SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
Du! Pole sana Mpambanaji bwege, nimekuona ulipatwa nastrock lakini Mungu ni mwema ameendlea kukuimarisha, pambana tuko nyuma yko
Asante bwana Bungara BWEGE vita ya vya kwa wapinzani ni kuifagilia ccm mwambie zitto aache uchawa na kuwafanyia au uwakala wa serikaliHajali kabisa maisha ya wana Lindi
Mzee wetu kapata strock lkn bdo yuko strong sana Mungu azidi kumpatia afya nzuri
Mwamba huyu kumbe alipata Strock? Yuko poa bado tunamuhitaji mstari wa mbele!
Amen
Allah atampa shifaa maskini kumbe kapata trock
@@aishafarah9581 Amen
Pole mzee bwege mungu atakupa wepes
Pole sana Bwege
Duh bwege masikini kafikia hapa basi apumzike sasa
Pole mzee
Bwegeeeee
Dah! kapata strock
Duh kumbe mzee alipata strock pole namfuatiliaga sana
CvA,dah
Nini kafanyikia jicho huyu mkuu?
Usiombe ue na cheo alaf ukatolew ...
Huyo ni mtuuu au zombi linalitsha
Changa moto zipo kwetu sisi sote huyo sio zombi,, amepatwa na stroke ambayo unaweza kupata hata ww,, Mungu akusamehe kwa kua hujui utendalo
Hujafa hujaumbika ndugu yangu, piga magoti utubu kwa hicho ulichoongea
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
Du! Pole sana Mpambanaji bwege, nimekuona ulipatwa nastrock lakini Mungu ni mwema ameendlea kukuimarisha, pambana tuko nyuma yko
Asante bwana Bungara BWEGE vita ya vya kwa wapinzani ni kuifagilia ccm mwambie zitto aache uchawa na kuwafanyia au uwakala wa serikali
Hajali kabisa maisha ya wana Lindi
Mzee wetu kapata strock lkn bdo yuko strong sana Mungu azidi kumpatia afya nzuri
Mwamba huyu kumbe alipata Strock? Yuko poa bado tunamuhitaji mstari wa mbele!
Amen
Allah atampa shifaa maskini kumbe kapata trock
@@aishafarah9581 Amen
Pole mzee bwege mungu atakupa wepes
Pole sana Bwege
Duh bwege masikini kafikia hapa basi apumzike sasa
Pole mzee
Bwegeeeee
Dah! kapata strock
Duh kumbe mzee alipata strock pole namfuatiliaga sana
CvA,dah
Nini kafanyikia jicho huyu mkuu?
Usiombe ue na cheo alaf ukatolew ...
Huyo ni mtuuu au zombi linalitsha
Changa moto zipo kwetu sisi sote huyo sio zombi,, amepatwa na stroke ambayo unaweza kupata hata ww,, Mungu akusamehe kwa kua hujui utendalo
Hujafa hujaumbika ndugu yangu, piga magoti utubu kwa hicho ulichoongea