Tarehe _ 1 Episode 10 |Mkojani ,Samofi,Chandim|

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • #film #mkojani #love

Комментарии • 105

  • @YUSSUFVUAIMKANGA-kr8on
    @YUSSUFVUAIMKANGA-kr8on Месяц назад +3

    😂😂😂 ila Mkojani anuliza Bangi inavutwa tundu gani kwa binaadamu. Abogojooo😂😂😂😅🇹🇿 Mkojani na Chandimi mnatisha🤝💪💪

  • @mayaashassan3918
    @mayaashassan3918 Месяц назад +8

    Nmekua wa 29😂😂😂duh yaan nyie watu kwn mwalala humu ama vp😮😮😮lkn maoni yangu mm ningependelea watu wazma vile mshawai kuishi maisha ya ndoa achaneni to ili wtt nao waingie alf nyie msubri wajukuu ama nakosea😂😂😂😂kama vp waozesheni ivo ivo kidini c ni swa cz hawajanyonya ziwa mmoja vibaya ni kunyonya ziwa mmoja to ama mashekhe wako wapi patamu hpo😮😮

  • @SleepyGraphingCalculator-mm8ts
    @SleepyGraphingCalculator-mm8ts Месяц назад +4

    Mkojani hufanyi Hali muwache mtoto ahowe jmn😅😅😅😅😅

  • @MwamahonjeDaniel
    @MwamahonjeDaniel Месяц назад +4

    Jaman hawa jamaa wamejitahid sana

  • @LilijohariLilijohari
    @LilijohariLilijohari Месяц назад +2

    Mmmh ata wa baba mkubwa na baba mdogo wana owana tuache nyinyi. Chandimu nilazima aowe😅😅😅😅😅

  • @DavidSilvanus-tp7gu
    @DavidSilvanus-tp7gu Месяц назад +2

    Watoto watabakia kuwa watoto wavae nepi 😂😂😂😂😂

  • @Rizikialiamechannel763
    @Rizikialiamechannel763 Месяц назад +6

    Usku mwema jaman😂

  • @ghazzaalthani
    @ghazzaalthani Месяц назад +6

    mkojani hawa jamaa wanaoimba kwenye movie zako wanjua san san yaan movie inanoga kwel

  • @mwalingoandrew-gb1jr
    @mwalingoandrew-gb1jr Месяц назад +3

    jamni mko vzr sana🙏🙏🔥

  • @G29mussa
    @G29mussa Месяц назад +5

    Sasa chandi utalia mpaka lini nenda kampe mimba tu😂😂

  • @YassirKhamis-p3p
    @YassirKhamis-p3p Месяц назад +3

    Wakwanza leo

  • @NdayiragijeApie
    @NdayiragijeApie Месяц назад +4

    Sikiya sikiya my daughter 😂😂😂😂😂😂

  • @LeonardSilungwe-x7d
    @LeonardSilungwe-x7d Месяц назад +2

    Nakubari mkojani Me from sumbawanga kijiji cha tunko

  • @fatuma46ramadhan18
    @fatuma46ramadhan18 Месяц назад +2

    Nani mwingine kasikia kama mm mkojani akimwita chandimu my dota😂😂😂😅

  • @Awoshy
    @Awoshy Месяц назад +1

    Mmekaa kuombana tu 😂😂ila Mkojani haya mambo ulifanya kila kitu uwe wa kwanza wewe😂😂.....sikia sikia my daughter 😂😂😂 ila nyie watoto kuweni na adabu basi kwa nini wazazi wenu waachane😂😂😂

