HIVI NDIVYO DIRECTOR KHALIFAN KHALIMANDRO ALIVYOZIKWA, MASTAA MBALIMBALI WAHUDHURIA MAZISHI YAKE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 25

  • @azizaali8506
    @azizaali8506 4 месяца назад +9

    Basi msiwe mnataja hiyo kazi yake aliyokua akiifanyaa msimsifie tena kwa hiyo kazi aliyokua akiifanyaa wala msiongelee kama yeye ndio aliwafundishaaa jitahidini mumuombee maghfira kila mara kila sikuu mtoleeni sadaqa kwa wingiiii mfanyieni sadaqa yenye kuendeleaa Allah amsameh makosa yake ampe qauli thaabbit inaniuma sana roho tujitahidini kumtaja kwa mema yakee tusimkumbuke kwa hiyo kazi alokua nayoo wala mengine yalokua hayana manufaa nayeyee wanangu nawaomba msiendelee tena kufanya miziki wala kuipenda miziki msivae vidani msisukee msivae bangilii msifunge madungush msitie vipiniii yaani hayo yoote ni ktk amali za kisheyttani kumbukeni nyinyi ni waislam hamutakiwi kufanya hivoo na hata hao waliokua sio waislam pia hawajaruhusiwa kuyafanya hayooo msiwape ushindi wasioupenda uislam wetuu na wasiotupenda sisi waislam msiwaunge mikono kwa kuyafanya Yale yasomridhisha Allah na Mtume na zaidi yasiyowaridhisha nyinyi wenyenyewe nafsi zenuu kwani kila tunalolifanya wananguu kwanza tuhakikishe litaturidhisha hapa duniani na aakhir tuendakoooo yaani kwa ajili ya nafsi zetu wananguuu kwani ndizo zitakazokwenda kuhesabiwa siku ya kisimamo ikifika wananguuuuu

    • @SalehAbdallah-zx2cq
      @SalehAbdallah-zx2cq 4 месяца назад +1

      hyo ndg yng allah alishaahid unachokifny dunian ndicho utkcho tajiwa nacho utkpoondoka kwahyo hawo wnaomtjia hvo hwjkosea ni amali yke mwnyw aliyoitngneza kila mja atatajwa na anchokifny na ndio mana tunatakiwa tuish na kuyaacha yle yte allah aliyotukataza hkuna mkmilifu lkn hii tasnia inazid kujisahau kbsa wao ni nan na wap tutarejea hao wkitoka hpo wpo wnaokwenda kuzini wapo wnaokwenda kuendlea na mizki ilimrad tujithd na ss tufnyie mema nafs zetu tutubu kw makosa yetu kbla ya muda wetu kutufikia

  • @salitosofo5561
    @salitosofo5561 4 месяца назад +7

    Yan aliyeyaelewa mauti ameelewaa maisha

  • @mariamkibindo1741
    @mariamkibindo1741 4 месяца назад +4

    Innalilah waina ilah rajiun polen sana

  • @binseif2216
    @binseif2216 4 месяца назад +7

    Kifo hakina Mzee wala kijana wala mgonjwa wala mzima mda ukifika,tujiandae hali imebadilika sana

  • @azizaali8506
    @azizaali8506 4 месяца назад +3

    Subhan Allah innaalillaahi wainnaailayhi rajiuun watu wanabeba jeneza na vidani shingoni herini masikioni madungush vichwani misuko ya aina kwa aina vichwani yaarrabb tuhidi na vizazi vyetu na waislam woote kwa ujumla yaarrabb yaarrabb tusameh na wazee wetu na ndugu zetu na jamaa zetu na majirani zetu na vizazi vyetu na waislam woote kwa ujumla yaarrabb tuhidi yaarrabb kabla hujatukhitaji waja wakoo yaarrabb tutoe ktk giza tuliloliingiaa turudishe ktk nuru tulikotoka na vizazi vyetu na ndugu zetu na jamaa zetu na majirani zetu wazee wetu na waislam woote kwa ujumla yaarrabb innaalillaahi wainnaailayhi raajiuun msiba mkubwa huu

    • @halimamussa8175
      @halimamussa8175 4 месяца назад

      Kwel kabisa aziza yaan me nashangaa wanaume kusuk af haitoshi anaenda makabirin kuzika kaachia rasta kwel sisi binadam wasahaulifu san

    • @shunaaalbukhury3050
      @shunaaalbukhury3050 4 месяца назад

      Hlf wamembeba mwenzao kwa fujo wallah haikupaswa kua hivi wanaleta uhun mbele ya maut Allah atuhifadh atuchukue akiwa ni mwenye kiridhika na sisi Allah atupe mwisho mwema na watu wenye heshima wataotupeleka huko malalon...yan vijana wamevamia msiba kwa fujo wallah dah

  • @DiegoSimeone-dk8kd
    @DiegoSimeone-dk8kd 3 месяца назад

    Poleni sana family

  • @callicevallice7383
    @callicevallice7383 4 месяца назад +2

    Tunatembea na vifo vyetu hakika. Mungu amlaze mahala pema.

  • @mamakekhubeiby4206
    @mamakekhubeiby4206 4 месяца назад

    Inalilahi waina ilahi rajiun poleni Sanaa wafiwa ALLAH AWAPE SUBRA INSHAALLAH

  • @ZainabDesouza
    @ZainabDesouza 4 месяца назад

    Bye home boy dah!

  • @mariamkibindo1741
    @mariamkibindo1741 4 месяца назад +2

    Allahuma inn asa'aluka husnal khatimaa🤲🤲🙏😢

  • @veronicasesilia198
    @veronicasesilia198 4 месяца назад

    😢😢😢 Mungu ampe pumziko la milele amuondolee adhabu ya kaburi r.i.p😢😢😢😢😢

  • @bintmrisho3526
    @bintmrisho3526 4 месяца назад +1

    Siku hizi atuzeek tena

  • @Issamarika
    @Issamarika 4 месяца назад

    Toka alikuwa hao amkumkumbusha amekufa ndo mwamwambia badala ya kumuombea dua

  • @hassankongolilo8408
    @hassankongolilo8408 4 месяца назад

    innalillah wainna ilayhi raajiuun

  • @zenadaudzena2849
    @zenadaudzena2849 4 месяца назад

    Huyu mond anachagua misiba mingine huwa haonekani

  • @hassankongolilo8408
    @hassankongolilo8408 4 месяца назад

    duu spidi ya jeneza kali hiyo

  • @AzaAzamhmod
    @AzaAzamhmod 4 месяца назад

    😢😢😢😢😢

  • @alimau7939
    @alimau7939 4 месяца назад

    Kifo ni mawaidha tosha

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 4 месяца назад

    Daah 😢😢😢

  • @MsevenSaudisaidi
    @MsevenSaudisaidi 4 месяца назад +4

    Mwanga wakiristu uwangaziye apumzke kwa amani amina