Ujumbe mzuri Sana Nakupenda Yesu Wewe Mtunza Siri Wangu Nimependa Sana Hii Nikwel Kwawanadamu Nielezee Nini Maana Nikiwa Juu Wanataka Nishuke Chini 🧡🔥🔥
Barikiwa sana mtu wa Mungu. Unaweza kuwa mwimbaji bora wa injili nyakati zetu wakati wengine wakirudi na kutaka kuimba secular music. Vuta soksi mtumishi, na Yesu akukumbatie kwa ajili ya nyimbo zako zinazogusa na kuwaleta wengi kwa Yesu
"Unayotenda Yesu anakuwa surprise kwao". Nitakuelezea wewe pekee Yesu. Asante kwa nguvu zako za kusikia na kufanya mambo ya hajabu. Muimbaji wa Bwana, barikiwa sana.
Nkwel mwanadamu ukimwabia shid zako anaeneza heriumueleze mungu ndiemambo yote barikiwa kaka mungu azindi kukuinua❤❤❤❤❤🎉🎉 nakupenda mungu hak umenitoa bali
Ujumbe mzuri Sana Nakupenda Yesu Wewe Mtunza Siri Wangu Nimependa Sana Hii Nikwel Kwawanadamu Nielezee Nini Maana Nikiwa Juu Wanataka Nishuke Chini 🧡🔥🔥
Amen 🙏🙏
@@DanielGongeOfficial j.
. Hi
Amen 👍👍👍
❤amin
Kaz nzur nimebarikiwa nayo Mungu azidi kukupa maono
Amen Ubarikiwe Sana
🙏🙏🔥
Kijana kijana Umeimba Wimbo Unaonigusa Sana
Kali sana kama mungu akubariki sana
Kwel Kabisa Mungu Akubariki Sana Ujumbe Umenigisa Sana Nimebarikiwa Sana Yesu Mtunza Siri
Mtumishi hongera sana kichupa kikali💪💪
Amen
Amen 🙏🙏
Safii sana ongera sana nyimbo nzuri sana sana
Amen Asante Sana KwaSapot Yako
Huu wibo umenigusa sana ameen
Ujumbe mzuri Sana Yesu mtunza Siri Wangu Hakika inabariki Sana ,
Amina San Baba
Wishing to meet you brother, good job
Mungu,,akuinuezaidi,
Hingera kwa kazi nzuri
Amen Barikiwa pia 🙏🙏
🙏🙏💪
Kaza broo mungu anaona juhud zako atakubariki
Amen Ubarikiwe Sana KwaSapot Yako
🙏🙏
Kazi nzuri Mtu wa Mungu
Amen Ubarikiwe Sana KwaSapot Yako Kaka
Nakupenda Yesu sana sana hakika wew ni msiri wangu Nakupenda Yesu nyimbo ni Nzuri sana Mungu akutie nguvu uzidi kutuletea nyimbo nzurii kaka
Amen Asante Sana Ubarikiwe KwaSapot Yako Dada Wa Mie 🙏🙏
🙏🙏
Kazi nzur barikiwa sana kijana
Amen Amen Kaka Mtu Mkubwa Sana Ww Asante KwaSapot Yako 🔥🔥
Nimeupenda Sana Huu wimbo
Kanyimbo kazuri aisee congole🔥🔥
Amen Esther Mungu Akubariki Sana KwaSapot Yako
🙏🙏💪
Barikiwa mtumishi kaz ip good Sana
Amen 🔥🙏🙏Ubarikiwe Sana
Hongera sana mtumishi kazi nzuri sana Mungu Akubariki sana 🙏
Amen Asante Sana Mungu Akubariki KwaSapot Yako kaka
🙏🙏
Wimbo mzuri sana barikiwa mtumishi wa mungu
Amen Asante Sana
Ujumbe Mzur Sana Kijana Barikiwa Na yesu
🙏🙏
Barikiwa mno
Amen Nashukur Sanaaa🙏🙏
Amen Amen
Hongera Kaka Kaz nzur
Pamoja Asante Sana 🙏🙏
hongera sana mkuuu
Amen Barikiwa Nayesu
Good song bro
Amen Barikiwa Sana KwaSapot Yako kaka
🙏🙏
BARIKIWA SANA MTUMISHI WA MUNGU UJUMBE UMENIBARIKI SANA
Barikiwa Sana Nimeipenda Sana💪💪
Amen barikiwa🙏🙏
Amen
Denise Jovette nimependa sana huyu wimbo sana barikiwa ninatamani niyimbe nawewe tena huyu wimbo asante Yesu wewe mutunza siri wange Amen 🫶🥰🌹👍
@@jovettedenise2591 Karibu Unapatikana Wap
@@DanielGongeOfficial hi! Ninapatikana American
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu.
