DUDUBAYA Anaumwa sana Afichua Mapya Usiyoyajua Ugomvi wa Diamond na Alikiba 🤔 Jionee hapa
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- Unaweza kututembelea instagram @bingoonlinetz
#bingoonlinetz
#sisisiowepesi #TunakupaKwaWakati
Ahsante kwa Kuiamini na ku SUBSCRIBE BINGO ONLINE TZ Na kuifanya ifikishe Subscribers Milioni 1
Pole sana dudu baya mungu akurejeshe ktk hali yako.
Pole mpendwa utapona kwa uwezo wa Mungu
Mtaji wa kwanza wa mwanadamu ni Afya kwanza na utajiri mkubwa ni watu,..akili kubwa dudu baya ❤❤❤
Damu ya YESU ikusafishe brother wangu,Mungu wetu hajawahi kushindwa kitu haijalishi tumemkosea Mara ngapi,Mungu atakuponya.
Pole sana Dudu baya mtaji wakwanza mwanadamu ni Afya Mwamba!
Likatae kwanza hilo jina DUDU BAYA Maana lenyewe ni kifungo. Mgeukie Mungu na uziache njia mbaya ambazo ni machukizo kwa Mungu. Okoka na ufuate mwenendo wa Yesu Kristo. Hakika utapona. Mungu akujalie uponyaji na ukawe mzima Kwa Jina na damu ya Yesu.
Sasa nani anomzidi akili huyu konki master 😊 Anaumwa maskini lakini hapitwi na mambo yanoendelea. na wakati wote haogopi kusema la ukweli, maana hasemi kwa ubaya. Get well soon legendary ❤
misumari ilinipataga mm, n uchawi wa pwani ni noma, yn unaweza usiamin unaanza kutembea km mtoto, yn inshort inaanziaga ktk unyayo inatambaa ad kiunoni, oya msiombe apo hata girl humgusi... Respect dudu baya na God akusaidie
Kweli dudu baya legend wa hii industry ya mziki.big up mzee
Pole sana mamba hawatakuweza ww son of god watafelli tu Mwenyez Mungu atakuponya
Utapona kwa jina la yesu 📖
Konkii,
God bless you
Mungu akufanyie wepes Dudu baya upoe
Duh,,dudubaya....mungu akupe wepesi mungu akuponye aiseee
Respect to the OG dudu baya a.k.a master konki,,,this guys is intelligent,big up yourself mob love from 🇰🇪 inshAllah Mwenyezi Mungu ampunguzie maumivu na amjalie kupona ameen.
Legend pole sana Mungu awe nawe
pole pole sana konki,get wellsoon bro and we pray 4 you.
Nakuubali Sana muse wangu konge masta 🇷🇼
Pole sana kaka, iyo ni ganzi tuu utapona ukifuatilia tiba sahihi
Pole sana konkii
Jamani wenye mapenzi mema wamsaidie kumutibia Dudu baya mguu anao umwa, Mungu atawalipa we😢
Ningepata namba zake zipo dawa baba yangu kaona gharama zake hta laki 5 haifiki
ruclips.net/video/xa65uKAetF4/видео.htmlsi=UHgY2PQjaUwjs43e
Yec
Mungu akulinde mzee wa fact konki master ✌️🇧🇮❤️❤️🇷🇺🇷🇺🇷🇺
ruclips.net/video/xa65uKAetF4/видео.htmlsi=UHgY2PQjaUwjs43e
Pole kamanda
Hakili nyingi 👑
Say sorry to Mr nice and others god will make you better an better....mungu akubariki upone
Blessed dudu
pole sn kiongoz dudu baya
Pole
Pole sana Dudu baya😢😢
Omg pole Sana 🦍🐊
Pole mpendwa
God bless you ❤
Ugua pole konk
Pole Sana Konk Konk Konk Master!
Isije ikawa mashoga wamekuroga maana uliwasema sana
@nyembobea7285: akirogwa aroge pia,mbona wachawi wa kumupa urogi wako tu wengi asiendei tu matapeli
pole masta Mungu akuponye
Pombe kupitiliza si nzuri Kwa afya ya binadamu
Mungu atampa afya konki
Pole sana bro
Oil chafu IPO?
Get better soon big brother
MUNGU AKUPONYE DUDUBAYA . WEWE NI SHUJAA
Baba wile utapona inshaallah
Long time.... ila iyo miguu pombe kachangia saana, dawa yake mazoezi tu na lisho bora!
Toka Dudu baya aanze vita zidi ya ushoga maisha yake hayakuwa mazuri tena
Lakin Mungu ni mwema
Upo sahihi maneno yako
Amna mapombe tu ustaa una stress
Sasa vta ya mashoga nae alikuwa anajisifia kulawiti watu
Tololo boy utakua sawa kaka 😅😅😅😅
Konk master get well soon😎
Huuu kapotelea wapi kilamtu. Diamond
Na uliwai kusherekea kuumwa kwa Ruge mtahaba..
Na ukashangilia kifo chake.
Lakin tunakuombea upone.
At last ubabe una mwisho !! Vijana jifunzeni kitu kwa huyu bwana, enzi zake ubabe mwingi sana. Kijana tumia ujana wako vizuri. Lakini anyway Mungu amponye !!
