@@shtengorashid1236 Masheikh wapo wengi kweli lakini wengi wao ni woga na wanafiki. Wale walijitokeza waziwazi kuteteta haki na uadilifu Zanzibar. Masheikh ambao wanalipwa na serikali hawasemi kitu inapofanyika dhulma kwa kuogopa kukosa kitumbua chao. Tazama dhulma zilizofanyika wakati wa uchaguzi, umesikia lolote kutoka kwa Masheikh walio chini ya malipo ya serikali?
Mashehe waache wapumzike hawana umuhimu ni wakorofi hata maalim seif anawaogopa ndio maana hawaongelei. Mashehe walitaka kuleta dini kwenye kupinga serikali. hatutaki nzanzibar iwe kama msumbiji raia wanachinjwa na hao wanao tumia dini kufanya siasa. Waache wapumzike wawafundishe dini waalifu waliojaa huko magereza.
Maalim hapana maridhiano hapo. CCM wamepora uchaguzi, wamekugaieni nafasi mbili tatu kukidhi matakwa ya kikatiba kujenga serikali eti ya "Umoja wa Kitaifa" na kujenga "Maridhiano". Yaani acheni kucheza na akili zetu, hata mtoto mdogo anaelewa kuwa hii ni Serikali ya CCM, inayoendeshwa kwa ilani, dira na mipango ya CCM. ACT imo tu kama sanamu kukidhi matakwa ya katiba na kuipa uhalali CCM kuendesha serikali. Tusidanganyeni bure!
Mpumbavu ni maalim seifu au mpumbavu ni yule asitaka umoja,mtu ambaye anahubiri amani na utulivu kinyume chake akatokea mtu kupuuza sijuwi tumwiteje mtu wa Aina hiyo,Mimi nasema mtihani kweli kweli
@@khamismaulid6839: Khamis,hao madhalim tunao toka uanzishwe muungano,wanatumia nguvu za dola kufanya kila ya aina ya ubaya ilimradi wabaki madarakani kwa lengo la kutufanya tusije wamoja. Ulipogomewa uchaguzi wa 2015 nini kilitokea?Walipojaribu kupaza sauti kupinga udhalim mwaka 2001,nini kilitokea? Tunawajibu wa kuwajibisha wale walochukua roho za watu nawalioteswa.Haya yote yanawezekana iwapo tutajaribu kuelimishana kwa kuwa pamoja.
Halafu 2025 anzeni kutukanana na kulani vingoz mana akili zenu sijuwi zipo kuzimu mana hayo maneno mutakuja kuyasahau yote . Ila mungu atalinda ishallah
Ee jamani watu wote wameumiya mpaka hii leo tunamachungu lakini tumemuachia allah na hili jambo msimtukane maalim hana uwezo nalo nyinyi wenye matusi mnomtukana maalim basi kampindueni mwinyi maana sisi tunachotaka ni amani na hayo yote yaliopita tukumbuke allah hakiim yupo nakila mtu ataondoka duniani tunachotaka mashekhe wetu watolewe
@@husseinmkanga7794 acha upuuzi ww umeskia wapi jela kuna kupumzika na machafu yte waliofanyiwa hii msg yako utaenda kujibu pia kwa Allah ni moja katika mambo saba yenye kuangamiza na ww kuchangia kwako umeshiriki hilo futa kauli yako omba mahfira kwa Allah sheikh km Mselem umemuona wapi znz nzima sheikh mwenye elimu kubwa km ile unamjuwa vzr umewahi kuhudhuria darsa zke au unaropokwa tu ww
@@salehpirlo398 wewe wacha kuna watu Wana elim nzanzibar kuliko mselem sema hawajitangazi. Mselem alitaka kutumia uislam kuleta siasa nzanzibar kutaka kushindana na serikali. hata mtume muhammad saw aliheshimu utawala.
Msimtukane Maalim yy anapenda haki na yuko pamoja na sie kwa hivo mkitoa comment toeni za maana msilete maneno maneno mtu mzima ana mengi anayo yajua msikae vibarazani mkasema tu lazima akili tuzipimewenzetu wanakufa kila muda hakuna faida bora kuwa pamoja tukatizama kher na yote hayo ni M mungu kayaleta na tuyapokeeAhsanteni
@@zakwani885 kuna watu pale hawapendi waZnz wapatane maana kila ikiwa kuna mvutano wao ndio wanapata kula yao. Kazi zao kupeleka fitna na kujenga chuki baina ya waZnz kwa waZnz wenyewe ili wao wale
Maalim hana mamlaka yoyote ya kuwatoa mashekh . Kelele hizo mwambieni magufuli au mnamuogopa . Maalim si haba kupata hio nafasi ya kusema tu akiwamo ndani ya serikali . Kama kuisakama tuisakame serikali ya ccm na sio maalim .
