ETI CHIEF ALIPATANA NA WAZEE SIKU MBILI WAKITOKA KWA NYUMBA SAA MOJA ASUBUHI?? SERIOUSLY CHIEF, AT 7AM YOU GO TO KNOCK AT PEOPLE'S DOORS? NO MANNERS AT ALL! ! PENGINE HE WANTED TO SLEEP WITH THIS WOMAN, BUT THE LADY REFUSED. JINGA TYPE KABISA 😢😢😢😢
Stanno, do you also sanitize the person who comes to seek you out???? These allegations from the Chief and Elders and about going for bull fights are not healthy for 4 years are many
Huyu mama amepitia mengi. This guy kazi yake ni kusikiza story za kijiji mzima, huku chief huku wazee wa nyumba kumi...... pia yeye alikua anahanya kwenye ana iishi. Pole sana mama, maringo itaisha siku moja.
Huyu Mzee Wanjala ni mluhya mwenye Hana akili at first alisema watoto ni wakubwa wako na kazi na wanajiweza sahazi naskia mdogo Ako form one surely....haki men men
Wasichana wakisikia mtu ameseparate au divorce wanafurahi bt hawajui kesho ni yy nkt😢😢😢😢
😢
Aki na sio vizuri coz utamaliza vibaya
Sanitize slay queen tushangilie
I like the way Stano goes direct to the point , not beating around the bush, Samaritan takes the person round and round before going to the point
Very direct and it so nice
Mim uwa hata sielew hiyo loyalty ya samaritan na uwa si tamu yani
If you don't love someone, please let them go for peace instead of keeping them in your house yet you know you don't love them
This man amekula kamote ajielewi, 😅😅😅😅😅😅, slay queen, utajionea pia, na hako kazee......
Wababaz hawafikiriangi wakiona slay Queen,,, akili inakuanga imesimama slay Queen ndio kusema 😂
😂😂😂😂😂
27 yrs n she looks like 40..pthoooo
You are right
Exactly 40-45
Baba kafue mwingine hapa😂.
Mzae umefanya vizuri kujileta kichijio 😅😅😅
Ngai huyu ni bibi yako mama watoto wako una insult hivi mpaka u allow hicho kinyangarika kinamtusi hivo? Utarudi huko ukilia wewe mwanamume
MTENDA AKITENDEWA HUHISI KAONEWA MALAYA NI MALAYA TUUU ETI KULINDA MUME MUME ANALINDWAJE KUNGURU HAFUGIKI!!!!!
Na wasichana wa siku izi mnajisikia sukari sana. Sa kutunza gan mnajua ama nyinyi ndo mnataka hawa wazee wawatunze nkt 😮tujieshimu
Confused element,kitakuramba.Ungelimuwacha kwa boma juu utaenda huko during your sunset days😢
hii nchi lazima itengenezwe wanaume wa ainahii wakiharibia wanawake maisha yao wanakamatwa na adhibiwa vilivyo.
Kasongoo eeeii mobali nangai ,mwana wewooo 🎉😂😂😂Wanjala anakaa jina yake tu ataachwa kwa njia😂😂
Nangojea mamaangu akikujia Xmas gift 😂😂😂😂😂😂😂apo stano umeweza
Tema hyo mate🤣🤣🤣
@Majumba3366 😆😆😆😆
Ati 27 years na unakaa 40 wueee 😢😢
Apa hkuna 27😅😅
Ndio nashangaa pia😅
Eti side hen miaka 27😂😂😂aja jokes bana,,😅
Pesa n maua TU n anytime kunaeza kauka so Mzee utakam kujuta.
Wewe mbaba mkubwa unamwita mtoto wako beb😮😮😮hata hauna adabu
Wajala utafukuzwa na huyo slayqueen kama burukenge.its just a matter of time.
