TUNDU LISSU: Sababu za kupigwa risasi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • #Uchaguzi2020

Комментарии • 39

  • @masala8099
    @masala8099 4 года назад +17

    Huyu Lissu tunamuhitaji Sana taifa hili kuliko hao wengine wote wa ccm

    • @topotachilemba9196
      @topotachilemba9196 4 года назад

      KABISA LISSU NI CHAGUO LA MUNGU TUMPE KURA

    • @gracemima5234
      @gracemima5234 4 года назад

      Musitumie jina la Mungu vibaya. Mungu anawapenda sana Watanzania hawezi kuwachagulia mtu mwenye chuki na roho mba kama Tundu Lissu. Anayetetea wezi wa mali za wote. Huy Tundu Lissu ni chaguo la shetani

  • @allanmapamba4765
    @allanmapamba4765 4 года назад +7

    Inatia uchungu sana kusema ukweli

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf 4 года назад +7

    Inatia Uchungu sana Mammammaeye Magu .

    • @gracemima5234
      @gracemima5234 4 года назад

      Ndicho anachotafuta. Huruma za wananchi zimuingize Ikulu. Hayo aliyoyasema Dr MAGUFULI sio ushahidi wa kuwa serikali ilmpiga rusasi. Yeye ni wakiri unless ni wakili uchwala, you can’t convict with that evidence full of speculations. Ndiyo maana Nina Shaka na elimu yake ya uwakili. Ama pengine anajuwa lakini chuki zimemutawala

  • @firststoptz
    @firststoptz 4 года назад +7

    Untold stories... inatia huruma sana.

    • @topotachilemba9196
      @topotachilemba9196 4 года назад

      It is true this is the untold true story ATA ccm wametambua ukweli

  • @zainabumwagiroabdallamwagi97
    @zainabumwagiroabdallamwagi97 4 года назад +1

    Tanzania inakuhitaji kaka mungu amekunusuru maisha yako ili uokowe taifa hili ,ccm imezeeka haihimili changamoto za kizazi kimya fikra za 1954 zimepitwa nawakati.

  • @angelangaiza2274
    @angelangaiza2274 3 года назад +2

    Viva lissu vivaaaa....

  • @stephanomarwa3063
    @stephanomarwa3063 4 года назад +4

    Pole sana kamanda Mungu nimwema
    #NiYeye2020

  • @the_white_43.
    @the_white_43. 4 года назад +6

    Very sure

  • @charlesiwambura2508
    @charlesiwambura2508 4 года назад +6

    acheni uhuni watu midia weka hotuba yote

  • @seifalzakwan5663
    @seifalzakwan5663 4 года назад +2

    mna tudhulumu saana raia kuto tuwekea hotuba kamili tuna ulazima wa kumskiliza mkimbozi wa taifa fanyeni mikakati ya kueka maudhui kamili tumskilize haya ndio mambo ya msingi na muhimu ndio mustakabali wa maisha ya kesho .

  • @azizawadh5973
    @azizawadh5973 4 года назад +1

    Jenerali tupe full baba vidio fupi sana hii

  • @ukweliunauma4570
    @ukweliunauma4570 3 года назад

    Mchimba kisima huingia mwenyewe kwanza, Kenda yeye kwa Mungu kabla ya Tundu lissu. Atajibu mashtaka uko

  • @stanleymuchiri2899
    @stanleymuchiri2899 Год назад +1

    Wewe ni msaliti wa watanzania........umezidi kuwasaliti hata leo

  • @malingazeboss9351
    @malingazeboss9351 4 года назад +3

    Lisu Mimi sikupingi baba, Kura yangu umeipata mh

  • @hechechacha4032
    @hechechacha4032 4 года назад +2

    Yaani inasikitisha Sana

  • @MickieBee
    @MickieBee 4 месяца назад

    Kweli bwana mkubwa

  • @mascage1144
    @mascage1144 4 года назад

    Duhhh.. Huyu lissu namkubali ila kidogo kama nimeanza kuwa simueliwi elewi na hutuba zake.. Ukichunguza vizuri anataka kugawa Tanzania 🇹🇿.. Sio kuleta mandeleo..