  • @OmarihamisiMbwana-er9zs
    @OmarihamisiMbwana-er9zs Месяц назад +1

    Mkojani banaa eti bangi unavuta na tundu gani mana binadamu wanatundu saba 😂😂😂

  • @msaminizodeclassic1838
    @msaminizodeclassic1838 Месяц назад +5

    Nimewahi Kutoka Australia 🇦🇺

  • @SmithJacob-f2r
    @SmithJacob-f2r Месяц назад +2

    Na wakiisha pata furaha

  • @HusnaSalum-p1q
    @HusnaSalum-p1q Месяц назад

    😂😂 yaani mkojani na chandimu hamjawai kuwa baba na mwana wenye amani 🎉🎉 saluti

  • @AbbasSaid-fp5rg
    @AbbasSaid-fp5rg Месяц назад +1

    Mwa 4 yuko api jamani ndio alikua anafiti vizuri

    • @MariamObote
      @MariamObote Месяц назад

      Umeona eee! Huyu shamili domo kama shimo la nyoka anahalibu move tu

  • @Hirmizz
    @Hirmizz Месяц назад

    Kazi safi mkojani pamoja na Sir Moh Fii wa Moh Fii mba🎉🎉

  • @NassourHemed
    @NassourHemed Месяц назад +2

    Mtoto hujamzaa wewe mkojani inasihi

  • @MgeniSalim
    @MgeniSalim Месяц назад +2

    Huyo shamila mmh akifunga mdomo n mzur ila akiufungua weeeee

  • @JamesWisdomtz
    @JamesWisdomtz Месяц назад +3

    Mkojani kwa simulizi zako 😊😊😊

  • @ahmedAllyKisengo
    @ahmedAllyKisengo Месяц назад +4

    Uhalisia kama wataachana wazazi waoane wat0t0 pia ni fedheaha pia na kama watoto wanaona wao wana haki, mbona mwanamke kag0ma ku0lewa nd0a nyingi ili mwanae akue asije nyanyaswa na mababa wa kambo ni mapenz kias gani hay0? Pia uy0 mtoto wa mkojan amesahau mahar ya kuolea katoa baba yake mpka ikabidi baba akopeshwe mahari na mkewe mtarajiwa mana chandim alikuwa na laki 2 tuu ya mahari, mimi naona wazazi waendelee tuu, naombeni maon yenu jamn

  • @mohamedgandi8832
    @mohamedgandi8832 Месяц назад

    Hii inamafunzo mazuri sana zaidi uzito na thamani na uzito wa mzazi na watoto wa leo walivo wakaidi, endelea sinema

  • @GeorgeKavwanga
    @GeorgeKavwanga Месяц назад

    Uko vizuri sanaaaa mkojan

  • @nzalionlinetv7728
    @nzalionlinetv7728 Месяц назад +2

    Shamira 🔥

  • @saumbliz8983
    @saumbliz8983 Месяц назад +2

    Shamila na chandimu lazima mmoja atapoteza mzazi wake yani naona huko mbeleni

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi4943 Месяц назад +1

    Simulizi nzuri, pongezi mkojani na team yako.

  • @erickminja1645
    @erickminja1645 Месяц назад +5

    Gang mabegan

  • @MgangaSamandua
    @MgangaSamandua Месяц назад

    Kaz nzur mkojan gang

  • @GabrielSky64
    @GabrielSky64 Месяц назад +2

    Hivi huyu ni Riyama ally au wanafanana

  • @BinAmour-b7r
    @BinAmour-b7r 8 дней назад

    Chandimu acha kumnyooshea mzee kidole

  • @rehemakatundu7027
    @rehemakatundu7027 Месяц назад

    Watoto watabaki kuwa watoto wavae nepi walale 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ErlingHaaland-i1u
    @ErlingHaaland-i1u Месяц назад +2