KASONGOO YEYEEE.. Premium tears loading
Kasongooo eeeeeeiiiiiiii😂😂😂😂😂
Aky stano siku unanifurahisha
Good job pasta show 🌹
Wajala nakuhurumia tu😅premium tears loading
WOR😮!!! What married women go through in our country Kenya is unavailable and a horrible situation 😢
😂😂😂😂kicheko ni cha mda ngojeni kulia😢😢😢😢
Pesa itaisha Mzee, hachungwa stroke uanze ku laumu watoto hawakujali and curse them..That curse will follow you to the grave!!
Walahi vile nachukia wanaume mungu anisamehe haki
Don't please, sio wote wabaya.
Yaani kumanina wanjala 😢😢mm nachukia ady saaii maoni ya kuolewa Sina 😢
This lady looks like over 40 sio 27 😂
😂😂😂😂
Uuufu ego ya huyu Mbabane itamhumble.
Mwanaume akipata pesa ndio utamjua .women pliz invest in urself
Thank you 💕❤❤❤❤🙏🙏
100% ✓✓✓
Sanitize again..pls
Mum be calm
Mzee ako 40 and he has been married for 30 years😅😅 marriend when he was 10 years
ETI CHIEF ALIPATANA NA WAZEE SIKU MBILI WAKITOKA KWA NYUMBA SAA MOJA ASUBUHI??
SERIOUSLY CHIEF, AT 7AM YOU GO TO KNOCK AT PEOPLE'S DOORS? NO MANNERS AT ALL! ! PENGINE HE WANTED TO SLEEP WITH THIS WOMAN, BUT THE LADY REFUSED. JINGA TYPE KABISA 😢😢😢😢
Swali nihio naulisa ata mimi
😂😂😂😂😂😂
Hata chief inakaa ni mmoja wa hao wazee😂
Stanno, do you also sanitize the person who comes to seek you out???? These allegations from the Chief and Elders and about going for bull fights are not healthy for 4 years are many
Wanjala masikio kama *kasongo eeeee!*😂.Kitakuramba ndugu urudishe uzee nyumbani😢
Mbona akuvalishe blue na green ama ni color blind kaa mm😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Wazee nowadays they're looking for fresh blood,, hahaha 😀🤣
Wallah wazee wakenya wanakera san hawan akili hata kidog 😂😂😂😂😂 nacheka kam mazuri wallah
😂😂😂😂aty wasichana naombea waolewe..😢
Confused element 😂😂
😂😂😂mzee hana chills
Boy child has no say in Kenya,ukiona mzee ametorokea mjini kuna sababu kwa hao wote😂😂😂😂
Slay queens wameamwa😂😂
We want problems sanitize slay queen as usual
😂😂😂😂😂😂Yan Stano umeamua hakuna kupumzika na venye unajua kuwatreak et crismas gift’s 😅😅😅
😢😢😢😢😢 uuuuiii Mzee I wish you know
Mzee changanyikiwa kabsaaa huyu slay queen ni pesa ya shamba unaona
ATI huyu ako 27 years na venye amezeeka kama Vasco da gama pillar!
Pillar ama😂😂😂
Ukiskia 27 inamaanisha unapindua number inakuwa 72.
Nikukuliwa na mzee Kwan hujui
If she is 27 am 15 basi😅😅😅😅😅
🤣🤣kwisha mm
Swali nihio naulisa😊
This man will regret
Wanjala amejileta kwa kichinjio😂😂
Mzee utalilia huyu mama mwishowe
😢😢😢Untrustworthy partners
Bado natafta mwenye amengarishwa hapa🤔🤔
Yaan mzee ako totally confused, aliramba kinembe huyu
Qwan hii show n ya wajaluo peke yake😅😅😅ama wao ndo wahanyaji😅😅I came in peace ooooh 😅😅😅
Ndiowahanyaji kenya hii
@SpinicahNyamusi 😃😃😄na vile natamani kuolewa na mjaluo😄😄😄
Waaaaaah,wanjala tena😂 stano.
Precious wewe ni kifo mjinga shetani mkumbwa home brakers
Sanitiza pls
This tym stano ameamua ni kudeal na lakeside 😂
Kungara nimixture ya blue and green.
