Nmekua wa 29😂😂😂duh yaan nyie watu kwn mwalala humu ama vp😮😮😮lkn maoni yangu mm ningependelea watu wazma vile mshawai kuishi maisha ya ndoa achaneni to ili wtt nao waingie alf nyie msubri wajukuu ama nakosea😂😂😂😂kama vp waozesheni ivo ivo kidini c ni swa cz hawajanyonya ziwa mmoja vibaya ni kunyonya ziwa mmoja to ama mashekhe wako wapi patamu hpo😮😮
Mmekaa kuombana tu 😂😂ila Mkojani haya mambo ulifanya kila kitu uwe wa kwanza wewe😂😂.....sikia sikia my daughter 😂😂😂 ila nyie watoto kuweni na adabu basi kwa nini wazazi wenu waachane😂😂😂
Uhalisia kama wataachana wazazi waoane wat0t0 pia ni fedheaha pia na kama watoto wanaona wao wana haki, mbona mwanamke kag0ma ku0lewa nd0a nyingi ili mwanae akue asije nyanyaswa na mababa wa kambo ni mapenz kias gani hay0? Pia uy0 mtoto wa mkojan amesahau mahar ya kuolea katoa baba yake mpka ikabidi baba akopeshwe mahari na mkewe mtarajiwa mana chandim alikuwa na laki 2 tuu ya mahari, mimi naona wazazi waendelee tuu, naombeni maon yenu jamn
Mkojani hapokuiloswala lakumpatalaka rahma . Kisha chandimu amuowe shamila kwakweli ninavyo ona hapo mkojani hatokubali atakuwa mtata zaidi .hapo filamu njoo inaelekeya kuwa nzuri zaidi😂😂
Kidin inafaa kuowan kwasabsbu hawajakutan baba mmoja bali nimama tofauti nababa tofauti hapo ndoa inasihi. ama ingekua wote watoto wamkojan basi isingesihi kuowana.
Akishakuwa mke wa baba yako basi huyo ni mama yako hata kama watoto ni baba tofauti na mama tofauti hapo wameshakuwa wazazi cjui dini gani hiyo lkn unayozungumzia ila ki islam haifai hata ikatokea wazee wameachana
😂😂😂 ila Mkojani anuliza Bangi inavutwa tundu gani kwa binaadamu. Abogojooo😂😂😂😅🇹🇿 Mkojani na Chandimi mnatisha🤝💪💪
Nmekua wa 29😂😂😂duh yaan nyie watu kwn mwalala humu ama vp😮😮😮lkn maoni yangu mm ningependelea watu wazma vile mshawai kuishi maisha ya ndoa achaneni to ili wtt nao waingie alf nyie msubri wajukuu ama nakosea😂😂😂😂kama vp waozesheni ivo ivo kidini c ni swa cz hawajanyonya ziwa mmoja vibaya ni kunyonya ziwa mmoja to ama mashekhe wako wapi patamu hpo😮😮
Mkojani hufanyi Hali muwache mtoto ahowe jmn😅😅😅😅😅
Jaman hawa jamaa wamejitahid sana
Mmmh ata wa baba mkubwa na baba mdogo wana owana tuache nyinyi. Chandimu nilazima aowe😅😅😅😅😅
Watoto watabakia kuwa watoto wavae nepi 😂😂😂😂😂
Usku mwema jaman😂
mkojani hawa jamaa wanaoimba kwenye movie zako wanjua san san yaan movie inanoga kwel
Sanaaaaa
Kai na baruti hawana baya kwenye kuimba
jamni mko vzr sana🙏🙏🔥
Sasa chandi utalia mpaka lini nenda kampe mimba tu😂😂
Wakwanza leo
Sikiya sikiya my daughter 😂😂😂😂😂😂
Nakubari mkojani Me from sumbawanga kijiji cha tunko
Nani mwingine kasikia kama mm mkojani akimwita chandimu my dota😂😂😂😅
Mimi nimemsikia
😂😂😂
@@YUSSUFVUAIMKANGA-kr8on cheka polepole wasikusikie wenyew😅
@@fatuma46ramadhan18 😁sawa nimekuelewa
Mmekaa kuombana tu 😂😂ila Mkojani haya mambo ulifanya kila kitu uwe wa kwanza wewe😂😂.....sikia sikia my daughter 😂😂😂 ila nyie watoto kuweni na adabu basi kwa nini wazazi wenu waachane😂😂😂
Mkojani banaa eti bangi unavuta na tundu gani mana binadamu wanatundu saba 😂😂😂
Nimewahi Kutoka Australia 🇦🇺
Na wakiisha pata furaha
😂😂 yaani mkojani na chandimu hamjawai kuwa baba na mwana wenye amani 🎉🎉 saluti
Mwa 4 yuko api jamani ndio alikua anafiti vizuri
Umeona eee! Huyu shamili domo kama shimo la nyoka anahalibu move tu
Kazi safi mkojani pamoja na Sir Moh Fii wa Moh Fii mba🎉🎉
Mtoto hujamzaa wewe mkojani inasihi
Huyo shamila mmh akifunga mdomo n mzur ila akiufungua weeeee
😂😂
😂😂😂 anakuwaje jamani
Mkojani kwa simulizi zako 😊😊😊
Sanaa
Uhalisia kama wataachana wazazi waoane wat0t0 pia ni fedheaha pia na kama watoto wanaona wao wana haki, mbona mwanamke kag0ma ku0lewa nd0a nyingi ili mwanae akue asije nyanyaswa na mababa wa kambo ni mapenz kias gani hay0? Pia uy0 mtoto wa mkojan amesahau mahar ya kuolea katoa baba yake mpka ikabidi baba akopeshwe mahari na mkewe mtarajiwa mana chandim alikuwa na laki 2 tuu ya mahari, mimi naona wazazi waendelee tuu, naombeni maon yenu jamn
Hii inamafunzo mazuri sana zaidi uzito na thamani na uzito wa mzazi na watoto wa leo walivo wakaidi, endelea sinema
Uko vizuri sanaaaa mkojan
Shamira 🔥
Shamila na chandimu lazima mmoja atapoteza mzazi wake yani naona huko mbeleni
Simulizi nzuri, pongezi mkojani na team yako.
