DUDUBAYA Anaumwa sana Afichua Mapya Usiyoyajua Ugomvi wa Diamond na Alikiba 🤔 Jionee hapa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Unaweza kututembelea instagram @bingoonlinetz
    #bingoonlinetz
    #sisisiowepesi #TunakupaKwaWakati
    Ahsante kwa Kuiamini na ku SUBSCRIBE BINGO ONLINE TZ Na kuifanya ifikishe Subscribers Milioni 1

Комментарии • 199

  • @jamlaashiri372
    @jamlaashiri372 11 месяцев назад +2

    Pole sana dudu baya mungu akurejeshe ktk hali yako.

  • @farajasaid9209
    @farajasaid9209 11 месяцев назад +2

    Pole mpendwa utapona kwa uwezo wa Mungu

  • @edsonmunuo7112
    @edsonmunuo7112 Год назад +22

    Mtaji wa kwanza wa mwanadamu ni Afya kwanza na utajiri mkubwa ni watu,..akili kubwa dudu baya ❤❤❤

  • @simbajr7991
    @simbajr7991 Год назад +7

    Damu ya YESU ikusafishe brother wangu,Mungu wetu hajawahi kushindwa kitu haijalishi tumemkosea Mara ngapi,Mungu atakuponya.

  • @fadhilimartin-o3h
    @fadhilimartin-o3h Год назад +5

    Pole sana Dudu baya mtaji wakwanza mwanadamu ni Afya Mwamba!

  • @johnjohnkipokola5077
    @johnjohnkipokola5077 Год назад +1

    Likatae kwanza hilo jina DUDU BAYA Maana lenyewe ni kifungo. Mgeukie Mungu na uziache njia mbaya ambazo ni machukizo kwa Mungu. Okoka na ufuate mwenendo wa Yesu Kristo. Hakika utapona. Mungu akujalie uponyaji na ukawe mzima Kwa Jina na damu ya Yesu.

  • @sistersade9039
    @sistersade9039 Год назад +4

    Sasa nani anomzidi akili huyu konki master 😊 Anaumwa maskini lakini hapitwi na mambo yanoendelea. na wakati wote haogopi kusema la ukweli, maana hasemi kwa ubaya. Get well soon legendary ❤

  • @johannmaloda6027
    @johannmaloda6027 Год назад +2

    misumari ilinipataga mm, n uchawi wa pwani ni noma, yn unaweza usiamin unaanza kutembea km mtoto, yn inshort inaanziaga ktk unyayo inatambaa ad kiunoni, oya msiombe apo hata girl humgusi... Respect dudu baya na God akusaidie

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 Год назад +6

    Kweli dudu baya legend wa hii industry ya mziki.big up mzee

  • @anthonykishiwa5334
    @anthonykishiwa5334 Год назад +3

    Pole sana mamba hawatakuweza ww son of god watafelli tu Mwenyez Mungu atakuponya

  • @stevenmeshack467
    @stevenmeshack467 Год назад +7

    Utapona kwa jina la yesu 📖

  • @farajisewe7416
    @farajisewe7416 11 месяцев назад +1

    Konkii,
    God bless you

  • @atanasjisonge2538
    @atanasjisonge2538 Год назад +1

    Mungu akufanyie wepes Dudu baya upoe

  • @shamimageta6651
    @shamimageta6651 Год назад +4

    Duh,,dudubaya....mungu akupe wepesi mungu akuponye aiseee

  • @jimmytsenga3425
    @jimmytsenga3425 Год назад +8

    Respect to the OG dudu baya a.k.a master konki,,,this guys is intelligent,big up yourself mob love from 🇰🇪 inshAllah Mwenyezi Mungu ampunguzie maumivu na amjalie kupona ameen.

  • @billgussy6099
    @billgussy6099 Год назад +3

    Legend pole sana Mungu awe nawe

  • @addyhome6162
    @addyhome6162 Год назад +7

    pole pole sana konki,get wellsoon bro and we pray 4 you.

