Haya Sasa wengine ambao hamjaoa mtuletee watoto Nchi siyo mnaenda kusoma ulaya mnaenda kufanya umalaya huko yaani jamaa sipat picha TB Joshua alivyo kuwa anaombea mtoto wake MUNGU ampe mtu sahihi wa Maisha.
Hermosa boda, bonita familia de Profeta Tb Joshua, y su esposa hermana Evelin Joshua, muy bella una gran hija de Dios también. Que Dios Bendiga a la familia, de sangre y a su gran Iglesia, equipo del ministerio, y al país, Nigeria, y Africa entero y el mundo que le sigue a esta gran iglesia de Dios.
Huyu mama TbJoshua sio mara yake ya kwanza kuja Tanzania..point of correction Alikuja 5years ago kwenye harusi ya rafiki yake mke wa mwenye tussime schools
Awalete tu watoto wake wa kike wapate wachumba na wakiume wapate wake,lkn wakiume wawaangalie sana wanawake wa ki tz wanapenda kuchuna mbuzi,cyo wakweli.
Tb Joshua signed a pact with Satan for riches and fame and is now roasting in hell...That is how it goes with those who love fame and fortune in the world
Big up Brian Mushi,big up Roman Catholic church,welcome Sarah and your family in Tanzania.We are eager to welcome the man of God Tb Joshua in our nation all the time.
Scoan 20/12/15 testimony, MILLAD AYO YAKO MENGI YA KUJUA KUHUSU KIJANA WA KITÀNZANIA ALIEMUOA BINT WA NABII TB JOSHUA WA NAIGERIA FUNGUA HIYO LINK RUclips UTAONA MENGI ZAIDI ALIPOENDA KWENYE MADHABAHU YA SCOAN NCHINI NAIGERIA .
Angalia RUclips utaona walifunga ndoa Lagos 16th Dec 2020, hii ni formality tu ili upande wa mume nao wapate kusheherekea na Sara awajue wakwe zake.. Hivyo sio ajabu binti kuwa mjamzito
Tanzanians you're so lucky indeed, this is a divine connection 🙏🏽
Arusha oyeeeeee. Thank you bro of moyo safi to bring daighter of Prof T.B Joshua here Tanzania tena Arusha
Acha loho mbaya kwani sisi wa mbeya nanjombe niwasomali au wakenya sema Tanzania oyeeee
@@youngbilioners4631 Ukabila mbaya sana
Mmmmmh!
@@youngbilioners4631 huyo kainadi Arusha sasa wachaga wangenadi kabila ingekuwaje? Wonder yy ni swai cjui ya rombo au machame 😂
💕💕💕💕💕💕This divine connection indeed 💓💓💓💓💓💞💞
Mangi mosha ametuwakilisha vizuri👍👍👍👍
Moshi..siyo Mosha. Hizo ni koo mbili tofauti
Kabisa
@@damariszuckschwert9489 hiv kuna ukoo wa moshi pia uchagani au ni mushi naomb nieleweshe
@@iraqgirl2143 kuna Moshi, Mushi, mosha.,Masha
@@damariszuckschwert9489 sawaa hizo koo zingine nazijua isipokuwa moshi coz kuna majina ya moshi pia huku kwetu kwa wairaq
Haya Sasa wengine ambao hamjaoa mtuletee watoto Nchi siyo mnaenda kusoma ulaya mnaenda kufanya umalaya huko yaani jamaa sipat picha TB Joshua alivyo kuwa anaombea mtoto wake MUNGU ampe mtu sahihi wa Maisha.
Congratulations for getting to a chagga family in Tanzania, May God bless you.
Congratulations Sera and Brian. We give God the glory.
Hakika Umewawakilisha Wanaume wa Tanzania hongera sana Kaka
Mkijaliwa watoto wasome tz maana Nigeria usalama sio
Naipenda nchi yangu Tanzania!!! Mungu anatupenda sana!
Karibu Tanzania Mama TB Joshua
Hermosa boda, bonita familia de Profeta Tb Joshua, y su esposa hermana Evelin Joshua, muy bella una gran hija de Dios también. Que Dios Bendiga a la familia, de sangre y a su gran Iglesia, equipo del ministerio, y al país, Nigeria, y Africa entero y el mundo que le sigue a esta gran iglesia de Dios.
Wachagga ni kabila jasiri sana,wako kila mahali.Huyu Moshi utasikia kafungua maduka Nigeria.
