaweza kunipa contacts za mmoja Kati ya wailbaji Hawa????

  • @didaspaints2001
    @didaspaints2001 6 лет назад +1

    Kwaya ndo hii acha wanaocheza dance eti kwaya mabarikiwe huko mliko

  • @sheilahkwamboka3855
    @sheilahkwamboka3855 3 года назад

    When music was from the soul

  • @rebeccameckson9091
    @rebeccameckson9091 7 лет назад

    hii no mistari ya biblia,sio kuimbaimba tu

  • @chenzhenlee7633
    @chenzhenlee7633 3 года назад +1

    Natafuta Album yao inaitwa SISI NI BARUA yeyote ataipata anitafute Nina zawadi yake tafadhali
    +25768348552 what's app me

  • @faza4023
    @faza4023 6 лет назад

    2018

    • @davidndekirwa1206
      @davidndekirwa1206 2 года назад

      kila kitu hapo kimepangika kuanzia saut mpaka upigaji wa vyombo nakumbaka mbali sana 1999