🔴

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 58

  • @MwanaHamis-y4e
    @MwanaHamis-y4e 4 месяца назад +4

    Mungu ataweka wepes kazidishe dua kwa shekhe aya mambo yapo rud kwa shekhe akasome dua

  • @FatumaMuya
    @FatumaMuya 3 месяца назад

    Pole sana Mungu asaidie ila zari ukienda usiende peke yako uende na mtu au police bila ya yeye kujua

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 3 месяца назад

    Ndomaana alikuwa anamfanyia vituko mama wa kambo

  • @aishatest4451
    @aishatest4451 4 месяца назад +1

    kweli dada umesema pole, 👏👏👏👏👏

  • @faudhiasaidi3669
    @faudhiasaidi3669 3 месяца назад +1

    Msingerusha icho kipindi akiona atatafuta njia zakujitoa

  • @Mariam99-ld4gw
    @Mariam99-ld4gw 4 месяца назад +1

    Mlimsema bure mama wa kambo mtihani huu kwa watoto wetu

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 3 месяца назад

    Mama wa kambo amekaa naye vizuri kwa maelezo ya unyago mliomfundidha ndo mambo hayo

  • @ummuissa5883
    @ummuissa5883 3 месяца назад

    Na itwa kulthum niko zanzibar nnashkuru dada zari kwa ushirikhano wako

  • @KeemDetreson-pj1oj
    @KeemDetreson-pj1oj 3 месяца назад

    Mmempata huyo Mwaname

  • @ElizabethWamcha
    @ElizabethWamcha 4 месяца назад +1

    Inawezekana mama wa kambo anajua sofi yupo na mwanamme na pia mwanaume anamjua mama wa kambo vzr tu yqni kama mchezo umechezwa na ndio mana mama wq kqmbo hana muda wakumtqfuta

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 4 месяца назад

    Mtihani wallah

  • @rukiyyarukiyya6317
    @rukiyyarukiyya6317 4 месяца назад +1

    Wao walijuajehizo habar

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 3 месяца назад

    Na huyu mkiwambia kama number watazi track watazifunga hao

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 3 месяца назад

    Mngeenda polisi watamchesi watapata alipo napia ikipatikana apewe adhabu na polici kwanini anasumbua watu yupo mahali anadanganya danganya ndo mambo hayo ya kuchezwa hii mambo ya kuchezwa akiwa hajapat mume ndo matokea hayo mmemfunza kaona akajatibu anakili sawa na wala msimlaumu mama wa kambo

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 4 месяца назад +2

    Watoto wakike nibidhaa mbovu

  • @zubedamrutu3156
    @zubedamrutu3156 4 месяца назад

    Nimecheka

  • @StellarmamottoFlowersMam-ms1nz
    @StellarmamottoFlowersMam-ms1nz 3 месяца назад

    Mnamtafuta mtu live lazima awapange tu.

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 2 месяца назад

    Ndiooo yupoooo KWA mwanameeeee. Pelekeni POLICE HARAKA. MJA MZITOOOOO. POLICE WAMTAFUTEEE. ATA SASA ANAWASIKIAA VIZURI. YOTE MNAYO ONGEA. NDIO YUPO KWA MWANAUMEEEEE UYOOOOO

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 4 месяца назад +1

    Muhimu apatikane ili aseme ukweli

    • @rayaomar6299
      @rayaomar6299 4 месяца назад

      Mtafuteni uyo boss wake waelekeze alopo muende mhakikishe km yupo kweli

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 3 месяца назад

    Huyu asiwachezeye akili wapo pamoja wazungumza na bwana yake ndo wapange halafu wasema nini ana wataka wajue ni nani waongo hao

  • @jamilahjamilah4157
    @jamilahjamilah4157 4 месяца назад +1

    Mama sofii rundi kwa huyo shehe kaombe duaa tena kaweka nia aru di ararundi Qruaani haiongopi rundi kwa shehe mama sofii

  • @shanibaniyas6308
    @shanibaniyas6308 4 месяца назад

    Poleni sana😢

  • @mistareagle2398
    @mistareagle2398 4 месяца назад

    Mtamgazaji usinge sema maswala yakumu track apo, inge'kua siri sasa apo na yeye si atajipanga

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 4 месяца назад +1

    Akipiga tena mrikodini

  • @MaryamMaryam-wp5yk
    @MaryamMaryam-wp5yk 4 месяца назад

    Mama namba ya sheikh please nimepotelewa na mtu waangu jamani

  • @maymunamakungu6265
    @maymunamakungu6265 4 месяца назад +1

    Sasa hizo taarifa si atazipata unadhani atakubali kuonana na nyinyi?

