Basi msiwe mnataja hiyo kazi yake aliyokua akiifanyaa msimsifie tena kwa hiyo kazi aliyokua akiifanyaa wala msiongelee kama yeye ndio aliwafundishaaa jitahidini mumuombee maghfira kila mara kila sikuu mtoleeni sadaqa kwa wingiiii mfanyieni sadaqa yenye kuendeleaa Allah amsameh makosa yake ampe qauli thaabbit inaniuma sana roho tujitahidini kumtaja kwa mema yakee tusimkumbuke kwa hiyo kazi alokua nayoo wala mengine yalokua hayana manufaa nayeyee wanangu nawaomba msiendelee tena kufanya miziki wala kuipenda miziki msivae vidani msisukee msivae bangilii msifunge madungush msitie vipiniii yaani hayo yoote ni ktk amali za kisheyttani kumbukeni nyinyi ni waislam hamutakiwi kufanya hivoo na hata hao waliokua sio waislam pia hawajaruhusiwa kuyafanya hayooo msiwape ushindi wasioupenda uislam wetuu na wasiotupenda sisi waislam msiwaunge mikono kwa kuyafanya Yale yasomridhisha Allah na Mtume na zaidi yasiyowaridhisha nyinyi wenyenyewe nafsi zenuu kwani kila tunalolifanya wananguu kwanza tuhakikishe litaturidhisha hapa duniani na aakhir tuendakoooo yaani kwa ajili ya nafsi zetu wananguuu kwani ndizo zitakazokwenda kuhesabiwa siku ya kisimamo ikifika wananguuuuu
hyo ndg yng allah alishaahid unachokifny dunian ndicho utkcho tajiwa nacho utkpoondoka kwahyo hawo wnaomtjia hvo hwjkosea ni amali yke mwnyw aliyoitngneza kila mja atatajwa na anchokifny na ndio mana tunatakiwa tuish na kuyaacha yle yte allah aliyotukataza hkuna mkmilifu lkn hii tasnia inazid kujisahau kbsa wao ni nan na wap tutarejea hao wkitoka hpo wpo wnaokwenda kuzini wapo wnaokwenda kuendlea na mizki ilimrad tujithd na ss tufnyie mema nafs zetu tutubu kw makosa yetu kbla ya muda wetu kutufikia
Subhan Allah innaalillaahi wainnaailayhi rajiuun watu wanabeba jeneza na vidani shingoni herini masikioni madungush vichwani misuko ya aina kwa aina vichwani yaarrabb tuhidi na vizazi vyetu na waislam woote kwa ujumla yaarrabb yaarrabb tusameh na wazee wetu na ndugu zetu na jamaa zetu na majirani zetu na vizazi vyetu na waislam woote kwa ujumla yaarrabb tuhidi yaarrabb kabla hujatukhitaji waja wakoo yaarrabb tutoe ktk giza tuliloliingiaa turudishe ktk nuru tulikotoka na vizazi vyetu na ndugu zetu na jamaa zetu na majirani zetu wazee wetu na waislam woote kwa ujumla yaarrabb innaalillaahi wainnaailayhi raajiuun msiba mkubwa huu
Hlf wamembeba mwenzao kwa fujo wallah haikupaswa kua hivi wanaleta uhun mbele ya maut Allah atuhifadh atuchukue akiwa ni mwenye kiridhika na sisi Allah atupe mwisho mwema na watu wenye heshima wataotupeleka huko malalon...yan vijana wamevamia msiba kwa fujo wallah dah
Basi msiwe mnataja hiyo kazi yake aliyokua akiifanyaa msimsifie tena kwa hiyo kazi aliyokua akiifanyaa wala msiongelee kama yeye ndio aliwafundishaaa jitahidini mumuombee maghfira kila mara kila sikuu mtoleeni sadaqa kwa wingiiii mfanyieni sadaqa yenye kuendeleaa Allah amsameh makosa yake ampe qauli thaabbit inaniuma sana roho tujitahidini kumtaja kwa mema yakee tusimkumbuke kwa hiyo kazi alokua nayoo wala mengine yalokua hayana manufaa nayeyee wanangu