Gang mabegan
Kaz nzur mkojan gang
Hivi huyu ni Riyama ally au wanafanana
Wanafanana thuu
Chandimu acha kumnyooshea mzee kidole
Watoto watabaki kuwa watoto wavae nepi walale 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Léo Mimi from 🇲🇿 likes
My dota bangi unavutia tundu gani kwenye mwili wako 😂😂😂😂😂😂
Team mkojani gang chandimu. Shamila. Mambo mbaya. Hatari sana 💯💯💯💯
Wavae nepi wakalale
🎉🎉🎉
Shamila Unataka 😂😂 kujiuua kisa mapenzi too toobaa
Inasihi
0:43 km
Usiku mwema Watanzania Wenzangu. Msiombe like💪 tu katika comment. Subscribe, like and share video za Mkojani💪🙏🇹🇿
Hapa ndio tunapoanguka mtihani maana ukicha kulia mwana utalia wewe kupaza sauti kwa babako, ukilazimisha jambo mwisho nikilio
Wakwaza
Ndo mnapo feli kwenye tamaduni
Shamila umrjaliwa meno mengi 48
😂
Matundu7, ila Kila nikihesabu napata6, Aliemuelewa Mkojani anisaidie
❤❤❤
Nishascoreee dah mkojani bhna😅😅😅😅
Hicho kipengele cha shamila namuona kbx mwa4 ndo alkw anafit zaid
Shamila chipukiz ila kauvalia uharisia yuko bul bul kama hakuna camera Ila mama yake apikwe kwanza bado anaongea kwa mapoz ya kuogopa camera
Riyama ally....? Anaogopa camera? Mzee uyu nahis ni mzoefu kuliko wote awa
Ati riyama ally😂@@mchox1679
@@mchox1679Sio riyama uyu kafanana nae thuu,ila yupo vzuri
One of the 😔 saddest episode..
Shamira ana mwanya amazing sana
Chandimu namkubali
Mkojani yaani wwe ni balaaaa tunakuitaji kwetu Burundi Rumonge
Mke wa chandimu kaweke chuma mdomoni 😢 meno yakae vizuri 😂
😂 kinapatikana wapi
Jamani nimewahi like za mkojan gang
Hakuna tatizo...Ila ni karaha
Bangi unavutia tundu gani chandimu
Unaweza kufil maumivu bila kulia
watoto wavae nepi wakalale😂😂
Kwenye dini inafaaaa
1
Guys let's support our team mkojani by subscribing
Mim from🇸🇨🇸🇨
🔥🔥🔥
Binadamu ana tundu saba😂🙌
Shamilaa kimwanyaaa ❤️ ❤️
284views, 10min ago
Movie ikiisha tupe hii nyimbo
❤❤❤❤
Mkojani hapokuiloswala lakumpatalaka rahma . Kisha chandimu amuowe shamila kwakweli ninavyo ona hapo mkojani hatokubali atakuwa mtata zaidi .hapo filamu njoo inaelekeya kuwa nzuri zaidi😂😂
Bang unavutia tundu gani
Heh😮
❤❤❤😢
Wakwanza leo
Kidin inafaa kuowan kwasabsbu hawajakutan baba mmoja bali nimama tofauti nababa tofauti hapo ndoa inasihi.
ama ingekua wote watoto wamkojan basi isingesihi kuowana.
Akishakuwa mke wa baba yako basi huyo ni mama yako hata kama watoto ni baba tofauti na mama tofauti hapo wameshakuwa wazazi cjui dini gani hiyo lkn unayozungumzia ila ki islam haifai hata ikatokea wazee wameachana
@@ahmadyahya9961yeah hapo haiwezekana tayari hiyo ni familia moja
🎉🎉🎉
🎉🎉🎉🎉 nzuri sana asanteen kwa kutuburudisha na kutuelimisha
Mbona haitoi sauti au kwangu tu
Kwako tu
Kwako tu
Soka Kwa Bako @Mkojani
Bibi yangu na babu yangu waliowana kama hivyo na sisi ndio wajukuu na tuna watoto sasa inaswihi hiyo Tena ndio vizuri hivyo
Nyimbo kaimba nan tam kwel