MWAGALA (MSEMAJI WA TABORA): ADAI, "SIMBA WAMETUOTEA" | AWAGUSIA YANGA | NBCPL: TABORA UTD 0-3 SIMBA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 фев 2025

Комментарии • 586

  • @denisjoseph8754
    @denisjoseph8754 6 дней назад +48

    Hongera zake, anafaa kuwa msemaji. Amechangamsha mechi kwa kiasi kikubwa tu. Mungu akubariki

    • @angellomarcel5677
      @angellomarcel5677 6 дней назад

      Aende zake fyuuuu

    • @edwinechrizestom
      @edwinechrizestom 6 дней назад +1

      Yeaah sure kaleta hamsha hamsha, kaleta tation kubwa, ndo maana watu wamejitokeza,

  • @kombojuma312
    @kombojuma312 6 дней назад +11

    Hongera sana msemaji uko profinal wasemaji engine wanatakiwa wajifuze kitu kwa huyu msemaji wa tabora

  • @MATEOJOSEPH-nc8gf
    @MATEOJOSEPH-nc8gf 6 дней назад +19

    Washabiki wa Ubaya Ubwela❤tujuane kwenye like wameshenyetwa Tabora lkn wamenuna Mwakakundi fc

    • @EliasMolell-xx5nz
      @EliasMolell-xx5nz 6 дней назад

      Ety ilikua iwageukie Simba huyu mshangazi anumwa na mavi mwakani xo mbaki

  • @SalumMbongo
    @SalumMbongo 6 дней назад +17

    Unajitahidi sana mama kutetea kazi yako, Hongera kwa kuwa msemaji wa Tabora.

  • @Jumamaduka240
    @Jumamaduka240 6 дней назад +27

    Christina Mwagala nampongeza sana. Huyu ndiyo chanzo cha kuujaza uwanja na kwa sasa Ukimtoa Ahamed Ally katika usemaji wa timu. Basi Christina Mwagala. 🎉🎉🎉🎉 yake. This is Simba Mama

    • @angellomarcel5677
      @angellomarcel5677 6 дней назад +7

      Hata asingeongea uwanja ungejaa Simba wana Mashabiki kila sehemu

    • @FahadAbubakari-y3f
      @FahadAbubakari-y3f 6 дней назад +2

      Sahihi

    • @bahatimshali2731
      @bahatimshali2731 6 дней назад

      😂😂😂😂

    • @badendavid8456
      @badendavid8456 6 дней назад

      Vizuri kaipongeza Simba

    • @Jumamaduka240
      @Jumamaduka240 6 дней назад +2

      @@angellomarcel5677 Amini nakwambia kujaa kwa uwanja kumechagizwa sana na huyo Dada. Maana kaifanya mechi izumgumuzwe sana

  • @PaulElias-w3w
    @PaulElias-w3w 6 дней назад +6

    Unajitahidi sana semaji uko vizuri sana mama🏅

  • @Ibrahim-ne3in
    @Ibrahim-ne3in 6 дней назад +15

    Kubishana na mwanamke n dhambi ndio maana tulikua tunakuangalia tu mamaaa...pole tunawapenda mama zetu

  • @CikeTanzania
    @CikeTanzania 6 дней назад +4

    Uko vizuri dada hongera sana.😂😂😂 umechangamsha mechi

  • @sigfridchristian1890
    @sigfridchristian1890 6 дней назад +5

    Hiyo kaz ya msemaj hakosi cha kuongea upo vzr😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @EdwardKatana-h7m
    @EdwardKatana-h7m 6 дней назад +2

    Hongera semaji wa Tabora

  • @RamadhanMwahingi
    @RamadhanMwahingi 6 дней назад +9

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂helaaa za watu ludisheni

  • @khanjosph7226
    @khanjosph7226 6 дней назад +13

    Wewe mwenyewe umefurahi kufungwa na simba

  • @khamismassoud8533
    @khamismassoud8533 6 дней назад +3

    Ety tabora tumefungwa lakini tumejaza uwanja😂😂😂😂😂

  • @NyasanaTv-ol4ix
    @NyasanaTv-ol4ix 6 дней назад +4

    ok uko sawa dada lakini juma mwiko wanakusubilia kulipa kisasi tena sio kisasi wanampango kukuzalilisha

  • @aminiunambwe7768
    @aminiunambwe7768 6 дней назад +10

    Sema kanaongea kiprofessianal sanaaaa

  • @geoffreywilliam6225
    @geoffreywilliam6225 6 дней назад +4

    Hongera dada umeongea vizuri mno.

