Mwanafunzi ‘AMKUNA’ MAGUFULI, ATOA MILL 5, Ampandisha Kwenye GARI!
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- Mwanafunzi ‘AMKUNA’ MAGUFULI, ATOA MILL 5, Ampandisha Kwenye GARI!
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli aweka jiwe la msingi Ujenzi wa Daraja la Kigongo - Busisi lenye urefu wa 3.2 kilometa katika Ziwa Vitoria litakalounganisha Mkoa wa Mwanza na Geita
#RAISMAGUFULI
YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
----------------------------------------------------------------------------------------------------------------
HABARI MPYA DAILY:
www.youtube.co....
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
www.youtube.co....
GLOBAL RADIO TV:
www.youtube.co....
EXCLUSIVE INTERVIEW:
www.youtube.co...
BINTI KASHAKUWA MWANASIASA TAYARI.
Tunao kubaliana na haya
Like tujue tupowangapi 👍🏼
3😊
/kikjijm😢.
;
Huyu mtoto namuona mbali sana miaka kumi ijayo,huyu ndio mzee wa kazi kazi👏Mungu 🙏 azidi kukupa nguvu za kufanya makubwa kila kukicha Mh...Dk Magufuli
Mambo VIP sele. Jux
Magufuli
MAISHA NIMAGUMU SAANA KWA UTAWALA HUU, LAKINI MAENDELEO YANAYOFANYIKA KIUKWELI TUNAYAONA NA TUNAYAFURAHIA SANA HIVYO BASI SINA BUDI KUSEMA MAGHUFURI OYEEE NA C.C.M OYEEEE💪 WACHA TANZANIA YETU IBADILIKE
Yes
Mungu akubaliki sana Raisi Magufuri Asante sana wewe ni Baba ya taifa ra Tanzania 🇹🇿 Mimi ni mu Congo but na shukuru kwa kazi nzuri sana 🙏🙏🙏🙏🥰🥰👍👍👍👍
Swali langu ni hili hivi utapata wapi Raisi anayekumalizia shida yako papo hapo? Oho oh mpeni Mungu utukufu na nguvu kwa kutupatia jpm
Fact
Hakumaliza shida ndugu
jeny yusuph
Pamojasana james hanja
🙏🙏🙏🙏😥😢😪😭
Sijawai ona rais mwenye kujua utu,thamani na upendo km huyu.Eeée mwenyezi mngu ulie mkuu muumba mbingu na ardhi nakuomba umlinde mja wako huyu daima kaa upande wake na kamwe usimuache,Mpe nguvu,ulinzi na uvumilivu.
Hii sms imeniuma sana.ndo basi tena.MUNGU kamchukuaa
Tumebaki tunalia tuu jmn😭😭😭😷
😭😭😭😭😭
Co
Mi binafsi sina la kusema zaidi ya kumuombea uzima mhe Rais
Hakika mungu ametupatia kiongozi jpm mungu akubariki sana
hongera sana Rais wa tz na pia mtoto mzuri kila laheri maishani
Huyu mtoto anakipaji cha hali juu mungu ampe maisha malefu
Wewe huna unaefanana nae ktk dunia hii , m mungu aendelee kukulinda na kukulinda mh. Rais JPM . Hapa kazi tu 💪💪💪💯💯💯
Nampenda huyu rais ata ingawa mi ni mkenya.Huwa sichoki kuangalia hizi clips zake.
Hata usipokuwa rais wa nchi utakuwa hata rais wa wanafunzi chuoni mdogo wng usiogope.
Iyo ni atar mtt upo vzr sana
Ningeshukuru awe rais wa Kenya wallahi...unganisha East Africa uwe rais wetu
Ee mwenyezi Mungu wasaidie wadogo zetu waifate elimu na wawe na hexhima pia dunia ya sasa imexhaharibika kwakweli vixhawixhi vimekuwa vingi sasa
jose boy Point s
Aimeen
@@chipagafashion l
Y
Huyo Mtoto yupo Vizuri mno, Leaders are Born, not Created they are Born with that gift. 🔥 Huyo mtoto lazima awe kiongozi nimependa Confidence yake.
