bonge moja la Series ila mpangilio kitale tufikirie sisi mashabiki zako tunasubiri sana jitahidi kuweka siku maalum na kwa wiki rusha mbili..tunaipenda hii series sana
Kwa TVE ambapo ndo inarushwa kila J4 kwanzia SAA 3:30 zinaweza pita wiki 3 wanarudia ile ilooneshwa nyuma au kutokuonesha mwendelezo kabisa.Saahiz nahic ni mwez sasa ep 47 kwa TV imeoneshwa hadi leo hakuna mwendelezo.
Kushukuru pia ni jambo jema khaa binadam hamna shukrani ata kdg ivi unadhani kazi rahisi eeh nenda kafanye ww kazi ndio utaona km unaweza kutuma kwa kila wiki au kila ck ujue wanatumia pesa ,nguvu,na akili pia sio kulaumu tyu wakitoa shukuru mungu je wangekaa mwezi mzm km wanavyofanya wengine ungesemaje ?
Nyie nao mnazngua sana asee kama vile hamkuwa tayali au hamkujiaandaa kucheza movie city vngne msiwe mnakurupuka kama hamko tayali yanii hapo ndipo juwa wabongo tunaferi tunapupa sana
Ep ilikuwa nzuri ila yule jamaa wa kizalamo amealibu bwana katutowa kwenye muvi yaani kaleta ukomedi pale mama Maria hakuonyesha usiliazi kama muvi ilivokuwa inatakiwa iwe
Mimi kama mimi saiv hata siwapend namovie yenu mnatoa kipande kimoja kimoja hata radha hatupat kwenye maneno ya kuambiwa mlijitaid sana mlikua mnatoa tatu tatu asa hii ata aina radha mpaka week nzima ndio mtoe kipande chengine
woow leo nimewahi no 13,naombeni likes😍😍love from kenya 😘
Huy mzee kibok🤣🤣Yan amenikosh kinom big up san✌️✌️
Huyu Baba Mkwee Yupo Vizuriii Sanaaa Nimempenda haswaaa 😂😂😂😂
Tena sana alafu asisahau kuoa mke mwengine nko apa🤣🤣🤣
Eti kisa nimechelewa ndio sipati like 🔥 siku zote wana binadam wabaya hatunaga roho mbaya 😀 please naomba japo ata kumi two za tosha🙏
Umeomba kumi tunakulamba nyingi Mzee😂😂😁
@@JerryMpex asanteni sana ndugu wana binadam
@@edwinjohn6334 dua sana brother
Movie n nzury lakin mnatuchosha....siku nane hamtoi mtafanya Sasa tuache kufatilia muangalie wenyewe....
@@fatmahashimu1487
Me mbona sijawai kupata like jamani nipeni ata 2
bonge moja la Series ila mpangilio kitale tufikirie sisi mashabiki zako tunasubiri sana jitahidi kuweka siku maalum na kwa wiki rusha mbili..tunaipenda hii series sana
jini pis kali kinyama
Upo sawaaa
Kabisa anatusahau kabisa
Kwa TVE ambapo ndo inarushwa kila J4 kwanzia SAA 3:30 zinaweza pita wiki 3 wanarudia ile ilooneshwa nyuma au kutokuonesha mwendelezo kabisa.Saahiz nahic ni mwez sasa ep 47 kwa TV imeoneshwa hadi leo hakuna mwendelezo.
Ninamacha hyu nyauu na talaka tano😂😂😂😂😂😂 hyu mzee yuko vizur.
🤣🤣🤣🤣
Sana😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Wazingua ila Kazi nzur sna Kuweni bsi na msimamo Tunaisubir kwa Hamu sana
Naomba like na mimi nimekuwa wa 32😁
Hamuna mipangilio mizuri mwashindwa nakina white na mkojani.hamna mda maalum hamna cku maalum.
Inashushwa siku yeyote ata saa Saba za usiku potelea mbali ha 😳
Ahahahaha ndio anakula tatu sasa ili asitende kosa tena😂😂😂😂😂😂
Nimewahi namm leo toka maneno yakuambiwa sijawah kuwa hata wamia alhamdulillah leo nimekuwa wa15
Ji Picha Tamuuu Mpaka Basi, Sobo Okoa Bashiru,Jini Kachafuka Hatarii.Muendelezo In Shaa Allah. Shukran.