🤣🤣🤣ndiooo hawashindwi
Huyu mama TbJoshua sio mara yake ya kwanza kuja Tanzania..point of correction
Alikuja 5years ago kwenye harusi ya rafiki yake mke wa mwenye tussime schools
Wachaga tunachangamkia fursa🤸🤸🤸🤸
😂😂😂😂noma sana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
mm naenda kuoa Jamaica
Bangi😂
🤣🤣🤣🤣
Sawa katuwakilishe kwenye ukoo wa BOB MARLEY
Wow mummy wa me😍😍🙏🙏
Thank you Jesus Christ ❤️❤️❤️❤️❤️
Hizi connection zinapatikana wapi na sisi tunazihitaji jamani
Hahahahaaaaaaa nimecheka sana
Kasome Marekani au Europe shoga angu
Marekani na kwenye ndege
Fanya mazoea ya kupanda ndege kama unavyo panda daladala🤣
Acha ujinga wewe, kazana na ulichonacho, utafanikiwa!!
Yass yasss
Kusoma raha
Amen ma Evelyn
Awalete tu watoto wake wa kike wapate wachumba na wakiume wapate wake,lkn wakiume wawaangalie sana wanawake wa ki tz wanapenda kuchuna mbuzi,cyo wakweli.
Mungu mwema
...Rest in peace tb joshua
Hongera Tanzania
TB Joshua where are u your gal is getting married and you are not dead where are u Joshua
Is this in Catholic Church ⛪?
Watz Tunaoa kimataifa sasa!!Wanyabi na sisi Tuamke jaman!!!Kila siku mlio ule ule tu na mademu zetu ebu twendeni hata Ugandan😂😂😂
Ila wabongo et6wanaelewa😅😅😅😅
Kwann wasielewe acha madharau
Hiyo ni lugha tu kama kimakonde wapo watakaoelewa nawengine wasipate kuelwa
God bless this marriage in Jesus Christ Name. Thank you for your humbleness Mrs TBJoshua. God bless TB Joshua and his family too in Jesus Christ Name
Wanaijeria ni Shemeji zetu na Wifi zetu Sasa.... Hata SCOAN tutafika Sasa....Sisi Watanzania ni Watu wa Upendo Pekee....
Mapema sanaaa
@@elizabethlwablala7098 mbona da Eliza unasema mapema Sanaaaaaaa??
Yaan SCOAN tutafika mapema mnooo maana tayari wao ni wakwe wetu
@@elizabethlwablala7098 sawa kabisa Eliza
Hii ni heavenly connection, mkwe wetu Hana budi kufungua tawi Tanzania. Tukae tutaona tU! ASANTE YESU.
HONGERA ZAO!!!!!
Hiii hutokea tu Ni mipango ya Mungu akiamua analeta
aise itakua raha ya ajabu
Sana kabisa!
Tanzani nchi upendo huko salama wasalimia wote be bless msalimia Mzee Joshua tuzidi tumbeane
Tb Joshua signed a pact with Satan for riches and fame and is now roasting in hell...That is how it goes with those who love fame and fortune in the world
Hongera chaga boy
We kaka nakushukulu bwana tb joshuwa ajuwe tunamlelea mtoto uku big sana
Alichounganisha mwenyez Mungu mwanadamu asitenganishe...!!
Wanawake vigeregere kama vyote sidhani kama wote wanaelewa kinge Mungu aitunze ndoa yao.🙏
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Duh sasaa ulitaka wanyamaze kiingreza no lugha km lugha zingine
Hapo sasa
English enyewe hata mzungu hawezi kuelewa. Leave alone wa bongo
Jesos 😂
Watu tunashangilia hata hatuelewi
Wachaga hoyee karbu nyumban wifi
May Prophet TB Joshua's soul rest in peace, he was a great real prophet of God, condolences to the family.
Thank you Jesus Christ... prophet TB JOSHUA❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Usituangushe Wanaume wa Tanzanzania @Bryan Moshi. Najua unajua
Big up Brian Mushi,big up Roman Catholic church,welcome Sarah and your family in Tanzania.We are eager to welcome the man of God Tb Joshua in our nation all the time.
Moshi sio mushi
@@lilianmoshy9710 wachaga mko active
@@lilianmoshy9710 haha
Mungu awabariki sana katika ndoa yao. Ni baraka ya pekee Mungu kutuunganisha Tanzania na Nigeria kupitia kwa wanandoa hao wawili.
Destruyan toda brugerias de todos de bendecidos y comida embrujada entierros altaRes gue tengan a toda la jamilia en bidias cuidenmcho
Vigelegele vyakutoelewa lugha😅😅😅😅
Naona kama ni ndoto jamani...hakika hii ni neema kwetu Tanzania. Nimefurahi sana sana indeed!
Asante Sana kutuletea mtoto wa Tb Joshua
Hehe..