  • @annastaziamdala7283
    @annastaziamdala7283 3 года назад

    Muuaji kafa mungu fundi

  • @hebronmalatila6186
    @hebronmalatila6186 4 года назад +2

    Ndg , Jenerali ! Upo ktk tasinia ya habari , ni mubobezi mkubwa na mahiri sana tena zaidi ktk tasinia ya wandishi wa habari. Na mjuzi mkubwa wa kujua na kutambua viongozi waliyo na .mioyo ya Uzandiki hate kuweza kuitumbukiza nchi ktk vita ! Kusudi ulafi wa viongozi husika ktk kupora mali na rasilimali za wananch zigharimu Maisha na Uhai wa wananchi kwa faida yao. Jenerali ongoza tasinia ya nje na ndani ktk kusimamia haki ya Utu sawa ya wagombea wote ktk nchi yetu wote Tanzania ! Kama ulivyofanya huko Musumbiji miaka zaidi ya 25 huko nyuma.

  • @omarrysuma9221
    @omarrysuma9221 4 года назад +5

    Hutuba inaishia njian weka yote tusikilize

  • @AbduRahman-os2vx
    @AbduRahman-os2vx 4 года назад +1

    Hao usalama wa taifa wanafanya kazi gani au walipokea amri kutoka juuu kama tulivyozoea..

  • @azizawadh5973
    @azizawadh5973 4 года назад

    Tunakumbuka yotee hatujasahau.

  • @godfreylyimo4177
    @godfreylyimo4177 4 года назад

    Lissu anapaswa kukanusha kwamba sio msaliti na awaambie watanzania msimamo wake kwenye issue ya uvunaji wa madini na mikataba ambayo serikali zetu zote tano zimeingia. Sbb Watz kwa miaka 3 tumesikia habari za usaliti. Historia za Nyamongo nani anajua kama sio wazee wao huko

    • @azizawadh5973
      @azizawadh5973 4 года назад

      Huko kwenye madini tulishatoka acha atupe madini mapya

  • @masoudkipara5053
    @masoudkipara5053 4 года назад

    Ili jamaa haliwezi siasa anachoeza ni kulalamika tu, ivi hujui kwmb kulalamika ni zambi? Soma bibilia vzr bro utaona

