MKE WA TB JOSHUA AFICHUA MWANZO MWISHO ALIVYOFARIKI, ALIOGA, IBADANI, AKAFIA CHUMBA MAALUM
HTML-код
- Опубликовано: 28 сен 2024
- Evelyn, mke wa Mwanzilishi wa Kanisa la Sinagogi, Nabii Temitope Balogun Joshua, maarufu kwa jina la T.B. Joshua, ametoa maelezo ya jinsi mumewe alivyofariki.
*Hakuna Raha, Kama Ya Kuwa Karibu Na MUNGU, Uongee nae Kama Rafiki Yako Wa Dhati. Hata Kama Ukiwa Na Shida Kiasi Gani , Utajihisi Wewe Nitajiri Kuliko Mtu yoyote(FURAHA ISIYO NA KIFANI) . Ila Kama Huna MUNGU , Utajaribu Kila Kitu - Kutafuta Furaha, Lakini Hutopata Furraha. FUATA ANAYO ELEKEZA MUNGU , UTAONA FAIDA YAKE*
Amen msema kweli
Amen Amen hakuna usalama bila MUNGU, ukiongozwa nae akasema nawe niraha yamilele MUNGU atusaidie
Kweli 👏👏👏
Nikweli kuomba nakumtegemea Mungu na hekima
Amen
Pumzika kwa amani mtumishi wa Mungu TBJoshua.😥
My father my father thank you Jesus
Pumzika kwa Amani Tb josua 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Ndio mjue mwenyezimungu pekee ndio mwenye kufisha na kufufua allah Awasamehe
Pumzika kwa amani 🙏
Maishasafariyasiriq
R.i.p faza
Akafia chumba maalum😏😏😏😏😏haoni aibu wamemchukua huyo akatumike kuzimu
Huyo Mwandishi alikuwa naye huko hizi likes za likings bana!!
Hakika kifo ni fumbo kubwa sana huyu mtumishi kafa akiwa anamtumikia Mungu hakika huko aliko yuko makao yenye raha ya milele.R.I.P TB JOSHUA🙏
hakika
Sidhani!
😳😳😳🤔🤔🤔
yaani ni furaha ya ajabu
@@alimakame3529 hahaa
Maana ya watch and pray ni kukesha na kuomba / kuomba bila kukoma
asante bro
Natamani siku yangu ikifika nife kama huyu baba namuonea wivu sana eeeh Mungu nisaidie
Ninachoweza kusema Mungu akisema ndiyo hakuna wa kusema hapana.Tb Joshua amekufa akiwa bado anaomba kwa watu wa India lakin Mungu akasema ni wakati wako kupumzika sasa hakika Mungu atabaki kuwa Mungu nenda Baba umetuacha tukitafakari kesho yetu itakuwaje hakika Mungu alikuchagua
yeah
Subhannallah, Rest In peace TB Joshua
Nimekuelewa Dada, nakuombea.
Watch and Pray🙏🙏🙏
Wote wanaotumikia mashetani lazima vifo vyao viwe vya ghafla
Asante Mungu akubariki
Walitaka kumfufua tena🤔🤔!!! Dunia Ina Mambo.
Siyo kumfufua kiswahili kimeshinda kiingereza ni kumrevive kashindwa kiswahili chake maana mtu akipoteza fahamu huzinduliwa siyo kufufuliwa! Aliyefufuka kutoka wafu ni Yesu Kristo pekee na Lazaro aliyegufuliwa Na Yesu na mtoto wa mwanamke wa kiyunani alieyefufuliwa na Eliya!
Kumpatia ile huduma ya kwanza inayo rudisha pumzi ... ni vile definition ya resuscitate iko kwenye "gugu"😀
Yaan mhh
Ww ndio hujaelewa tu kiswahili alichotumia hapo..
Yuko kuzmu hyo muda umeisha wanakuaga na mikataba hao
Shetani alimwambia yesu ukianguka na kunisujudia nitakupa miliki zote Zilizo chini ya jua yesu akajibu usmjaribu bwana mungu wako Utajiri mkubwa Una siri nyingi ......R.i p
Hivi iweje mtumishi kama huyu afe gafla huyu ni freemason fully
Freemason ni wewe ,soma biblia uelewe vinzuri ,amelala akitumikia mungu na hakuteseka kwa kua amempedeza mungu .
