HATARI ZA SIKU ZA MWISHO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 215

  • @paschalrnrichard9717
    @paschalrnrichard9717 5 лет назад +10

    Tumekombolewa kwani Mungu kaleta mtetezi wetu,, barikiwa,, sanaa, pastor
    Mungu ndiye njia Bora kuliko zotee

  • @eddyjefwa8607
    @eddyjefwa8607 2 месяца назад

    Mungu ni ameinua watumishi kuinua watu katika kipindi hiki Cha mwisho... Mchungaji Mbaga,Mungu akuzidishie zaidi na zaidi baraka zake,ninafatilia sana mafundisho yako na ninaendelea kujifunza katika chuo hiki Cha Mungu.

  • @schuby2749
    @schuby2749 11 месяцев назад +1

    Ubarikiwe Sana Pastor , kila mwaka nikisikiliza hii,, kila siku napata kitu... Uwiii sijui nisemeje.. Mungu azidi kukutunza. Yesu naomba unioshe.. Jina langu liandikwe kwenye Kitabu cha Uzima🙏

  • @eliabamayi4344
    @eliabamayi4344 4 года назад +2

    I really like this preaching of your mtumishi yaani hakuna mahali unakosea Ata moja yaani yote ni ukweli mtupu!!!.. Mungu akubariki sana mahali ulipo aki

  • @mariengatia
    @mariengatia 5 лет назад +6

    Naitoa maisha yangu kwa Yesu,hivi nilivyo siwezi peke yangu. I need you Lord! Asante chungaji,Mungu azidi kua nawe unapofanya kazi yake.

  • @esterkaogo2390
    @esterkaogo2390 Год назад

    Barikiwa sana pastor mbaga
    BWANA aendelee kukutumia

  • @fredkonk8239
    @fredkonk8239 5 лет назад +20

    Aiseee kwa kweli huyu ni Mungu anayetamka kaliweka neno Lake ndani ya mbaga

  • @joyestherbagarura954
    @joyestherbagarura954 4 года назад +3

    Imagine leo i was a bit weary....just went to U tube en landed on this pastor's preaching abt "dhambi isiosamehewa"....am telling you i must listen to all his preachings....en this is the third one!!! I think he is now my fovourite pastor!!!! God bless!!!!!!!! We meet in heaven pastor!!! Lots of love from Uganda!!!!!

    • @myself4128
      @myself4128 3 года назад +1

      Sasa nani anaelewa Kiswsnglish?
      Ongea lugha moja basi na sisi tuelewe

  • @Dative109
    @Dative109 2 года назад +1

    Ubarikiwe sana mutumishi wamungu asante

  • @jescaabraham1314
    @jescaabraham1314 4 года назад +2

    Dah👐 barikiwa mtumishi wa MUNGU

  • @bahatindahani4410
    @bahatindahani4410 5 лет назад +3

    Barikiwa sana mtumishi ninajifunza na kubarikiwa Mungu akuweke katika viwango vya juu zaidi

  • @eunicekhamali7268
    @eunicekhamali7268 5 лет назад +3

    Siku tatu sasa tangu nigundue sermon zako , haki si mi hubarikiwa...Bwana akubariki sana mchungaji...

  • @kainzachristine1166
    @kainzachristine1166 Год назад +1

    Amen

  • @joemose1990
    @joemose1990 5 лет назад +5

    Hakika pastor unafundisha vizuri ninabarikiwa na injili pamoja na mahubiri yako shikilia papo hapo jina la yesu liinuliwe zaidi

  • @edinapaul9044
    @edinapaul9044 5 лет назад +39

    Pastor libarikiwe tumbo lililokuzaa, natamani Mungu akinijalia uzazi mtoto wangu aje kuwa mchungaji kama wewe

  • @josephbunzali6111
    @josephbunzali6111 Год назад

    Nimebarikiwa mchungaji Mungu akubariki pia

  • @immanuelcosta3724
    @immanuelcosta3724 5 лет назад +11

    Pastor nilipona mafua baada yakusikiliza ombi la mwisho la somo hili Mungu atukuzwe