  • @MugirwanakeFlower-gv6po
    @MugirwanakeFlower-gv6po Год назад +5

    Nakuubali Sana muse wangu konge masta 🇷🇼

  • @yujinxhing3766
    @yujinxhing3766 11 месяцев назад

    Pole sana kaka, iyo ni ganzi tuu utapona ukifuatilia tiba sahihi

  • @edmondplatnumzmsafi8065
    @edmondplatnumzmsafi8065 Год назад +7

    Pole sana konkii

  • @Boaz-Gwanko
    @Boaz-Gwanko Год назад +29

    Jamani wenye mapenzi mema wamsaidie kumutibia Dudu baya mguu anao umwa, Mungu atawalipa we😢

  • @erichakizimana6024
    @erichakizimana6024 Год назад +12

    Mungu akulinde mzee wa fact konki master ✌️🇧🇮❤️❤️🇷🇺🇷🇺🇷🇺

  • @Aziz-p6s
    @Aziz-p6s 9 месяцев назад

    Pole kamanda

  • @okashhabib6944
    @okashhabib6944 11 месяцев назад +2

    Hakili nyingi 👑

  • @SatielNchimbi
    @SatielNchimbi Год назад +3

    Say sorry to Mr nice and others god will make you better an better....mungu akubariki upone

  • @timboxlee919
    @timboxlee919 Год назад +3

    Blessed dudu

  • @milanziadam
    @milanziadam Год назад

    pole sn kiongoz dudu baya

  • @godwinlibota8409
    @godwinlibota8409 Год назад

    Pole

  • @MawazoMwamba-fz5hr
    @MawazoMwamba-fz5hr 11 месяцев назад

    Pole sana Dudu baya😢😢

  • @255og
    @255og Год назад +5

    Omg pole Sana 🦍🐊

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 Год назад

    Pole mpendwa

  • @Muchmore255
    @Muchmore255 Год назад +4

    God bless you ❤

  • @eduardomala150
    @eduardomala150 11 месяцев назад

    Ugua pole konk

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 Год назад

    Pole Sana Konk Konk Konk Master!

  • @nyembobea7285
    @nyembobea7285 Год назад +10

    Isije ikawa mashoga wamekuroga maana uliwasema sana

    • @svt3
      @svt3 Год назад +2

      @nyembobea7285: akirogwa aroge pia,mbona wachawi wa kumupa urogi wako tu wengi asiendei tu matapeli

  • @jseventz
    @jseventz Год назад

    pole masta Mungu akuponye

  • @amosihokororo9702
    @amosihokororo9702 Год назад +1

    Pombe kupitiliza si nzuri Kwa afya ya binadamu

  • @maulidrehani
    @maulidrehani Год назад +4

    Mungu atampa afya konki

  • @jameschipande1090
    @jameschipande1090 Год назад

    Pole sana bro

  • @gambagumu368
    @gambagumu368 11 месяцев назад +1

    Oil chafu IPO?

  • @londonontario2573
    @londonontario2573 Год назад +2

    Get better soon big brother

  • @josephvenus3259
    @josephvenus3259 Год назад +5

    MUNGU AKUPONYE DUDUBAYA . WEWE NI SHUJAA

  • @Aziz-p6s
    @Aziz-p6s 9 месяцев назад

    Baba wile utapona inshaallah

  • @Kobe_254
    @Kobe_254 11 месяцев назад

    Long time.... ila iyo miguu pombe kachangia saana, dawa yake mazoezi tu na lisho bora!

  • @simonnembomadola7512
    @simonnembomadola7512 Год назад +5

    Toka Dudu baya aanze vita zidi ya ushoga maisha yake hayakuwa mazuri tena

  • @ramadhanmsangi4676
    @ramadhanmsangi4676 Год назад +4

    Tololo boy utakua sawa kaka 😅😅😅😅

  • @hallachibu2611
    @hallachibu2611 11 месяцев назад

    Konk master get well soon😎

  • @Me-tw4nf
    @Me-tw4nf Год назад +2

    Huuu kapotelea wapi kilamtu. Diamond

  • @joshuanyonyi3313
    @joshuanyonyi3313 11 месяцев назад

    Na uliwai kusherekea kuumwa kwa Ruge mtahaba..
    Na ukashangilia kifo chake.
    Lakin tunakuombea upone.

  • @devisshirima6780
    @devisshirima6780 11 месяцев назад

    At last ubabe una mwisho !! Vijana jifunzeni kitu kwa huyu bwana, enzi zake ubabe mwingi sana. Kijana tumia ujana wako vizuri. Lakini anyway Mungu amponye !!

  • @hezronjoseph405
    @hezronjoseph405 Год назад +1

    Konki shughuri yako ,inafahamika kitaifa😂😂😂mashoga uliwanyoosha😂😂😂

  • @nanaleetz
    @nanaleetz Год назад +3

    Wamemloga Dudubaya aise😣🙌🏽

  • @ummySheikh72
    @ummySheikh72 Год назад

    Mapombe Dudu baya ulizidisha! Basi wamekuroga kwa kusema sema kwako hovyo! Ujifunze sasa utulie kabisaa

  • @themanofgod7562
    @themanofgod7562 Год назад

    Konki konki konki Master.