@@justinamusyoka4986 If Tb Joshua is fake then Christopher Orji ministries is also fake?
Waoooh that's great one ...your wellcm Mam and your daughter 🇹🇿🇹🇿💝
Hapo lazima wagungue makanisa bongo
Mama did come with anointing water for us I really in need
Akuna mkalimani mnapiga makofi mmeelewa jamani au tufunike kombe joke
Wachaga ni wasomi wewe
Scoan 20/12/15 testimony, MILLAD AYO YAKO MENGI YA KUJUA KUHUSU KIJANA WA KITÀNZANIA ALIEMUOA BINT WA NABII TB JOSHUA WA NAIGERIA FUNGUA HIYO LINK RUclips UTAONA MENGI ZAIDI ALIPOENDA KWENYE MADHABAHU YA SCOAN NCHINI NAIGERIA .
Hapo naamini siyo Vyombo vingine vya Habari. Ayo nawaamini
Yaaan nimefurahi utadhan nina ukoo nao
😀😀😀wajina wewe 😀
@@elizabethmwandu6937 😀😀😀Nambie wajina yaani ungeniona ungeshangaa sana
Nimefurahi Sana familia ya nabii kumuamini kijana wa kitanzania na kumkabidhi binti yao
Nikweli tb Joshua kawakataa wengi sana kwenye ulimwengu wa roho aliowaleta mwanae kuwa ni wachumba zake
Hongera
Mungu awabariki saana iwe familia Bora.
What a wonderful moment there
Hiv hao wanaopiga vigelegele wameelewa kweli anasemaje, ????
pia mm.najiuliza tu hahahahhaha
🤣🤣
😅😅😅😅😅🙌🙌🙌
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👏👏👏👏👏👏👏👏👌🏼👌🏼👌🏼👌🏼👌🏼
😲😀😀😀
Nderegwonderegwo i can see smooth way to Scoan..Emmanuel!!!
Congratulations
Asante Mungu kwa kuwaunganisha na kutuunganisha
Pole mama evelyne
Kuna wenzangu na mimi hapo wanafurahiya hata hawajui mengine yanayoongelewa😀😀
Hongera . mungu awasimamiee Sana kwenye ndoaa yenu
❤️❤️❤️❤️🙏🏾🌞
Chezea chuga ww kanisa zima wanajua kizungu
🤣🤣🤣🤣
Daaa kweli upendo ni popote
Kwa kweli
Double blessings to Tanzania
Wachaga bhana kwa janjajanja ya maisha balaaa ndio maana hatutawachagua kwenye uongoz wa kitaifa huku kanda ya ziwa
Kwani tumekuambia tunataka uongozi kanda ya ziwa? Ngiri na nusu.
@@evalinemeena5819 kama hujui kanda ya ziwa ndio inaamua Rais awe nani fatilia idadi wa wapiga kura 2020
Thank you Jesus for everything
Daaa, mapenzi bhana
Hii ni Neema ya kutuunganisha na mtumishi wa Mungu Nabii TB JOSHUA, Hakika Mungu Hawahi Wala hachelewi,
Mashaallaah
Kwel mume/mke tunapewa na mungu...kanisa moyo safi ungaltd(ngalelo) oyeee
🔥🔥🔥🔥🇹🇿🙏 mapenzi nipopote mtuwangu
Wa kwanza hapa
Vijana wa kichaga ni konkii!
Moda of Nogeria. I hope you are not going to teach our son how to use pots and trays to fly to instead of using our planes oooo
Pasto tb joshua vraiment un représentant de Dieu
Pasto tb joshua vraiment un représentant de Dieu
Mbarijiwe na mungu Wana ndowa, karibu Sana Tanzania
👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽
Safiiiiii mama angekuwa mswahili nikuchagua nakubagua tujifunze
How can a father miss her begotten daughters marriege!!!Is everything well?
Woooooow
Kilicho nifurahisha kuona ndoa imefungwa bongo na sio naija
Mungu aibariki ndoa yao sana tena sana.
Waoooo 👌😍
Mummy greet my father in the lord prophet tb joshus
Kumbe tuna undugu sasa safi sana
Wisdom may the Good Lord continue to empower you mom
Mbarikiwe familia ya TZ kwa muunganiko huo
Glory to God Almighty
Bibi harusi tayari mjamzito
Angalia RUclips utaona walifunga ndoa Lagos 16th Dec 2020, hii ni formality tu ili upande wa mume nao wapate kusheherekea na Sara awajue wakwe zake.. Hivyo sio ajabu binti kuwa mjamzito
Amen our in-law
Hongereni sana wanandoa