I'm..
Ama Kweli Wateule wa Mungu wanaoongoza kwa hekima Ni Kama huyu Rais wetu Magufuli. Mungu akulinde!
Ndo basi tena
Tunalia tuuu😭
Kuongea kwa watu wengi na ukiwa mtoto ni kazi mweshimiwa hongera rais
+254 nakukubali Sana makufuli utabaki kuwajuu
Barke hoyeeeeeee
D
Wa Tanzania mchaguweni tena kwa mara nyengine huyo ndio kiongozi wa ukweli
Yani mie najuta kuwa mbali jmn kura yangu ningempa tena ili jembe
Dah rais wangu ni kweli ume tuacha 😭😭😭 ni kweli tuta ku kumbuka
Safi sana rais wangu piga kazi invur Sana jpm hapa kazi 2
Mweshimiwa rais kwakeli kazi yako mimi naiona na ingewezekana kuendelea hata miaka 50 zaidi ingekuwa siombaya maana tulikua ni haibu sana na tuliachwa mbali na mwenzetu kimaendeleo ila wazo langu ulio wateua mawaziri na wakuu Wa mikoa na wilaya waongeze kasi maana bado kidogo kasi hazijafanana vizuri asante mweshimiwa rais wetu Mungu akusaidie kuibadilisha zaidi na kuiletea maendeleo nchiyetu.
I wish angekuwepo Baba Wa taifa aka Nyerere angesemaje kwani haya ndo alikuwa anayataka sana kuyafanya .asante nyerere ulitoka kwanza kipau mbele cha elimu na hayo ndo matokeo yake barikiwa sana huko uliko
Harmonize
@@arodiabernad5543 Mambo hamo Juma kikaniki apa
@@arodiabernad5543 Mambo hamo Juma kikaniki apa
Katoto kana akili hako pia kazuri hataree
Kamesema vyoo vya chooni.
Kazuri Mungu amkinge dhidi ya mafataki
Kama rais tunae mungu azidi kukuongoza ktk maisha yako
Mimi mkenya..kweli Tanzania mmebarikiwa na raisi..wetu hapa kenya ni wakuvuta bangi na kulewa tu
Lkn Kuna wapuuzi wachache wanazingua
Hahahaha🤣😂
Inafaa wanao mpinga Jpm wapate Rais km huyo.wakwenu Anae vuta Bangi
🤣🤣🤔
Nimecheka bure mambo ya bange tena
Iam a Kenyan ive never seen suchlike a leader on the continent of Africa who loved his country and entire people
Kama umesikia Mtoto amesema "VYOO VYA CHOONI'' gonga like jamani...!!
Hahahahahaaaaaa
kiukweri tumepata raisi
Sirahisi kuongea mbele ya raisi
I
Bigo Willy Thomas Kayanda hahahahahahahahahaaa
Huyu MTT mh amemkumbuka bint yake wa mwisho
+254 Kwa kweli Rais Magufuli ndiye rais wa kwanza wa Afrika! JPM nakuombea mafanikio ya zako za kuwasshauri sana marais wa nchi jirani kama vile wa Kenya, Burundi, DRC na South Sudan, Rwanda, Uganda, na Somalia ili tufuate mtindo huu wa kujitegemea sisi wananchi wa Afrika Mashariki.
Tuimarishe Jumuiya yetu, kwani siyo Tanzania tu bali nchi zetu zote za Afrika Mashariki hatuna baba wala mama atakayekuja kutusaidia. Wengine watamsema mwishowe watachoka lakini kwa JPM ni kazi tu!
👏👏
Nikwer san
Anaanza ujenzi kesho; kesho ni jumapili, Jumatatatu ni sherehe ya uhuru. Mbona hawakuanza jana kabula ya raisi kuja? Wanafunzi 1300 ni wengi sana. Wawakilishi wa mkoa wa mwanza wengi hatuwasikkii utafikiri kila kitu kiko sawa, mpaka watoto wanawasemea. Kwe kweli inasikitisha. Ansingesomama raisi, hakuna kitu kingefanyika.