  • @zakaliantambi8075
    @zakaliantambi8075 3 года назад

    Mungu akubarik mtumish

  • @gabrielzakaria2810
    @gabrielzakaria2810 3 года назад

    Ubarikiwe pr

  • @hassanhussein6161
    @hassanhussein6161 Год назад

    ameni mungu akubariki mchungaji

  • @ronahhiinismartamreadforvi8957
    @ronahhiinismartamreadforvi8957 2 года назад

    Amina

  • @benardchacha5590
    @benardchacha5590 Год назад

    Pr. Barikiwa sana

  • @dottocharles7809
    @dottocharles7809 4 года назад +5

    Amina Pr Mwenyezi Mungu akubariki sana kwa somo zuri

  • @MaombiJofre-k8m
    @MaombiJofre-k8m 9 месяцев назад

    Amen 🙏 ubarikiwe sana

  • @wahindiakwembe8066
    @wahindiakwembe8066 5 лет назад +7

    Atukuzwe Mungu kwa ajiri yako mchungaji.

  • @kasembojackson6850
    @kasembojackson6850 Год назад

    GOD may bless you pastar mbaga

  • @Samir20005
    @Samir20005 4 года назад +1

    Somo hili lime ni bariki sana pastor ubarikiwe sana na mungu awe nawe katika huduma yako

  • @rahabusanga1559
    @rahabusanga1559 9 месяцев назад

    haleluyaa Mafundisho yananibariki

  • @leahmagaiwa9099
    @leahmagaiwa9099 5 лет назад +13

    BWANA ATUKUZWE KWA KUKULETA DUNIANI. He saves me through you.

  • @mmungamleci4876
    @mmungamleci4876 Год назад

    Nime barikiwa sana

  • @makoyenkumbi9670
    @makoyenkumbi9670 4 года назад +2

    Mbaga a stronger one

  • @emmanuellojere
    @emmanuellojere Год назад

    mungu akubariki paster

  • @johnjohn-cg8re
    @johnjohn-cg8re 5 лет назад +5

    Nabalikiwa sana na mahubiri yako mungu azidi kukutumia

  • @salehlubunga1892
    @salehlubunga1892 2 года назад

    Amina sana Mchungaji wangu

  • @judyalex1237
    @judyalex1237 Год назад

    AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN thanks thanks thanks thanks thanks

  • @yazanalanzi2411
    @yazanalanzi2411 2 года назад

    Asante posta Mungu akumbariki sana kwa maubili mazuri nimekoka

  • @harrietmmoji8404
    @harrietmmoji8404 4 года назад +1

    Hakika mchungaji ninajutia maisha yangu, kwani kila so no unalofundisha linaniguza mimi, bado niko mbali na dunia naomba Mungu anirehemu na ninamwomba azidi kukujaza na ujasiri wake Liu ukatufungue sisi tulio usingizini tukaamke Armani ya Mwenyezi Mungu owe nawe milele .

  • @erastomitanda9229
    @erastomitanda9229 2 года назад

    Nimebarikiwa sana Pr.

  • @phdmedia9517
    @phdmedia9517 5 лет назад +12

    Really wewe ni fundi wa maandiko. Bwana aendelee kukutumia ktk kazi yake.

    • @dausonmdee4303
      @dausonmdee4303 4 года назад +2

      philemon mgonja fundi wamaandiko ni roho mtakatifu huyu nimtumishi wamungu

  • @joyceobiyanyaundi1977
    @joyceobiyanyaundi1977 4 года назад +5

    I have listened to the preaching, am really blessed. I know God is a living God. He makes a way where there seems to be no way.

