Mubaba Decided To Sell Everything He Had To Please His 27Yrs SlayQueen! Goat Wives Goes Through Alot

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 217

  • @Yuca878
    @Yuca878 2 месяца назад +23

    Wasichana wakisikia mtu ameseparate au divorce wanafurahi bt hawajui kesho ni yy nkt😢😢😢😢

  • @elizabethminayo236
    @elizabethminayo236 2 месяца назад +16

    Sanitize slay queen tushangilie

  • @pammymoraamoraa6702
    @pammymoraamoraa6702 2 месяца назад +5

    I like the way Stano goes direct to the point , not beating around the bush, Samaritan takes the person round and round before going to the point

    • @AlleyMalley-y9l
      @AlleyMalley-y9l 2 месяца назад

      Very direct and it so nice

    • @dorcasnanzala8775
      @dorcasnanzala8775 2 месяца назад

      Mim uwa hata sielew hiyo loyalty ya samaritan na uwa si tamu yani

  • @WinfredZakayo-k9o
    @WinfredZakayo-k9o 2 месяца назад +17

    If you don't love someone, please let them go for peace instead of keeping them in your house yet you know you don't love them

    • @janeotiso552
      @janeotiso552 2 месяца назад +1

      This man amekula kamote ajielewi, 😅😅😅😅😅😅, slay queen, utajionea pia, na hako kazee......

  • @beatricebrownie
    @beatricebrownie 2 месяца назад +10

    Wababaz hawafikiriangi wakiona slay Queen,,, akili inakuanga imesimama slay Queen ndio kusema 😂

  • @janenjenga8906
    @janenjenga8906 2 месяца назад +8

    27 yrs n she looks like 40..pthoooo

  • @hellenkathambi8694
    @hellenkathambi8694 2 месяца назад +4

    Baba kafue mwingine hapa😂.

  • @charitywangeci4846
    @charitywangeci4846 2 месяца назад +6

    Mzae umefanya vizuri kujileta kichijio 😅😅😅

  • @Esther-u1y
    @Esther-u1y Месяц назад +1

    Ngai huyu ni bibi yako mama watoto wako una insult hivi mpaka u allow hicho kinyangarika kinamtusi hivo? Utarudi huko ukilia wewe mwanamume

  • @rosemsaki1111
    @rosemsaki1111 2 месяца назад +1

    MTENDA AKITENDEWA HUHISI KAONEWA MALAYA NI MALAYA TUUU ETI KULINDA MUME MUME ANALINDWAJE KUNGURU HAFUGIKI!!!!!

  • @PurityMusyoka-h5z
    @PurityMusyoka-h5z 2 месяца назад +6

    Na wasichana wa siku izi mnajisikia sukari sana. Sa kutunza gan mnajua ama nyinyi ndo mnataka hawa wazee wawatunze nkt 😮tujieshimu

  • @PhiliceIsutse
    @PhiliceIsutse 2 месяца назад +6

    Confused element,kitakuramba.Ungelimuwacha kwa boma juu utaenda huko during your sunset days😢

  • @henrymwangi6465
    @henrymwangi6465 2 месяца назад +2

    hii nchi lazima itengenezwe wanaume wa ainahii wakiharibia wanawake maisha yao wanakamatwa na adhibiwa vilivyo.

  • @kathyndwash9103
    @kathyndwash9103 2 месяца назад +2

    Kasongoo eeeii mobali nangai ,mwana wewooo 🎉😂😂😂Wanjala anakaa jina yake tu ataachwa kwa njia😂😂

  • @EjikuAntonet
    @EjikuAntonet 2 месяца назад +8

    Nangojea mamaangu akikujia Xmas gift 😂😂😂😂😂😂😂apo stano umeweza

    • @Majumba3366
      @Majumba3366 2 месяца назад +1

      Tema hyo mate🤣🤣🤣

    • @EjikuAntonet
      @EjikuAntonet 2 месяца назад

      @Majumba3366 😆😆😆😆

  • @clareotere819
    @clareotere819 2 месяца назад +8

    Ati 27 years na unakaa 40 wueee 😢😢

  • @Handloid
    @Handloid 2 месяца назад +1

    Eti side hen miaka 27😂😂😂aja jokes bana,,😅

  • @VeronicaMusyoka-r4m
    @VeronicaMusyoka-r4m 2 месяца назад +2

    Pesa n maua TU n anytime kunaeza kauka so Mzee utakam kujuta.