  • @habibuhabibu9728
    @habibuhabibu9728 6 дней назад +7

    Hiv kaolewa huyo kama vip tuopoe maana alitujambisha dah😂😂

  • @DavidMbwilo-qk1bz
    @DavidMbwilo-qk1bz 6 дней назад +5

    Huyu ukimchunguza vizuri ni shabiki WA Simba 😂😂😂😂

  • @elizeusrwilanga7786
    @elizeusrwilanga7786 6 дней назад +3

    Hongera mama maana na wewe umefurahia kufungwa 😮

  • @peteromary8764
    @peteromary8764 6 дней назад +2

    Waoooooh hongera Christina sasa umeshakomaa kimpira

  • @HusnatShabani
    @HusnatShabani 5 дней назад

    Tumekufanyia ubaya ubwela 🦁 🦁❤❤❤

  • @benitx994
    @benitx994 6 дней назад

    Christina Sasa unajua Mpira hongela Sana umekomaa

  • @hassanyassin-ny3qh
    @hassanyassin-ny3qh 6 дней назад +3

    Ongera cristina. Kwanza kwa kukubali matokeo. Piya umefanikiwa kuujaza uwanja. Maana tunajuwa kererezote zile ilikuwa lengo uujaze uwanja. Nahilo umefanikiwaa. Hii ndio ubaya ubwela 😅😅😅😅

  • @OS-pf6op
    @OS-pf6op 6 дней назад +1

    Nyie mshukuruni Gamond!

  • @mayengochacha483
    @mayengochacha483 6 дней назад

    Hongera Nyiingi

  • @ziahdapox3729
    @ziahdapox3729 6 дней назад +2

    Shida ya kuwa na kizazi cha karibu!. Muda wote unawashwa

  • @saxannjo6173
    @saxannjo6173 5 дней назад

    VIEWS Zaidi ya laki 1 kwa siku Moja.
    AISEE HUYU MWAGALA ANAWEZA KUWA MKUBWA KULIKO KAMWE NA AHMED,,, nimeamin kuwa wale wanabebwa na BRANDS.. Big Up sana TINA

  • @MacrinaKanyaruju
    @MacrinaKanyaruju 6 дней назад

    Dada msalimie afande wangu afande abwao mwambie nampenda sn ni kiongozi bora kwangu❤❤❤❤

  • @YonahLemaxhon
    @YonahLemaxhon 6 дней назад +1

    Hongera mama

  • @victuskimario5586
    @victuskimario5586 6 дней назад

    Hongera sana umeikubali simba

  • @JoseHaule-tx7lu
    @JoseHaule-tx7lu 6 дней назад +11

    Huna lolote rudisheni pesa za watu😂😂😂😂😂😂

  • @NICASMBORE
    @NICASMBORE 6 дней назад

    Hongera,wewe si kama ,,,unafaa kuwa msemaj

  • @IdrisamoAllyNado_24
    @IdrisamoAllyNado_24 6 дней назад

    Dada upo good mi bianafsi yangu nime kuelewa👏👏👏

    • @edwinechrizestom
      @edwinechrizestom 6 дней назад

      Yeaah kijitahida sana game imekuwa na amasa kubwa sana

  • @AllyMohamed-w5x
    @AllyMohamed-w5x 6 дней назад

    Hongeraaa saaaana mama unakomaaa

  • @WilbrodClaud
    @WilbrodClaud 6 дней назад

    Hongera mshangazi😢😂

  • @Mumlion2624
    @Mumlion2624 6 дней назад

    Hongera uwanja umejaa mama

  • @chedielimrutu6955
    @chedielimrutu6955 6 дней назад +1

    Safi sana kweli unajua kusema na kutishia tuliogopa kweli. Wewe unastahili

  • @PulvatgidionlamekPulvatglamek
    @PulvatgidionlamekPulvatglamek 6 дней назад +2

    Simba laha jaman jaman❤❤

  • @DaudMakoyejr
    @DaudMakoyejr 6 дней назад

    Daaah haya bhana

  • @nasseralhatmi1762
    @nasseralhatmi1762 6 дней назад +3

    Pumbavuu huyo
    Sorokoto
    Utafungwa na Simba
    Ukitaka usitake
    Nyauuuuu Wewe

  • @antonyndinga8890
    @antonyndinga8890 6 дней назад

    Dada upo vzr

  • @SittajrAndrea
    @SittajrAndrea 6 дней назад +1

    Yaan ww ndo ukamfunge simba kweli
    Simba yenye Camara golini kweli
    Hii simba ni nyingine sana