Nahisi diwan wa hapo ni mpizani,maana nimesikia dongo kutoka kw mbunge mabula kuwa diwani anakimbia maendeleo.
Ndio ni mpinzani yupo CHADEMA
@@danrevelian Lisette
Mungu aulaze moyo wako mahali pema peponi magufuli
Haya kenya tuko hapa, kweli Bongo mume barikiwa.
Pumzika kwa amani baba kila ninapongalia video zako naishia kulia sana
In east Africa Magufuli hamna wa kushindana naye lala salama baba Pombe Joseph Magufuli.❤🎉
pamoja sana raisi wetu mpendwa
hongera sana mtoto
Kua vyema ushakua nanembo ya Taifa🇹🇿
Mungu kaamua kutupa wewe rais wetu tunakutakia maisha marefu
Huyu mtoto ndiyo akina halima mdee wa kesho nimependa kujiamini kwake
Usimfananishe huyu mtoto na vitu vya kipuuuzi broo, huyu level zake ni za juu akina ummy mwalimu
@@selemanivanmkungu4637 nikweliii😸😸
Huyo ni mama samia wa kesho wewe sio hao wapiga kelele
hhh
We unamfananishaje huyo mtoto na vitu vya kijinga hivyo?
Eeh mungu akulaze pema magufuli,poleni watanzania
Mashallah mtoto mdhuri allah amuongoze vyema
Wewe ni raisi wa wanyonge Mungu akutie nguvu zaidi na zaidi penda sn ww
Hata sasa Mungu anampigania jina lake lihimidhiwe Amen!!!
Jamani watanzania fungukeni akili zenu , oneni kwa macho yenu na msikie kwa masikio yenu, watanzania wenzangu tumuachie mzee wetu pombe aongoze mpaka mwisho wa uhai wake , ili aijenge nchi yetu tanzania, raisi mzuri niyule anaeleta maendeleo ndani ya nchi, hamuoni wenzetu uchina ???
50/50
Kweli kabisa
Wewe ni mpumbavu wa kiwango cha lami.
Kama shida zinatatuliwa pale akanyagapo tu, je, Tanzania nzima inazo shule ngapi zenye changamoto hata zaidi ya hizo na no shule ngapi alizokwishatemblea?
Nashindwa kukubali kwamba umetuwacha rais
Hatuna Mama hatuna Baba tuchape kaz bigapu sana president maguful
Mungu ampiganie Rais wetu anaitengeneza Tz mpya
Shule nyingi za Msingi zimesahaulika... Maboresho yafanyike..
Dah! Mungu atupe nini tena jaman kama ni rahisi tumebalikiwa mungu akulinde rais wetu
Hongera Raisi!!
Am akenyani but love you sir
Mtoto mwenye bahati yake hongera rais wangu
Jmnnn Baba kipenzi Rais wetu John Pombe Joseph Magufuli! Tuombee nchi yetu! Tuchape kazi
Naomba mwenyezi akujalie mbaraka tele na ,ulizi wa roho mtakatifu nakpenda pia twakupenda rais wa mapinduzi.
Mashaallah binti kachangamka vizuri!
Binadamu tuliubwa na makosa magufuli watanzania Sisi ni wanafaki baba tusaheme mungu Aileze Togo yako milele amina
Ime Aandikwaaa ktk Vitambuuu yoyote yuleee Aki Fanyaaa vizuriii upongezwee Nakupongezaa kwa Sifa zako ya 1 huchanguwiii hubanguwiii 2 una jiaminii ya 3 una jitahidiii kufanya hakiii ya 4 una jitahindii kusemaa ukweliii
Mmeipenda wenyewe
Wasoma komenti tujuane hapa
Masha Allah, Allah azidi kukubariki kwa afya nauhai rais wt amiina
Masha Allah
Magufuli Mungu akupe maisha marefu babaangu
Watani wangu lakini mnapenda sana wanawake weupe😂😂😂🤣
Umeonaeee🤣🤣🤣
Rais magufuli was a parent and where he is now may her soul rest in peace amen
Mungu akuongoze mdg wangu kutetea kwako shule yk hatimae mnajengewa madarasa manne!
