Huu wimbo haushi hamu ni balaa mzee omary mkali sijaziona nyimbo za pam sound nakumbuka ulikua matata sana pale siza lion hotel,kijiweni nambuka nilikuwepo siku marehemu rukia mcheza shoo alipoolewa na muuimbaji mmoja sikumbuki jina mkawapigia mziki wapi jonico flawa maua
Hautakuja kupigwa tena mziki mzuri kama huo Mao Santiago,omari mkali,yusuph chuchu,mangostino,waziri sonyo ,Gabby Katanga,joniko flower (maua)all time heshima kwenu.
wacha bambino sound wacha extra bongo na bendi kadhaa tukiongelea mkusanyiko hatar wa wasanii wakali waliodumu muda mfupi chuchu sound inashika hatam ilikuwa balaa hawa jamaa kuanzia saut vyombo na mpangilio mzima wa mziki...hapana tutawakumbuka kwa muda mref ujao!
your very right Khalid, na ni wachache sana walitambua uwezo mkubwa wa chuchu sound, haikudumu kwa muda mrefu, bahati nzur zote nilibahatika kuziona but chuchu sound ulikuwa huwez kufananisha na bambino wala na extra bongo
leo ninausikiliza huu wimbo tarehe 10 march 2024
niko hapa 2024 18 august tufurahie maisha jaaman maisha yanaenda mbelee
Aug 26 2024 Hatar saana!!!watu walifanya kazi ambazo zinaendelea kuishi💪💪💪
Jamani kifo siyo rafiki kabisa
haitatokea ramadhan madoweka ilikuwa nuksi hatariiii
Omary Mkali Mtoto wa Soko Matola Mbeya, mtoto wa Mzee Mkakile
Hivi Omary mkali ni mtu wa Mbeya
Nauskiliza huu Wimbo leo tarehe 21 August 2024
Mungu muweke pema peponi mau Santiago rapa chuchu
Rip Gabby Katanga man rasco hapa arusha
Ama kwa hakika chuchu walijua kutupa burudani ya Aina yake mwaka 2001 ilikua hatari Sana omari mkali alikua juu sana
dah kipindi chuchu ipo juu na mwanangu papii kocha na band yake Fm academia wapo juu vibaya sana
Nasikiliza 2021 nyimbo tamuu sanaa
Kuna mtu hapo anitwa #King Jiovann ni sheeda
dah sawa kabisa wachache sana walikuwa wanaelewa gitaa lake la solo, na ndio alikuwa kiongozi wa bendi ya chuchu sound
Huu wimbo haushi hamu ni balaa mzee omary mkali sijaziona nyimbo za pam sound nakumbuka ulikua matata sana pale siza lion hotel,kijiweni nambuka nilikuwepo siku marehemu rukia mcheza shoo alipoolewa na muuimbaji mmoja sikumbuki jina mkawapigia mziki wapi jonico flawa maua
Hakunaga tena kama hz nw tunaimbiwa nyimbo za kukimbilia jogging
Leo Julai 4 2024 ikiwa ni birthday yangu pia, wapi Aboubacary Sadiq na kati ya radio one ilikuwa balaa kwenye dj show na wikiend show
chuchu sound daaa ktambo sanaaaa
balaa....watu wenye muziki wao walifanya kazi bana...............baraka sunga hapa, Arusha ni moto!.
huu wimbo naupenda sana...asante kwa kutuwekea humu.
Mao santiago naye amefariki
Bado naaikiliza 2021
Nomaaaaa
Dj chalz. Africa Bambaataa. The way alivyokuwa anaumix hataree na nusu
Omary Mkali ni kipajo Cha juu kilichosahaulika. Kama Mwinjuma Muumini, ni watu muhimu hawa kwa muziki wetu. Tuwatunze
Daah Namkumbuka Dj Makei na Sister Farida ndani East Africa Radio kila ijumaa miaka ya 2001 siyo mchezo
Farida alishaded
sista farida, daah kitambo sana
Hizi nyakati zitarudi kweli? naukubali sana wimbo huu
wapi Gaby katanga na Mao santiago
joniko flower hatari
Ramadhani Madoweka Zi rudi wapi? ndg yangu Ramadhani Madoweka.
Natafutia sauti nzurii kma hizi aaaaaa ewe acha tuu
Paul Nyingo #paul Nyingo ukumbuki kama Gabi Katanga alishafariki kitambo sana!?