  • @eliasmsitapher449
    @eliasmsitapher449 6 дней назад

    🎉🎉🎉🎉🎉 mwanamke unapambna

  • @jameskilasi5131
    @jameskilasi5131 6 дней назад

    Safi sana unafaa kuwa msemaji upo vzr

  • @ImmanuelMwakibinga
    @ImmanuelMwakibinga 6 дней назад

    Alafu Leo umependeza sana 😊😊😊😊

  • @mayengochacha483
    @mayengochacha483 6 дней назад +4

    Safii saana Madame

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 6 дней назад

    Mimi nawakubali sana Tabora United wanacheza kimbinu, kasi Kila timu ikipita kwake wanawatwanga😂😂😂😂

  • @KhusseinahmadKhamis
    @KhusseinahmadKhamis 6 дней назад

    🎉 hongera dada

  • @AllenOsitin-i5w
    @AllenOsitin-i5w 6 дней назад +3

    Kamdomo wew

  • @RasMsimbazi
    @RasMsimbazi 6 дней назад

    Ukifungwa una sauti nzuriii

  • @ManaseJubilate-kk2gz
    @ManaseJubilate-kk2gz 5 дней назад

    Tunahifadhi maneno yako🙌

  • @AdamNdaki-n6q
    @AdamNdaki-n6q 6 дней назад

    Tabora mmejaza uwanja au mechi imejaza uwanja??? Dah kweli mwanamke mdomo unao

  • @peterkaombwe6251
    @peterkaombwe6251 6 дней назад +1

    Umeanza kuongeza vizuri ila katikati umehalibu Simba nikubwa sio 🐸🐸🐸 Christina hii ndio simba usijifaliji

  • @gidionjohn3065
    @gidionjohn3065 6 дней назад +1

    Nbc standing

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 6 дней назад +1

    HUYU DADA ANAJUA KUCHANGAMSHA MECHI LEO UWANJA UMEJAA KWASABABU YAKE HONGERA MSEMAJI UNAJUA SANA KUHAMASISHA

  • @sethjohnson7266
    @sethjohnson7266 6 дней назад +4

    Mashabiki waliojaza uwanja siyonwa Tabora utd bali Simba sc

    • @furahachuma9039
      @furahachuma9039 6 дней назад

      Ni wa yanga, waliamini Ubwela watapoteza dhidi ya Tabora.

  • @ImaniMogha
    @ImaniMogha 6 дней назад

    Pole sana sisi nyuki tunakumbati na tunawapiga busu

  • @JustinMwanawima
    @JustinMwanawima 6 дней назад

    Nimecheka sana Kwa sauti

  • @rajabuhassan1932
    @rajabuhassan1932 6 дней назад

    Kweliii unasitahiri kuwa maemaji umeongea vitu vya maana sana

  • @MapesaIdd
    @MapesaIdd 6 дней назад

    Pole yako

  • @RamadhanMwahingi
    @RamadhanMwahingi 6 дней назад

    Tokaaaa weeee kwani hamkujuaaaa tunakichapaaa leo😂😂😂😂 kavueee chupiiii ukooo

  • @IsayaGarimoshi-x1u
    @IsayaGarimoshi-x1u 6 дней назад +1

    mungu akubaliki dada kamdomo kwisha

  • @LaurentMagesa-iv5yt
    @LaurentMagesa-iv5yt 6 дней назад +4

    Wewe ni msemaji bora sana

  • @Jerie-q1c
    @Jerie-q1c 6 дней назад

    Dada anafaa sana analeta amsha amsha SANA kwenye ligi

  • @leejems142
    @leejems142 6 дней назад +2

    Mdom umekuponz 😂😂😂

  • @SalumMwinyi-h7i
    @SalumMwinyi-h7i 6 дней назад

    Huyu dada yupo vzr so hongera kwake

  • @Last403
    @Last403 6 дней назад

    Huyu dada amechanganyikiwa daaa japo mimi ni mshabiki wa yanga.😂

  • @KivumaTalha
    @KivumaTalha 6 дней назад

    Namkubari semaji

  • @zakaria924
    @zakaria924 6 дней назад

    Nyuki anakumbatiwa, vipi Fadlu ana mbinu za kumkumbatia😂😂

  • @godfreymanento2810
    @godfreymanento2810 6 дней назад

    Nyuki amekumbatiwa😂😂

  • @shaphiasabani5760
    @shaphiasabani5760 6 дней назад

    Inavoonyesha uyu dada wakati wa tendo uwa hanajamba sana😂😂😂😂

  • @sabasminazi5169
    @sabasminazi5169 6 дней назад

    Kumbe leo Simba wamecheza na wanawake wa tabora.