  • @IsmailiNiraji
    @IsmailiNiraji Год назад +4

    Allah anatisha jaman tujitahid kumshukur jaman

    • @Mumewangu
      @Mumewangu Год назад

      Alijisifia matusi na kulawiti

    • @paulinanyanzala9072
      @paulinanyanzala9072 11 месяцев назад

      Dudu mungu atakuponya utapona tu huna makosa

    • @paulinanyanzala9072
      @paulinanyanzala9072 11 месяцев назад

      Utapona baba damu ya yesu ikufunikee tumia maji baraka

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no Год назад

    Daah tumekumisi sana Konkii pole sana Mungu akuwekee uwepesi

    • @hadijambunda7099
      @hadijambunda7099 Год назад

      Dudu nenda kwa KUHANI MUSA RICHARD MWACHA kimara temboni utapona

  • @pendoombakah
    @pendoombakah 11 месяцев назад

    Akapime to hana kulogwa wala nini na pole pia zimemuathiri. Mdomo tu .

  • @KATOPE1
    @KATOPE1 11 месяцев назад

    Huyu Jamaa awache gongo😢

  • @lemmyscoconutkbcom4877
    @lemmyscoconutkbcom4877 Год назад +2

    Mungu ni mwema utapona mamba 😢

  • @djoxygenthemasterkeyboard3595
    @djoxygenthemasterkeyboard3595 Год назад +2

    Mr.Big Point 🤘..Msema Ukweli.Miaka Buku ...

  • @lgdnce8309
    @lgdnce8309 Год назад

    Konki uyo

  • @saradaniel4579
    @saradaniel4579 11 месяцев назад

    comment asilimia 95 wanampenda mwamba😘😘😘😘

  • @StephenNgakonda
    @StephenNgakonda Год назад

    Ulisafr wap jaman Kwan ukisema nashunda huku nalima lima bustan Kuna shida gana

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia9284 Год назад +7

    Get well soon Konki, I missed you

  • @edsonmunuo7112
    @edsonmunuo7112 Год назад +1

    Hata liukuta wote wataliimba 😂😂😂

  • @ruziyaameja1355
    @ruziyaameja1355 Год назад +1

    Usijali muze dudubaya kilakitu itanyoka

  • @augustinhopastory1142
    @augustinhopastory1142 Год назад +3

    Quick recovery my home boy brother...!!!

  • @gb-one6435
    @gb-one6435 Год назад +2

    Mungu akuponye brother 🥺

  • @wazirmasokola5951
    @wazirmasokola5951 11 месяцев назад

    Dudu baya msema ukweli mungu akuponye

  • @HarodKanyau
    @HarodKanyau Год назад +3

    Ameongea cha maana sana upande wa mwana fa

  • @jamaryribson7671
    @jamaryribson7671 Год назад

    Ana “bi “sio “mi😅😅😅

  • @cdeleo9336
    @cdeleo9336 Год назад +1

    Weka no ya dudubaya tumsaidie

  • @ismailmshana2828
    @ismailmshana2828 Год назад

    Mamba asaidiwe

  • @rizbfighter8574
    @rizbfighter8574 11 месяцев назад

    Pombe sio chai kwakweli

    • @paitomsuva3817
      @paitomsuva3817 11 месяцев назад

      Huyu alikua anafurahi Sana kipindi kile Rugge amefariki. Kitendo kile kiliwakwaza watu. Hata kama Una ugomvi na mtu,ukiona amefariki yakupasa umsamehe na kumwombea

  • @jamesmramba8432
    @jamesmramba8432 Год назад

    Jamaani wanaoweza kumfikia dudubaya wamwambie apime ugonjwa wa TB ya mifupa ni ugonjwa mgumu sana kujulikana anachokisema kilinipata Mimi nilijuwa kama nimeparalaizi kabisa ulipogindulika tu nakuanza dawa wiki nikasimaa please fikisheni hii

  • @YohanaPetro-xv9tp
    @YohanaPetro-xv9tp Год назад +1

    Yani Intaviu Ya dudubaya Na Chidi Benzi Uwa zinaniingizia Kitu Kwenye Ubongo wangu MUNGU Awabaliki Awajamaa

  • @mosesjohnswilla9926
    @mosesjohnswilla9926 11 месяцев назад

    Wale wa Kisesa tujuane

  • @pendoombakah
    @pendoombakah 11 месяцев назад

    Tatizo akili nyingi huondoa marriage. Hkn kulogwa wala nini mdomo na Matusi ndo yamekumaliza. Funding ni hapa hapa

  • @drtobias_
    @drtobias_ Год назад +1

    Mmetumia aina gani ya Camera mbona Giza?