    Léo Mimi from 🇲🇿 likes

  • @RahimaIssa-g1o
    @RahimaIssa-g1o Месяц назад

    My dota bangi unavutia tundu gani kwenye mwili wako 😂😂😂😂😂😂

  • @InnocentArmadillo-do9vm
    @InnocentArmadillo-do9vm Месяц назад

    Team mkojani gang chandimu. Shamila. Mambo mbaya. Hatari sana 💯💯💯💯

  • @AbdillahBakar-qx9sr
    @AbdillahBakar-qx9sr Месяц назад +1

    Wavae nepi wakalale

  • @GyaviraLaurean
    @GyaviraLaurean Месяц назад +3

    🎉🎉🎉

  • @BizbeWatisa
    @BizbeWatisa Месяц назад

    Shamila Unataka 😂😂 kujiuua kisa mapenzi too toobaa

  • @NassourHemed
    @NassourHemed Месяц назад +2

    Inasihi

  • @AmaniJafari
    @AmaniJafari Месяц назад +4

    0:43 km

  • @YUSSUFVUAIMKANGA-kr8on
    @YUSSUFVUAIMKANGA-kr8on Месяц назад +2

    Usiku mwema Watanzania Wenzangu. Msiombe like💪 tu katika comment. Subscribe, like and share video za Mkojani💪🙏🇹🇿

  • @mohamedgandi8832
    @mohamedgandi8832 Месяц назад

    Hapa ndio tunapoanguka mtihani maana ukicha kulia mwana utalia wewe kupaza sauti kwa babako, ukilazimisha jambo mwisho nikilio

  • @EdwinMganga
    @EdwinMganga Месяц назад +3

    Wakwaza

  • @RamadhanKombo-qo6zi
    @RamadhanKombo-qo6zi Месяц назад

    Ndo mnapo feli kwenye tamaduni

  • @MgonjaFide
    @MgonjaFide Месяц назад +2

    Shamila umrjaliwa meno mengi 48

  • @allymashaka3471
    @allymashaka3471 19 дней назад

    Matundu7, ila Kila nikihesabu napata6, Aliemuelewa Mkojani anisaidie

  • @KoreanDramaMoviesKiswahili
    @KoreanDramaMoviesKiswahili Месяц назад +1

    ❤❤❤

  • @Jumajey457
    @Jumajey457 Месяц назад

    Nishascoreee dah mkojani bhna😅😅😅😅

  • @MbarakaMgeni-h7w
    @MbarakaMgeni-h7w Месяц назад

    Hicho kipengele cha shamila namuona kbx mwa4 ndo alkw anafit zaid

  • @DavidSilvanus-tp7gu
    @DavidSilvanus-tp7gu Месяц назад +2

    Shamila chipukiz ila kauvalia uharisia yuko bul bul kama hakuna camera Ila mama yake apikwe kwanza bado anaongea kwa mapoz ya kuogopa camera

    • @mchox1679
      @mchox1679 Месяц назад +1

      Riyama ally....? Anaogopa camera? Mzee uyu nahis ni mzoefu kuliko wote awa

    • @saumbliz8983
      @saumbliz8983 Месяц назад

      Ati riyama ally😂​@@mchox1679

    • @Mzuri_002
      @Mzuri_002 Месяц назад

      ​@@mchox1679Sio riyama uyu kafanana nae thuu,ila yupo vzuri

  • @ramzymoha3798
    @ramzymoha3798 Месяц назад +1

    One of the 😔 saddest episode..

