Inawezekana mama wa kambo anajua sofi yupo na mwanamme na pia mwanaume anamjua mama wa kambo vzr tu yqni kama mchezo umechezwa na ndio mana mama wq kqmbo hana muda wakumtqfuta
Mngeenda polisi watamchesi watapata alipo napia ikipatikana apewe adhabu na polici kwanini anasumbua watu yupo mahali anadanganya danganya ndo mambo hayo ya kuchezwa hii mambo ya kuchezwa akiwa hajapat mume ndo matokea hayo mmemfunza kaona akajatibu anakili sawa na wala msimlaumu mama wa kambo
Ndiooo yupoooo KWA mwanameeeee. Pelekeni POLICE HARAKA. MJA MZITOOOOO. POLICE WAMTAFUTEEE. ATA SASA ANAWASIKIAA VIZURI. YOTE MNAYO ONGEA. NDIO YUPO KWA MWANAUMEEEEE UYOOOOO
nyinyi mmekosea kurusha hiki kipindi, mnge enda moja kwa moja polisi na hiyo namba, mama sophy kashasema sauti ya mwanae. hivi mnavyo toa vitisho ndo atakuja?
zari ukipata taarifa km hii jaribu kuwa mpole ili hasije hakandua na amino km kweli hamisi yupo na sofi basi hatakuwa hana simu mkubwa ila hofu yangu wenda hamisi ana marafiki na wanatumia sim kubwa na wakaona kipindi unaisi tutafanikiwa?
Mmemsema sana mama wa kambo alie mlea tangu akiwa na miaka 3 mtoto amekua amejazwa kiburi na mama ake mzazi mnakuja kumzalilisha mama wa kambo hapo mnamsema vibaya sana mwanamke wawatu ila mungu atazidi kumuumbua huyo mama
Mungu ataweka wepes kazidishe dua kwa shekhe aya mambo yapo rud kwa shekhe akasome dua
Pole sana Mungu asaidie ila zari ukienda usiende peke yako uende na mtu au police bila ya yeye kujua
Ndomaana alikuwa anamfanyia vituko mama wa kambo
kweli dada umesema pole, 👏👏👏👏👏
Msingerusha icho kipindi akiona atatafuta njia zakujitoa
Mlimsema bure mama wa kambo mtihani huu kwa watoto wetu
Mama wa kambo amekaa naye vizuri kwa maelezo ya unyago mliomfundidha ndo mambo hayo
Na itwa kulthum niko zanzibar nnashkuru dada zari kwa ushirikhano wako
Mmempata huyo Mwaname
Inawezekana mama wa kambo anajua sofi yupo na mwanamme na pia mwanaume anamjua mama wa kambo vzr tu yqni kama mchezo umechezwa na ndio mana mama wq kqmbo hana muda wakumtqfuta
Mtihani wallah
Wao walijuajehizo habar
Na huyu mkiwambia kama number watazi track watazifunga hao
Mngeenda polisi watamchesi watapata alipo napia ikipatikana apewe adhabu na polici kwanini anasumbua watu yupo mahali anadanganya danganya ndo mambo hayo ya kuchezwa hii mambo ya kuchezwa akiwa hajapat mume ndo matokea hayo mmemfunza kaona akajatibu anakili sawa na wala msimlaumu mama wa kambo
Watoto wakike nibidhaa mbovu
Nimecheka
Mnamtafuta mtu live lazima awapange tu.
Ndiooo yupoooo KWA mwanameeeee. Pelekeni POLICE HARAKA. MJA MZITOOOOO. POLICE WAMTAFUTEEE. ATA SASA ANAWASIKIAA VIZURI. YOTE MNAYO ONGEA. NDIO YUPO KWA MWANAUMEEEEE UYOOOOO
Muhimu apatikane ili aseme ukweli
Mtafuteni uyo boss wake waelekeze alopo muende mhakikishe km yupo kweli
Huyu asiwachezeye akili wapo pamoja wazungumza na bwana yake ndo wapange halafu wasema nini ana wataka wajue ni nani waongo hao
Mama sofii rundi kwa huyo shehe kaombe duaa tena kaweka nia aru di ararundi Qruaani haiongopi rundi kwa shehe mama sofii
Poleni sana😢
Mtamgazaji usinge sema maswala yakumu track apo, inge'kua siri sasa apo na yeye si atajipanga
Akipiga tena mrikodini
Mama namba ya sheikh please nimepotelewa na mtu waangu jamani
Sasa hizo taarifa si atazipata unadhani atakubali kuonana na nyinyi?
Wakamatweeee WOTE. Haooooo
MTU MZIMA HUYOOOO 18..?? LOOO YUPO DAR. HAPO
Kipindi cha mapito mbona asaivi akipo vp kwani
mmmmh sauti ya mwanafunzi imekomaa hiyo
Daaaah yaliyomo yamo
Sasa mkisema atatafutwa na police si ndio atakimbia kabisa!
Hata mtu akiamia mkoa mwingine atapatikana tuu kwa kuitrack simu yake
Huyo ndo atakuwa bwana yake
nyinyi mmekosea kurusha hiki kipindi, mnge enda moja kwa moja polisi na hiyo namba, mama sophy kashasema sauti ya mwanae. hivi mnavyo toa vitisho ndo atakuja?
Zaari hiwezi juaa katoka pale kwa sababu ngani mwambie arundi kwa shehe akaombe duaa tena atarundi tuu kama yuko haii
Zarina bhana et mamvua vua yamenyesha kwahyo atakua mjamzito😂
Kachagua juma tano kwavile aendi shule
Tena mfiche kamera akiona kamera hiyo khamis atakimbiya
zari ukipata taarifa km hii jaribu kuwa mpole ili hasije hakandua na amino km kweli hamisi yupo na sofi basi hatakuwa hana simu mkubwa ila hofu yangu wenda hamisi ana marafiki na wanatumia sim kubwa na wakaona kipindi unaisi tutafanikiwa?
Mm nilimuelewa siku ya mwanzo kabisa mama mlezi hakua muongo alikua anaongea kutoka moyon
Duuu! Kama maigizo
Kaona kipindi kaona apokee cm
Mnatuchezea roho tu. Mtoto mwenyewe hana adabu huyo
makubwa
huy huenda yupo kwa mwanaume nimemkumbuka warda kaa zake mbande anaosha vyomb huk ndugu zake kila sik wanalia
Inabidi muitrak hiyo cm
Haya matukio ya wadichana yanafanya tudharau kufatilia mapito ukweli tuseme
😭
Sasa hivyo mnavyoongea na kucheka si atakuja kujua kama sio wakweli na anaweza akazima simu
Watoto wetu hawa wanatutia ubaya nawazazi wenzetu
Well scripted.
Mwemdelezo wa sophy
Tusikimbiliage kulaumu mama wa kambo
InshAllah mungu yupo atapatikana
Mmemsema sana mama wa kambo alie mlea tangu akiwa na miaka 3 mtoto amekua amejazwa kiburi na mama ake mzazi mnakuja kumzalilisha mama wa kambo hapo mnamsema vibaya sana mwanamke wawatu ila mungu atazidi kumuumbua huyo mama