Maalim Seif aimarisha Maridhiano kisiwani Pemba

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 окт 2024

Комментарии • 76

  • @mwinyitoreira2339
    @mwinyitoreira2339 3 года назад +5

    Allah awarehem wote waliopoteza maisha wakati uchaguzi!

  • @lilianmakwati5228
    @lilianmakwati5228 3 года назад +8

    Simbaaaaa simbaaaaa simbaaaaa simbaaa

  • @nadirvrs6509
    @nadirvrs6509 3 года назад +7

    WAPEMBA NA WAUNGUJA (WANZIBAR WENZANG) SIASA NI MCHEZO MCHAFU tuombe mashere watoke Elimu imefichwa imefungiwa

    • @shtengorashid1236
      @shtengorashid1236 3 года назад

      Mashehe sio wao tub hapa Zanzibar

    • @shtengorashid1236
      @shtengorashid1236 3 года назад

      Wapo mashekh weng tuh tena wakubwa kuliko wao ila la umuhim tuwaombee dua watoke lkn sio kuwa wao ndan ndio elimu nayo imefichwa

    • @AhmedAli-gh1lm
      @AhmedAli-gh1lm 3 года назад

      @@shtengorashid1236 Masheikh wapo wengi kweli lakini wengi wao ni woga na wanafiki. Wale walijitokeza waziwazi kuteteta haki na uadilifu Zanzibar. Masheikh ambao wanalipwa na serikali hawasemi kitu inapofanyika dhulma kwa kuogopa kukosa kitumbua chao. Tazama dhulma zilizofanyika wakati wa uchaguzi, umesikia lolote kutoka kwa Masheikh walio chini ya malipo ya serikali?

  • @nailamohd7693
    @nailamohd7693 3 года назад +5

    Asante weyani ❤️

  • @zahorrashid5459
    @zahorrashid5459 3 года назад +1

    Allah awaongoze mlete umoja wauhakika. nakuondosha ubaguzi.

  • @husseinali9760
    @husseinali9760 3 года назад +7

    Ss tunatkaa mashekhe wetu kulee bara watokee jmn mhhh mhhh

    • @husseinmkanga7794
      @husseinmkanga7794 3 года назад

      Mashehe waache wapumzike hawana umuhimu ni wakorofi hata maalim seif anawaogopa ndio maana hawaongelei. Mashehe walitaka kuleta dini kwenye kupinga serikali. hatutaki nzanzibar iwe kama msumbiji raia wanachinjwa na hao wanao tumia dini kufanya siasa. Waache wapumzike wawafundishe dini waalifu waliojaa huko magereza.

  • @AhmedAli-gh1lm
    @AhmedAli-gh1lm 3 года назад +1

    Maalim hapana maridhiano hapo. CCM wamepora uchaguzi, wamekugaieni nafasi mbili tatu kukidhi matakwa ya kikatiba kujenga serikali eti ya "Umoja wa Kitaifa" na kujenga "Maridhiano". Yaani acheni kucheza na akili zetu, hata mtoto mdogo anaelewa kuwa hii ni Serikali ya CCM, inayoendeshwa kwa ilani, dira na mipango ya CCM. ACT imo tu kama sanamu kukidhi matakwa ya katiba na kuipa uhalali CCM kuendesha serikali. Tusidanganyeni bure!

  • @mohammedomar9883
    @mohammedomar9883 3 года назад +5

    Mpumbavu ni maalim seifu au mpumbavu ni yule asitaka umoja,mtu ambaye anahubiri amani na utulivu kinyume chake akatokea mtu kupuuza sijuwi tumwiteje mtu wa Aina hiyo,Mimi nasema mtihani kweli kweli

    • @khamismaulid6839
      @khamismaulid6839 3 года назад

      Wapumbavu ni sie mjanja ni yeye anae kula meza moja na madhalim

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 3 года назад +1

      @@khamismaulid6839: Khamis,hao madhalim tunao toka uanzishwe muungano,wanatumia nguvu za dola kufanya kila ya aina ya ubaya ilimradi wabaki madarakani kwa lengo la kutufanya tusije wamoja.
      Ulipogomewa uchaguzi wa 2015 nini kilitokea?Walipojaribu kupaza sauti kupinga udhalim mwaka 2001,nini kilitokea?
      Tunawajibu wa kuwajibisha wale walochukua roho za watu nawalioteswa.Haya yote yanawezekana iwapo tutajaribu kuelimishana kwa kuwa pamoja.

