🔴

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 31 янв 2025

Комментарии •

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  11 дней назад

    JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV NA UTUTUMIE HABARI ZA MTAANI KWAKO chat.whatsapp.com/FeLe2DcIFAg...

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts 11 дней назад +3

    Mama wa kambo akaruhusu mtoto wa mke mwenzie azikiwe kwenye chemba! Tena mbaya zaidi mama yake ni marehemu😭 huyu mama sio wa kawaida kabisa, ana roho ngumu sana

  • @reenesa
    @reenesa 11 дней назад +2

    Nyie mnachanganya, wanawake wako 2 . Wakwanza yuko kule alikokua anakaa Bariki( Elikirowa) na ndie aliyekua anakaa Kenya, aliyekataa msiba usiwepo pale na Huyu wa kwenye Bar , Baby mama(Joyce) alikua akikaa kwenye nyumba ya urithi ya Bariki. Wanawake wote 2 wana Roho mbaya.

    • @SharonAron-t1j
      @SharonAron-t1j 11 дней назад

      Ivi huyu wa pili ndio hajazaa na mzee Tarimo wanasema mtoto sio wa Tarimo

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 11 дней назад +1

    Fuatilia habari vizuri ili utoe taarifa iliyo sahihi. Hapo ni mbali na wanapoishi. Na baba hayupo ni mgonjwa yupo nairobi.

  • @mankamushi4588
    @mankamushi4588 11 дней назад +1

    Alitakiwa mtoto wa bariki apewe shamba ambalo baba yake amezikiwa hapo hizo ndio Mila Cha kichaga

  • @hadiaw1431
    @hadiaw1431 11 дней назад +1

    huyo mama ukimuangalia usoni tu sura inamtambulisha roho yke mbay

  • @JamilaMohammed-n8n
    @JamilaMohammed-n8n 11 дней назад

    Assalamu Allaaeykumu

  • @mankamushi4588
    @mankamushi4588 11 дней назад

    Huo ni unafiki

  • @JamilaMohammed-n8n
    @JamilaMohammed-n8n 11 дней назад

    odo mkuu hamjambo