Big up Brothers watching from Oslo Norway 🇳🇴 🇳🇴 🇰🇪 🇰🇪
Dah kitale on fire again much love
Leo nimechelewa kidogo nimekuwa wa 33 naomba hata like kumi zinanitosha namm ni vimbe mtaani
Nmechelewa bt Alhamdhulillah naaangalia ila nmekua wa mwisho like zenu jamni
Hiii ya leo kali muno nimependa sana baba nathal na mjombake njoo kenya baba nathl uniowe mm bdo bado nko bikra lkn nko na watoto 4🤣🤣🤣🤣
Namby my dear
Angalau duh sikuhizi munakera sana
Iko Na gawa sana potv mufanye bitu fasta
I love my film binadamu wabaya from congo
kazi nzuri ila namim leo nimewahi sasa
Unazingua kitale series wiki mara moja na dk zenyewe 20 angalia mwenyewe usizingue watu
Analinga sababu anajua kua tuna fatilia kazi zake ana tulingia😏
namuacha huyu mnyau 😂😂😂🙌 Khaaaah mzee ana balaa huyoo
Yn ile naamka tu naikuta, nimeangalia hadi nimekuja kuamshwa na mimaji ya baridi yn huyu mzee huyu😢....!!!!
Mnazingua sasa hv week nzima hamtoi sasa hii season gan
Kushukuru pia ni jambo jema khaa binadam hamna shukrani ata kdg ivi unadhani kazi rahisi eeh nenda kafanye ww kazi ndio utaona km unaweza kutuma kwa kila wiki au kila ck ujue wanatumia pesa ,nguvu,na akili pia sio kulaumu tyu wakitoa shukuru mungu je wangekaa mwezi mzm km wanavyofanya wengine ungesemaje ?
@@minnahloveiove1074 we uliona wap mbona mkojani na tin white hawafanyi hvyo Kwan c ni kazi yake😏
Mnaicheleweeeshaa mpaka tunasahau iliishia wapi😎😎
Kwakwel sijui ilishia wap🤣🤣🤣🤣
Bwana wanatuudhiiii🤣🤣🤣
Top ten Leo duh Ila watu kumbe hawalali🔥🔥🔥
first
Daah..Leo nimekua wa 40 twende kazi
Mzee kiboko ninamwacha huyu Nyau🤣🤣🤣🤣🤣
upande chuma ubande shaba ukizuka mfupa huna hahaha huyu mzee balaaaa alikua wapi zamazote
😂😂😂kwaiyo huyu babu amekuja kukomesha wanzinzi duniani hakuna cha msamaha du!!
Nyie nao mnazngua sana asee kama vile hamkuwa tayali au hamkujiaandaa kucheza movie city vngne msiwe mnakurupuka kama hamko tayali yanii hapo ndipo juwa wabongo tunaferi tunapupa sana
Hongeren kaz nzr sanaaaaa
Mashaaallah kazi zuri xana jmn ilove you binadamu 😘💪🙏😘🤗🤲🤝
Huyu mzee nikiboko ametisha😄😄anamikwara mizito kweli
Huyo babu nime mpenda big up sana
Mzee wasemaje umekuja full gadoo 😂😂😂
😂😂
Et ninamuacha huyu mnyau jamani🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣
mzee wangu nakubali sana🤝🤝umetisha
huo ndio dawa ya wanawake wadangaji✍️
series ni 🔥🔥🔥binadamu wabaya 🔥🔥🔥
Semq Nini mnazingua sanaa mnachelewa kuweka vipande vipya c wengine hatupo tz tunaangalia hapa mzee
Hii movie ni nzur sana na inamafundisho ndani yake ukiifatilia, tatizo uongozi hauna mpangilio inatoka hovyohovyo tu.
Nikweli haieleweki mpangilio wake adi inachosha japokuwa ni movie nzuri.
Mzee huyo noma 🤣🤣🤣 talaka Tatu 🤣🤣
Nmekukubali mshua msimamo!!!!!
Kazi nzuri sana keep it up watching from Saudi Arabia
Humu kuna majini wawili huyo fetty na mama shobo. Ila mama shobo ni mchawi hasaa
Ni sobo jamaniii🤣🤣
Mama shobo hiyo kwiyo🤣🤣🤣🤣
Duh!! N hatar Sana hiii
Mama ushapika pombe tuachie walevi. 😅😅😅
😀😀😀
Mzee majengo wallah uko seriously
Daaah mnakaa Sana shida nini
Nyie uyu mzee sanamu Lake lijengwe wap
Fety ushaanza kutudanganya Sasa hujawah kupgwa pcha wakat unashnda Instagram na Mogella 🤣🤣
Kwn izi like zinalaz gn ebu nipen japo kumi na mm nione utamu🤦
Mke wa sobo napenda macho yake Mashallah mzuri sjui kapaka wanja ama ndivyo yalivyo ila hongereni wote mloshiriki🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Huyu mzee anajua sana
Waaah mambo fire 🔥🔥🔥 kweli mke wa starny ameumbuka episode 48 jamani
Jini mamboo yanazungumzika Jamani 😃😃najua kobero utamuelewa tu maana ulishaanza kulegea
🤣🤣🤣😂Shikamoo mshenga nimekukubali mbavu zangu
jina mrembo sana napenda macho yake
Mzee majengo kashiba script 🤠🤠
😂😂😂
Mmh sio pw kk
Kwahio majini wana iPhone. Wanapigana picha 😂😂😂😂😂 haya bwana mradi salama
Majini digitali🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Movie nzuri sanaaaa
Nyie kazi ilishawashinda mmuachie tu Lamata
Dah jamani mbn inaisha hivi utamu bafo mnoooo.
