Magufuli: Kuna watu hawana shukrani, hata uwabebe mgongoni, watasema limgongo lake linanuka jasho'

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Rais Magufuli aliwaacha hoi hadhira wake pale alipotoa mfano wa 'watu wasio na shukurani na kauli zao'.
    Msikilize hadi mwisho

Комментарии • 40

  • @t1910j
    @t1910j 6 лет назад +1

    Ni kweli kabisa. I agree with you mr president

  • @qbcqweful
    @qbcqweful 6 лет назад

    Hongera JPM. Nakukubali

  • @naree3697
    @naree3697 6 лет назад +1

    baba usimweke kimaro kkkt kijitonyama kwenye listi ya watumishi wanaokuponda namtetea ahubirigi siasa zaidi ya neno LA mungu tuu

  • @yugakiyumbi9909
    @yugakiyumbi9909 6 лет назад +2

    True president in Africa

  • @therencefahadi3296
    @therencefahadi3296 Год назад

    From burundi

  • @benjaminfataki6898
    @benjaminfataki6898 6 лет назад +1

    uyo njoo mwanaume machine

  • @boazimbwaga8771
    @boazimbwaga8771 6 лет назад +1

    P1 nakukubal miaka mia

  • @chechemoto
    @chechemoto 6 лет назад

    Tuko salama ? Akwilina yuko salama ? Nilikuwa na msapoti sana raisi lakini napenda uhai wa Watz wenzangu kuliko hizo ndege zako za mkopo

  • @hopegagarino6754
    @hopegagarino6754 6 лет назад

    Sasa mavazi ya ccm yanafata mini apo mbn tunakuwa wadogo wa fikra

    • @abbysauko3725
      @abbysauko3725 6 лет назад

      Hope Gagarino kwan kuna mtu wa chadema kakatazwa asivae mavaz yake

  • @tinyaanosiatha1118
    @tinyaanosiatha1118 6 лет назад

    Umeogea ukweli kuna watu ambao hawana shukulani kama kina mbowe

  • @melkonjalika6925
    @melkonjalika6925 6 лет назад +2

    be blec my president

  • @andrewsadiki9914
    @andrewsadiki9914 6 лет назад

    Ahhh mzee mwehu ndege hata Ngolo Kante anayo serikali nzima imeamka mapema kuangaliya ndege nchi imeishiwa

    • @festusmuzigaba8980
      @festusmuzigaba8980 6 лет назад

      Acha umbulula, baba yako anazo ngapi ? huyo ngolo cante anamjua nani ktk ukoo wenu,???? kilaza mkubwa wee

  • @wasafifanstv6317
    @wasafifanstv6317 6 лет назад

    What happened to the 100 billion shs. radar from BAE systems

  • @googleskills7049
    @googleskills7049 6 лет назад

    Hapana ckubaliani

  • @kuchiafricancinema
    @kuchiafricancinema 6 лет назад +4

    Kwahiyo mzeee tushukuru kutekwa kuuwawa na kunyanyaswa?hatukubali uonevu sisi upo salama wewe sio raiaa uchumi unapanda den LA taifa linakua we tuchek ivo ivo tu

    • @t1910j
      @t1910j 6 лет назад +2

      Anaongea kuhusu watu kama wewe.

    • @januariponera388
      @januariponera388 6 лет назад +1

      Toa takwimu za deni linalopanda unakazi ya kusimuliwa kisha unakuja kulopoka lopoka huna uhakika .huyu mae mcall diktekta naona hatoshi andvofanya ningekua mm ninge nyonga hata mikundu kama nyinyi tena mbele za watu waone na hao wasenge wapinzani

    • @boazimbwaga8771
      @boazimbwaga8771 6 лет назад

      Saddy Junior sema ukubar mkubar na nan

    • @kapizoman5772
      @kapizoman5772 6 лет назад

      Saddy Junior Kanye mbele wewe huelewi unacho coment, hujui history ya Tanzania, pia hauna shukran kwa kuambukizwa na hao manyumbu wanaotaka kuipeleka nchi yetu kwenye vita

    • @kuchiafricancinema
      @kuchiafricancinema 6 лет назад +2

      Mi siwalaumu ila namlaumu aliewanyima elimu ya Kufikiri rais toka aingie madarakan hutuba hiyohiyo elimu inashuka kilimo kinakufa ajira hakuna watu wabahitmu awana pakwenda inchi inaendelea kiuchumi kivip uchumi gan umeendelea takwimu za cag zimesema deni LA taifa lilikua Trilion 41 mwishon mwawaka Jana sahv in Trilion 46 AF useme uchumi unapanda hajajenga hata kiwanda kimoja hivo alivozindua ni vya zaman toka enZ za kikwete vilikua vinafanya kazi yeye anashindana na upinzan kila siku na kujiita maraika mala nabii musa bado kujiita yesu na mungu

  • @mzamirhamad9368
    @mzamirhamad9368 6 лет назад

    😁

  • @charlesased
    @charlesased 6 лет назад

    Mzee tupo salama wakati watu hata kutoa maoni yao tuu wanaogopa!! Usalama upi labda??

    • @Contentchapchap
      @Contentchapchap 6 лет назад +1

      Charles Ased ww mbona umetoa maoni hapa? Amekuzuia nani? Akili za kupumbavu kabisa hizi

    • @charlesased
      @charlesased 6 лет назад

      wcs tz Ahsante kwa kuniita mpumbavu,lakini kama ungenielewa ninachomaanisha usingeniita hivyo. Wala sipingi maendeleo ya Tanzania,lakini kuna vitu havipo sawa na Raisi ana nafasi ya kuviweka sawa lakini haionekani kama anakemea.

    • @hancybeny
      @hancybeny 6 лет назад +1

      Icho unachoandika hapa cyo maoni au

    • @charlesased
      @charlesased 6 лет назад

      Hancy Benson Namaanisha maoni kuhusu mapungufu ya serikali yetu.

    • @charlesased
      @charlesased 6 лет назад

      Hancy Benson Pia haya mauaji mfululizo yanayotokea ni ishara ya usalama wa taifa kwelii??

  • @peterbayo4677
    @peterbayo4677 6 лет назад

    Tatizo la ukiri wako haiendani na hali halisi. Pale watumishi wanapodai haki na stahili za uhamisho wao hawapati ina maana gani?. Stahili za uhamisho inachukua miaka mingapi kulipa. Promotion kulipa inachukua mda gani. Kulipa fedha za likizo inachukua mda gani?. Kupata mkopo wa elimu ya juu kwa misingi ya haki inachukua mda gani?. Wastaafu kupata stahili zao nayo je inachukua mda gani?