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 4 года назад

    iadri anavyoongea Tundu Lissu ndivyo anaanika ujinga wake. Ujinga wa sisi Watanzania tunafikiri kuongea kizungu ndiyo kuelimika. Tundu Lissu hana elimu yeyote ni mdomo mrefu tu. in fact anaita wenzie washamba hakuna mashamba kama Tundu Lissu .
    Hawezi kukataa Serikali ya Tanzania ilikuwa imetekwa na mafisadi wachache waliokuwa wakitumia mali za Watanzania walio wengi. Watu hawa wachache walikuwa wakifaidika na uchumi wa Tanzania wa watu wengi, na hawa ndiyo wako tayari kupigana kwa nguvu zote kumuondowa Dr MAGUFULI na kumuweka Tundu Lissu Ikulu waendelee kuiba.
    Tanzania ilikuwa na watu jeuri, jeuri Kwa utajiri wao, na utajiri huo ulitokana na fedha za serikali. Badala ya kununuwa madawa, ama kujenga hospitali waliziiba kupitia njia mbali ikiwa pamoja na tenda. Rais MAGUFULI karithi nchi yenye madeni mengi bila ya kuona pesa za madeni hayo zikifanyia kazi gani. Watu waliofaidika ni pamoja na Tundu Lissu aliyemutetea huyu jamaa mwenye kesi 99. Tundu Lissu ni mmoja wa mawakiri aliyekuwa akitetea wezi wa mali za umma. Ni wakiri pia aliyekuwa akiidanganya dunia kwa kutumia neno demokrasia na haki za binaadamu kujipatia fedha kutoka kwa wafadhili akidai anatetea wanyonge. Ni mtu aliyefaidika kwa shida za wananchi wa Tanzania.
    Huyu jamaa alishinda kesi kama anavyosema Tundu Lissu, kwa kutetewa na mtu anayetaka kuingia Ikulu. Lakini tujiulize nani mwenye pesa wakati huo aliyekuwa akifungwa? Waliokuwa wakifungwa wakati huo ni masikini tu, walikuwa wakiiba mandazi kwa njaa. Hakuna tajiri aliyetajirika kwa wizi wa mali za wote alifungwa. Tundu Lissu atapata kura nyingi kwa watu kama hawa waliokuwa wakiiba mabilioni bila ya kushitakiwa, ili maisha ya zamani yasio ya haki kwa Watanzania wote yaendelee.
    Wanasema maisha sasa ni magumu, hakuna pesa mitaani. Pesa zilizokuwa mitaani ni za serikali. Zikiibiwa na watu kama aliokuwa akiwatetea Tundu Lissu wakiwaibia walio wengi. Hawa watu wachache ndiyo waliokuwa wameiteka serikali. Wakikusanya mapato yote ya serikali. Walikuwa na uwezo wa kushinda kesi, sio kuwa hawakuwa na makosa, ni kwa nguvu za Mtu kama Tundu Lissu na majaji waliokuwa mafisadi. Serikali ilikuwa haishindi kesi yeyote. Wakati huo kila kesi serikali ilikuwa ikishindwa. Ajaribu kutetea mafisadi leo kama atashinda. Ndiyo maana lazima mafisadi waungane wamutowe Rais Magufuli Ikulu Rais pekee aliyejitolea kupigana na Kansa hii ya ufisadi inayowapa waafrika umasikini mkubwa ingawaje nchi Tao ina mali.
    Tundu Lissu ameahidi atawaachia hawa mafisadi wote waliowekwa ndani na Rais Magufuli, ikiwa pamoja na Seith Singh. Seith Singh mufanya biashara aliyekuwa Kenya ingawaje anadai kazaliwa Tanzania. Kafanya uhalifu mkubwa Kenya pamoja na kukwepa kodi ya mabilioni. Kenya hakufungwa, lakini alipigwa marufuku kufanya biashara yeyote na serikali ya Kenya. Kwa nini hakufungwa? Kama kawaida viongozi wetu serikalini wanawatetea watu kama hawa bila ya kujali raia wa kawaida walio wengi, wanatuibia mabilioni na hawafungwi. Seith Singh alisimamiwa na familia ya Moi na akaweza kuondoka nchini na mabilioni yake bila ya kuadhibiwa na kukimbilia Africa ya Kusini na kuwaacha wakenya wakiishii bila hata maji safi. Huyu ndiye Tundu Lissu anayetaka kuingia ikulu na kuwaachia watu kama hawa wanaotumia mali za Watanzania walio wengi.
    Seith Singh kwa ujanja ujanja aliweza kuingia Tanzania na akanzisha biashara bila ya mtaji. Na akafanikiwa kuwaibia Watanzania kwa mda murefu mpaka our God sent President aliposhika madaraka. Rais anayeipenda nchi yake na watu wake, kwa roho moja. Hawa watu ni aduwi wa Watanzania. Pesa wanazoiba, zinawakosesha Watanzania huduma kama maji safi, madawa hospitali na huduma nyingi kwa wananchi. Bila kuchelewa alitiwa nguvuni na serikali ya Rais Magufuli, the no nonsense president wa Africa. Lakini Tundu Lissu anataka kumuondowa Rais Magufuli Ikulu akisadiwa na mafisadi ili warudie maisha yao ya kuwanyonya Watanzania walio wengi. Huyu mtu ni aduwi mkubwa wa Watanzania wanaopenda haki kwa wote. Asiruhusiwe, lazima apigwe stop.

    • @jamejh8004
      @jamejh8004 4 года назад

      Sisi tutamchagua Lissu.....

    • @servantjosiahtv3129
      @servantjosiahtv3129 4 года назад

      Bahati nzur ni kwamba kila MTU anachagua anachopenda

    • @gracemima5234
      @gracemima5234 4 года назад

      Hasa Abdi ndiyo ni nayo kushinda Huyu mjinga anayesema tutarndelea kwa kupata misaada. Huyu anasema amesema bila ya kuelimika. Nani amerndelea kwa vitu vya kupewa?

  • @topotachilemba9196
    @topotachilemba9196 4 года назад

    MBONA FUPI SANA. TUNAOMBA HOTUBA YOTE