@@maggienyambus1899 mbona manabii waliishi miaka mingi sana iweje huyu hapana huna ufahsmu wewe
@@nyabahailani3169 kifo ni kifo tu ,ufe kwa wakati mdogo ama mkubwa ,ata yesu alisulubiwa akiwa na miaka 33 ,so better ushughulikie roho wewe mwenyewe juu ya siku ya Kiama
Yesu aliishi muda gani duniani? Henoko aliishi mda gani kabla yakutwaliwa? Tusome biblia sio kuongea ongea tu tutajipa laana bure zisizokua namsingi
@@rehemamhapa7329 wote hatujui ila naamini manabii wengi walikufa vikongwe yesu hajafa yupo mbona
Mimi naona hakuja haja yakujadili kifo cha Tb joshua, kwani kila mmoja atasimama mwenyew kutoa hesabu, jambo la msingi nikujihoji mwenyew ulipo na unapoelekea, hiyo ndo busara,, kwan hakuna anaestahil kujihesabia haki.. Tutafakar njia zetu aliyeenda amekwisha kuenda Mungu atupiganie sana.. Nawapenda wote..
Watch and pray 🙏
Hakika kifo chake ni cha Raha sn , Mungu wangu wa Mbinguni nakuomba nami Nile kifo Chema🙏🙏🙏 " Tukeshe Tukiomba Maana hatujui Siku wala saa Bwana ajapo,,
Hakuna anaejuwa Siri ya kifo.ninani anaejuwa siri ya kifo!!!!!?Tumshukuruni Mungu
Anaejua siri ya kifo ni yule aliyekiumba kifo bac
@@ummuhkhalfan5542 nikweli Wala simwingine
Unaweza kujua.ukimwomba akujulishe kuhesabu siku zako
Chumba maalumu kitakuwa Cha UCHAWI 😥😥
MUNGU akusamehe
Mungu akurehem
Watch and Pray
Afichua au atoa maelezo??Jamani!!
🤣🤣🤣
Hapa kwenye kumfufua sasa.
Walijua labda atarudi maana huwa tunatamani wapendwa wetu wasituache, lakini mpango wa MUNGU pia lazima utimie ndo kilichotokea, walitamani arudi na MUNGU alipanga kumtwaa , utukufu kwa mungu
Nani anaeweza kufufua acheni upumbavu
Kashindwa kutumia kiswahili cha kumrudisha kutoka kupoteza ufaham ila hakumaanisha kua kumfufua kutoka kifoni
Kanumba alipojua kuwa amewakosea wenzie na kwamba watamuua akaamua kutunga nyimbo watu wakasema amejitabiria hivyo ni mtumishi wa Mungu. Naye Tb Joshua aliposema kwamba hatasherehekea birthday yake 12 June bado watu wanaona ni mtumishi wa Mungu.!!! Open your eyes!
KUNA SIRI KUBWA
WATCH AND PRAY✍️
Sio kazi yako kumuhukumu mtu maana humjui hata punje anayemjua ni Mungu wake
Halafu nyie waandishi bwana!ndo alivyosema kuwa alitaka kumfufua?muwe mnaeleza vzr habari zenu.
Anyway acha nikae kimya
nilikuwa natafuta comment ya aina hiii
Kiswahili ndio hakina maneno yakueleweka. Kwa kiingereza alimaanisha kumrevive. Mtu akipoteza fahamu unampatia CPR ndo kiswahili wanaita kufufua
Amefichua nini sasa?? Nkt.hayo ni maelezo tu ushamba tu
Kachukuliwa na lusifa huyo
Mungu amemjalia kifo chema.
Wali mtilia sumu kwa maick🎤🎤🎤
Tbjoshua,nikweli alikuwa nabii,nikweli alikuwa na pesa, vitu vilivyo nivutia kujidunza kwake,
Upole
mkarimu
asiye jikweza
upendo
ASIYE JIBU TUHUMA,WALA KEJELI
ni mtu smart sana ,alifokasi kwenye wito, Duniani alikuwa wapekee kabisa.
