Комментарии •

  • @ashahassanhiribae1527
    @ashahassanhiribae1527 Год назад +42

    woow leo nimewahi no 13,naombeni likes😍😍love from kenya 😘

  • @masasthedon7074
    @masasthedon7074 Год назад +52

    Huy mzee kibok🤣🤣Yan amenikosh kinom big up san✌️✌️

  • @mzizirashid709
    @mzizirashid709 Год назад +47

    Huyu Baba Mkwee Yupo Vizuriii Sanaaa Nimempenda haswaaa 😂😂😂😂

    • @HAJRA1997
      @HAJRA1997 Год назад

      Tena sana alafu asisahau kuoa mke mwengine nko apa🤣🤣🤣

  • @edwinjohn6334
    @edwinjohn6334 Год назад +82

    Eti kisa nimechelewa ndio sipati like 🔥 siku zote wana binadam wabaya hatunaga roho mbaya 😀 please naomba japo ata kumi two za tosha🙏

    • @JerryMpex
      @JerryMpex Год назад +1

      Umeomba kumi tunakulamba nyingi Mzee😂😂😁

    • @edwinjohn6334
      @edwinjohn6334 Год назад

      @@JerryMpex asanteni sana ndugu wana binadam

    • @JerryMpex
      @JerryMpex Год назад

      @@edwinjohn6334 dua sana brother

  • @joshuaurasa670
    @joshuaurasa670 Год назад +39

    Movie n nzury lakin mnatuchosha....siku nane hamtoi mtafanya Sasa tuache kufatilia muangalie wenyewe....

  • @salamasaidi7052
    @salamasaidi7052 Год назад +6

    Me mbona sijawai kupata like jamani nipeni ata 2

  • @user-xi1pi4zr3b
    @user-xi1pi4zr3b Год назад +58

    bonge moja la Series ila mpangilio kitale tufikirie sisi mashabiki zako tunasubiri sana jitahidi kuweka siku maalum na kwa wiki rusha mbili..tunaipenda hii series sana

    • @frenkalex7351
      @frenkalex7351 Год назад +4

      jini pis kali kinyama

    • @firdausrajabu6822
      @firdausrajabu6822 Год назад +5

      Upo sawaaa

    • @zaizai1703
      @zaizai1703 Год назад +3

      Kabisa anatusahau kabisa

    • @amdunsaid1222
      @amdunsaid1222 Год назад +1

      Kwa TVE ambapo ndo inarushwa kila J4 kwanzia SAA 3:30 zinaweza pita wiki 3 wanarudia ile ilooneshwa nyuma au kutokuonesha mwendelezo kabisa.Saahiz nahic ni mwez sasa ep 47 kwa TV imeoneshwa hadi leo hakuna mwendelezo.

  • @geraldmwangira.4978
    @geraldmwangira.4978 Год назад +32

    Ninamacha hyu nyauu na talaka tano😂😂😂😂😂😂 hyu mzee yuko vizur.

  • @moussamwarira3849
    @moussamwarira3849 Год назад +11

    Wazingua ila Kazi nzur sna Kuweni bsi na msimamo Tunaisubir kwa Hamu sana

  • @azharrwakishaija3804
    @azharrwakishaija3804 Год назад +23

    Naomba like na mimi nimekuwa wa 32😁

  • @maherzain615
    @maherzain615 Год назад +12

    Hamuna mipangilio mizuri mwashindwa nakina white na mkojani.hamna mda maalum hamna cku maalum.

    • @alidingongo443
      @alidingongo443 Год назад +3

      Inashushwa siku yeyote ata saa Saba za usiku potelea mbali ha 😳

  • @bennyprosper9050
    @bennyprosper9050 Год назад +22

    Ahahahaha ndio anakula tatu sasa ili asitende kosa tena😂😂😂😂😂😂

  • @aminaomaryaliy3226
    @aminaomaryaliy3226 Год назад +12

    Nimewahi namm leo toka maneno yakuambiwa sijawah kuwa hata wamia alhamdulillah leo nimekuwa wa15

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 Год назад +14

    Ji Picha Tamuuu Mpaka Basi, Sobo Okoa Bashiru,Jini Kachafuka Hatarii.Muendelezo In Shaa Allah. Shukran.