Kitale Tunaomba Msimu wa Tano Uje Back to Back bhana
Uyu mzee ameweza ameweza tena
Nimesubiria snaa
Ouyooo nafrahia kumuona maganje😂😂😂
Yaan huo msimu ujao ndo mpk mwakani au ???mbn umetuacha njia panda washabiki na wafuatiliaj wa series yko pendwa ya binadamu........?????##😍💥
Yaan season ya nne imeisha inayokuja ni season ya tano
Majengo mtu mbady😂
Mjomba kibokoo 🤣🤣🤣
Nimependa leo imekuwa ndefu kidogo, bt ipo vizuri akuna tatzo, Baba mkwe honger sn unatimiza majukumu yako bara bara.
Duh bando ilikua shida ndo nikachelewa please like moja tu🥰🥰
Hakuna kwenye mazishi hapa weeeeh kazi ipo kwa binadamu wa wabaya
😂😂😂 bamdogo kiboko asee😂😂😂... series ni nzuri Sanaa Mashaallah 🥰
Namuacha huyu nyau kwa talaka 3 mzee nakukubali sana
Kweli binadamu wabaya
Mnatucheleweshea sana mpaka mnaboa skuizi hata hatujui sikugani tueke mb sababu yakuangalia binadam kabisaa
Ep ilikuwa nzuri ila yule jamaa wa kizalamo amealibu bwana katutowa kwenye muvi yaani kaleta ukomedi pale mama Maria hakuonyesha usiliazi kama muvi ilivokuwa inatakiwa iwe
Mimi kama mimi saiv hata siwapend namovie yenu mnatoa kipande kimoja kimoja hata radha hatupat kwenye maneno ya kuambiwa mlijitaid sana mlikua mnatoa tatu tatu asa hii ata aina radha mpaka week nzima ndio mtoe kipande chengine
Shebeth binjuma upande Shaba upande chuma na Leo kwenu amlaliiii🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Haha
🤣🤣🤣🤣
😆😆😆😆
Huyu babu so poa🤣🤣
Mtihani ndio wanawake tunatakiwa tujifunze kutulia kwenye ndoa zetu maria umempoz mama yako ulipo iyangusha ile dawa
Hahahaaaa hahahaaaa et ninamwacha huyu nyau huyo mzee kachezaa sehemu yake
Uyu baba kavurugwa ile mbaya yani japo kidini hayupo sahihi🤣🤣🤣
Sija cerewa from 🇧🇮tunawafatilia sana
Huko Burundi nanyi hamna series nzur nasi tuifatilie?kwan mnatupa support sana
Nawakubali sana 👊
Big up mzee huko sawa kabisa kazi nzuri sana classic movie
😂😂😂😂😂😂🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽 jini wa mchongo
😁😁 ana michambo sana
@@juliusphabian6336 Yn kwakweli 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 jini anatoa mimacho utasema kasutwa
Mam umeipika pombe imepata walevi ahaaaaa!!! Jamani huyu mzee noma plz comety na lake
Ninamuacha hyuu nyauu🤣🤣🤣🤣mama unapigwa tatu😅😅😅mama ushapika pombee achia walevi😆😆😆😆yaan natamani ni mzee wangu anipiganie🤣🤣🤣🤣
Ili kosa licirudiwe yuwapigwa tatu wakaishi vzr🤣🤣🤣🤣
Clara looks pregnant 🤰🏻
Khaaa jicho limeenda kutafuta nn kote huko 😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣wooi,washalikoroga bado kulinywa
Manganje manganje mtoto wa ulaya😂😂😂
Huyo mzee ni kiboko sana nimemuelewa
Huyu mzee kiboko ningepata wazee kama hawa kesi zangu zingeenda poa
Mnachelewaaaaaaaaaaaa jmn mhhhhhhh
First comment
Cyo kwa kututesa ukooo saw mungu awabarik🙏🏻
Fety Hadi nakuogopa
Mbn hiii flm haiendi mbele vipandi ni hvy kwa hvy vinajirudia