Pamoja,,Sana🤝
Omari,,mkari,,hogera,,Sana,,mm,hamidu,,tulikuwa,,pamoja,,kwa,,mzee,,chura,,mm,,kitwa,,
those good old days wayback nikiwa handsome boy kinoma nilitesa sana wanawake but now nimekua babu. 2000 minaki sekondari kisarawe
Kulikuwa na mutu mubaya mutu wa kazi Gabii Katanga drums
gabii katanga yeroo masai
aaaah bwana chuchu umerudi tenaaaa rudi tenaaaaa............. nimemiss sana hawa jamaaaaa walikua na burudaniiii safiiiiiiiiii
Allen Marco kama unanipenda nenda kwa baba ukatoe ng'ombe tuishi kama mke na mume. Mambo ya chuchu sound hayo
@@tatumohamed399 nimekupenda bureeee nitafuteeee 0718575251
RIP gabi katanga &rapa matata mao Santiago....sijui jonico flower yupo wapi
Na omar mkali, hicho kikosi kilikuwa moto chini
Jonico yupo fm academia sasa hivi
R.I.P Gabby katanga
Kutoka lushoto Tanga Tanzania hii nyimbo naisikiliza leo tarehe 26/10/2022
Hautakuja kupigwa tena mziki mzuri kama huo Mao Santiago,omari mkali,yusuph chuchu,mangostino,waziri sonyo ,Gabby Katanga,joniko flower (maua)all time heshima kwenu.
Hahahaaa!!!Hawa wa 2000 watuache kwanza
Hii dedication kwa Mdogo wangu tulikua waudhuriaji wazuri pale ukumbi wa sinza kijiweni about 18 years past hataee
Ok ok unamaanisha Imasco center Kumekucha au Vatican City hotel.
Kweli kabisa wimbo ulitoka 2001, enzi hizo nipo darasa la sita...ila ujumbe wake unaishi mbaka leo
Rip mao santiago
wimbo waga hauchuji.mzuri sana kweli wakongo walikuwa wapo vyema.omary mkali yupo wapi siku hizi?
Bungoni msipasahau ndio ukumbi wao imasko
King jovan alikuwa anapiga solo
Gabby Katanga? Drums alipiga nani?
@@ansilaulotu7178 marehemu gabby katanga alipiga drums huyu alikuwa mmasai
King Giovanni aliimba tu, wameimba watu watatu tu uyo anaemfata mau ndo Giovanni
namkumbuka dj ommy ndani ya redio one alikua anapiga sikuya ijuma
R.i.p dj ommy
Jamani jamani jamaniiii 😭😭😭 nyakati hizi kamwe hazitajirudia tenaaaa!!!!!
Chuma NI fire iyo
huu ulikua moto sio mchezo jiji lilizizima maana kailifanyika hapo kunamtu anaitwa GABBY KATANDA alikua kwenye drum hatariiiiiii
Mziki mzuri chuchu sound 2001
Max bar ilala King Johvan sikia mkono huo!
khatari!....
Hakuna kama chuchu Sound ilikuwa sio mchezo kulala nje kawaida tu
😂😂😂
Ukumbi wao imasko bungoni simchezo yani nilikua sikosi
2022...tuppo happpppppper😍
Hiyo T shirt ya FUBU ilikuwa balaa sana 😅
hakika chuchu hakuna tenaaaaaa,wapi mausantiago?
Mao ndo huyu kafariki Leo Tena so sad
wacha bambino sound wacha extra bongo na bendi kadhaa tukiongelea mkusanyiko hatar wa wasanii wakali waliodumu muda mfupi chuchu sound inashika hatam ilikuwa balaa hawa jamaa kuanzia saut vyombo na mpangilio mzima wa mziki...hapana tutawakumbuka kwa muda mref ujao!
your very right Khalid, na ni wachache sana walitambua uwezo mkubwa wa chuchu sound, haikudumu kwa muda mrefu, bahati nzur zote nilibahatika kuziona but chuchu sound ulikuwa huwez kufananisha na bambino wala na extra bongo
Dah ilikua hatar sana enzii hii
Nasepeli mingi
Ilikua ni hatari band hii ili washa moto lkn haukuchelewa kuzimika hakika tuta wakumbjka sana.
Vp Omary Mkali hizi zilikua hazina video?
Mimi ni ndugu wa Gabby Katanga niko Arusha tunauliza hizi hazina video?
2023 ❤❤
Hatari Sana wallah
Daah Namkumbuka Dj Makei na Sister Farida ndani East Africa Radio kila ijumaa miaka ya 2001 siyo mchezo