Sanitize uyu shosh wa 27 yrs
Aki wasichana wadogo pendeni maisha yenu
Mzee naona kikikuramba 😂😂😂you
Side chick hati uko how old 😅😅na hiyo uso imekauka hivyo 😅hebu sema thirty something ama forty 😅
Huyu slay ni around 37 to 40
Mwambie aseme fote fae,asidanganye
Precious wewe ni kifo kwa hii ndio
Mbona huyu mzee anakaa kuongea ukweli 😮
Mzaee kinakuramba tu saa hi...kwanini uuze shamba ufurahishe huyu mama(slay queen)wa 27yrs
Mama hatuna form1 saa hii
Precious unakaa kama GAGULA YA Massimo ya mfalme Suleiman( KING SOLOMON'S MINES). PRECIOUS NA WANJALA KITAWARAMBA SAA HIIIII
No 5 I need likes for stano
Meet at 1 kilirambana 😂😂😂😂
Wasichana wakishidwa kuolewa.watakaa wapi na baba ameuza shimba.huyu baba ni mjinga hajielewi kabisa
Hi lugha wasichana wanazoea kusema ati "ukiwachwa ajika" shameless husbands' snachers😮
Kitakulamba mzae
Luo men kinawaramba sana mnarun dunia
Gift za kusambaratisha this time hatucheki gonga like tukisonga mbele
Wanjala shenzi sana umeangusha wapukusu nkt! Kinauza shamba aje n ukifa utazikwa kw nyumba ama
The man looks young
Mwanamke ni stress
Huyu mama amepitia mengi. This guy kazi yake ni kusikiza story za kijiji mzima, huku chief huku wazee wa nyumba kumi...... pia yeye alikua anahanya kwenye ana iishi. Pole sana mama, maringo itaisha siku moja.
Kimrambe huyu mzee
Mzee ATI wasichana wataolewa na nyumbani ni wapi
Baba kafue mwingine.
Slaygueen gani huyu wakati yupo kizeee sana kuliko hata mke😂😂
Alaaa😂😂😂😂 kumbe pia ww uko na macho kama yangu nmedhania ni mm tu nmeona 😂😂😂😂
Ati beb naiyo uzee yako😂
Ata ufiche miaka 😂😂😂uwe boychild ama girlchild mgongo ndio msema kweli ikinama uwezi tembea vizuri
Roudi hii waluo uwanja ni wenu😂😂😂😂😂😂😂😂mumetucheka siku mob ..sasa jitawaleni ngoma ici
Player will meet a player. Adhiambo umsaidie afike child right office. Haki za watoto huyu mwanaume atakiona
Ngai wamama tunakapitia aki,mnakula shida na mtu ,wakati anafanikiwa anakuacha
Slay queen ako na wa wababaz pia mwanaume ako na wanawake
Mwanaume mjings uuze shamba ulipewa na Baba badala uwache watoto unengara sababu ya pesa uliuza
Yani hata Wanjala mluhya ana ujinga huu
Uyu c 27 tunajua kuangia bana hadi anaelekea forth floor
Mahali harufu ya burukenge na mende itaanza kunuswa sielewi itakuaje
Huyu Mzee Wanjala ni mluhya mwenye Hana akili at first alisema watoto ni wakubwa wako na kazi na wanajiweza sahazi naskia mdogo Ako form one surely....haki men men
Wanjala amejiagalia maskio kweli😂
😂😂😂😂
This side chick ati 27 that’s a lie… shosho 😂na im watching from 🇮🇹And I know what will happen 😅
Nyinyi wanaume wajaluo mrudi nyumbani
Please hyu sio majaluo hii jina
Ni bukusu
Wewe side hen kitakulamba ushangae
Wajaluo roundi ii mnachoma sana na nilikuwa nasikianga ety wajaluo ndio wanajua kutunza wake zao
Wajaluo ni Bure kabsa I'm a victim
@ndindacetty2460 Asi mm nasikianga wakisifiwa sana
But wanjala si mjaluo ni mluhya
Kitaramba huyu muzee atakuja juta nyuma, ile pesa itakapo isha!!
Kitawaramba hata sio mbali una thezea stano