Sisi tunataka mashehe wetu na wewe maalim ulisema ktk kampen uki ingia serikaln tu mashehe watatoka mbona upo kimya una mwez na nusu hatjawaona mashehe wetu
Hajasema akiingia Serikali alisema atakapochaguliwa na akatangazwa Kia Rais ataziagiza Mamlaka ziwalete Zanzibar Masheikh Wetu na kama wanamakosa wasikilizwe na kuhukumiwa hapa hapa Zanzibar... Maalim sio Rais Maalim ni Mshauri anaweza kumshauri Rais ni juu ya Rais kulipa uzito suala la Masheikh wetu .. Usiseme kitu ambacho Maalim hajakisema .
Allah awarehem wote waliopoteza maisha wakati uchaguzi!
Simbaaaaa simbaaaaa simbaaaaa simbaaa
WAPEMBA NA WAUNGUJA (WANZIBAR WENZANG) SIASA NI MCHEZO MCHAFU tuombe mashere watoke Elimu imefichwa imefungiwa
Mashehe sio wao tub hapa Zanzibar
Wapo mashekh weng tuh tena wakubwa kuliko wao ila la umuhim tuwaombee dua watoke lkn sio kuwa wao ndan ndio elimu nayo imefichwa
@@shtengorashid1236 Masheikh wapo wengi kweli lakini wengi wao ni woga na wanafiki. Wale walijitokeza waziwazi kuteteta haki na uadilifu Zanzibar. Masheikh ambao wanalipwa na serikali hawasemi kitu inapofanyika dhulma kwa kuogopa kukosa kitumbua chao. Tazama dhulma zilizofanyika wakati wa uchaguzi, umesikia lolote kutoka kwa Masheikh walio chini ya malipo ya serikali?
Asante weyani ❤️
Allah awaongoze mlete umoja wauhakika. nakuondosha ubaguzi.
Ss tunatkaa mashekhe wetu kulee bara watokee jmn mhhh mhhh
Mashehe waache wapumzike hawana umuhimu ni wakorofi hata maalim seif anawaogopa ndio maana hawaongelei. Mashehe walitaka kuleta dini kwenye kupinga serikali. hatutaki nzanzibar iwe kama msumbiji raia wanachinjwa na hao wanao tumia dini kufanya siasa. Waache wapumzike wawafundishe dini waalifu waliojaa huko magereza.
Maalim hapana maridhiano hapo. CCM wamepora uchaguzi, wamekugaieni nafasi mbili tatu kukidhi matakwa ya kikatiba kujenga serikali eti ya "Umoja wa Kitaifa" na kujenga "Maridhiano". Yaani acheni kucheza na akili zetu, hata mtoto mdogo anaelewa kuwa hii ni Serikali ya CCM, inayoendeshwa kwa ilani, dira na mipango ya CCM. ACT imo tu kama sanamu kukidhi matakwa ya katiba na kuipa uhalali CCM kuendesha serikali. Tusidanganyeni bure!
Mpumbavu ni maalim seifu au mpumbavu ni yule asitaka umoja,mtu ambaye anahubiri amani na utulivu kinyume chake akatokea mtu kupuuza sijuwi tumwiteje mtu wa Aina hiyo,Mimi nasema mtihani kweli kweli
Wapumbavu ni sie mjanja ni yeye anae kula meza moja na madhalim
@@khamismaulid6839: Khamis,hao madhalim tunao toka uanzishwe muungano,wanatumia nguvu za dola kufanya kila ya aina ya ubaya ilimradi wabaki madarakani kwa lengo la kutufanya tusije wamoja.
Ulipogomewa uchaguzi wa 2015 nini kilitokea?Walipojaribu kupaza sauti kupinga udhalim mwaka 2001,nini kilitokea?
Tunawajibu wa kuwajibisha wale walochukua roho za watu nawalioteswa.Haya yote yanawezekana iwapo tutajaribu kuelimishana kwa kuwa pamoja.
Wapumbavu ni sie alosema tugome tukagoma tuandamane tukaandama na kupigwa wengne hadi kufa na Leo tunapiga makofi
Maalim hapa, hakua muazi Sana. Kama Kuna jambo limejificha. Au mchukua video ameacha sehemu
Safi sana mzee
Mashekhe wetu watoleweee ....
Halafu 2025 anzeni kutukanana na kulani vingoz mana akili zenu sijuwi zipo kuzimu mana hayo maneno mutakuja kuyasahau yote . Ila mungu atalinda ishallah
Ndo siasa iyo
Ee jamani watu wote wameumiya mpaka hii leo tunamachungu lakini tumemuachia allah na hili jambo msimtukane maalim hana uwezo nalo nyinyi wenye matusi mnomtukana maalim basi kampindueni mwinyi maana sisi tunachotaka ni amani na hayo yote yaliopita tukumbuke allah hakiim yupo nakila mtu ataondoka duniani tunachotaka mashekhe wetu watolewe
Waache wapumzike mashehe wapo wengi nzanzibar.