nawaomba msiendelee tena kufanya miziki wala kuipenda miziki msivae vidani msisukee msivae bangilii msifunge madungush msitie vipiniii yaani hayo yoote ni ktk amali za kisheyttani kumbukeni nyinyi ni waislam hamutakiwi kufanya hivoo na hata hao waliokua sio waislam pia hawajaruhusiwa kuyafanya hayooo msiwape ushindi wasioupenda uislam wetuu na wasiotupenda sisi waislam msiwaunge mikono kwa kuyafanya Yale yasomridhisha Allah na Mtume na zaidi yasiyowaridhisha nyinyi wenyenyewe nafsi zenuu kwani kila tunalolifanya wananguu kwanza tuhakikishe litaturidhisha hapa duniani na aakhir tuendakoooo yaani kwa ajili ya nafsi zetu wananguuu kwani ndizo zitakazokwenda kuhesabiwa siku ya kisimamo ikifika wananguuuuu
hyo ndg yng allah alishaahid unachokifny dunian ndicho utkcho tajiwa nacho utkpoondoka kwahyo hawo wnaomtjia hvo hwjkosea ni amali yke mwnyw aliyoitngneza kila mja atatajwa na anchokifny na ndio mana tunatakiwa tuish na kuyaacha yle yte allah aliyotukataza hkuna mkmilifu lkn hii tasnia inazid kujisahau kbsa wao ni nan na wap tutarejea hao wkitoka hpo wpo wnaokwenda kuzini wapo wnaokwenda kuendlea na mizki ilimrad tujithd na ss tufnyie mema nafs zetu tutubu kw makosa yetu kbla ya muda wetu kutufikia
Yan aliyeyaelewa mauti ameelewaa maisha
Innalilah waina ilah rajiun polen sana
Kifo hakina Mzee wala kijana wala mgonjwa wala mzima mda ukifika,tujiandae hali imebadilika sana
Subhan Allah innaalillaahi wainnaailayhi rajiuun watu wanabeba jeneza na vidani shingoni herini masikioni madungush vichwani misuko ya aina kwa aina vichwani yaarrabb tuhidi na vizazi vyetu na waislam woote kwa ujumla yaarrabb yaarrabb tusameh na wazee wetu na ndugu zetu na jamaa zetu na majirani zetu na vizazi vyetu na waislam woote kwa ujumla yaarrabb tuhidi yaarrabb kabla hujatukhitaji waja wakoo yaarrabb tutoe ktk giza tuliloliingiaa turudishe ktk nuru tulikotoka na vizazi vyetu na ndugu zetu na jamaa zetu na majirani zetu wazee wetu na waislam woote kwa ujumla yaarrabb innaalillaahi wainnaailayhi raajiuun msiba mkubwa huu
Kwel kabisa aziza yaan me nashangaa wanaume kusuk af haitoshi anaenda makabirin kuzika kaachia rasta kwel sisi binadam wasahaulifu san
Hlf wamembeba mwenzao kwa fujo wallah haikupaswa kua hivi wanaleta uhun mbele ya maut Allah atuhifadh atuchukue akiwa ni mwenye kiridhika na sisi Allah atupe mwisho mwema na watu wenye heshima wataotupeleka huko malalon...yan vijana wamevamia msiba kwa fujo wallah dah
Poleni sana family
Tunatembea na vifo vyetu hakika. Mungu amlaze mahala pema.
Inalilahi waina ilahi rajiun poleni Sanaa wafiwa ALLAH AWAPE SUBRA INSHAALLAH
Bye home boy dah!
Allahuma inn asa'aluka husnal khatimaa🤲🤲🙏😢
Amin
😢😢😢 Mungu ampe pumziko la milele amuondolee adhabu ya kaburi r.i.p😢😢😢😢😢
Siku hizi atuzeek tena
Toka alikuwa hao amkumkumbusha amekufa ndo mwamwambia badala ya kumuombea dua
innalillah wainna ilayhi raajiuun
Huyu mond anachagua misiba mingine huwa haonekani
duu spidi ya jeneza kali hiyo
😢😢😢😢😢
Kifo ni mawaidha tosha
Sanaa tu
Daah 😢😢😢
Mwanga wakiristu uwangaziye apumzke kwa amani amina