  • @MaldrnA
    @MaldrnA 2 месяца назад +2

    Wewe mbaba mkubwa unamwita mtoto wako beb😮😮😮hata hauna adabu

  • @ndettothejuice3094
    @ndettothejuice3094 2 месяца назад +4

    Wajala utafukuzwa na huyo slayqueen kama burukenge.its just a matter of time.

  • @lilianjeruto3201
    @lilianjeruto3201 2 месяца назад

    KASONGOO YEYEEE.. Premium tears loading

  • @nasykanjawakanyoni1421
    @nasykanjawakanyoni1421 2 месяца назад +3

    Kasongooo eeeeeeiiiiiiii😂😂😂😂😂

  • @marywambui2808
    @marywambui2808 2 месяца назад

    Aky stano siku unanifurahisha
    Good job pasta show 🌹

  • @Carolcares-e7o
    @Carolcares-e7o 2 месяца назад +2

    Wajala nakuhurumia tu😅premium tears loading

  • @MarthaStinner
    @MarthaStinner 2 месяца назад

    WOR😮!!! What married women go through in our country Kenya is unavailable and a horrible situation 😢

  • @ShiroNgure
    @ShiroNgure 18 дней назад

    😂😂😂😂kicheko ni cha mda ngojeni kulia😢😢😢😢

  • @gracemburu6355
    @gracemburu6355 2 месяца назад

    Pesa itaisha Mzee, hachungwa stroke uanze ku laumu watoto hawakujali and curse them..That curse will follow you to the grave!!

  • @Nusrahajjahmad
    @Nusrahajjahmad 2 месяца назад +2

    Walahi vile nachukia wanaume mungu anisamehe haki

    • @hellenkathambi8694
      @hellenkathambi8694 2 месяца назад

      Don't please, sio wote wabaya.

    • @kathyndwash9103
      @kathyndwash9103 2 месяца назад

      Yaani kumanina wanjala 😢😢mm nachukia ady saaii maoni ya kuolewa Sina 😢

  • @hellenkathambi8694
    @hellenkathambi8694 2 месяца назад +2

    This lady looks like over 40 sio 27 😂

  • @eznermomanyi814
    @eznermomanyi814 2 месяца назад +5

    Uuufu ego ya huyu Mbabane itamhumble.
    Mwanaume akipata pesa ndio utamjua .women pliz invest in urself

  • @janeotiso552
    @janeotiso552 2 месяца назад

    Sanitize again..pls

  • @puritycharitymission896
    @puritycharitymission896 2 месяца назад

    Mum be calm

  • @felistasgitau-nb4zg
    @felistasgitau-nb4zg 2 месяца назад +1

    Mzee ako 40 and he has been married for 30 years😅😅 marriend when he was 10 years

  • @grayceegracie5050
    @grayceegracie5050 2 месяца назад +4

    ETI CHIEF ALIPATANA NA WAZEE SIKU MBILI WAKITOKA KWA NYUMBA SAA MOJA ASUBUHI??
    SERIOUSLY CHIEF, AT 7AM YOU GO TO KNOCK AT PEOPLE'S DOORS? NO MANNERS AT ALL! ! PENGINE HE WANTED TO SLEEP WITH THIS WOMAN, BUT THE LADY REFUSED. JINGA TYPE KABISA 😢😢😢😢

    • @joycewangari149
      @joycewangari149 2 месяца назад +1

      Swali nihio naulisa ata mimi

    • @faithhenry5369
      @faithhenry5369 2 месяца назад +1

      😂😂😂😂😂😂

    • @lucioman67-i6r
      @lucioman67-i6r 2 месяца назад +1

      Hata chief inakaa ni mmoja wa hao wazee😂

  • @gathoninjenga442
    @gathoninjenga442 2 месяца назад +1

    Stanno, do you also sanitize the person who comes to seek you out???? These allegations from the Chief and Elders and about going for bull fights are not healthy for 4 years are many