Jaman njooni na mtaani watu tunashida jaman milioni tano kweli njoooni jaman na mtaaani
Hahahahahaaaaaa jamn kuna mtot kacheka mbavu hana
Amina Salum OK
Ok naipenda
Mu❤❤ mungu akwongoze katika ufalme wa mbingu kwakuwa ulekuwa mwema kwetu chuja magufuki
Tutakukumbuka daima
You are a servant sent by God. African leaders to emulate your style of leadership
Nimeipenda
Dah makufuli ni kiongoz kweli Allah akulinde
Wooow I love you Mr. President your the best president in Africa
Ninavyozimia moyo kwa Rais wangu kidogo nife
Mtoto nimekupenda sana
RIP the great President. As an East African, I'm honored to have lived during your era.
I say to myself the same thing,I really thank the Almighty GOD for making me live during his era.
Nivizurisana huwezi kuishi bila choo
Dogo anajiamin sana kushinda hata wakurugenz😅😅😅
Kama umemuonapeleka maik honga likee nampendaaa yupo active
Very nice confident student
Kiongozi mtarajiwa huyo mtoto. Kama umeiona gonga like
Viongozi Wanaziangalia kwa hasira pesa za shule
💚💚💚💚💪🏼
anaye mchukia magufuri ni mchawi sijawahi ona raisi wa mfano wa raisi huyu
Mungu ampe Afya njema wallah
uchawi wa mtu sio kuchukia mtu tu hata kumsifia isivyostaili ni uchawi vilevile
Baba magufuli mungu azidi kukuweka kwa salama yake .
Huyo ndio shujaa sio unakutana na Rais baada ya kutoa matatizo yenu unaanza kumsifia, sifa za magufuli zinaonekana, mkikutana na Raisi toeni matatizo yenu sio kutaka sifa hongera mdogo wangu kwa ujasiri.
Jaman nimemukubali rais nampenda sana ongoza miaka 50
Rais nakupenda sana endelea kura yangu nakupa live mm na ukoo wangu wote sahz heshima ipo mahindi ya mgao hayapo na maisha yanaendelea uko vzr sana meatu tuko vizr sana viongoz wetu wanafanya kazi sana mungu akubariki .........
.
@@obadiapesanane3180 Jamani tumsaidie kwa hivi sasa kwa kuchapa kazi. Hiyo miaka 50 itakuwa kazibure tu ikiwa kazi yetu itakuwa kumshabikia tu.
Nakupenda hauna ubaguzi
Ongoza miaka yote kwangu utapata. kura yangu
Mutapata watapata wapi raisi kma huyu duh binti hongera
Vyoo vya chooni! Mweeh!
Uyo mwanafunzi nyota imemnyookea, njia ni nyepesi
Mungu akubariki raisi wangu
Tutakumbuka sana Rais wetu John Pombe Magufuli of Tanzania 🇹🇿
We miss you our father
Namupenda magufuli kabisaaa🇧🇮🇧🇮
Mtoto upo vizur
nakuhakikishia kesho haki ya mungu😂😂😂😂😂
Tutakuliliya daima H.E Pombe Makufuli
Sory dear Tanzanians you have lost a president 😪
Ahaantee😪😭
I am a Kenyan.Congratulations Mr President of Tanzania may the Almighty God always keep you blessings
The good leadership from c. c.m that's good then we need mother continue to follow him but not brutal, follow by wisdom thanks
Wembunge hujielew kbs umeambiwa eleza changamoto zashule weunaleta maelezo mengiiii hovyo kbs,,nenda kajifunze kazi kwadiwani wa moro
Kama umeskia vyuo vya chooni gonga like