Kwa hapa bongo ,nikama MWAKASEGE KRISTOFA.Bwabwaja uwezavyo hutaisikia sauti yake
Kweli kabisa
Kweli
Kabisa
Lakin si tunakubalia kuwa kufa Ni kufa"
*MUNGU Ni Upendo, Na Chuki Ni Shetani. Hawezekani Wamasai Tukagombana*
@@geeva99 ila hakuna anaizikwa hewani😂😂
@@geeva99 siku izi Kuna wahubiri wachawi,kuna manabii wa uongo.. ko kufia kanisan sio maana ya kwamba ndo ulikuwa msafi au ndio unaenda mbinguni... No"only God knows his people sis Ni wakisiaji na tunakisia kutokana hisia za kupendwa kwa mtu" ila Mungu huchunguzi mioyo ambayo ss hata yetu hatuioni...." Majibu yakutoka hapa dunia nakwenda huko unaenda ukifa hakuna aliewahi enda na akaleta report how life goes outthere ukifa umekufa... Hakuna kurudi na huo ndio mwisho wako huku duniani mengine Ni imani na kila mtu huamni aaminivo ko kufa Ni kufa tu mengine tuziachie imani na mpima hizo imani Ni Mungu tu_" ambae hakuna aliemuona
@@geeva99 hujui unachokiongea utajuaje nachoongea...nawasikitia Sana wanadamu wanaochukua judgement ya Mungu na kujivika wao... As if wao Ni maassistance wa mahakama yake na huku hata wao wanasubiri hukumu... NAZANI BIBLIA UNASOMEWA HUSOMI" SORRY NOT SORRY DON'T MIND ME"
@UCEMK9locSqbsomAk0JdkukQ ngoja nikwambie kitu bro" hata dini inahitaji kias or sorry imani" vinginevo unaweza ielewa vibaya na ukaenda Motoni.. ndio maana hata maandiko Kuna watu kule juu watatamani kukata rufaa..sijui unaelewa maana yake hapo"" rufaa hukata mtu anaehisi kaonewa.. ko THINK TWICE AND BIG" mi siongelei habari za Mungu Kama nakisia namjua namfuatilia pengine zaidi hata yako.. ila Ni vile tu huelew naongelea nin..." Watu wangi wanaosalishwa hupotosha watu wanaotamani kusali usiwe mmoja wao..." Afu kitu kingine mahubiri yasiwe yakutishana... Kama vile utawaka sijui Kuna mtu...tangaza neno la Mungu na mtu aamue kuoka tusilazimishane japo Ni lazima'" mtu huvutwa toka ndani nakumfuata Mungu anapopewa habari za wema wake na matendo yake sio watumishi wasikuhizi mnatutishia.. #HAIPENDEZI
Hivi huyu si alitabiri corona itaisha mwezi april 2020
Kwahiyo tukusaidieje
@@imanimkwizu2723 sina haja ya msaada ila huyu maiti huko alipo ndio anahitaji msaada
Haya mambo mengine tumuachien mungu mwenyew me cpendag mambo hayo ya kutabiri Tabiri na namshukuru mungu imani yangu piah imakataza mambo hayo.
@@binyamina8850 ama kwa hakika
Hee baba wasamehe awajui watendalo
Rest in peace dady.umenyakuliwa
Pumzika kwa amani TB Joshua 🙏
Amen r i p Joshua
Rest In glory papa
Truly man of God
R.I.P. PAPA
Jamani
R.I.P man of God PROPHET Tbjoshua
Dooooh;;;;;;; innalillah waina illahi rajiun🤣🤣🤣🤣
@@ummuhkhalfan5542 *MUNGU Ni Upendo, Na Chuki Ni Shetani. Hawezekani Wamasai Tukagombana*
@@msemakweli8064 samahan me naomba nkuulize nataka tu kujua nyie wenzetu mna vigezo gani au mnaangalia nini hasa had mkajua huyu ni mtume huyu nabii mwaangaliaga nn hasa.nmeuliza kwa upole kbsa
which God? his god or OUR God?
@@ummuhkhalfan5542 Yesu Alikataliwa, Licha Ya Kufanya Maajabu, Hata Leo , Jina Lake Linafukuza Mapepo Na Majini Lakini Kuna Wasio Amini. Hakuna Mganga Alieponya Kansa -Iliyo shindikana,wala UKIMWI.
Polen
aliharibu kumfufua 🙄 lakini hawakufanikiwa ? sasa hichi ndio kifo tunachoambiwa kuwa kifo chake kilikuwa cha miujiza?
*MUNGU Ni Upendo, Na Chuki Ni Shetani. Hawezekani Wamasai Tukagombana*
Nani kasema kifo chake ni cha muujiza? Kila mtu atakufa so kifo hakiwez kuwa muujiza labda kama umeelewa vbay
isije ikawa hawa watu wanasepa sababu ya WW3 mana kila mtu saivi anaonesha ubabe duniani
Ubabe upo miaka kenda 😂... unazaliwa unaukuta unauacha...