  • @lucioman67-i6r
    @lucioman67-i6r 2 месяца назад

    Wanjala masikio kama *kasongo eeeee!*😂.Kitakuramba ndugu urudishe uzee nyumbani😢

  • @CynthiaKatunge-e1i
    @CynthiaKatunge-e1i 2 месяца назад +2

    Mbona akuvalishe blue na green ama ni color blind kaa mm😂😂😂😂

  • @StanzMakau
    @StanzMakau 2 месяца назад +3

    Wazee nowadays they're looking for fresh blood,, hahaha 😀🤣

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 2 месяца назад

    Wallah wazee wakenya wanakera san hawan akili hata kidog 😂😂😂😂😂 nacheka kam mazuri wallah

  • @swtyfaiyu5036
    @swtyfaiyu5036 2 месяца назад +2

    😂😂😂😂aty wasichana naombea waolewe..😢

  • @felixmwanzia9081
    @felixmwanzia9081 2 месяца назад

    Boy child has no say in Kenya,ukiona mzee ametorokea mjini kuna sababu kwa hao wote😂😂😂😂

  • @adelidesikuku8248
    @adelidesikuku8248 2 месяца назад +1

    Slay queens wameamwa😂😂

  • @teresakarugu9932
    @teresakarugu9932 2 месяца назад +1

    We want problems sanitize slay queen as usual

  • @priscakimburi-sl9ml
    @priscakimburi-sl9ml 2 месяца назад

    😂😂😂😂😂😂Yan Stano umeamua hakuna kupumzika na venye unajua kuwatreak et crismas gift’s 😅😅😅

  • @jetitahkarimi
    @jetitahkarimi 2 месяца назад

    😢😢😢😢😢 uuuuiii Mzee I wish you know

  • @harrietwawira1248
    @harrietwawira1248 2 месяца назад

    Mzee changanyikiwa kabsaaa huyu slay queen ni pesa ya shamba unaona

  • @fridahnkatha9589
    @fridahnkatha9589 2 месяца назад +13

    ATI huyu ako 27 years na venye amezeeka kama Vasco da gama pillar!

    • @nekesahnoel5643
      @nekesahnoel5643 2 месяца назад +1

      Pillar ama😂😂😂

    • @ndettothejuice3094
      @ndettothejuice3094 2 месяца назад +1

      Ukiskia 27 inamaanisha unapindua number inakuwa 72.

    • @arsenal149
      @arsenal149 2 месяца назад +3

      Nikukuliwa na mzee Kwan hujui

    • @maggiewanda2404
      @maggiewanda2404 2 месяца назад +1

      If she is 27 am 15 basi😅😅😅😅😅

    • @GladyKalekye
      @GladyKalekye 2 месяца назад +1

      🤣🤣kwisha mm

  • @joycewangari149
    @joycewangari149 2 месяца назад

    Swali nihio naulisa😊

  • @oscarokumu8968
    @oscarokumu8968 28 дней назад

    This man will regret

  • @paulinanduku2748
    @paulinanduku2748 2 месяца назад

    Wanjala amejileta kwa kichinjio😂😂

  • @HarrietWawira-s3x
    @HarrietWawira-s3x 2 месяца назад

    Mzee utalilia huyu mama mwishowe

  • @WinfredZakayo-k9o
    @WinfredZakayo-k9o 2 месяца назад +1

    😢😢😢Untrustworthy partners

  • @sylviaokoth-x8q
    @sylviaokoth-x8q 2 месяца назад

    Bado natafta mwenye amengarishwa hapa🤔🤔

  • @SpinicahNyamusi
    @SpinicahNyamusi 2 месяца назад

    Yaan mzee ako totally confused, aliramba kinembe huyu

  • @happinessnyaboke4940
    @happinessnyaboke4940 2 месяца назад

    Qwan hii show n ya wajaluo peke yake😅😅😅ama wao ndo wahanyaji😅😅I came in peace ooooh 😅😅😅

    • @SpinicahNyamusi
      @SpinicahNyamusi 2 месяца назад

      Ndiowahanyaji kenya hii

    • @happinessnyaboke4940
      @happinessnyaboke4940 2 месяца назад

      @SpinicahNyamusi 😃😃😄na vile natamani kuolewa na mjaluo😄😄😄

  • @Jescah-d2c
    @Jescah-d2c 2 месяца назад

    Waaaaaah,wanjala tena😂 stano.

