Christina Mwagala nampongeza sana. Huyu ndiyo chanzo cha kuujaza uwanja na kwa sasa Ukimtoa Ahamed Ally katika usemaji wa timu. Basi Christina Mwagala. 🎉🎉🎉🎉 yake. This is Simba Mama
Ongera cristina. Kwanza kwa kukubali matokeo. Piya umefanikiwa kuujaza uwanja. Maana tunajuwa kererezote zile ilikuwa lengo uujaze uwanja. Nahilo umefanikiwaa. Hii ndio ubaya ubwela 😅😅😅😅
VIEWS Zaidi ya laki 1 kwa siku Moja. AISEE HUYU MWAGALA ANAWEZA KUWA MKUBWA KULIKO KAMWE NA AHMED,,, nimeamin kuwa wale wanabebwa na BRANDS.. Big Up sana TINA
Hongera zake, anafaa kuwa msemaji. Amechangamsha mechi kwa kiasi kikubwa tu. Mungu akubariki
Aende zake fyuuuu
Yeaah sure kaleta hamsha hamsha, kaleta tation kubwa, ndo maana watu wamejitokeza,
Hongera sana msemaji uko profinal wasemaji engine wanatakiwa wajifuze kitu kwa huyu msemaji wa tabora
Washabiki wa Ubaya Ubwela❤tujuane kwenye like wameshenyetwa Tabora lkn wamenuna Mwakakundi fc
Ety ilikua iwageukie Simba huyu mshangazi anumwa na mavi mwakani xo mbaki
Unajitahidi sana mama kutetea kazi yako, Hongera kwa kuwa msemaji wa Tabora.
Christina Mwagala nampongeza sana. Huyu ndiyo chanzo cha kuujaza uwanja na kwa sasa Ukimtoa Ahamed Ally katika usemaji wa timu. Basi Christina Mwagala. 🎉🎉🎉🎉 yake. This is Simba Mama
Hata asingeongea uwanja ungejaa Simba wana Mashabiki kila sehemu
Sahihi
😂😂😂😂
Vizuri kaipongeza Simba
@@angellomarcel5677 Amini nakwambia kujaa kwa uwanja kumechagizwa sana na huyo Dada. Maana kaifanya mechi izumgumuzwe sana
Unajitahidi sana semaji uko vizuri sana mama🏅
Kubishana na mwanamke n dhambi ndio maana tulikua tunakuangalia tu mamaaa...pole tunawapenda mama zetu
Uko vizuri dada hongera sana.😂😂😂 umechangamsha mechi
Mnajiliwaza tu
@@neemamwijage tunajiliwaza na nini
Hiyo kaz ya msemaj hakosi cha kuongea upo vzr😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hongera semaji wa Tabora
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂helaaa za watu ludisheni
Wewe mwenyewe umefurahi kufungwa na simba
Umemuone ee😅
Ety tabora tumefungwa lakini tumejaza uwanja😂😂😂😂😂
ok uko sawa dada lakini juma mwiko wanakusubilia kulipa kisasi tena sio kisasi wanampango kukuzalilisha
Sema kanaongea kiprofessianal sanaaaa
Hongera dada umeongea vizuri mno.
Hiv kaolewa huyo kama vip tuopoe maana alitujambisha dah😂😂
Msimbe tuuu
Huyu ukimchunguza vizuri ni shabiki WA Simba 😂😂😂😂
Hongera mama maana na wewe umefurahia kufungwa 😮
Waoooooh hongera Christina sasa umeshakomaa kimpira
Tumekufanyia ubaya ubwela 🦁 🦁❤❤❤
Christina Sasa unajua Mpira hongela Sana umekomaa
Ongera cristina. Kwanza kwa kukubali matokeo. Piya umefanikiwa kuujaza uwanja. Maana tunajuwa kererezote zile ilikuwa lengo uujaze uwanja. Nahilo umefanikiwaa. Hii ndio ubaya ubwela 😅😅😅😅
Nyie mshukuruni Gamond!
Hongera Nyiingi
Shida ya kuwa na kizazi cha karibu!. Muda wote unawashwa
VIEWS Zaidi ya laki 1 kwa siku Moja.