    • @jumayusuf1694
      @jumayusuf1694 3 года назад

      Wapumbavu ni sie alosema tugome tukagoma tuandamane tukaandama na kupigwa wengne hadi kufa na Leo tunapiga makofi

  • @khaledsuleiman9819
    @khaledsuleiman9819 3 года назад

    Maalim hapa, hakua muazi Sana. Kama Kuna jambo limejificha. Au mchukua video ameacha sehemu

  • @hajishaibu8295
    @hajishaibu8295 3 года назад

    Safi sana mzee

  • @salmaseif1070
    @salmaseif1070 3 года назад

    Mashekhe wetu watoleweee ....

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 3 года назад +1

    Halafu 2025 anzeni kutukanana na kulani vingoz mana akili zenu sijuwi zipo kuzimu mana hayo maneno mutakuja kuyasahau yote . Ila mungu atalinda ishallah

  • @sabraabdilnasir8826
    @sabraabdilnasir8826 3 года назад +2

    Ee jamani watu wote wameumiya mpaka hii leo tunamachungu lakini tumemuachia allah na hili jambo msimtukane maalim hana uwezo nalo nyinyi wenye matusi mnomtukana maalim basi kampindueni mwinyi maana sisi tunachotaka ni amani na hayo yote yaliopita tukumbuke allah hakiim yupo nakila mtu ataondoka duniani tunachotaka mashekhe wetu watolewe

    • @husseinmkanga7794
      @husseinmkanga7794 3 года назад

      Waache wapumzike mashehe wapo wengi nzanzibar.

    • @salehpirlo398
      @salehpirlo398 3 года назад

      @@husseinmkanga7794 acha upuuzi ww umeskia wapi jela kuna kupumzika na machafu yte waliofanyiwa hii msg yako utaenda kujibu pia kwa Allah ni moja katika mambo saba yenye kuangamiza na ww kuchangia kwako umeshiriki hilo futa kauli yako omba mahfira kwa Allah sheikh km Mselem umemuona wapi znz nzima sheikh mwenye elimu kubwa km ile unamjuwa vzr umewahi kuhudhuria darsa zke au unaropokwa tu ww

    • @husseinmkanga7794
      @husseinmkanga7794 3 года назад

      @@salehpirlo398 wewe wacha kuna watu Wana elim nzanzibar kuliko mselem sema hawajitangazi. Mselem alitaka kutumia uislam kuleta siasa nzanzibar kutaka kushindana na serikali. hata mtume muhammad saw aliheshimu utawala.

  • @nassorrashid2857
    @nassorrashid2857 3 года назад +2

    Safi maallim

    • @zakwani885
      @zakwani885 3 года назад

      Msimtukane Maalim yy anapenda haki na yuko pamoja na sie kwa hivo mkitoa comment toeni za maana msilete maneno maneno mtu mzima ana mengi anayo yajua msikae vibarazani mkasema tu lazima akili tuzipimewenzetu wanakufa kila muda hakuna faida bora kuwa pamoja tukatizama kher na yote hayo ni M mungu kayaleta na tuyapokeeAhsanteni

    • @kiri5807
      @kiri5807 3 года назад

      @@zakwani885 kuna watu pale hawapendi waZnz wapatane maana kila ikiwa kuna mvutano wao ndio wanapata kula yao. Kazi zao kupeleka fitna na kujenga chuki baina ya waZnz kwa waZnz wenyewe ili wao wale

  • @zingzong3928
    @zingzong3928 3 года назад

    Mashekhe watolewe jela

  • @nadirvrs6509
    @nadirvrs6509 3 года назад

    Aaaa hamn maajabu tena zanzibar kw siasa , fany maxhehe watoke 2 , aliopoteza maisha yao mung awalaz mahal pema pepon hakuna tna maajaabu

  • @Oman-tt1hn
    @Oman-tt1hn 3 года назад

    Maalim asanteee kwa hutuba yako ya lkn pia usisahau kumshauri raisi ili mashekhe wawe huru yaani wato lewe huko tanganyika waliko

  • @sultansaid501
    @sultansaid501 3 года назад +3

    Wakwanza kukoment

  • @mohamnedsalum2150
    @mohamnedsalum2150 3 года назад

    Uko sw maalim

  • @ismailjuma3692
    @ismailjuma3692 3 года назад +1

    Mbona ilikua huongei hayo kwenye kampeni?