  • @makumimwenje
    @makumimwenje 2 месяца назад +2

    Precious wewe ni kifo mjinga shetani mkumbwa home brakers

  • @KaviraMerveille-ev4qg
    @KaviraMerveille-ev4qg 2 месяца назад

    Sanitiza pls

  • @CatherineGathukumi
    @CatherineGathukumi 2 месяца назад +1

    This tym stano ameamua ni kudeal na lakeside 😂

  • @Sharin-e5f
    @Sharin-e5f 2 месяца назад

    Kungara nimixture ya blue and green.

  • @GladyKalekye
    @GladyKalekye 2 месяца назад

    Sanitize uyu shosh wa 27 yrs

  • @EuniceAvillah-k2c
    @EuniceAvillah-k2c Месяц назад

    Aki wasichana wadogo pendeni maisha yenu

  • @ChristneTina
    @ChristneTina 2 месяца назад

    Mzee naona kikikuramba 😂😂😂you

  • @rolinekathure3021
    @rolinekathure3021 2 месяца назад +2

    Side chick hati uko how old 😅😅na hiyo uso imekauka hivyo 😅hebu sema thirty something ama forty 😅

    • @Bless-br2mc
      @Bless-br2mc 2 месяца назад

      Huyu slay ni around 37 to 40

    • @SpinicahNyamusi
      @SpinicahNyamusi 2 месяца назад

      Mwambie aseme fote fae,asidanganye

  • @emmaculatekyakashow
    @emmaculatekyakashow 2 месяца назад

    Precious wewe ni kifo kwa hii ndio

  • @patiencewatarethepoetmoifo907
    @patiencewatarethepoetmoifo907 2 месяца назад

    Mbona huyu mzee anakaa kuongea ukweli 😮

  • @jacintawachuru1999
    @jacintawachuru1999 2 месяца назад

    Mzaee kinakuramba tu saa hi...kwanini uuze shamba ufurahishe huyu mama(slay queen)wa 27yrs

  • @judithmutua5231
    @judithmutua5231 2 месяца назад

    Mama hatuna form1 saa hii

  • @rosemarykihara9596
    @rosemarykihara9596 2 месяца назад

    Precious unakaa kama GAGULA YA Massimo ya mfalme Suleiman( KING SOLOMON'S MINES). PRECIOUS NA WANJALA KITAWARAMBA SAA HIIIII

  • @juliusnjoki8953
    @juliusnjoki8953 2 месяца назад +1

    No 5 I need likes for stano

  • @hannahmwangi2791
    @hannahmwangi2791 2 месяца назад

    Meet at 1 kilirambana 😂😂😂😂

  • @SofiaMwale-m4w
    @SofiaMwale-m4w 2 месяца назад

    Wasichana wakishidwa kuolewa.watakaa wapi na baba ameuza shimba.huyu baba ni mjinga hajielewi kabisa

  • @enolelasoitameno4094
    @enolelasoitameno4094 2 месяца назад

    Hi lugha wasichana wanazoea kusema ati "ukiwachwa ajika" shameless husbands' snachers😮

  • @nyokskinyah8246
    @nyokskinyah8246 2 месяца назад

    Kitakulamba mzae

  • @magutmagut-xq8uo
    @magutmagut-xq8uo 2 месяца назад

    Luo men kinawaramba sana mnarun dunia

  • @CarolineVijedi-b6i
    @CarolineVijedi-b6i 2 месяца назад

    Gift za kusambaratisha this time hatucheki gonga like tukisonga mbele

  • @AssnnetMusuruve-jp5dv
    @AssnnetMusuruve-jp5dv 2 месяца назад

    Wanjala shenzi sana umeangusha wapukusu nkt! Kinauza shamba aje n ukifa utazikwa kw nyumba ama

  • @beatricesisterskeeper3201
    @beatricesisterskeeper3201 2 месяца назад

    The man looks young

    • @sophiasophie5276
      @sophiasophie5276 2 месяца назад +1

      Mwanamke ni stress

    • @grayceegracie5050
      @grayceegracie5050 2 месяца назад

      Huyu mama amepitia mengi. This guy kazi yake ni kusikiza story za kijiji mzima, huku chief huku wazee wa nyumba kumi...... pia yeye alikua anahanya kwenye ana iishi. Pole sana mama, maringo itaisha siku moja.

