MARAFIKI WOTE_OMARY MKALI & CHUCHU SOUND

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 окт 2024
  • OMARY MKALI & CHUCHU SOUND

Комментарии • 91

  • @SadickAmiri
    @SadickAmiri 6 месяцев назад +6

    leo ninausikiliza huu wimbo tarehe 10 march 2024

  • @bigmzazee2961
    @bigmzazee2961 2 месяца назад +2

    niko hapa 2024 18 august tufurahie maisha jaaman maisha yanaenda mbelee

  • @ismailhanya2327
    @ismailhanya2327 Месяц назад

    Aug 26 2024 Hatar saana!!!watu walifanya kazi ambazo zinaendelea kuishi💪💪💪

  • @SethJohn-x9f
    @SethJohn-x9f 7 дней назад

    Jamani kifo siyo rafiki kabisa

  • @Dukeduncan010
    @Dukeduncan010 7 лет назад +8

    haitatokea ramadhan madoweka ilikuwa nuksi hatariiii

  • @ansilaulotu7178
    @ansilaulotu7178 5 лет назад +7

    Omary Mkali Mtoto wa Soko Matola Mbeya, mtoto wa Mzee Mkakile

  • @ABDULRAHIMMAKAKA
    @ABDULRAHIMMAKAKA 2 месяца назад

    Nauskiliza huu Wimbo leo tarehe 21 August 2024

  • @Ramadhaniomary-kr3le
    @Ramadhaniomary-kr3le 4 месяца назад +1

    Mungu muweke pema peponi mau Santiago rapa chuchu

  • @lucasrobertlukindo1624
    @lucasrobertlukindo1624 5 лет назад +4

    Rip Gabby Katanga man rasco hapa arusha

  • @hamzaahmed69
    @hamzaahmed69 Месяц назад

    Ama kwa hakika chuchu walijua kutupa burudani ya Aina yake mwaka 2001 ilikua hatari Sana omari mkali alikua juu sana

  • @hakunamatata8065
    @hakunamatata8065 7 лет назад +7

    dah kipindi chuchu ipo juu na mwanangu papii kocha na band yake Fm academia wapo juu vibaya sana

  • @malickkasuga7435
    @malickkasuga7435 3 года назад +3

    Nasikiliza 2021 nyimbo tamuu sanaa

  • @davidjulius9032
    @davidjulius9032 6 лет назад +6

    Kuna mtu hapo anitwa #King Jiovann ni sheeda

    • @franklyimo577
      @franklyimo577 4 года назад

      dah sawa kabisa wachache sana walikuwa wanaelewa gitaa lake la solo, na ndio alikuwa kiongozi wa bendi ya chuchu sound

  • @athumanhmagoma4453
    @athumanhmagoma4453 2 месяца назад

    Huu wimbo haushi hamu ni balaa mzee omary mkali sijaziona nyimbo za pam sound nakumbuka ulikua matata sana pale siza lion hotel,kijiweni nambuka nilikuwepo siku marehemu rukia mcheza shoo alipoolewa na muuimbaji mmoja sikumbuki jina mkawapigia mziki wapi jonico flawa maua

  • @sadikiyusufu1048
    @sadikiyusufu1048 4 года назад +5

    Hakunaga tena kama hz nw tunaimbiwa nyimbo za kukimbilia jogging

  • @MartinSwai
    @MartinSwai 3 месяца назад +1

    Leo Julai 4 2024 ikiwa ni birthday yangu pia, wapi Aboubacary Sadiq na kati ya radio one ilikuwa balaa kwenye dj show na wikiend show

  • @chilledpalangale9628
    @chilledpalangale9628 5 лет назад +4

    chuchu sound daaa ktambo sanaaaa

  • @sunriseradiotz
    @sunriseradiotz 7 лет назад +5

    balaa....watu wenye muziki wao walifanya kazi bana...............baraka sunga hapa, Arusha ni moto!.

  • @sophiamgoto7310
    @sophiamgoto7310 7 лет назад +10

    huu wimbo naupenda sana...asante kwa kutuwekea humu.

