Yaani Simba viongozi wote wajiulizulu Kwa sababu usajaili mbovu wnaleta wachezaji wabovu, angalia wachezaji yangà ni wazuri sana wachukue mfano wa yangà.
Yàani Simba inskoendea huko wachezaji hawatakubali kusajiliwa watakataa mfano chama haitaki tu kuchezewa Simba ndo maana smepandisha mshahara kusudi niko hapo mniulize baada ya miaka 2
Mayazo ya kila mtu yanaheshima nami nayaheshimu lakini ya kwangu hatufai mangungu kwanza ni mamluki pili umri umeenda Tatum taaluma ya uendeshaji ndogo kwamaoni yangu aondoke pia wenyeviti 2 wanashindwa na hersi MMOJA kama mazuzu vile watoke wote
Yaani Simba viongozi wote wajiulizulu Kwa sababu usajaili mbovu wnaleta wachezaji wabovu, angalia wachezaji yangà ni wazuri sana wachukue mfano wa yangà.
Huyu nae Chama amewapa assist ngapi wakina Jobe, Saido na Fredy na wakakosa???
Eti msemaji WA cmba naye tatizo unda wewe hiyo timu basi
Sio Chama assist zimepungua, Bali Hana watu wa kufunga.
Senzo hoyoo!!!! Babra ziiih!!!
Aiseee
Ww unaesema simba bila mangungu na try again huna akili
Kwani try again na mangungu sindio wanaotumiliwa gsm
Yàani Simba inskoendea huko wachezaji hawatakubali kusajiliwa watakataa mfano chama haitaki tu kuchezewa Simba ndo maana smepandisha mshahara kusudi niko hapo mniulize baada ya miaka 2
Wewe Friji Bovu kwa kweli Uko Makini Sana Nakupa Mauwa yako.Ni mkweli Fri hi h
Hivi mmesoma kichwa cha habari vzr?
Kichwa tofauti na mwili
Kunamchezaji anaitwa Duke abuya wachambuzi ha mnamacho kwako frijibovu
UKIONA MTU ANAITWA FIRIJI BOVU BASI NIMUONGO MANAYAKE
we fridge bovu;be civilized
Kwer jamaa frig aligandishi
unaishambuliano simba
Xafi xana kaka yangu
Wewe kumbee
SIMBA BILA MANGUNGU NA TRY AGAIN SIMBA HAIWEZI KWENDA POPOTE
Mayazo ya kila mtu yanaheshima nami nayaheshimu lakini ya kwangu hatufai mangungu kwanza ni mamluki pili umri umeenda Tatum taaluma ya uendeshaji ndogo kwamaoni yangu aondoke pia wenyeviti 2 wanashindwa na hersi MMOJA kama mazuzu vile watoke wote
Sio kweli mangungu ndio nani sasa kama ubunge ulimshinda leo simba Ataweza
Mangungu na Try again walikuwa viazi sana hakuna walichokifanya. They are not proactive just business as usual. Ukweli Simba ilikuwa inaingia shimoni.
KWANI NANI WAO WASENGE TU WALE NA WEWE UKIJIBU PIYA MSENGE
@@salimmalaka256😂😂😂😂 try again amesema hatoki 😂😂
Msemaji wa simba nae ni jipu
Umelogwa au umetumwa
@@abdalahzungu6264wamelogana na. Kutumana 😂😂😂