Amen Asante Sana Rafiki Angu
Mshukulu mungu
Amen 🔥🔥
Pamoja 💪🔥
Kazi nzuri sana ubarikiwe sana mtumishi 🙏🙏🙏 Yesu Nakupenda
Kabisa Ujumbe mzur huu
Amen Asante Sana
Wimbo tamu sana Kaka
Jose subscribed here
Barikiwe Sana kaka
Barikiwa Sana Nakupenda Yesu 🔥🔥🔥🔥
Amen Amen
Ujumbe Mzur Sana 🔥
🙏🙏
Amen
Asante KwaSapot Yako Kaka
Best song via video
🙏🙏
🔥🔥🔥
🙏🙏
Barikiwa sana mtumishi wa Bwana.kazi nzuri kweli Yesu ndiyo kimblio letu.kumuelezea shida zetu kwake🙏🙏❤️
Amen Ubarikiwe Sana KwaSapot Yako Mtu Wa Mungu 🙏🙏💪🔥
Nashukulu Sana Pia KwakuSubscriber Chanel Yangu Kwakazi Zijazo
Kali sana
Nimenarikiwa Nahuu Wimbo
Hakika nimeipenda
Kali sana Hii Daaaa
Nimeipata Hiyo Mtumish
💪🔥Amen Ubarikiwe Sana
💪
Ulinipenda jinsi nilivyo,,Asante Yesu,,wewe mtunza Siri zangu. Unaenda mbali na huduma hii.barikiwa..kenya kitale
Waooooo!! Barikiwa Sana Nicheki Wattsap Kunazawad Yako
Kabisa,🥰🥰🥰🥰
Kazi nzuur
🙏🙏🔥Asante Sana
Uko vizuri sana kijana ila ongezea madancers wa kike hata wawili
BARIKIWA SANA MTUMISHI UJUMBE WA MAOMBI MZURI SANA MUNGU WA MBINGUNI AKUONEKANIE
Amen 💪
Hiyo ni kazi ya mwanadamu unapokaa kwa shida. but mungu naye ni nani.powerful messege🙏💃💃💃💃
Thanks
Nilisikiza this song more than ten times ...barikiwa sana mtumishi wa mungu ❤
Amen
Furaha yangu ni yesu Amina nimebarikiwa na pia na wewe ni aman yangu Mungu akunulie kipaj chako kaka ake.
Amen
Kwa kweli natamani niwe rafiki wako kutoka kenya, nmekukubali mkuu uko kiwango kingine. ❤❤❤❤
Amen
Barikiwa sana mtu wa Mungu. Unaweza kuwa mwimbaji bora wa injili nyakati zetu wakati wengine wakirudi na kutaka kuimba secular music. Vuta soksi mtumishi, na Yesu akukumbatie kwa ajili ya nyimbo zako zinazogusa na kuwaleta wengi kwa Yesu
Amen barikiwa sana
Waooooooooow good song nzurii barikiwa sana
Asante Sana
Aki we Mr Gonge ulikua wapi nikitafuta mwanaume ka wewe unaubeba wakovu wangu juu sana
Asante Sana
Hahahahahahah!!