  • @ramajasho6284
    @ramajasho6284 Год назад +15

    Big up Brothers watching from Oslo Norway 🇳🇴 🇳🇴 🇰🇪 🇰🇪

  • @bennyprosper9050
    @bennyprosper9050 Год назад +12

    Dah kitale on fire again much love

  • @juliuslengai5089
    @juliuslengai5089 Год назад +4

    Leo nimechelewa kidogo nimekuwa wa 33 naomba hata like kumi zinanitosha namm ni vimbe mtaani

  • @fatmanasor6362
    @fatmanasor6362 Год назад +1

    Nmechelewa bt Alhamdhulillah naaangalia ila nmekua wa mwisho like zenu jamni

  • @aminabeatrice7521
    @aminabeatrice7521 Год назад +7

    Hiii ya leo kali muno nimependa sana baba nathal na mjombake njoo kenya baba nathl uniowe mm bdo bado nko bikra lkn nko na watoto 4🤣🤣🤣🤣

  • @mackeymwamzandijr1696
    @mackeymwamzandijr1696 Год назад +3

    Angalau duh sikuhizi munakera sana

  • @amisimmbongecha2146
    @amisimmbongecha2146 Год назад +6

    Iko Na gawa sana potv mufanye bitu fasta
    I love my film binadamu wabaya from congo

  • @princerobby7656
    @princerobby7656 Год назад +12

    kazi nzuri ila namim leo nimewahi sasa

  • @hassanally4960
    @hassanally4960 Год назад +6

    Unazingua kitale series wiki mara moja na dk zenyewe 20 angalia mwenyewe usizingue watu

    • @eashaeasha9776
      @eashaeasha9776 Год назад

      Analinga sababu anajua kua tuna fatilia kazi zake ana tulingia😏

  • @japhethkiria9808
    @japhethkiria9808 Год назад +7

    namuacha huyu mnyau 😂😂😂🙌 Khaaaah mzee ana balaa huyoo

  • @neemazee1864
    @neemazee1864 Год назад +8

    Yn ile naamka tu naikuta, nimeangalia hadi nimekuja kuamshwa na mimaji ya baridi yn huyu mzee huyu😢....!!!!

  • @abdallahzakariashehe6115
    @abdallahzakariashehe6115 Год назад +6

    Mnazingua sasa hv week nzima hamtoi sasa hii season gan

    • @minnahloveiove1074
      @minnahloveiove1074 Год назад

      Kushukuru pia ni jambo jema khaa binadam hamna shukrani ata kdg ivi unadhani kazi rahisi eeh nenda kafanye ww kazi ndio utaona km unaweza kutuma kwa kila wiki au kila ck ujue wanatumia pesa ,nguvu,na akili pia sio kulaumu tyu wakitoa shukuru mungu je wangekaa mwezi mzm km wanavyofanya wengine ungesemaje ?

    • @abdallahzakariashehe6115
      @abdallahzakariashehe6115 Год назад

      @@minnahloveiove1074 we uliona wap mbona mkojani na tin white hawafanyi hvyo Kwan c ni kazi yake😏

  • @omaryayoub5073
    @omaryayoub5073 Год назад +14

    Mnaicheleweeeshaa mpaka tunasahau iliishia wapi😎😎

  • @liberationofmindsettothewo5494
    @liberationofmindsettothewo5494 Год назад +13

    Top ten Leo duh Ila watu kumbe hawalali🔥🔥🔥

  • @abuuhaniifahzubairry5906
    @abuuhaniifahzubairry5906 Год назад +4

    first

  • @nassorhaji2637
    @nassorhaji2637 Год назад +6

    Daah..Leo nimekua wa 40 twende kazi

  • @andrewtange8473
    @andrewtange8473 Год назад +8

    Mzee kiboko ninamwacha huyu Nyau🤣🤣🤣🤣🤣

  • @binjuma7343
    @binjuma7343 Год назад +2

    upande chuma ubande shaba ukizuka mfupa huna hahaha huyu mzee balaaaa alikua wapi zamazote

  • @zenaathuman2619
    @zenaathuman2619 Год назад +4

    😂😂😂kwaiyo huyu babu amekuja kukomesha wanzinzi duniani hakuna cha msamaha du!!

