Pole sana Sugu na viongozi wengine wote wa chadema mliyopigwa na kuteswa na hao mashetani wenye laana polisi wa ccm! Naamini Mungu atafanya jambo kwa hao walaaniwa! Ni wakati wa Mungu ukifika Mungu atatoa majibu yake! Mungu akulinde Joseph na awalinde,awatunze na wapambanaji wengine wote daima,Ameni.
Ibada hii ni sehemu ya shukrani kwa Mungu tusiyemuona lakini wote tulioko chini ya mbingu hii tuko chini yake bila kujali ukuu wowote wa dunia hii wajue kuwa shukrani ni pamoja na kupannda laana mbaya dhidi ya vizazi vi4 vya wanaotenda haya! Wajiulize kuna faida gani kumiliki fahari za dunia tukaacha laana ya kuuana wenyewe kwa wenyewr ndani uzao wetu vizazi vinne baadae?!!
Police ndio tegemeo la wananchi la Ulinzi Lkn Sasa limegeuka Kuwa adui Mimi SIo Mtu Wa siasa Lkn namuomba MUNGU aingilie kati Tanzania hii SIo Ile ya Nyerere imebadirika mno
Sambamba na Hilo,Kuna changamoto kwa baazi ya viongozi kata ya kawe,Kanda ya mikocheni,Wana miss use nafasi zao zauongozi kunyanyasa,nakunyanyapaa wanachama wageni,sambamba nakuzurumu wanachama wachanga,sijui viongozi mtalikemeaje hili/hiki kitendo
Pole sana Sugu na viongozi wengine wote wa chadema mliyopigwa na kuteswa na hao mashetani wenye laana polisi wa ccm! Naamini Mungu atafanya jambo kwa hao walaaniwa! Ni wakati wa Mungu ukifika Mungu atatoa majibu yake! Mungu akulinde Joseph na awalinde,awatunze na wapambanaji wengine wote daima,Ameni.
Pole sana kamanda wetu Mungu akuongezee miaka 200 mtetez wawanyonge. Ubarikiwe sn.
Mungu awe na viongozi wetu wote wachadema,awalinde nakuwatunza,awapatie maisha marefu yenye afya tele, INSHALLAH,AMINA
Pole zangu nyingi kwa mdogo wangu SUGU.
Stay blessed Mh. Sugu
Amen 🙏
Ibada hii ni sehemu ya shukrani kwa Mungu tusiyemuona lakini wote tulioko chini ya mbingu hii tuko chini yake bila kujali ukuu wowote wa dunia hii wajue kuwa shukrani ni pamoja na kupannda laana mbaya dhidi ya vizazi vi4 vya wanaotenda haya! Wajiulize kuna faida gani kumiliki fahari za dunia tukaacha laana ya kuuana wenyewe kwa wenyewr ndani uzao wetu vizazi vinne baadae?!!
Stand up with Justice being witnesses for God. And then even if it is against your own people. (Qur'an 4:135)
Kweli ndugu, ujumbe wako ni sahihi na umefika.
Mungu ni mwema
Pole sana kwauvamizi hio, ila naomba kuelewa jambo moja. MH Sugu alisafirishwa hadi Iringa Wewe Katibu unasema Adi Dar hii inamaanagani.?
Police ndio tegemeo la wananchi la Ulinzi Lkn Sasa limegeuka Kuwa adui Mimi SIo Mtu Wa siasa Lkn namuomba MUNGU aingilie kati Tanzania hii SIo Ile ya Nyerere imebadirika mno
Anastahili Sifa, Heshima na Utukufu Bwana wa Majeshi wa Israeli
Sambamba na Hilo,Kuna changamoto kwa baazi ya viongozi kata ya kawe,Kanda ya mikocheni,Wana miss use nafasi zao zauongozi kunyanyasa,nakunyanyapaa wanachama wageni,sambamba nakuzurumu wanachama wachanga,sijui viongozi mtalikemeaje hili/hiki kitendo
Hapo sasa ndo mmejua, mngeteseka sana, hapa hapa hyo ibada inamatokeo hv punde kwa afande awadhi
🙏🙏🙏
Sasa police Huwa wanatumwa kweli? au wanajifanyia wenyewe TU Jibu Hata sipati
Wanatumwa kabisa. Wasingeyumwa tungeons hatua ikichukuliwa dhidi Yao lakini ni kimya na usije kushangaa wakipanda cheo hivi punde
MUNGU atutangulie daima
Mmhhhh