Mama wa kambo akaruhusu mtoto wa mke mwenzie azikiwe kwenye chemba! Tena mbaya zaidi mama yake ni marehemu😭 huyu mama sio wa kawaida kabisa, ana roho ngumu sana
Nyie mnachanganya, wanawake wako 2 . Wakwanza yuko kule alikokua anakaa Bariki( Elikirowa) na ndie aliyekua anakaa Kenya, aliyekataa msiba usiwepo pale na Huyu wa kwenye Bar , Baby mama(Joyce) alikua akikaa kwenye nyumba ya urithi ya Bariki. Wanawake wote 2 wana Roho mbaya.
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV NA UTUTUMIE HABARI ZA MTAANI KWAKO chat.whatsapp.com/FeLe2DcIFAg...
Mama wa kambo akaruhusu mtoto wa mke mwenzie azikiwe kwenye chemba! Tena mbaya zaidi mama yake ni marehemu😭 huyu mama sio wa kawaida kabisa, ana roho ngumu sana
Nyie mnachanganya, wanawake wako 2 . Wakwanza yuko kule alikokua anakaa Bariki( Elikirowa) na ndie aliyekua anakaa Kenya, aliyekataa msiba usiwepo pale na Huyu wa kwenye Bar , Baby mama(Joyce) alikua akikaa kwenye nyumba ya urithi ya Bariki. Wanawake wote 2 wana Roho mbaya.
Ivi huyu wa pili ndio hajazaa na mzee Tarimo wanasema mtoto sio wa Tarimo
Fuatilia habari vizuri ili utoe taarifa iliyo sahihi. Hapo ni mbali na wanapoishi. Na baba hayupo ni mgonjwa yupo nairobi.
Kweli hawana habari sahihi!
Alitakiwa mtoto wa bariki apewe shamba ambalo baba yake amezikiwa hapo hizo ndio Mila Cha kichaga
huyo mama ukimuangalia usoni tu sura inamtambulisha roho yke mbay
Assalamu Allaaeykumu
Huo ni unafiki
odo mkuu hamjambo