  • @gozakoth8466
    @gozakoth8466 2 месяца назад

    Kimrambe huyu mzee

  • @HarrietWawira-s3x
    @HarrietWawira-s3x 2 месяца назад

    Mzee ATI wasichana wataolewa na nyumbani ni wapi

  • @margaretwambete1228
    @margaretwambete1228 2 месяца назад

    Baba kafue mwingine.

  • @mariasafari1004
    @mariasafari1004 2 месяца назад +1

    Slaygueen gani huyu wakati yupo kizeee sana kuliko hata mke😂😂

    • @priscakimburi-sl9ml
      @priscakimburi-sl9ml 2 месяца назад

      Alaaa😂😂😂😂 kumbe pia ww uko na macho kama yangu nmedhania ni mm tu nmeona 😂😂😂😂

  • @mwendenaomi33
    @mwendenaomi33 2 месяца назад

    Ati beb naiyo uzee yako😂

  • @adilightwemali
    @adilightwemali 2 месяца назад

    Ata ufiche miaka 😂😂😂uwe boychild ama girlchild mgongo ndio msema kweli ikinama uwezi tembea vizuri

  • @njeriwakarongo9069
    @njeriwakarongo9069 2 месяца назад

    Roudi hii waluo uwanja ni wenu😂😂😂😂😂😂😂😂mumetucheka siku mob ..sasa jitawaleni ngoma ici

  • @elikanaambunya6435
    @elikanaambunya6435 2 месяца назад

    Player will meet a player. Adhiambo umsaidie afike child right office. Haki za watoto huyu mwanaume atakiona

  • @mercyfranco2797
    @mercyfranco2797 2 месяца назад

    Ngai wamama tunakapitia aki,mnakula shida na mtu ,wakati anafanikiwa anakuacha

  • @gladysmaina992
    @gladysmaina992 2 месяца назад

    Slay queen ako na wa wababaz pia mwanaume ako na wanawake

  • @gozakoth8466
    @gozakoth8466 2 месяца назад

    Mwanaume mjings uuze shamba ulipewa na Baba badala uwache watoto unengara sababu ya pesa uliuza

  • @elikanaambunya6435
    @elikanaambunya6435 2 месяца назад

    Yani hata Wanjala mluhya ana ujinga huu

  • @monicasaumu6707
    @monicasaumu6707 2 месяца назад

    Uyu c 27 tunajua kuangia bana hadi anaelekea forth floor

  • @angelinemutinda1811
    @angelinemutinda1811 2 месяца назад

    Mahali harufu ya burukenge na mende itaanza kunuswa sielewi itakuaje

  • @Millicent-q4o
    @Millicent-q4o 2 месяца назад +1

    Huyu Mzee Wanjala ni mluhya mwenye Hana akili at first alisema watoto ni wakubwa wako na kazi na wanajiweza sahazi naskia mdogo Ako form one surely....haki men men

  • @mwikalialice-h4o
    @mwikalialice-h4o 2 месяца назад

    Wanjala amejiagalia maskio kweli😂

  • @paskolinenjuguna1924
    @paskolinenjuguna1924 2 месяца назад

    This side chick ati 27 that’s a lie… shosho 😂na im watching from 🇮🇹And I know what will happen 😅

  • @maryngatia2362
    @maryngatia2362 2 месяца назад +1

    Nyinyi wanaume wajaluo mrudi nyumbani

  • @harrietwawira1248
    @harrietwawira1248 2 месяца назад

    Wewe side hen kitakulamba ushangae

  • @PurityMusyoka-h5z
    @PurityMusyoka-h5z 2 месяца назад +2

    Wajaluo roundi ii mnachoma sana na nilikuwa nasikianga ety wajaluo ndio wanajua kutunza wake zao

    • @ndindacetty2460
      @ndindacetty2460 2 месяца назад +1

      Wajaluo ni Bure kabsa I'm a victim

    • @PurityMusyoka-h5z
      @PurityMusyoka-h5z 2 месяца назад

      @ndindacetty2460 Asi mm nasikianga wakisifiwa sana

    • @ruthamisi4492
      @ruthamisi4492 2 месяца назад

      But wanjala si mjaluo ni mluhya

  • @manniebarume2154
    @manniebarume2154 2 месяца назад

    Kitaramba huyu muzee atakuja juta nyuma, ile pesa itakapo isha!!

  • @LidyaAl-i3z
    @LidyaAl-i3z 2 месяца назад

    Kitawaramba hata sio mbali una thezea stano