    • @Enockbeckbrown-hf6xx
      @Enockbeckbrown-hf6xx 8 месяцев назад

      THE “REMNANT” OF SPIRITUAL ISRAEL- WHO ARE THEY TODAY?
      In 31 C.E., God found his church by pouring the Holy Spirit on His true followers. They spread the good news throughout the then known world.
      God had foretold this, He was reclaiming His spiritual “wife” and her “seed”(Isaiah 54:1-8; Gal. 4:26, 27).
      However, John was shown that this woman and her seed would be the object of fierce attacks by Satan and his demons especially after the death of the apostles (Acts 20:29, 30; Revelation 12:1-17).
      By then, the "mystery of iniquity" was already working imperceptibly (2Thes. 2:7). How so?
      Some false teachers had started spreading lies such as, the secret rapture (2Thes 2:1-2), the spiritual resurrection (2Timothy 2:16-18; 1Corinthians 15:12), some were starting their own splinter groups (1John 2:18-19; Jude 1:4-16), false teachers and false prophets were increasing (John 4:1; Revel. 2:2, 6; 2:9; 3:9) etc.
      But, there still existed a restraining force to that apostasy-the apostles (2Thes 2:7; 2Peter 3:1-3; 2John 1:9-11; Romans 16:17-19).
      Some time after the death of all the apostles, the GREAT APOSTASY set in: false teachings flourished, false prophets and false teachers (2Revelation 2:9; 3:9; Jude 1:4; 1John 2:18-19; 4:1; 2Peter 2:1; 3:15, 16).
      Daniel had been shown that counterfeit christians would atrack this SPIRITUAL “Israel of God” and throw down the truth (Daniel 8:9-13; Galat. 6:16; 1Peter 2:9-11)
      What was attacked? According to Daniel 8:9-13 and Daniel 7:25:
      * The truth was attacked
      * The seed of the woman was attacked
      * The sanctuary or temple
      * The law of God was attacked, etc
      What is this temple or salnctuary? The heavenly temple and those who worship in it (Hebrews 8:1, 2, 5; Ephesians 2:6; Colos. 1:13; 1 Corinthians 3:16).
      But, Daniel was ALSO shown that in the “TIME OF THE END”, after 2300 prophetic days, that is, in 1844, the “SANCTUARY” or “TEMPLE” would be restored (Daniel 8:13, 14). Malachi was also shown this great event (Malachi 3:1-5). So, did that happen in 1844?
      True to that prophecy, in 1844 the “SANCTUARY” or “TEMPLE” and those who worship in it were RESTORED. How so?
      As foretold, in the TIME OF THE END, Bible students got together and started studying the Bible in deadly earnest. God led them to the Bible truth and they begun proclaiming the first angel's message (Rev. 14:6).
      Like the early disciples of Jesus and John the Baptist, at first, they thought the “KINGDOM OF GOD” would start during their day (Matt. 3:1-2; 11:1-6; 10:7, 23; 16:28; Luke 9:27; 19:11; 24:21; Acts 1:6; Ecclesiastes 3:15). Nevertheless, they were told to “PROPHESY AGAIN” to every nation, tongue and people. That is, to REPEAT the first angel's message till the end of the world (Revelation 10:8-11; 14:6).
      From then, the worldwide work of the SEVENTH-DAY ADVENTIST CHURCH had already commenced! (Revelation 14:6-12). How wonderful is the outworking of God's invisible hand!
      Satan is not ignorant of this fact. He is making everything he can to misrepresent the truth by propagating his propaganda through human puppets!
      The arrogant and proud apostates are being used by Satan the Devil and his demons to misrepresent that truth and to propagate God-dishonoring, malicious, and blasphemous lies against that REMNANT CHURCH. These apostates include the poor arrogant DIGRUNTLED ONES and THEIR poor Devil-duped followers!
      We ought to pray for them

  • @MnazaretiMathias-ld6um
    @MnazaretiMathias-ld6um Год назад

    Bwana asaidie kazi ya mungu izidi kusonga

  • @claudinekigwasa4823
    @claudinekigwasa4823 2 года назад

    Baba Mungu akuzindishi neno lako huwa linanibariki sana

  • @natihaikamjema6130
    @natihaikamjema6130 4 года назад +1

    Asante Mchungaji nimebarikiwe

  • @zahaljamal4520
    @zahaljamal4520 4 года назад +1

    Ubarikiwe Sana mtumishi wa mungu

  • @faustinemasumbuko3922
    @faustinemasumbuko3922 5 лет назад +2

    Nimebarikiwa kwa hili somo Mungu akubariki pastor.