AISEE HUYU MWAGALA ANAWEZA KUWA MKUBWA KULIKO KAMWE NA AHMED,,, nimeamin kuwa wale wanabebwa na BRANDS.. Big Up sana TINA
Dada msalimie afande wangu afande abwao mwambie nampenda sn ni kiongozi bora kwangu❤❤❤❤
Hongera mama
Hongera sana umeikubali simba
Huna lolote rudisheni pesa za watu😂😂😂😂😂😂
😂😂
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Hongera,wewe si kama ,,,unafaa kuwa msemaj
Dada upo good mi bianafsi yangu nime kuelewa👏👏👏
Yeaah kijitahida sana game imekuwa na amasa kubwa sana
Hongeraaa saaaana mama unakomaaa
Hongera mshangazi😢😂
Hongera uwanja umejaa mama
Safi sana kweli unajua kusema na kutishia tuliogopa kweli. Wewe unastahili
😂😂😂😂
😂😂😂
Simba laha jaman jaman❤❤
Daaah haya bhana
Pumbavuu huyo
Sorokoto
Utafungwa na Simba
Ukitaka usitake
Nyauuuuu Wewe
Dada upo vzr
Yaan ww ndo ukamfunge simba kweli
Simba yenye Camara golini kweli
Hii simba ni nyingine sana
🎉🎉🎉🎉🎉 mwanamke unapambna
Safi sana unafaa kuwa msemaji upo vzr
Alafu Leo umependeza sana 😊😊😊😊
Safii saana Madame
Mimi nawakubali sana Tabora United wanacheza kimbinu, kasi Kila timu ikipita kwake wanawatwanga😂😂😂😂
🎉 hongera dada
Kamdomo wew
Ukifungwa una sauti nzuriii
Tunahifadhi maneno yako🙌
Tabora mmejaza uwanja au mechi imejaza uwanja??? Dah kweli mwanamke mdomo unao
Umeanza kuongeza vizuri ila katikati umehalibu Simba nikubwa sio 🐸🐸🐸 Christina hii ndio simba usijifaliji
Nbc standing
HUYU DADA ANAJUA KUCHANGAMSHA MECHI LEO UWANJA UMEJAA KWASABABU YAKE HONGERA MSEMAJI UNAJUA SANA KUHAMASISHA
Mashabiki wa Simba ndio wamejazwa na huyu?
@bahatimshali2731 ndiyo ana akili sana huyu dada
Mashabiki waliojaza uwanja siyonwa Tabora utd bali Simba sc
Ni wa yanga, waliamini Ubwela watapoteza dhidi ya Tabora.
Pole sana sisi nyuki tunakumbati na tunawapiga busu
Nimecheka sana Kwa sauti
Kweliii unasitahiri kuwa maemaji umeongea vitu vya maana sana
Pole yako
Tokaaaa weeee kwani hamkujuaaaa tunakichapaaa leo😂😂😂😂 kavueee chupiiii ukooo
mungu akubaliki dada kamdomo kwisha
Wewe ni msemaji bora sana
Huna jipya.. used ww..
Kaaaw KIMYAAAAA. Ushakua mdebwedo.
Dada anafaa sana analeta amsha amsha SANA kwenye ligi
Mdom umekuponz 😂😂😂
Huyu dada yupo vzr so hongera kwake
Huyu dada amechanganyikiwa daaa japo mimi ni mshabiki wa yanga.😂
Namkubari semaji
Nyuki anakumbatiwa, vipi Fadlu ana mbinu za kumkumbatia😂😂
Nyuki amekumbatiwa😂😂
Inavoonyesha uyu dada wakati wa tendo uwa hanajamba sana😂😂😂😂
Kumbe leo Simba wamecheza na wanawake wa tabora.
Hamna kitu wew nenda kalale
Safi sana simba guvu moja.
Mashindano gani hiyo game ilikuwa ni harusi😮😮😮😮😮😮auuuu
WE UNAMJUA SIMBA MNYAMA ,SIMBA WA KIMATAIFA MNYAMA MNYAMA KA MDOMO , TUNAOMBA ZILE MILLION 50 zetu
Nataka nikuoeee mimi pasi milioni ana mke tena kwa ndoa RC
Kajitahidi sana jamani angalia uwanja ulivyojaaa ni kazi yake hongera sana ila simba siyo ya kuodharau mam
Waliojaa ni Simba
Pole sana mwanamke
Kamdomoooooo😂
Duru inayokuja tena😂😂😂😂
Ww mama ww kweli we ni mshangazi
😅😅😅😅 pole n
Huyu dada msemaji bora sana
Nampongeza sana huyu dada anaweza sana kufanya hamasa ya mpira. Anatakiwa atafutiwe ofisi hata pale TFF. Simba nguvu moja
Unawapongeza mashabiki wenu wapi😂😂😂
Umekubali unajitapaga mno
Kumbe Dem mwenyewe ni pisi Kari namna hii!?, dah!, me nampenda huyu😍
Gwee Ugweee kalumbu gwandile kangi...
Dada anaongea huyuu, haon ata aibu 😅😅
Ha ha ha ha 😂😂😂😂 nyie my wetu
Wanaume wa daa
Duru ndo nin🦁
Ongera dada leo umekuwa msemaji halali kabisa
Unaongea vizuri juu kichapo ushaapata
Msenge kweli ww
Mmepewa hela
Msenge simba ni kubwa sana usidananishe na katimu chako cha mchongo
😂😂pole sana
Huyu dada ana njia poa sana zakiusemaji