Eti walijaribu kumufufua lakini wakashindwa 🙄🙄 walishindwa vipi kumufufua nawao wanajifanya wafufuaji kwani wakisema kafa kwa gonjwa la Covid 19 watafanywa nini nayeye kashakufa tiyari ...ya kuanzia wachungaji kondoo + kondoo zenyewe zime amini uongo
we unauhakika gani kwamba kafa kwa covid 19 ?? kufufua kama mungu hajataka afufuke kwa wakat huo ni kitu hakiwezekani maana mungu alimmis mtumishi wake
*MUNGU Ni Upendo, Na Chuki Ni Shetani. Haiwezekani Wamasai Tukagombana*
Msenge wewe unaemsema.mtumishi wa mungu we unakitu gan pumbavu
@@annamoka2576 sasa hapo umeona nimetukana wacha utahira waakili mpumbavu wa umbavuni usilete njaazako kwa mbwa kukosa mkia kunguni wa mochwari we we peleka hasirazako matakoni kunguru mjamzito we we nungu mfia mkunduni ukulikoroga ujue kulinywa usiniletee ukemewako wanjaa hapa peleka hasirazako ukumbini takataka we we
Hiv ayo tv naona mnapotoka sana habari gani hzo za kijinga.
*MUNGU Ni Upendo, Na Chuki Ni Shetani. Hawezekani Wamasai Tukagombana*
Alfu bhan em acheni uwongo bhan mbna mnapenda kutengenezewa maneno nanyi mnaamini mnatuletea na sis tuamni,,sasa nasemaje Mimi siamni ng,oooooo
*MUNGU Ni Upendo, Na Chuki Ni Shetani. Hawezekani Wamasai Tukagombana*
Kwani umelazmishwa uamini? Kama alivokuwa hai tu watu hawakumuamin sembuse kafa, usiamini tu maana humpunguzii chochote
Rest in peace
Hua haya mambo ni ukiukwa wa mikataba ya siri. Na hii ndo siri ya kwa nini mali za watu weusi hua hazirithiwi kutokana na kwamba Baba hawezi waambia watoto kilichoko nyuma ya mafanikio yake kwakuhofia watamdhuru. Mikataba ya kichawi hua niyadamu ndo maana hawaiongei. Watoto wanabaki wanahangaika kwakutokujua siri ya Baba yao.
UMENENA KABISA
Wewe ndo umesema ukweli, Huyu jamaa Alikuwa Masonic mkubwa KITENGO cha MANABII wa Lusifa na amekwenda Kama Mkataba wake ulivyo, Nilikuwa Nigeria kwenye Lockdown kwa Miezi Saba na NIMEOA huko Najua mengi Kuhusu watu Kama Hawa, Wamepoteza wengi na hakika TUTAONA SIKU YA KIAMA.
WATCH AND PRAY ✍️
@@themessengertz1237 Kumbe alikuwa masonic daah?we ulijuaje?Mungu atusaidie jamani ndio manabii tunaoenda makanisani kwa kutwa.
Mbona unaongea vitu visivyoendana? Kama ww upo kwenye hyo mikataba ya siri usifikir kila mtu yupo uko
Upastor ulio na nguvu kwa kutumia nguvu za ndumba.
Wamejali Sana ndumba nawengine wanatumia nguvu za giza 👉freemason
@@shifaazawadi4438wanapuliza sana
Unaushahidi?
Unaushahidi?
@@eliwangumoshi5843 wauliza jibu
Mic / speak iyo
chumba cha mizimu ,kakosea masharti ya freemasons wamemnywa damu
Pole sana
Mungu akusaidie
Watch and pray
GOD Knows
Si unajua ukiwa na mkataba na nguvu za giza huwa na mwisho wake na mwisho wake huwa kama hiviii, kama yule jamaa wa zimbabweeee.
*MUNGU Ni Upendo, Na Chuki Ni Shetani. Hawezekani Wamasai Tukagombana*
Safari ni safari, yeye ametangulia nasi tutafuata, tusiwe wajuaji kwenye kifo
kwahio kwa maoni yako tb joshua alikua na mkataba na shetani eti
Mzimbabwe yupi?Ginimbi au?
@@lilyrose7983 nadhani anamaanisha hivyo🙄
UNABII GANI ALIOKUWA NAO MBONA AMEKUFA, SI WANASEMA WANAFUFUA WATU WALIOKUFA KUMBE NI UWONGO, MUNGU NI MMOJA TU NA BWANA YESU SIO MUNGU.
Mmmmmh hata manabii wa kale walikufa. Kuwa nabii Haina maana hutakufa
Tb Joshua hajawah kufufua mtu na hajawah kuhubiri kuwa yy anafufua watu na ndiyo maana hata kabla ya birthday yake alisema tawezekana asisherekee birthday yake na akasisitza sana kufunga na kuomba
Nazan unatakiwa kupimwa akili
Yesu na mtume bado wapo nao ? Siwalikuwa wanafufua?
Ninyi mnahangaika sana kujilinganisha na wakristo wakati wakristo wana Mungu wao na ninyi mna mungu wenu na kitabu chenu tofauti, Mbona msihangaike kujilinganisha na wabuda