  • @marcelinahtimothy9803
    @marcelinahtimothy9803 Год назад +1

    Nyie nao mnazngua sana asee kama vile hamkuwa tayali au hamkujiaandaa kucheza movie city vngne msiwe mnakurupuka kama hamko tayali yanii hapo ndipo juwa wabongo tunaferi tunapupa sana

  • @fadigamutesa6979
    @fadigamutesa6979 Год назад +5

    Hongeren kaz nzr sanaaaaa

  • @merryjeremiah7533
    @merryjeremiah7533 Год назад +2

    Mashaaallah kazi zuri xana jmn ilove you binadamu 😘💪🙏😘🤗🤲🤝

  • @jeremayaClassicPhoto
    @jeremayaClassicPhoto Год назад +1

    Huyu mzee nikiboko ametisha😄😄anamikwara mizito kweli

  • @user-lb3lb2gu4s
    @user-lb3lb2gu4s 10 месяцев назад +1

    Huyo babu nime mpenda big up sana

  • @abumoyo840
    @abumoyo840 Год назад +11

    Mzee wasemaje umekuja full gadoo 😂😂😂

  • @bbrsssaad1282
    @bbrsssaad1282 Год назад +16

    Et ninamuacha huyu mnyau jamani🤣🤣🤣🤣

  • @stevenkivuyo4093
    @stevenkivuyo4093 Год назад +1

    mzee wangu nakubali sana🤝🤝umetisha
    huo ndio dawa ya wanawake wadangaji✍️
    series ni 🔥🔥🔥binadamu wabaya 🔥🔥🔥

  • @Vayon7
    @Vayon7 Год назад +1

    Semq Nini mnazingua sanaa mnachelewa kuweka vipande vipya c wengine hatupo tz tunaangalia hapa mzee

  • @silvakannmathew4424
    @silvakannmathew4424 Год назад +14

    Hii movie ni nzur sana na inamafundisho ndani yake ukiifatilia, tatizo uongozi hauna mpangilio inatoka hovyohovyo tu.

    • @georgejustine2766
      @georgejustine2766 Год назад +1

      Nikweli haieleweki mpangilio wake adi inachosha japokuwa ni movie nzuri.

  • @shakilasharifa9
    @shakilasharifa9 Год назад +4

    Mzee huyo noma 🤣🤣🤣 talaka Tatu 🤣🤣

  • @abdallahidrisa910
    @abdallahidrisa910 Год назад +2

    Nmekukubali mshua msimamo!!!!!

  • @mwadimejuma4598
    @mwadimejuma4598 Год назад +1

    Kazi nzuri sana keep it up watching from Saudi Arabia

  • @maherzain615
    @maherzain615 Год назад +16

    Humu kuna majini wawili huyo fetty na mama shobo. Ila mama shobo ni mchawi hasaa

  • @mfaumeabasi1535
    @mfaumeabasi1535 Год назад +5

    Duh!! N hatar Sana hiii

  • @maherzain615
    @maherzain615 Год назад +22

    Mama ushapika pombe tuachie walevi. 😅😅😅

  • @binthkhamis8042
    @binthkhamis8042 Год назад +1

    Mzee majengo wallah uko seriously

  • @johnbonifacepius7922
    @johnbonifacepius7922 Год назад +1

    Daaah mnakaa Sana shida nini

  • @bahatitolu4442
    @bahatitolu4442 Год назад +1

    Nyie uyu mzee sanamu Lake lijengwe wap

  • @shabiriwasafi3891
    @shabiriwasafi3891 Год назад +5

    Fety ushaanza kutudanganya Sasa hujawah kupgwa pcha wakat unashnda Instagram na Mogella 🤣🤣

  • @imamuidarusi4571
    @imamuidarusi4571 Год назад +1

    Kwn izi like zinalaz gn ebu nipen japo kumi na mm nione utamu🤦

  • @nakshymrembo2874
    @nakshymrembo2874 Год назад

    Mke wa sobo napenda macho yake Mashallah mzuri sjui kapaka wanja ama ndivyo yalivyo ila hongereni wote mloshiriki🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @youngsachafurniture5482
    @youngsachafurniture5482 Год назад +1