  • @YusufOmar-hh3xx
    @YusufOmar-hh3xx 6 дней назад +1

    Hamna kitu wew nenda kalale

  • @FaustineAlphonce
    @FaustineAlphonce 6 дней назад

    Safi sana simba guvu moja.

  • @HenryRichard-z1f
    @HenryRichard-z1f 6 дней назад

    Mashindano gani hiyo game ilikuwa ni harusi😮😮😮😮😮😮auuuu

  • @geofreymlegimusimu
    @geofreymlegimusimu 6 дней назад

    WE UNAMJUA SIMBA MNYAMA ,SIMBA WA KIMATAIFA MNYAMA MNYAMA KA MDOMO , TUNAOMBA ZILE MILLION 50 zetu

  • @deusmasomi1091
    @deusmasomi1091 6 дней назад

    Nataka nikuoeee mimi pasi milioni ana mke tena kwa ndoa RC

  • @abelimaganga417
    @abelimaganga417 6 дней назад +1

    Kajitahidi sana jamani angalia uwanja ulivyojaaa ni kazi yake hongera sana ila simba siyo ya kuodharau mam

  • @BernadDimosso-h6c
    @BernadDimosso-h6c 6 дней назад

    Pole sana mwanamke

  • @pastordominicmabula6363
    @pastordominicmabula6363 6 дней назад +2

    Kamdomoooooo😂

  • @yohanakananika3586
    @yohanakananika3586 6 дней назад

    Duru inayokuja tena😂😂😂😂

  • @amanikingu2267
    @amanikingu2267 6 дней назад

    Ww mama ww kweli we ni mshangazi

  • @EmmanuelMwita-vr4qz
    @EmmanuelMwita-vr4qz 6 дней назад

    😅😅😅😅 pole n

  • @JacksonMbites
    @JacksonMbites 6 дней назад

    Huyu dada msemaji bora sana

  • @LuandaRamadhan
    @LuandaRamadhan 6 дней назад

    Nampongeza sana huyu dada anaweza sana kufanya hamasa ya mpira. Anatakiwa atafutiwe ofisi hata pale TFF. Simba nguvu moja

  • @SalumKhamiss
    @SalumKhamiss 6 дней назад

    Unawapongeza mashabiki wenu wapi😂😂😂

  • @lightnessjulius-b1e
    @lightnessjulius-b1e 6 дней назад

    Umekubali unajitapaga mno

  • @OmaryMaliba
    @OmaryMaliba 6 дней назад

    Kumbe Dem mwenyewe ni pisi Kari namna hii!?, dah!, me nampenda huyu😍

  • @jamesmwabhongolo5482
    @jamesmwabhongolo5482 6 дней назад

    Gwee Ugweee kalumbu gwandile kangi...

  • @JofraySabath
    @JofraySabath 6 дней назад

    Dada anaongea huyuu, haon ata aibu 😅😅

  • @abdulkarimmahmoud8499
    @abdulkarimmahmoud8499 6 дней назад

    Ha ha ha ha 😂😂😂😂 nyie my wetu

  • @ShukuTete-wb1fp
    @ShukuTete-wb1fp 6 дней назад +2

    Wanaume wa daa

  • @Jayseruog-mu6vx
    @Jayseruog-mu6vx 6 дней назад

    Duru ndo nin🦁

  • @ClemenceShooo
    @ClemenceShooo 6 дней назад

    Ongera dada leo umekuwa msemaji halali kabisa

  • @KijanaMollel-zj2cs
    @KijanaMollel-zj2cs 6 дней назад

    Unaongea vizuri juu kichapo ushaapata

  • @zakajose
    @zakajose 6 дней назад

    Msenge kweli ww

  • @mudymudy-ki7ie
    @mudymudy-ki7ie 5 дней назад

    Mmepewa hela

  • @rashidinjama3546
    @rashidinjama3546 6 дней назад

    Msenge simba ni kubwa sana usidananishe na katimu chako cha mchongo

  • @XhebbyCrown
    @XhebbyCrown 6 дней назад

    😂😂pole sana

  • @SALIMMUUNGWANA-he9it
    @SALIMMUUNGWANA-he9it 6 дней назад

    Huyu dada ana njia poa sana zakiusemaji