  • @maujamadary
    @maujamadary Год назад

    Nomaaaaa

  • @FRANKMWOMBEKI
    @FRANKMWOMBEKI 4 года назад +2

    Dj chalz. Africa Bambaataa. The way alivyokuwa anaumix hataree na nusu

  • @kaisarimbisso7579
    @kaisarimbisso7579 4 года назад +2

    Omary Mkali ni kipajo Cha juu kilichosahaulika. Kama Mwinjuma Muumini, ni watu muhimu hawa kwa muziki wetu. Tuwatunze

  • @muhibuadinani5245
    @muhibuadinani5245 10 месяцев назад +1

    Daah Namkumbuka Dj Makei na Sister Farida ndani East Africa Radio kila ijumaa miaka ya 2001 siyo mchezo

    • @MartinSwai
      @MartinSwai 3 месяца назад

      Farida alishaded

    • @SAMJIKASSIM
      @SAMJIKASSIM 2 месяца назад

      sista farida, daah kitambo sana

  • @ramadhanimadoweka6458
    @ramadhanimadoweka6458 7 лет назад +12

    Hizi nyakati zitarudi kweli? naukubali sana wimbo huu

    • @paulnyingo7316
      @paulnyingo7316 7 лет назад +2

      wapi Gaby katanga na Mao santiago

    • @paulnyingo7316
      @paulnyingo7316 7 лет назад +3

      joniko flower hatari

    • @yusuphbalali9037
      @yusuphbalali9037 7 лет назад +2

      Ramadhani Madoweka Zi rudi wapi? ndg yangu Ramadhani Madoweka.

    • @salummohammed9121
      @salummohammed9121 6 лет назад +1

      Natafutia sauti nzurii kma hizi aaaaaa ewe acha tuu

    • @davidjulius9032
      @davidjulius9032 6 лет назад +1

      Paul Nyingo #paul Nyingo ukumbuki kama Gabi Katanga alishafariki kitambo sana!?

  • @hamidupembe8974
    @hamidupembe8974 Месяц назад

    Pamoja,,Sana🤝

    • @hamidupembe8974
      @hamidupembe8974 Месяц назад

      Omari,,mkari,,hogera,,Sana,,mm,hamidu,,tulikuwa,,pamoja,,kwa,,mzee,,chura,,mm,,kitwa,,

  • @mjusega3611
    @mjusega3611 3 года назад +1

    those good old days wayback nikiwa handsome boy kinoma nilitesa sana wanawake but now nimekua babu. 2000 minaki sekondari kisarawe

  • @kelvinmrope4620
    @kelvinmrope4620 4 года назад +1

    Kulikuwa na mutu mubaya mutu wa kazi Gabii Katanga drums

  • @rashidibrahimshemlugu7845
    @rashidibrahimshemlugu7845 5 лет назад +3

    gabii katanga yeroo masai

  • @allenmarco9320
    @allenmarco9320 6 лет назад +2

    aaaah bwana chuchu umerudi tenaaaa rudi tenaaaaa............. nimemiss sana hawa jamaaaaa walikua na burudaniiii safiiiiiiiiii

    • @tatumohamed399
      @tatumohamed399 5 лет назад

      Allen Marco kama unanipenda nenda kwa baba ukatoe ng'ombe tuishi kama mke na mume. Mambo ya chuchu sound hayo

    • @allenmarco9320
      @allenmarco9320 5 лет назад

      @@tatumohamed399 nimekupenda bureeee nitafuteeee 0718575251

  • @meshacklucas8089
    @meshacklucas8089 3 года назад +3

    RIP gabi katanga &rapa matata mao Santiago....sijui jonico flower yupo wapi

    • @williummtaki1736
      @williummtaki1736 8 месяцев назад

      Na omar mkali, hicho kikosi kilikuwa moto chini

    • @timothybanda3219
      @timothybanda3219 5 месяцев назад

      Jonico yupo fm academia sasa hivi

  • @dicksonchilalile
    @dicksonchilalile 5 лет назад +11

    R.I.P Gabby katanga

  • @jameskarata9451
    @jameskarata9451 2 года назад

    Kutoka lushoto Tanga Tanzania hii nyimbo naisikiliza leo tarehe 26/10/2022

  • @peteronono9618
    @peteronono9618 Месяц назад

    Hautakuja kupigwa tena mziki mzuri kama huo Mao Santiago,omari mkali,yusuph chuchu,mangostino,waziri sonyo ,Gabby Katanga,joniko flower (maua)all time heshima kwenu.

  • @athumanhmagoma4453
    @athumanhmagoma4453 5 лет назад +3

    Hii dedication kwa Mdogo wangu tulikua waudhuriaji wazuri pale ukumbi wa sinza kijiweni about 18 years past hataee

    • @erasmusshauritanga4444
      @erasmusshauritanga4444 5 лет назад

      Ok ok unamaanisha Imasco center Kumekucha au Vatican City hotel.