Nakupenda Yesu Ujumbe mzur
Barikiwa Sana Mtumishi wa Bwana, kazi yako nzuri mno
💪
Balikiwa mtumishi wa MUNGU hubalikiwe saana KAZI yako njema saana
Amen Ubarikiwe San Kwa Sapot Yako
Wimbo mzuri sana Mungu azidi kukupa kibali kwahili ya uwimbaji ufike mbali
Amen Asante Snaa
Barikiwa sana mimi ni upendo waziri
Asante Sna
KAZI NZURI SANA
Hongera sana Kaka ujumbe mzuri sana👍
Asante Sana
🙏🙏
Nyimbo nzuri ubarikiwe
Amen Amen Asante Sana
Amen sana ndugu yangu MUNGU akubariki kwa kazi nzuri
Asante Sana
Wooo hongera kwa kazi nzuri
Asante Sana
what a blessing song !!! Yesu mtunza siri wangu... Powerful message
Amen
Kweli kabisa, leo nipokee kutoka kwako yesu.🙏🙏🙏🙏
Amen
Bonge ranyimbo Hiro Mungu akubaliki sana umenibaliki Santa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Amen
NAKUPENDA YESU
good Song
🙏🙏
Enjoyable song
amen amen barikiwa sana mutumishi wa MUNGU Daniel
Amen Asante Snaa Tubarikiwe Wote 🙏🙏
Good Job
Barikiwa sana Mtumishi Kwa ujumbe mzuri sana huu 🔥🔥🔥🔥🙏
Asante Sna
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu. Nimeupenda sana huu wimbo
Amen
barikiwa
Barikiwa sanaa mtumishi wa Mungu
Asante Sana
Kazi nxuri sanaaa
Amen
Safi sana hongera ndugu yangu
🔥🔥
mimi ni mkenya my brother pongesi mungu ako pamoja nawe siku sote Amin
Amen
"Unayotenda Yesu anakuwa surprise kwao". Nitakuelezea wewe pekee Yesu. Asante kwa nguvu zako za kusikia na kufanya mambo ya hajabu.
Muimbaji wa Bwana, barikiwa sana.
Amen Barikiwa Pia
Barikiwa Kazi njema nampenda Yesu mtunza siri wangu🙌🙌🙌
Amen Asante Sana
Waooooooh barikiwa sanaaaaaa kazi nzuri sanaaaa
Amen Barikiwa Sana
Safisana,namungu,akubariki🙋🙏🙋yesuu,wawote
Amen
Hongera sana
Amen 🙏🙏Ubarikiwe Sana
Barikiwa Zaidi uninulie Kwa viwango vya juu sana
Amen
Wanapenda niwe omba omba lakini Mungu hawezi kuruhusu hilo
Amen 🔥
Asate mutumishi wamugu🙏🙏 amen 🙏
Amen .mungu azidi kukuinua na akubariki kwa hiii kazi unayoifanya inuliwa sana kwa nyimbo zako.❤❤❤❤❤❤❤❤
Amen
Cheers from Argentina , Yesu Nakupenda.
Amen Asante San
Ubarikiwe nawimbo mzur nimebalikiwa sana
Amen
Ubarikiwe umeimba wimbomzur Sana nabalikiwa
Amen
Waooo kakika sasa mm ninani ata nisimee ubarikiwe kaka kwawimbo mzuli kama uu
Kwel 👍
Safi sana kazi nzuri sana Mungu akubariki na akulinde 💯
Amen
Kaka Mungu Akubariki Saana Kaka
🙏🙏Amen Asante Sana
Nakubali kijana kazi nzuri sana💪
Amen
Good job 🔥🔥
🙏🙏
Mungu akuogoze kaka be blessed ❤❤❤❤song
Amen
Barikiwa Sana Mtumishi Kazi Nzur sana
🙏🙏
Amina daniel gonge .mungu akubariki na akuinue zaidi ya hapa najivunia sana na nyimbo zako za baraka na zinajenga mtu .barikiwa sana kakangu❤❤❤❤🎉🎉
Amen
MUNGU akubaliki sana
Amen Asante sana
Nkwel mwanadamu ukimwabia shid zako anaeneza heriumueleze mungu ndiemambo yote barikiwa kaka mungu azindi kukuinua❤❤❤❤❤🎉🎉 nakupenda mungu hak umenitoa bali
Amen Thanks
Pongezi Bonny wimbo mzuri sana.
Amen Barikiwa Sana