Makusanyo ZRA Yaongezeka

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA), katika kipindi cha miezi kumi na mbili (12) ya Mwaka wa Fedha, 2022/2023, yaani Julai, 2022, hadi Juni, 2023, IMEFANIKIWA kukusanya Jumla ya Tshs. 565.879 Bilioni, kati ya lengo la Kukusanya Tshs. 579.501 Bilioni, ambao ni UFANISI wa asilimia 97.65 ya lengo la Makusanyo ya Kodi kwa mwaka 2022/2023.
    #mamlakayamapatozanzibar #zra #zanzibar 3#tulipekodikwamaendeleoyazanzibar #dairisitiyakielektroniki
    #breakingnews #2023

Комментарии •