    • @mohamedhaji2200
      @mohamedhaji2200 3 года назад

      Ndio dalili ya unafiki

    • @ismailjuma3692
      @ismailjuma3692 3 года назад

      @@mohamedhaji2200 Ndio maana mimi sina shobo na siasa

    • @mohamedhaji2200
      @mohamedhaji2200 3 года назад +1

      @@ismailjuma3692 watu wanamuona maalim kua ni mkweli na mwenye dini, kumbe aliwatumia uamsho, na wananchi wakaandamana kwa maslahi yake tu.

    • @ismailjuma3692
      @ismailjuma3692 3 года назад +1

      @@mohamedhaji2200 hafai kuigwa katika jamii

  • @pilichumu9331
    @pilichumu9331 3 года назад

    Malim kiongoz wetu sema mweny busara yake

  • @abdullaabdullahmpakanjia2336
    @abdullaabdullahmpakanjia2336 3 года назад

    Tyar ameshakula mshahara wamwezi mmoja

  • @kassimharoub9075
    @kassimharoub9075 3 года назад

    Maalim hana mamlaka yoyote ya kuwatoa mashekh .
    Kelele hizo mwambieni magufuli au mnamuogopa .
    Maalim si haba kupata hio nafasi ya kusema tu akiwamo ndani ya serikali .
    Kama kuisakama tuisakame serikali ya ccm na sio maalim .

    • @husseinmkanga7794
      @husseinmkanga7794 3 года назад

      Magufuri amewakuta jela hajawakata. Wakitaka wakubali kosa wafungwe halafu muombeni magufuri awasamehe. Mashehe waliambiwa wasishindane na serikali wakasema wananguvu kuliko serikali. Walijuwa wakikamatwa wanzanzibari wataanzisha fujo kuipinga serikali. Walionywa hawajasikia waache wakae jela walitaka wenyewe.

  • @oxtinho159
    @oxtinho159 3 года назад

    To Masheikh wewe Acha kelele na Mazoezi yako ya Mpira

  • @johnmdem5947
    @johnmdem5947 3 года назад +1

    Siasa kweri ni mchezo mchafu

    • @nassorrashid2857
      @nassorrashid2857 3 года назад

      Ilivyokuwa ni kafir lazma utasema hivyo

    • @topaviator
      @topaviator 3 года назад

      @@nassorrashid2857 mchezo mchafu kweli bana

    • @jumayusuf1694
      @jumayusuf1694 3 года назад

      Umejuaje Kama kafir?

  • @aleyabra8005
    @aleyabra8005 3 года назад +5

    Sisi tunataka mashehe wetu na wewe maalim ulisema ktk kampen uki ingia serikaln tu mashehe watatoka mbona upo kimya una mwez na nusu hatjawaona mashehe wetu

    • @yahyahamad1802
      @yahyahamad1802 3 года назад +1

      Sawa sawa muhimu mashekhe watolewe hayo memgine watajuana wenyewe mana washawatesa sana miaka 8 mingi sana

    • @mohamedhaji2200
      @mohamedhaji2200 3 года назад

      Hana issue na masheikh huyo. Yy shida yake ni madaraka tu. Mtaona kama atawauliza

    • @amanmohd9435
      @amanmohd9435 3 года назад +2

      Hajasema akiingia Serikali alisema atakapochaguliwa na akatangazwa Kia Rais ataziagiza Mamlaka ziwalete Zanzibar Masheikh Wetu na kama wanamakosa wasikilizwe na kuhukumiwa hapa hapa Zanzibar...
      Maalim sio Rais Maalim ni Mshauri anaweza kumshauri Rais ni juu ya Rais kulipa uzito suala la Masheikh wetu ..
      Usiseme kitu ambacho Maalim hajakisema .

    • @mahfoudhcalender2747
      @mahfoudhcalender2747 3 года назад

      maalim alisema kuwa akiwa raisi ndo atawatoaaa masheikh, ila anajarib kumshaur raisi, na naamin watatolewa siku ya sherehe za mapinduzi.

    • @yahyahamad1802
      @yahyahamad1802 3 года назад

      @@mahfoudhcalender2747 inshallah