  • @joshuamuro9494
    @joshuamuro9494 Год назад +1

    Bigmind Konki Master wizara hiyo inahitaji mtu aliye ktk sanaa!!

  • @hezronjoseph405
    @hezronjoseph405 Год назад

    Tumekukumbuka ila nafasi yako anaendeleza babalevo msemakweli😂😂

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 Год назад +1

    Dudu baya mpambanaji sana ila vita na mashoga uliyoianza sio ndogo muulize makonda

  • @katondostudio652
    @katondostudio652 Год назад

    Mhusika nitafte nimchangie matibabu

  • @nordinebaraca4635
    @nordinebaraca4635 Год назад +2

    Kunanini cha kusimamia kwenye mvuwa!

  • @farajasaid9209
    @farajasaid9209 11 месяцев назад

    Walikusudia wampararaizishe miguu😅

    • @Aziz-p6s
      @Aziz-p6s 9 месяцев назад

      Unaamini uchawi

  • @Mumewangu
    @Mumewangu Год назад

    Mdomo ulimponza. Alikuwa anajisifia kulawiti

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Год назад

    Watu washakupiga kombora tayar hii ndio bongo

  • @moha9043
    @moha9043 Год назад

    🙏🙏🙏🙏🙏

  • @onesmothimos2635
    @onesmothimos2635 Год назад +2

    Tololo boy 3

  • @EmmanuelNyinyigwa
    @EmmanuelNyinyigwa Год назад +1

    Vijana mkipata nafas msizichezee

    • @Aziz-p6s
      @Aziz-p6s 9 месяцев назад

      Acha ujinga kachezea nini

  • @glorianikiza3940
    @glorianikiza3940 Год назад +1

    Duuh

  • @sidikassim6759
    @sidikassim6759 Год назад

    we mshkji unamuoji mtu ni mgonjwa unamuoji maswla ya kupnda kwny steji muoj mswla y afya yk we wndishi w hbar vp

  • @kiliannesphorylaurence826
    @kiliannesphorylaurence826 Год назад

    Nakukubali sana.. Konki master... Mungu atakuponya kabisa usijali...ok. Mungu anakupenda Kama kuna mkono wa mtu ushindwe kw jina la yesu... mtegemee Mungu tyu Konki.. Mamba.. Oil chaafu... Nakkbal xn..😅

  • @georgebataze6625
    @georgebataze6625 Год назад

    Dah Konki angalia uti wa mgongo usiwe na shida

    • @Mumewangu
      @Mumewangu Год назад

      Huo ni uti wa mgongo ndugu

  • @tatuaamuuinyi9633
    @tatuaamuuinyi9633 Год назад

    Utanili wakwanza ni watu.afu watuwenye haohao unawatukana

  • @Wamoyothenumberone
    @Wamoyothenumberone Год назад

    Mwambie Dudu baya dawa za kienyeji zipo anapona chapu,achane na hospita

  • @BarbaraPatience-qt9cc
    @BarbaraPatience-qt9cc Год назад +1

    Mwache madharau nyinyi wa tz!!!!!! Nyinyi wa tz muna ajira gari kama sio mziki tuu

  • @shedracelia1267
    @shedracelia1267 Год назад

    Wasani wa Tz ni wakali sn uku kwa wenzetu Ila naona km hawajui dhaman yao , mfano msanii km otile brown alikua ni msanii wa kawaida sn Kenya , Ila alitumia gape ya kkua kwa ajili collaborations na kila mtu alafu buree wamemvusha sn hakuana level yakuimba na harmonies,jux ,van wala kiba alafu buree

  • @MaryamMaryam-gi9zw
    @MaryamMaryam-gi9zw Год назад

    Ali mtukana luge huyo alivyo kufa katumwa dai akaji ona kma wasafi wata mbeba milele mjinga huyo acha aumwe sasa

    • @Aziz-p6s
      @Aziz-p6s 9 месяцев назад

      Wapumbavu hawaishi na we ni mmoja wao

  • @Abilaymfaume-xq8hr
    @Abilaymfaume-xq8hr Год назад +1

    Mtangazaj chiz