    Huyu mzee anajua sana

  • @halimanj8544
    @halimanj8544 Год назад +17

    Waaah mambo fire 🔥🔥🔥 kweli mke wa starny ameumbuka episode 48 jamani

  • @jeremayaClassicPhoto
    @jeremayaClassicPhoto Год назад +2

    Jini mamboo yanazungumzika Jamani 😃😃najua kobero utamuelewa tu maana ulishaanza kulegea

  • @nassra4400
    @nassra4400 Год назад +3

    🤣🤣🤣😂Shikamoo mshenga nimekukubali mbavu zangu

  • @boazambokile2587
    @boazambokile2587 Год назад +2

    jina mrembo sana napenda macho yake

  • @issangava...618
    @issangava...618 Год назад +5

    Mzee majengo kashiba script 🤠🤠

  • @eddysimba6829
    @eddysimba6829 Год назад +3

    Kwahio majini wana iPhone. Wanapigana picha 😂😂😂😂😂 haya bwana mradi salama

  • @aminatwaa9726
    @aminatwaa9726 Год назад +1

    Movie nzuri sanaaaa

  • @lizaeli6732
    @lizaeli6732 Год назад +1

    Nyie kazi ilishawashinda mmuachie tu Lamata

  • @dnewztz
    @dnewztz Год назад +2

    Dah jamani mbn inaisha hivi utamu bafo mnoooo.
    Kitale Tunaomba Msimu wa Tano Uje Back to Back bhana

  • @sikudhanimoshi6967
    @sikudhanimoshi6967 Год назад +1

    Uyu mzee ameweza ameweza tena

  • @judithjayden2103
    @judithjayden2103 Год назад +4

    Nimesubiria snaa

  • @robsondalink6206
    @robsondalink6206 Год назад +8

    Ouyooo nafrahia kumuona maganje😂😂😂

  • @mfaumeabasi1535
    @mfaumeabasi1535 Год назад +5

    Yaan huo msimu ujao ndo mpk mwakani au ???mbn umetuacha njia panda washabiki na wafuatiliaj wa series yko pendwa ya binadamu........?????##😍💥

    • @youngmaster4127
      @youngmaster4127 Год назад

      Yaan season ya nne imeisha inayokuja ni season ya tano

  • @nimujocentre2173
    @nimujocentre2173 Год назад +6

    Majengo mtu mbady😂

  • @mayombotz
    @mayombotz Год назад +4

    Mjomba kibokoo 🤣🤣🤣

  • @kherymnzava9079
    @kherymnzava9079 Год назад +1

    Nimependa leo imekuwa ndefu kidogo, bt ipo vizuri akuna tatzo, Baba mkwe honger sn unatimiza majukumu yako bara bara.

  • @heneryofficial638
    @heneryofficial638 Год назад

    Duh bando ilikua shida ndo nikachelewa please like moja tu🥰🥰

  • @monamweni1579
    @monamweni1579 Год назад +1

    Hakuna kwenye mazishi hapa weeeeh kazi ipo kwa binadamu wa wabaya

  • @mwajabumusssa3613
    @mwajabumusssa3613 Год назад +3

    😂😂😂 bamdogo kiboko asee😂😂😂... series ni nzuri Sanaa Mashaallah 🥰

  • @sherryeverest2522
    @sherryeverest2522 Год назад +1

    Namuacha huyu nyau kwa talaka 3 mzee nakukubali sana
    Kweli binadamu wabaya

  • @bakariswaleh7563
    @bakariswaleh7563 Год назад

    Mnatucheleweshea sana mpaka mnaboa skuizi hata hatujui sikugani tueke mb sababu yakuangalia binadam kabisaa

  • @magariabdallah8066
    @magariabdallah8066 Год назад +5

    Ep ilikuwa nzuri ila yule jamaa wa kizalamo amealibu bwana katutowa kwenye muvi yaani kaleta ukomedi pale mama Maria hakuonyesha usiliazi kama muvi ilivokuwa inatakiwa iwe

  • @drviwangohcb8975
    @drviwangohcb8975 Год назад +1

    Mimi kama mimi saiv hata siwapend namovie yenu mnatoa kipande kimoja kimoja hata radha hatupat kwenye maneno ya kuambiwa mlijitaid sana mlikua mnatoa tatu tatu asa hii ata aina radha mpaka week nzima ndio mtoe kipande chengine

