Magufuli: Kuna watu hawana shukrani, hata uwabebe mgongoni, watasema limgongo lake linanuka jasho'
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- Rais Magufuli aliwaacha hoi hadhira wake pale alipotoa mfano wa 'watu wasio na shukurani na kauli zao'.
Msikilize hadi mwisho
Ni kweli kabisa. I agree with you mr president
Hongera JPM. Nakukubali
baba usimweke kimaro kkkt kijitonyama kwenye listi ya watumishi wanaokuponda namtetea ahubirigi siasa zaidi ya neno LA mungu tuu
True president in Africa
From burundi
uyo njoo mwanaume machine
P1 nakukubal miaka mia
Tuko salama ? Akwilina yuko salama ? Nilikuwa na msapoti sana raisi lakini napenda uhai wa Watz wenzangu kuliko hizo ndege zako za mkopo
Sasa mavazi ya ccm yanafata mini apo mbn tunakuwa wadogo wa fikra
Hope Gagarino kwan kuna mtu wa chadema kakatazwa asivae mavaz yake
Umeogea ukweli kuna watu ambao hawana shukulani kama kina mbowe
be blec my president
Ahhh mzee mwehu ndege hata Ngolo Kante anayo serikali nzima imeamka mapema kuangaliya ndege nchi imeishiwa
Acha umbulula, baba yako anazo ngapi ? huyo ngolo cante anamjua nani ktk ukoo wenu,???? kilaza mkubwa wee
What happened to the 100 billion shs. radar from BAE systems
Hapana ckubaliani
Kwahiyo mzeee tushukuru kutekwa kuuwawa na kunyanyaswa?hatukubali uonevu sisi upo salama wewe sio raiaa uchumi unapanda den LA taifa linakua we tuchek ivo ivo tu
Anaongea kuhusu watu kama wewe.
Toa takwimu za deni linalopanda unakazi ya kusimuliwa kisha unakuja kulopoka lopoka huna uhakika .huyu mae mcall diktekta naona hatoshi andvofanya ningekua mm ninge nyonga hata mikundu kama nyinyi tena mbele za watu waone na hao wasenge wapinzani
Saddy Junior sema ukubar mkubar na nan
Saddy Junior Kanye mbele wewe huelewi unacho coment, hujui history ya Tanzania, pia hauna shukran kwa kuambukizwa na hao manyumbu wanaotaka kuipeleka nchi yetu kwenye vita
Mi siwalaumu ila namlaumu aliewanyima elimu ya Kufikiri rais toka aingie madarakan hutuba hiyohiyo elimu inashuka kilimo kinakufa ajira hakuna watu wabahitmu awana pakwenda inchi inaendelea kiuchumi kivip uchumi gan umeendelea takwimu za cag zimesema deni LA taifa lilikua Trilion 41 mwishon mwawaka Jana sahv in Trilion 46 AF useme uchumi unapanda hajajenga hata kiwanda kimoja hivo alivozindua ni vya zaman toka enZ za kikwete vilikua vinafanya kazi yeye anashindana na upinzan kila siku na kujiita maraika mala nabii musa bado kujiita yesu na mungu
😁
Mzee tupo salama wakati watu hata kutoa maoni yao tuu wanaogopa!! Usalama upi labda??
Charles Ased ww mbona umetoa maoni hapa? Amekuzuia nani? Akili za kupumbavu kabisa hizi
wcs tz Ahsante kwa kuniita mpumbavu,lakini kama ungenielewa ninachomaanisha usingeniita hivyo. Wala sipingi maendeleo ya Tanzania,lakini kuna vitu havipo sawa na Raisi ana nafasi ya kuviweka sawa lakini haionekani kama anakemea.
Icho unachoandika hapa cyo maoni au
Hancy Benson Namaanisha maoni kuhusu mapungufu ya serikali yetu.
Hancy Benson Pia haya mauaji mfululizo yanayotokea ni ishara ya usalama wa taifa kwelii??
Tatizo la ukiri wako haiendani na hali halisi. Pale watumishi wanapodai haki na stahili za uhamisho wao hawapati ina maana gani?. Stahili za uhamisho inachukua miaka mingapi kulipa. Promotion kulipa inachukua mda gani. Kulipa fedha za likizo inachukua mda gani?. Kupata mkopo wa elimu ya juu kwa misingi ya haki inachukua mda gani?. Wastaafu kupata stahili zao nayo je inachukua mda gani?