  • @franktimothkisimbo5354
    @franktimothkisimbo5354 4 года назад +1

    Ubarikiwe saan Mchungaji Mbaga... 🙏✋

  • @t7zkc5tpxgim28
    @t7zkc5tpxgim28 4 года назад +1

    AMEN, Mungu akubariki sana pastor

  • @watwegopnina6480
    @watwegopnina6480 4 года назад

    Amen mchungaji wangu, hilo somo zuri sana. MUNGU na azidi kutusamehe. Mungu akubariki sana sana.

  • @virginiamusila797
    @virginiamusila797 2 года назад

    nibarikiwa sana mtumishi wamungu mungu akubariki kwauduma yako.

  • @happymbilinyi7906
    @happymbilinyi7906 5 лет назад +2

    Barikiwa mtumishi sema tupone

  • @godsonmhema2255
    @godsonmhema2255 3 года назад +1

    Akina mama wa kiandventista ndio kwanza wanawapeleka watoto wao kuitoa hio mimba wengi sana hawakubali wanasema aibu

  • @leawamukota9217
    @leawamukota9217 2 года назад +1

    AMEN

  • @edwinlawi710
    @edwinlawi710 5 лет назад +2

    Ubarikiwe Sana mtumishi

  • @eunicebukokhe6805
    @eunicebukokhe6805 3 года назад

    Asante sana Ndugu,, ubarikiwe nawe katika mafundisho haya

  • @shimwekagwiza2300
    @shimwekagwiza2300 5 лет назад +5

    Pastor nakuelewa sana, unanibariki nakunitia nguvu zaidi

    • @jacquesnkondogoro270
      @jacquesnkondogoro270 2 года назад

      Barikiwa pasta mimi Jacques Nzomararumwe Nkondogoro Namihitaji maombi

  • @suleimanstephano6022
    @suleimanstephano6022 2 года назад

    Kweli mungu ananena

  • @mwendahussein217
    @mwendahussein217 2 года назад

    Mtumish niko mafinga uduma napataje nimependa sana mafundisho yako nataka nimuabudu mungu wakweli

  • @alexkiwale8949
    @alexkiwale8949 5 лет назад +2

    Mungu akulinde na kukutunza Mchungaji mbaga akupe afya njema uihubiri injiri hii ya Ufalme wa Mungu mpaka mwisho wa Dunia kwakweli tunapona Amina.

  • @mandwashija4992
    @mandwashija4992 5 лет назад +6

    MUNGU aendelee kukutumia PR

  • @leahkuya8505
    @leahkuya8505 3 года назад +2

    Thanks for the this message pastor may God uplift you n continue blessing soul like us