  • @anwarKhan-gn6yt
    @anwarKhan-gn6yt Месяц назад +2

    Shamira ana mwanya amazing sana

  • @HawaaNasoro
    @HawaaNasoro Месяц назад +1

    Chandimu namkubali

  • @WataraTherence
    @WataraTherence Месяц назад

    Mkojani yaani wwe ni balaaaa tunakuitaji kwetu Burundi Rumonge

  • @RahimaIssa-g1o
    @RahimaIssa-g1o Месяц назад

    Mke wa chandimu kaweke chuma mdomoni 😢 meno yakae vizuri 😂

  • @majystar-en9il
    @majystar-en9il Месяц назад +6

    Jamani nimewahi like za mkojan gang

  • @Ujumbewadini
    @Ujumbewadini Месяц назад

    Hakuna tatizo...Ila ni karaha

  • @shaibchat8054
    @shaibchat8054 Месяц назад +2

    Bangi unavutia tundu gani chandimu

  • @Zahara-or3cf
    @Zahara-or3cf Месяц назад

    Unaweza kufil maumivu bila kulia

  • @XhebbyMandevu-u1h
    @XhebbyMandevu-u1h 19 дней назад

    watoto wavae nepi wakalale😂😂

  • @Ujumbewadini
    @Ujumbewadini Месяц назад

    Kwenye dini inafaaaa

  • @FrateryChesco
    @FrateryChesco Месяц назад +2

    1

  • @mchambikisupi9204
    @mchambikisupi9204 Месяц назад +3

    Guys let's support our team mkojani by subscribing

  • @Officialjidaa-sn9cs
    @Officialjidaa-sn9cs Месяц назад +1

    Mim from🇸🇨🇸🇨

  • @ngoshaog1255
    @ngoshaog1255 Месяц назад

    🔥🔥🔥

  • @Wizy_store
    @Wizy_store Месяц назад

    Binadamu ana tundu saba😂🙌

  • @erickminja1645
    @erickminja1645 Месяц назад +3

    Shamilaa kimwanyaaa ❤️ ❤️

  • @ghazzaalthani
    @ghazzaalthani Месяц назад +4

    284views, 10min ago

  • @BarakaProtas
    @BarakaProtas Месяц назад

    Movie ikiisha tupe hii nyimbo

  • @LeogangfafahAli
    @LeogangfafahAli Месяц назад

    ❤❤❤❤

  • @MoussaAbdoul-wo3ur
    @MoussaAbdoul-wo3ur Месяц назад

    Mkojani hapokuiloswala lakumpatalaka rahma . Kisha chandimu amuowe shamila kwakweli ninavyo ona hapo mkojani hatokubali atakuwa mtata zaidi .hapo filamu njoo inaelekeya kuwa nzuri zaidi😂😂

  • @hansynasery6399
    @hansynasery6399 Месяц назад

    Bang unavutia tundu gani

  • @mtendebeachzanzibar
    @mtendebeachzanzibar Месяц назад

    Heh😮

  • @DaHalimaMadua-tt9do
    @DaHalimaMadua-tt9do Месяц назад

    ❤❤❤😢

  • @YassirKhamis-p3p
    @YassirKhamis-p3p Месяц назад +3

    Wakwanza leo

  • @hbaba.
    @hbaba. Месяц назад +2

    Kidin inafaa kuowan kwasabsbu hawajakutan baba mmoja bali nimama tofauti nababa tofauti hapo ndoa inasihi.
    ama ingekua wote watoto wamkojan basi isingesihi kuowana.

    • @ahmadyahya9961
      @ahmadyahya9961 Месяц назад

      Akishakuwa mke wa baba yako basi huyo ni mama yako hata kama watoto ni baba tofauti na mama tofauti hapo wameshakuwa wazazi cjui dini gani hiyo lkn unayozungumzia ila ki islam haifai hata ikatokea wazee wameachana

    • @Bamutumubaya
      @Bamutumubaya Месяц назад

      ​@@ahmadyahya9961yeah hapo haiwezekana tayari hiyo ni familia moja

  • @XhebbyMandevu-u1h
    @XhebbyMandevu-u1h 19 дней назад

    🎉🎉🎉

  • @mechne803
    @mechne803 Месяц назад +2

    🎉🎉🎉🎉 nzuri sana asanteen kwa kutuburudisha na kutuelimisha

  • @leluusaid7708
    @leluusaid7708 Месяц назад +2

    Mbona haitoi sauti au kwangu tu

  • @edsonmpangala803
    @edsonmpangala803 Месяц назад +2

    Soka Kwa Bako @Mkojani

  • @sabrinakhatoor2118
    @sabrinakhatoor2118 Месяц назад

    Bibi yangu na babu yangu waliowana kama hivyo na sisi ndio wajukuu na tuna watoto sasa inaswihi hiyo Tena ndio vizuri hivyo

  • @FurahaKulapha
    @FurahaKulapha Месяц назад

    Nyimbo kaimba nan tam kwel