FRIJI BOVU AFICHUA SIMU YA MO KWA TYR AGAIN | AMKATAA BARBARA | CHAMA |"SIMBA WANAHITAJI MABADILIKO"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024

Комментарии • 29

  • @DandasiKundu
    @DandasiKundu 3 месяца назад +3

    Yaani Simba viongozi wote wajiulizulu Kwa sababu usajaili mbovu wnaleta wachezaji wabovu, angalia wachezaji yangà ni wazuri sana wachukue mfano wa yangà.

  • @kaundasutikaunda7769
    @kaundasutikaunda7769 3 месяца назад

    Huyu nae Chama amewapa assist ngapi wakina Jobe, Saido na Fredy na wakakosa???

  • @salymgaimale235
    @salymgaimale235 3 месяца назад

    Eti msemaji WA cmba naye tatizo unda wewe hiyo timu basi

  • @danideuli5313
    @danideuli5313 3 месяца назад +1

    Sio Chama assist zimepungua, Bali Hana watu wa kufunga.

  • @JohnMsaga
    @JohnMsaga 3 месяца назад

    Senzo hoyoo!!!! Babra ziiih!!!

  • @SalimRamsei-ok9el
    @SalimRamsei-ok9el 3 месяца назад

    Aiseee

  • @MauwaGambo
    @MauwaGambo 3 месяца назад +1

    Ww unaesema simba bila mangungu na try again huna akili

  • @ArafaMkomwele-vi2hp
    @ArafaMkomwele-vi2hp 3 месяца назад

    Yàani Simba inskoendea huko wachezaji hawatakubali kusajiliwa watakataa mfano chama haitaki tu kuchezewa Simba ndo maana smepandisha mshahara kusudi niko hapo mniulize baada ya miaka 2

  • @SalimuAlmasi-lt9ud
    @SalimuAlmasi-lt9ud 3 месяца назад

    Wewe Friji Bovu kwa kweli Uko Makini Sana Nakupa Mauwa yako.Ni mkweli Fri hi h

  • @bilalikisembe5012
    @bilalikisembe5012 3 месяца назад

    Hivi mmesoma kichwa cha habari vzr?

  • @HashimuNtunda
    @HashimuNtunda 3 месяца назад

    Kunamchezaji anaitwa Duke abuya wachambuzi ha mnamacho kwako frijibovu

  • @janiafaomaa5120
    @janiafaomaa5120 3 месяца назад

    UKIONA MTU ANAITWA FIRIJI BOVU BASI NIMUONGO MANAYAKE

  • @drallan6879
    @drallan6879 3 месяца назад

    we fridge bovu;be civilized

  • @justineprims618
    @justineprims618 3 месяца назад

    Kwer jamaa frig aligandishi

  • @drallan6879
    @drallan6879 3 месяца назад

    unaishambuliano simba

  • @PaulModaha
    @PaulModaha 3 месяца назад

    Xafi xana kaka yangu

  • @kamuogo
    @kamuogo 3 месяца назад

    Wewe kumbee

  • @kakorejrboyz6447
    @kakorejrboyz6447 3 месяца назад

    SIMBA BILA MANGUNGU NA TRY AGAIN SIMBA HAIWEZI KWENDA POPOTE

    • @makamelila
      @makamelila 3 месяца назад +2

      Mayazo ya kila mtu yanaheshima nami nayaheshimu lakini ya kwangu hatufai mangungu kwanza ni mamluki pili umri umeenda Tatum taaluma ya uendeshaji ndogo kwamaoni yangu aondoke pia wenyeviti 2 wanashindwa na hersi MMOJA kama mazuzu vile watoke wote

    • @waziriuledi4036
      @waziriuledi4036 3 месяца назад +2

      Sio kweli mangungu ndio nani sasa kama ubunge ulimshinda leo simba Ataweza

    • @jonamnyone8014
      @jonamnyone8014 3 месяца назад +2

      Mangungu na Try again walikuwa viazi sana hakuna walichokifanya. They are not proactive just business as usual. Ukweli Simba ilikuwa inaingia shimoni.

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 3 месяца назад

      KWANI NANI WAO WASENGE TU WALE NA WEWE UKIJIBU PIYA MSENGE

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 3 месяца назад +1

      ​@@salimmalaka256😂😂😂😂 try again amesema hatoki 😂😂

  • @MichaelMushi-mr3wk
    @MichaelMushi-mr3wk 3 месяца назад

    Msemaji wa simba nae ni jipu

    • @abdalahzungu6264
      @abdalahzungu6264 3 месяца назад

      Umelogwa au umetumwa

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 3 месяца назад +1

      ​@@abdalahzungu6264wamelogana na. Kutumana 😂😂😂