Konki shughuri yako ,inafahamika kitaifa😂😂😂mashoga uliwanyoosha😂😂😂
Wamemloga Dudubaya aise😣🙌🏽
nani kamloga sasa?
Mapombe Dudu baya ulizidisha! Basi wamekuroga kwa kusema sema kwako hovyo! Ujifunze sasa utulie kabisaa
Konki konki konki Master.
Allah anatisha jaman tujitahid kumshukur jaman
Alijisifia matusi na kulawiti
Dudu mungu atakuponya utapona tu huna makosa
Utapona baba damu ya yesu ikufunikee tumia maji baraka
Daah tumekumisi sana Konkii pole sana Mungu akuwekee uwepesi
Dudu nenda kwa KUHANI MUSA RICHARD MWACHA kimara temboni utapona
Akapime to hana kulogwa wala nini na pole pia zimemuathiri. Mdomo tu .
Huyu Jamaa awache gongo😢
Mungu ni mwema utapona mamba 😢
Mr.Big Point 🤘..Msema Ukweli.Miaka Buku ...
Konki uyo
comment asilimia 95 wanampenda mwamba😘😘😘😘
Ulisafr wap jaman Kwan ukisema nashunda huku nalima lima bustan Kuna shida gana
Get well soon Konki, I missed you
Sumu hiyo .
@@chayogasperi9783, pengine alilishwa na mapolisi
Hata liukuta wote wataliimba 😂😂😂
Usijali muze dudubaya kilakitu itanyoka
Quick recovery my home boy brother...!!!
Mungu akuponye brother 🥺
Dudu baya msema ukweli mungu akuponye
Ameongea cha maana sana upande wa mwana fa
Ana “bi “sio “mi😅😅😅
Weka no ya dudubaya tumsaidie
Mamba asaidiwe
Pombe sio chai kwakweli
Huyu alikua anafurahi Sana kipindi kile Rugge amefariki. Kitendo kile kiliwakwaza watu. Hata kama Una ugomvi na mtu,ukiona amefariki yakupasa umsamehe na kumwombea
Jamaani wanaoweza kumfikia dudubaya wamwambie apime ugonjwa wa TB ya mifupa ni ugonjwa mgumu sana kujulikana anachokisema kilinipata Mimi nilijuwa kama nimeparalaizi kabisa ulipogindulika tu nakuanza dawa wiki nikasimaa please fikisheni hii
Amen
Amen
Yani Intaviu Ya dudubaya Na Chidi Benzi Uwa zinaniingizia Kitu Kwenye Ubongo wangu MUNGU Awabaliki Awajamaa
Hawa niwatu
@@Wamoyothenumberone nakubal
Wale wa Kisesa tujuane
Tatizo akili nyingi huondoa marriage. Hkn kulogwa wala nini mdomo na Matusi ndo yamekumaliza. Funding ni hapa hapa
Mmetumia aina gani ya Camera mbona Giza?
Infinix 😂😂
Bigmind Konki Master wizara hiyo inahitaji mtu aliye ktk sanaa!!
Tumekukumbuka ila nafasi yako anaendeleza babalevo msemakweli😂😂
Dudu baya mpambanaji sana ila vita na mashoga uliyoianza sio ndogo muulize makonda
Mhusika nitafte nimchangie matibabu
Kunanini cha kusimamia kwenye mvuwa!
Walikusudia wampararaizishe miguu😅
Unaamini uchawi
Mdomo ulimponza. Alikuwa anajisifia kulawiti
Watu washakupiga kombora tayar hii ndio bongo
🙏🙏🙏🙏🙏
Tololo boy 3
Vijana mkipata nafas msizichezee
Acha ujinga kachezea nini
Duuh
we mshkji unamuoji mtu ni mgonjwa unamuoji maswla ya kupnda kwny steji muoj mswla y afya yk we wndishi w hbar vp
Ndiyo waandishi hao wa 4
Nakukubali sana.. Konki master... Mungu atakuponya kabisa usijali...ok. Mungu anakupenda Kama kuna mkono wa mtu ushindwe kw jina la yesu... mtegemee Mungu tyu Konki.. Mamba.. Oil chaafu... Nakkbal xn..😅
Dah Konki angalia uti wa mgongo usiwe na shida
Huo ni uti wa mgongo ndugu
Utanili wakwanza ni watu.afu watuwenye haohao unawatukana
Mwambie Dudu baya dawa za kienyeji zipo anapona chapu,achane na hospita
Zipo wapi?
Mwache madharau nyinyi wa tz!!!!!! Nyinyi wa tz muna ajira gari kama sio mziki tuu
Wasani wa Tz ni wakali sn uku kwa wenzetu Ila naona km hawajui dhaman yao , mfano msanii km otile brown alikua ni msanii wa kawaida sn Kenya , Ila alitumia gape ya kkua kwa ajili collaborations na kila mtu alafu buree wamemvusha sn hakuana level yakuimba na harmonies,jux ,van wala kiba alafu buree
Ali mtukana luge huyo alivyo kufa katumwa dai akaji ona kma wasafi wata mbeba milele mjinga huyo acha aumwe sasa
Wapumbavu hawaishi na we ni mmoja wao
Mtangazaj chiz
Kwa nini