SUGU ASIMULIA KUKAMATWA KWAKE AFANYA IBADA,VIONGOZI WENZAKE WAFUNGUKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 сен 2024

Комментарии • 20

  • @usembiphonedar5632
    @usembiphonedar5632 17 дней назад +1

    Pole sana Sugu na viongozi wengine wote wa chadema mliyopigwa na kuteswa na hao mashetani wenye laana polisi wa ccm! Naamini Mungu atafanya jambo kwa hao walaaniwa! Ni wakati wa Mungu ukifika Mungu atatoa majibu yake! Mungu akulinde Joseph na awalinde,awatunze na wapambanaji wengine wote daima,Ameni.

  • @rithaurassa
    @rithaurassa 19 дней назад +4

    Pole sana kamanda wetu Mungu akuongezee miaka 200 mtetez wawanyonge. Ubarikiwe sn.

  • @esthermakelemo2864
    @esthermakelemo2864 19 дней назад +4

    Mungu awe na viongozi wetu wote wachadema,awalinde nakuwatunza,awapatie maisha marefu yenye afya tele, INSHALLAH,AMINA

  • @lucaslyaruu8244
    @lucaslyaruu8244 18 дней назад

    Pole zangu nyingi kwa mdogo wangu SUGU.

  • @paulremigiuspaul3293
    @paulremigiuspaul3293 19 дней назад +1

    Stay blessed Mh. Sugu

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 19 дней назад +2

    Ibada hii ni sehemu ya shukrani kwa Mungu tusiyemuona lakini wote tulioko chini ya mbingu hii tuko chini yake bila kujali ukuu wowote wa dunia hii wajue kuwa shukrani ni pamoja na kupannda laana mbaya dhidi ya vizazi vi4 vya wanaotenda haya! Wajiulize kuna faida gani kumiliki fahari za dunia tukaacha laana ya kuuana wenyewe kwa wenyewr ndani uzao wetu vizazi vinne baadae?!!

  • @paulremigiuspaul3293
    @paulremigiuspaul3293 19 дней назад +1

    Stand up with Justice being witnesses for God. And then even if it is against your own people. (Qur'an 4:135)

  • @CharlesMarupa
    @CharlesMarupa 18 дней назад

    Kweli ndugu, ujumbe wako ni sahihi na umefika.

  • @bukurunestory3540
    @bukurunestory3540 18 дней назад

    Mungu ni mwema

  • @michaelmagwaza-bc6mk
    @michaelmagwaza-bc6mk 15 дней назад

    Pole sana kwauvamizi hio, ila naomba kuelewa jambo moja. MH Sugu alisafirishwa hadi Iringa Wewe Katibu unasema Adi Dar hii inamaanagani.?

  • @GraceMalley-ly2xn
    @GraceMalley-ly2xn 19 дней назад +1

    Police ndio tegemeo la wananchi la Ulinzi Lkn Sasa limegeuka Kuwa adui Mimi SIo Mtu Wa siasa Lkn namuomba MUNGU aingilie kati Tanzania hii SIo Ile ya Nyerere imebadirika mno

  • @bukurunestory3540
    @bukurunestory3540 18 дней назад

    Anastahili Sifa, Heshima na Utukufu Bwana wa Majeshi wa Israeli

  • @esthermakelemo2864
    @esthermakelemo2864 19 дней назад +2

    Sambamba na Hilo,Kuna changamoto kwa baazi ya viongozi kata ya kawe,Kanda ya mikocheni,Wana miss use nafasi zao zauongozi kunyanyasa,nakunyanyapaa wanachama wageni,sambamba nakuzurumu wanachama wachanga,sijui viongozi mtalikemeaje hili/hiki kitendo

  • @user-wj6zj1ly4e
    @user-wj6zj1ly4e 17 дней назад

    Hapo sasa ndo mmejua, mngeteseka sana, hapa hapa hyo ibada inamatokeo hv punde kwa afande awadhi

  • @user-gc7ft9do4e
    @user-gc7ft9do4e 19 дней назад +1

    🙏🙏🙏

  • @GraceMalley-ly2xn
    @GraceMalley-ly2xn 19 дней назад +1

    Sasa police Huwa wanatumwa kweli? au wanajifanyia wenyewe TU Jibu Hata sipati

    • @LamaLama-rf6xu
      @LamaLama-rf6xu 17 дней назад

      Wanatumwa kabisa. Wasingeyumwa tungeons hatua ikichukuliwa dhidi Yao lakini ni kimya na usije kushangaa wakipanda cheo hivi punde

  • @kiberitistartv8887
    @kiberitistartv8887 19 дней назад +1

    MUNGU atutangulie daima