Mummy hupendi outskirts like utawala and kitengela or ruiru ,mm hawa akina south b anga sijui south nani ,i find the extremely expensive and not very good looking.....Kuna apartments apa shell kitengela za 30k weeeeh u will think uko heaven,the interior is to die for
Kwani izi nyumba zinajengwa nairobi mingi ivi unataka akina nani wishing..?? Mummy hama ata ukipenda kila wiki raha jipe mwenyewe alafu mummie ni mfanyi biashara mizigo pia ipate starehe
@@melvinomari5694 borake mbaba hajaenda live tiktok ama kuitisha press conference ama ku upload video akikomplain kwamba amechoshwa na mummie....sisi binadamu tu Acha mummie afurahie maisha yake jamani istoshe mummie hajatwambia anataka msaada wa rent mbona ueke mbaba kwa hii mix jamani tujifunze kufurahi wakati wenzetu wanafanikiwa .......nisamehe incase nmekukwaza kwa njia yeyote dadangu
@@melvinomari5694Aaaaai sweety umeenda too far...kwani unaishi nao mpaka ukajua mbaba wake amemvumilia sana...maybe ata ilikua decision ya mbaba kuwa wahame...aki watu
Mummy hupendi outskirts like utawala and kitengela or ruiru ,mm hawa akina south b anga sijui south nani ,i find the extremely expensive and not very good looking.....Kuna apartments apa shell kitengela za 30k weeeeh u will think uko heaven,the interior is to die for
Try Nyayo estate in Embakasi.
Very clean estate, very specious houses na 3 bedroom between 35k na 40k.
Second Last house nop, not sufficient light, too small,, naaah
2nd house i love it this is the exact house am telling God about🙏so help me God
The second house is perfect ma shaa Allah
The 3rd house is dope ❤
A spacious kitchen goes along way
Okay kuna infuencers to be looked upto but mummie is just unique ❤
Hio ya makabati ya black na ile ya sliding windows view kali choose hapo
Mummie please give this job and i will deliver it for you just give me location ❤
2nd house perfect
Third house is mmmmwah🥰
Huku si Nairobi?
Nimemiss video zako za upishi
Mammy reasons za kuhama hama nnini dear.
Hassan Farouq afanya nini nai
A specious 2 bedroom house available in Ngong
Exactly where?
@@reginakiunga8053 Just few meters from the Town. Near Police station . Call me 0748649187
Wow! Pitieni Kwangu msubscribe please.
Kwani unahama kila mwezi?? Aii😊
Kwani izi nyumba zinajengwa nairobi mingi ivi unataka akina nani wishing..?? Mummy hama ata ukipenda kila wiki raha jipe mwenyewe alafu mummie ni mfanyi biashara mizigo pia ipate starehe
@@gorettyomwang4526 you talk too much sometimes huyu mbaba wake anamvumilia tu you think moving out ni cheap?? This is a waste of money
@@melvinomari5694 borake mbaba hajaenda live tiktok ama kuitisha press conference ama ku upload video akikomplain kwamba amechoshwa na mummie....sisi binadamu tu Acha mummie afurahie maisha yake jamani istoshe mummie hajatwambia anataka msaada wa rent mbona ueke mbaba kwa hii mix jamani tujifunze kufurahi wakati wenzetu wanafanikiwa .......nisamehe incase nmekukwaza kwa njia yeyote dadangu
@@melvinomari5694Aaaaai sweety umeenda too far...kwani unaishi nao mpaka ukajua mbaba wake amemvumilia sana...maybe ata ilikua decision ya mbaba kuwa wahame...aki watu