    • @alliemboya4150
      @alliemboya4150 5 лет назад

      Kweli kabisa wimbo ulitoka 2001, enzi hizo nipo darasa la sita...ila ujumbe wake unaishi mbaka leo

  • @fridajosephyusif4364
    @fridajosephyusif4364 3 года назад +3

    Rip mao santiago

  • @deocresemmanuel5763
    @deocresemmanuel5763 6 месяцев назад

    wimbo waga hauchuji.mzuri sana kweli wakongo walikuwa wapo vyema.omary mkali yupo wapi siku hizi?

  • @thadeiandrea877
    @thadeiandrea877 2 года назад

    Bungoni msipasahau ndio ukumbi wao imasko

  • @allynayomo485
    @allynayomo485 5 лет назад +4

    King jovan alikuwa anapiga solo

    • @ansilaulotu7178
      @ansilaulotu7178 5 лет назад

      Gabby Katanga? Drums alipiga nani?

    • @allynayomo485
      @allynayomo485 5 лет назад

      @@ansilaulotu7178 marehemu gabby katanga alipiga drums huyu alikuwa mmasai

    • @norbertsongo9060
      @norbertsongo9060 5 лет назад

      King Giovanni aliimba tu, wameimba watu watatu tu uyo anaemfata mau ndo Giovanni

  • @GeofreyMwechiwe-my3sh
    @GeofreyMwechiwe-my3sh Год назад

    namkumbuka dj ommy ndani ya redio one alikua anapiga sikuya ijuma

  • @paulkapalata
    @paulkapalata 5 лет назад +3

    Jamani jamani jamaniiii 😭😭😭 nyakati hizi kamwe hazitajirudia tenaaaa!!!!!

  • @RollenLyimo-ph6wx
    @RollenLyimo-ph6wx Год назад

    Chuma NI fire iyo

  • @dickinsonkessy3893
    @dickinsonkessy3893 4 года назад +2

    huu ulikua moto sio mchezo jiji lilizizima maana kailifanyika hapo kunamtu anaitwa GABBY KATANDA alikua kwenye drum hatariiiiiii

  • @rashidmbelikwe4433
    @rashidmbelikwe4433 Год назад

    Mziki mzuri chuchu sound 2001

  • @modestsharia7127
    @modestsharia7127 2 года назад

    Max bar ilala King Johvan sikia mkono huo!

  • @sunriseradiotz
    @sunriseradiotz 5 лет назад +1

    khatari!....

  • @chilompadimoso1710
    @chilompadimoso1710 4 года назад +3

    Hakuna kama chuchu Sound ilikuwa sio mchezo kulala nje kawaida tu

  • @thadeiandrea877
    @thadeiandrea877 2 года назад

    Ukumbi wao imasko bungoni simchezo yani nilikua sikosi

  • @obeydmwemezi3663
    @obeydmwemezi3663 2 года назад +1

    2022...tuppo happpppppper😍

  • @fredyshayo5345
    @fredyshayo5345 Год назад

    Hiyo T shirt ya FUBU ilikuwa balaa sana 😅

  • @feruzihassan8387
    @feruzihassan8387 7 лет назад +4

    hakika chuchu hakuna tenaaaaaa,wapi mausantiago?

  • @khalidvova6601
    @khalidvova6601 7 лет назад +6

    wacha bambino sound wacha extra bongo na bendi kadhaa tukiongelea mkusanyiko hatar wa wasanii wakali waliodumu muda mfupi chuchu sound inashika hatam ilikuwa balaa hawa jamaa kuanzia saut vyombo na mpangilio mzima wa mziki...hapana tutawakumbuka kwa muda mref ujao!

    • @franklyimo577
      @franklyimo577 4 года назад +1

      your very right Khalid, na ni wachache sana walitambua uwezo mkubwa wa chuchu sound, haikudumu kwa muda mrefu, bahati nzur zote nilibahatika kuziona but chuchu sound ulikuwa huwez kufananisha na bambino wala na extra bongo

  • @saidishebuge4796
    @saidishebuge4796 6 лет назад +3

    Dah ilikua hatar sana enzii hii

  • @Atb300
    @Atb300 Год назад +1

    2023 ❤❤

  • @muhibuadinani5245
    @muhibuadinani5245 10 месяцев назад

    Daah Namkumbuka Dj Makei na Sister Farida ndani East Africa Radio kila ijumaa miaka ya 2001 siyo mchezo