    • @Enockbeckbrown-hf6xx
      @Enockbeckbrown-hf6xx 8 месяцев назад

      THE “REMNANT” OF SPIRITUAL ISRAEL- WHO ARE THEY TODAY?
      In 31 C.E., God found his church by pouring the Holy Spirit on His true followers. They spread the good news throughout the then known world.
      God had foretold this, He was reclaiming His spiritual “wife” and her “seed”(Isaiah 54:1-8; Gal. 4:26, 27).
      However, John was shown that this woman and her seed would be the object of fierce attacks by Satan and his demons especially after the death of the apostles (Acts 20:29, 30; Revelation 12:1-17).
      By then, the "mystery of iniquity" was already working imperceptibly (2Thes. 2:7). How so?
      Some false teachers had started spreading lies such as, the secret rapture (2Thes 2:1-2), the spiritual resurrection (2Timothy 2:16-18; 1Corinthians 15:12), some were starting their own splinter groups (1John 2:18-19; Jude 1:4-16), false teachers and false prophets were increasing (John 4:1; Revel. 2:2, 6; 2:9; 3:9) etc.
      But, there still existed a restraining force to that apostasy-the apostles (2Thes 2:7; 2Peter 3:1-3; 2John 1:9-11; Romans 16:17-19).
      Some time after the death of all the apostles, the GREAT APOSTASY set in: false teachings flourished, false prophets and false teachers (2Revelation 2:9; 3:9; Jude 1:4; 1John 2:18-19; 4:1; 2Peter 2:1; 3:15, 16).
      Daniel had been shown that counterfeit christians would atrack this SPIRITUAL “Israel of God” and throw down the truth (Daniel 8:9-13; Galat. 6:16; 1Peter 2:9-11)
      What was attacked? According to Daniel 8:9-13 and Daniel 7:25:
      * The truth was attacked
      * The seed of the woman was attacked
      * The sanctuary or temple
      * The law of God was attacked, etc
      What is this temple or salnctuary? The heavenly temple and those who worship in it (Hebrews 8:1, 2, 5; Ephesians 2:6; Colos. 1:13; 1 Corinthians 3:16).
      But, Daniel was ALSO shown that in the “TIME OF THE END”, after 2300 prophetic days, that is, in 1844, the “SANCTUARY” or “TEMPLE” would be restored (Daniel 8:13, 14). Malachi was also shown this great event (Malachi 3:1-5). So, did that happen in 1844?
      True to that prophecy, in 1844 the “SANCTUARY” or “TEMPLE” and those who worship in it were RESTORED. How so?
      As foretold, in the TIME OF THE END, Bible students got together and started studying the Bible in deadly earnest. God led them to the Bible truth and they begun proclaiming the first angel's message (Rev. 14:6).
      Like the early disciples of Jesus and John the Baptist, at first, they thought the “KINGDOM OF GOD” would start during their day (Matt. 3:1-2; 11:1-6; 10:7, 23; 16:28; Luke 9:27; 19:11; 24:21; Acts 1:6; Ecclesiastes 3:15). Nevertheless, they were told to “PROPHESY AGAIN” to every nation, tongue and people. That is, to REPEAT the first angel's message till the end of the world (Revelation 10:8-11; 14:6).
      From then, the worldwide work of the SEVENTH-DAY ADVENTIST CHURCH had already commenced! (Revelation 14:6-12). How wonderful is the outworking of God's invisible hand!
      Satan is not ignorant of this fact. He is making everything he can to misrepresent the truth by propagating his propaganda through human puppets!
      The arrogant and proud apostates are being used by Satan the Devil and his demons to misrepresent that truth and to propagate God-dishonoring, malicious, and blasphemous lies against that REMNANT CHURCH. These apostates include the poor arrogant DIGRUNTLED ONES and THEIR poor Devil-duped followers!
      We ought to pray for them

  • @winifridamushi1341
    @winifridamushi1341 3 года назад +1

    Umeongea kitu nyeti Sanaaa watu hawaelewi kama watoto wanaharibiwa na watu wanaowaaminii.... Wamama tunzeni watoto vizuri msitegemee ma house girl na ndugu wawalele watoto MTOTO HANUNULIWI!!

  • @samwelinyika4434
    @samwelinyika4434 5 лет назад +4

    Pastor nakushuru Hasa namshukuru MUNGU aliekuruhusu uhubri jambo hili

  • @shirorose3087
    @shirorose3087 3 года назад +1

    Nabarikiwa nikiwa hapa Kenya

  • @thobiasmwalimo775
    @thobiasmwalimo775 Год назад

    Tunahukuru kwa kutufunulia haya

  • @Martin-uq2kv
    @Martin-uq2kv 3 года назад

    Amina Mungu azidi kukutumia kwa kuendeleza ujumbe ambao haupatikani kwa baadhi ya wahubri

  • @benben8598
    @benben8598 4 года назад +1

    Bwana asifiwe nime barikwa

  • @eliudbeyanga8575
    @eliudbeyanga8575 Год назад

    I feel blessing since I knew you .may God bless you Amen

  • @janewaititu8051
    @janewaititu8051 5 лет назад

    Mungu wa mbinguni atukuzwe...kwa kunijalia niyapate haya.Mtumishi...Mungu azidi kukuneemesha sana.