  • @geofreyjackson9292
    @geofreyjackson9292 Год назад +18

    Shebeth binjuma upande Shaba upande chuma na Leo kwenu amlaliiii🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mkamimtatiro8740
    @mkamimtatiro8740 Год назад +9

    Huyu babu so poa🤣🤣

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 Год назад +1

    Mtihani ndio wanawake tunatakiwa tujifunze kutulia kwenye ndoa zetu maria umempoz mama yako ulipo iyangusha ile dawa

  • @tumainimkwizu5032
    @tumainimkwizu5032 Год назад +1

    Hahahaaaa hahahaaaa et ninamwacha huyu nyau huyo mzee kachezaa sehemu yake

  • @jogayatheboss2224
    @jogayatheboss2224 Год назад

    Uyu baba kavurugwa ile mbaya yani japo kidini hayupo sahihi🤣🤣🤣

  • @mubarakhassan2618
    @mubarakhassan2618 Год назад +5

    Sija cerewa from 🇧🇮tunawafatilia sana

    • @tztanzania2262
      @tztanzania2262 Год назад +1

      Huko Burundi nanyi hamna series nzur nasi tuifatilie?kwan mnatupa support sana

  • @edwardjj5378
    @edwardjj5378 Год назад +1

    Nawakubali sana 👊

  • @jumakandy2075
    @jumakandy2075 Год назад

    Big up mzee huko sawa kabisa kazi nzuri sana classic movie

  • @missmwayway4704
    @missmwayway4704 Год назад +9

    😂😂😂😂😂😂🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽 jini wa mchongo

    • @juliusphabian6336
      @juliusphabian6336 Год назад

      😁😁 ana michambo sana

    • @missmwayway4704
      @missmwayway4704 Год назад

      @@juliusphabian6336 Yn kwakweli 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 jini anatoa mimacho utasema kasutwa

  • @saidimdaili3919
    @saidimdaili3919 Год назад

    Mam umeipika pombe imepata walevi ahaaaaa!!! Jamani huyu mzee noma plz comety na lake

  • @bintihassan6534
    @bintihassan6534 Год назад +3

    Ninamuacha hyuu nyauu🤣🤣🤣🤣mama unapigwa tatu😅😅😅mama ushapika pombee achia walevi😆😆😆😆yaan natamani ni mzee wangu anipiganie🤣🤣🤣🤣

    • @bintihassan6534
      @bintihassan6534 Год назад +1

      Ili kosa licirudiwe yuwapigwa tatu wakaishi vzr🤣🤣🤣🤣

  • @shallousharmilla6700
    @shallousharmilla6700 Год назад +13

    Clara looks pregnant 🤰🏻

    • @allykamanga4366
      @allykamanga4366 Год назад

      Khaaa jicho limeenda kutafuta nn kote huko 😂

  • @rahmamamy4034
    @rahmamamy4034 Год назад +4

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣wooi,washalikoroga bado kulinywa

  • @twahirally3181
    @twahirally3181 Год назад +4

    Manganje manganje mtoto wa ulaya😂😂😂

  • @mwalimuemanuelaidan5767
    @mwalimuemanuelaidan5767 Год назад

    Huyo mzee ni kiboko sana nimemuelewa

  • @dazk7861
    @dazk7861 Год назад +1

    Huyu mzee kiboko ningepata wazee kama hawa kesi zangu zingeenda poa

  • @samiuhassan8153
    @samiuhassan8153 Год назад +2

    Mnachelewaaaaaaaaaaaa jmn mhhhhhhh

  • @cheletv7847
    @cheletv7847 Год назад +2

    First comment

  • @josephellytemu9645
    @josephellytemu9645 Год назад +1

    Cyo kwa kututesa ukooo saw mungu awabarik🙏🏻

  • @hossenmuhaji9471
    @hossenmuhaji9471 Год назад +3

    Fety Hadi nakuogopa

  • @mohdmbarouk8465
    @mohdmbarouk8465 Год назад +1

    Mbn hiii flm haiendi mbele vipandi ni hvy kwa hvy vinajirudia