@@husseinmkanga7794 acha upuuzi ww umeskia wapi jela kuna kupumzika na machafu yte waliofanyiwa hii msg yako utaenda kujibu pia kwa Allah ni moja katika mambo saba yenye kuangamiza na ww kuchangia kwako umeshiriki hilo futa kauli yako omba mahfira kwa Allah sheikh km Mselem umemuona wapi znz nzima sheikh mwenye elimu kubwa km ile unamjuwa vzr umewahi kuhudhuria darsa zke au unaropokwa tu ww
@@salehpirlo398 wewe wacha kuna watu Wana elim nzanzibar kuliko mselem sema hawajitangazi. Mselem alitaka kutumia uislam kuleta siasa nzanzibar kutaka kushindana na serikali. hata mtume muhammad saw aliheshimu utawala.
Safi maallim
Msimtukane Maalim yy anapenda haki na yuko pamoja na sie kwa hivo mkitoa comment toeni za maana msilete maneno maneno mtu mzima ana mengi anayo yajua msikae vibarazani mkasema tu lazima akili tuzipimewenzetu wanakufa kila muda hakuna faida bora kuwa pamoja tukatizama kher na yote hayo ni M mungu kayaleta na tuyapokeeAhsanteni
@@zakwani885 kuna watu pale hawapendi waZnz wapatane maana kila ikiwa kuna mvutano wao ndio wanapata kula yao. Kazi zao kupeleka fitna na kujenga chuki baina ya waZnz kwa waZnz wenyewe ili wao wale
Mashekhe watolewe jela
Aaaa hamn maajabu tena zanzibar kw siasa , fany maxhehe watoke 2 , aliopoteza maisha yao mung awalaz mahal pema pepon hakuna tna maajaabu
Maalim asanteee kwa hutuba yako ya lkn pia usisahau kumshauri raisi ili mashekhe wawe huru yaani wato lewe huko tanganyika waliko
Wakwanza kukoment
Nobody cares!
Uko sw maalim
Mbona ilikua huongei hayo kwenye kampeni?
Ndio dalili ya unafiki
@@mohamedhaji2200 Ndio maana mimi sina shobo na siasa
@@ismailjuma3692 watu wanamuona maalim kua ni mkweli na mwenye dini, kumbe aliwatumia uamsho, na wananchi wakaandamana kwa maslahi yake tu.
@@mohamedhaji2200 hafai kuigwa katika jamii
Malim kiongoz wetu sema mweny busara yake
Tyar ameshakula mshahara wamwezi mmoja
Maalim hana mamlaka yoyote ya kuwatoa mashekh .
Kelele hizo mwambieni magufuli au mnamuogopa .
Maalim si haba kupata hio nafasi ya kusema tu akiwamo ndani ya serikali .
Kama kuisakama tuisakame serikali ya ccm na sio maalim .
Magufuri amewakuta jela hajawakata. Wakitaka wakubali kosa wafungwe halafu muombeni magufuri awasamehe. Mashehe waliambiwa wasishindane na serikali wakasema wananguvu kuliko serikali. Walijuwa wakikamatwa wanzanzibari wataanzisha fujo kuipinga serikali. Walionywa hawajasikia waache wakae jela walitaka wenyewe.
To Masheikh wewe Acha kelele na Mazoezi yako ya Mpira
Siasa kweri ni mchezo mchafu
Ilivyokuwa ni kafir lazma utasema hivyo
@@nassorrashid2857 mchezo mchafu kweli bana
Umejuaje Kama kafir?
Sisi tunataka mashehe wetu na wewe maalim ulisema ktk kampen uki ingia serikaln tu mashehe watatoka mbona upo kimya una mwez na nusu hatjawaona mashehe wetu
Sawa sawa muhimu mashekhe watolewe hayo memgine watajuana wenyewe mana washawatesa sana miaka 8 mingi sana
Hana issue na masheikh huyo. Yy shida yake ni madaraka tu. Mtaona kama atawauliza
Hajasema akiingia Serikali alisema atakapochaguliwa na akatangazwa Kia Rais ataziagiza Mamlaka ziwalete Zanzibar Masheikh Wetu na kama wanamakosa wasikilizwe na kuhukumiwa hapa hapa Zanzibar...
Maalim sio Rais Maalim ni Mshauri anaweza kumshauri Rais ni juu ya Rais kulipa uzito suala la Masheikh wetu ..
Usiseme kitu ambacho Maalim hajakisema .
maalim alisema kuwa akiwa raisi ndo atawatoaaa masheikh, ila anajarib kumshaur raisi, na naamin watatolewa siku ya sherehe za mapinduzi.
@@mahfoudhcalender2747 inshallah