  • @GuillaumeLumande-j3d
    @GuillaumeLumande-j3d 10 месяцев назад

    Alléluia 👋🙏🙏🙏

  • @rubennathan8804
    @rubennathan8804 4 года назад +1

    Mtumish 😀😀😀😀😀 nani amekupa mimba ,roho mtakatifu heeee😀😀

  • @ndeshukurwakaaya4385
    @ndeshukurwakaaya4385 2 года назад

    Mungu libariiki taifa teule la Tanzania 🇹🇿 . kwani kwa kukubali kumpokea YESU hakika ukombozi na makusudi mema ya Taifa lililojengwa na misingi ya haki, wakati umetimia wa kuweka yote kivitendo kwa kukiri nguvu na damu iwezayo yaliyoshindikana.. DAMU YA YESU. 🙏

  • @eustina0
    @eustina0 Год назад

    Mungu atukuzwe siku zote hakika mokono wabwana uko nami aminaa🙏🙏🙏

  • @NeemaSitta-i2b
    @NeemaSitta-i2b 10 месяцев назад

    Safi sema tupone

  • @bonyemuelelwa3440
    @bonyemuelelwa3440 2 года назад

    Amen amen mungu akubari mchungaji

  • @alleteeaeum5583
    @alleteeaeum5583 5 лет назад +2

    PR God blessed you for this good preach

  • @danielmastaki8569
    @danielmastaki8569 3 года назад

    Nabarikiwa Sana pasta ubarikiwe

  • @joycemashikolo9096
    @joycemashikolo9096 4 месяца назад

    Hahaha jamani eti nikanawa nusu hilo jicho la baba kiboko😅😅

  • @willsumbu5153
    @willsumbu5153 3 года назад +1

    Sisi bila rohomtakatifu ni bure kabisa

  • @makubisostenesi2342
    @makubisostenesi2342 5 лет назад +1

    Barikiwa sana muchungaji mbaga

  • @rachelmanema9044
    @rachelmanema9044 4 года назад

    Pastor Mungu akubariki sana unazidi kunifungua sana natamani tuonane mbinguni

  • @nurugasaya6001
    @nurugasaya6001 3 года назад

    Ubarikiwe 🙏 Mtumishi wa Baba kwa kututoa gizani🙏

  • @maureenjovial6083
    @maureenjovial6083 4 года назад

    Amina asante Yesu kwa neno lako hakika nemeona BWANA akinitendea

  • @renjeremiah7117
    @renjeremiah7117 3 года назад +1

    Amen pastor

  • @luciatoto2116
    @luciatoto2116 5 лет назад +2

    Pr nimebarikiwa sana,,,,,,ukweli kwa watoto wangu pia hua sitaki mazingira hatarishi ni bora hata nifukuzwe kazi lkn sichezi na maisha ambayo Yesu amewapa watoto wangu

  • @mwavitafuraha7244
    @mwavitafuraha7244 3 года назад

    Ubarikiwe sana mchungaji

  • @rosepeter8996
    @rosepeter8996 3 года назад

    Barikiwa sana mchingaji.

  • @dianadavid2119
    @dianadavid2119 4 года назад +1

    hakika Mungu wako anakutumia vizur ,,, asifiwe milele zote

  • @gabrielynicas6817
    @gabrielynicas6817 4 года назад +2

    neno hili limenibariki sana

  • @jamesmedard5538
    @jamesmedard5538 4 года назад

    Ubarikiwe sana kaka Pr.Mmbaga

  • @kapyelumusic344
    @kapyelumusic344 3 года назад

    Asante

  • @deboramwakalebela7845
    @deboramwakalebela7845 5 лет назад

    mungu akubariki saana pastor mbaga

  • @lameckmtaka2659
    @lameckmtaka2659 5 лет назад +1

    Good

  • @gabriellyadam9415
    @gabriellyadam9415 4 года назад +1

    Yaani Paata ubarikiwe tu.

  • @eliayohana3092
    @eliayohana3092 3 года назад

    Pasta ubarikiwe

  • @amangulunduelo8750
    @amangulunduelo8750 3 года назад +1

    Asante kwa neno

  • @claudinebatamuriza7804
    @claudinebatamuriza7804 5 лет назад +2

    Amen 🙏 God is God siku zote

  • @jacksonkepha9097
    @jacksonkepha9097 5 лет назад +2

    amina kristo ametenda

  • @rhinakiza
    @rhinakiza 4 года назад

    Amina roho mtakatifu anaenda kazi

  • @reallyworshipers1515
    @reallyworshipers1515 5 лет назад +1

    Barikiwa Mzee wetu

  • @dianamhanila5187
    @dianamhanila5187 4 года назад

    Amen Amen Asante sana kwa huduma hii