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 2 месяца назад

    Wakamatweeee WOTE. Haooooo

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 2 месяца назад

    MTU MZIMA HUYOOOO 18..?? LOOO YUPO DAR. HAPO

  • @aishaabdullah837
    @aishaabdullah837 3 месяца назад

    Kipindi cha mapito mbona asaivi akipo vp kwani

  • @Fatima1234-wl1nu
    @Fatima1234-wl1nu 4 месяца назад +1

    mmmmh sauti ya mwanafunzi imekomaa hiyo

  • @asiasalim9323
    @asiasalim9323 4 месяца назад

    Daaaah yaliyomo yamo

  • @irenembura8045
    @irenembura8045 4 месяца назад +1

    Sasa mkisema atatafutwa na police si ndio atakimbia kabisa!

    • @zamBakar-y3j
      @zamBakar-y3j 4 месяца назад

      Hata mtu akiamia mkoa mwingine atapatikana tuu kwa kuitrack simu yake

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 3 месяца назад

    Huyo ndo atakuwa bwana yake

  • @sleeprelaxation8431
    @sleeprelaxation8431 4 месяца назад

    nyinyi mmekosea kurusha hiki kipindi, mnge enda moja kwa moja polisi na hiyo namba, mama sophy kashasema sauti ya mwanae. hivi mnavyo toa vitisho ndo atakuja?

  • @jamilahjamilah4157
    @jamilahjamilah4157 4 месяца назад

    Zaari hiwezi juaa katoka pale kwa sababu ngani mwambie arundi kwa shehe akaombe duaa tena atarundi tuu kama yuko haii

  • @jennet6484
    @jennet6484 4 месяца назад

    Zarina bhana et mamvua vua yamenyesha kwahyo atakua mjamzito😂

  • @fatumamshindo4435
    @fatumamshindo4435 4 месяца назад

    Kachagua juma tano kwavile aendi shule

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 3 месяца назад

    Tena mfiche kamera akiona kamera hiyo khamis atakimbiya

  • @Fatima1234-wl1nu
    @Fatima1234-wl1nu 4 месяца назад

    zari ukipata taarifa km hii jaribu kuwa mpole ili hasije hakandua na amino km kweli hamisi yupo na sofi basi hatakuwa hana simu mkubwa ila hofu yangu wenda hamisi ana marafiki na wanatumia sim kubwa na wakaona kipindi unaisi tutafanikiwa?

  • @Mariam99-ld4gw
    @Mariam99-ld4gw 4 месяца назад

    Mm nilimuelewa siku ya mwanzo kabisa mama mlezi hakua muongo alikua anaongea kutoka moyon

  • @nanyangeclara2222
    @nanyangeclara2222 4 месяца назад

    Duuu! Kama maigizo

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 4 месяца назад

    Kaona kipindi kaona apokee cm

  • @maymunamakungu6265
    @maymunamakungu6265 4 месяца назад

    Mnatuchezea roho tu. Mtoto mwenyewe hana adabu huyo

  • @JamilaMohammed-n8n
    @JamilaMohammed-n8n 4 месяца назад

    makubwa

  • @rehemahramadhani3428
    @rehemahramadhani3428 4 месяца назад

    huy huenda yupo kwa mwanaume nimemkumbuka warda kaa zake mbande anaosha vyomb huk ndugu zake kila sik wanalia

  • @rukiyyarukiyya6317
    @rukiyyarukiyya6317 4 месяца назад

    Inabidi muitrak hiyo cm

  • @OfficialA83640
    @OfficialA83640 4 месяца назад

    Haya matukio ya wadichana yanafanya tudharau kufatilia mapito ukweli tuseme

  • @shanibaniyas6308
    @shanibaniyas6308 4 месяца назад

    😭

  • @khadijachacha3156
    @khadijachacha3156 4 месяца назад

    Sasa hivyo mnavyoongea na kucheka si atakuja kujua kama sio wakweli na anaweza akazima simu

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 4 месяца назад

    Watoto wetu hawa wanatutia ubaya nawazazi wenzetu

  • @deadcrush
    @deadcrush 4 месяца назад

    Well scripted.

  • @KeemDetreson-pj1oj
    @KeemDetreson-pj1oj 3 месяца назад

    Mwemdelezo wa sophy

  • @missp-dv6qd
    @missp-dv6qd 4 месяца назад +2

    Tusikimbiliage kulaumu mama wa kambo

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa 4 месяца назад +1

    InshAllah mungu yupo atapatikana

  • @mamymamiza2924
    @mamymamiza2924 4 месяца назад

    Mmemsema sana mama wa kambo alie mlea tangu akiwa na miaka 3 mtoto amekua amejazwa kiburi na mama ake mzazi mnakuja kumzalilisha mama wa kambo hapo mnamsema vibaya sana mwanamke wawatu ila mungu atazidi kumuumbua huyo mama