Mwanafunzi ‘AMKUNA’ MAGUFULI, ATOA MILL 5, Ampandisha Kwenye GARI!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Mwanafunzi ‘AMKUNA’ MAGUFULI, ATOA MILL 5, Ampandisha Kwenye GARI!
    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli aweka jiwe la msingi Ujenzi wa Daraja la Kigongo - Busisi lenye urefu wa 3.2 kilometa katika Ziwa Vitoria litakalounganisha Mkoa wa Mwanza na Geita
    #RAISMAGUFULI
    YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
    ----------------------------------------------------------------------------------------------------------------
    HABARI MPYA DAILY:
    www.youtube.co....
    HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
    www.youtube.co....
    GLOBAL RADIO TV:
    www.youtube.co....
    EXCLUSIVE INTERVIEW:
    www.youtube.co...

Комментарии • 365

  • @maikovineventscompany1180
    @maikovineventscompany1180 4 года назад +101

    BINTI KASHAKUWA MWANASIASA TAYARI.
    Tunao kubaliana na haya
    Like tujue tupowangapi 👍🏼

  • @ashurabakiri8427
    @ashurabakiri8427 4 года назад +30

    Huyu mtoto namuona mbali sana miaka kumi ijayo,huyu ndio mzee wa kazi kazi👏Mungu 🙏 azidi kukupa nguvu za kufanya makubwa kila kukicha Mh...Dk Magufuli

  • @salamashabani7922
    @salamashabani7922 4 года назад +38

    MAISHA NIMAGUMU SAANA KWA UTAWALA HUU, LAKINI MAENDELEO YANAYOFANYIKA KIUKWELI TUNAYAONA NA TUNAYAFURAHIA SANA HIVYO BASI SINA BUDI KUSEMA MAGHUFURI OYEEE NA C.C.M OYEEEE💪 WACHA TANZANIA YETU IBADILIKE

  • @evawayesu5865
    @evawayesu5865 4 года назад +17

    Mungu akubaliki sana Raisi Magufuri Asante sana wewe ni Baba ya taifa ra Tanzania 🇹🇿 Mimi ni mu Congo but na shukuru kwa kazi nzuri sana 🙏🙏🙏🙏🥰🥰👍👍👍👍

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 4 года назад +97

    Swali langu ni hili hivi utapata wapi Raisi anayekumalizia shida yako papo hapo? Oho oh mpeni Mungu utukufu na nguvu kwa kutupatia jpm

  • @kudrakaunda9412
    @kudrakaunda9412 4 года назад +45

    Sijawai ona rais mwenye kujua utu,thamani na upendo km huyu.Eeée mwenyezi mngu ulie mkuu muumba mbingu na ardhi nakuomba umlinde mja wako huyu daima kaa upande wake na kamwe usimuache,Mpe nguvu,ulinzi na uvumilivu.

  • @ahmadkibamba6008
    @ahmadkibamba6008 4 года назад +55

    Mi binafsi sina la kusema zaidi ya kumuombea uzima mhe Rais

    • @mashakakisungu2538
      @mashakakisungu2538 4 года назад +2

      Hakika mungu ametupatia kiongozi jpm mungu akubariki sana

  • @salomemukani1627
    @salomemukani1627 4 года назад +50

    hongera sana Rais wa tz na pia mtoto mzuri kila laheri maishani

  • @simonkasato7617
    @simonkasato7617 4 года назад +7

    Huyu mtoto anakipaji cha hali juu mungu ampe maisha malefu

  • @halimaramadhanimwevi2472
    @halimaramadhanimwevi2472 4 года назад +7

    Wewe huna unaefanana nae ktk dunia hii , m mungu aendelee kukulinda na kukulinda mh. Rais JPM . Hapa kazi tu 💪💪💪💯💯💯

  • @lukasochola576
    @lukasochola576 4 года назад +12

    Nampenda huyu rais ata ingawa mi ni mkenya.Huwa sichoki kuangalia hizi clips zake.

  • @eventelias3566
    @eventelias3566 4 года назад +17

    Hata usipokuwa rais wa nchi utakuwa hata rais wa wanafunzi chuoni mdogo wng usiogope.

  • @afandehassan1
    @afandehassan1 4 года назад +14

    Ningeshukuru awe rais wa Kenya wallahi...unganisha East Africa uwe rais wetu

  • @josboy5384
    @josboy5384 4 года назад +44

    Ee mwenyezi Mungu wasaidie wadogo zetu waifate elimu na wawe na hexhima pia dunia ya sasa imexhaharibika kwakweli vixhawixhi vimekuwa vingi sasa

  • @emmanueljohn8970
    @emmanueljohn8970 4 года назад +28

    Huyo Mtoto yupo Vizuri mno, Leaders are Born, not Created they are Born with that gift. 🔥 Huyo mtoto lazima awe kiongozi nimependa Confidence yake.

  • @monicasamwel6829
    @monicasamwel6829 4 года назад +10

    Ama Kweli Wateule wa Mungu wanaoongoza kwa hekima Ni Kama huyu Rais wetu Magufuli. Mungu akulinde!

  • @simonkasato7617
    @simonkasato7617 4 года назад +11

    Kuongea kwa watu wengi na ukiwa mtoto ni kazi mweshimiwa hongera rais

  • @barkembarak9270
    @barkembarak9270 4 года назад +32

    +254 nakukubali Sana makufuli utabaki kuwajuu

  • @mamymdogomamy3670
    @mamymdogomamy3670 4 года назад +25

    Wa Tanzania mchaguweni tena kwa mara nyengine huyo ndio kiongozi wa ukweli

    • @shanimbaruku2071
      @shanimbaruku2071 4 года назад

      Yani mie najuta kuwa mbali jmn kura yangu ningempa tena ili jembe

  • @kudraayuob8934
    @kudraayuob8934 3 года назад +8

    Dah rais wangu ni kweli ume tuacha 😭😭😭 ni kweli tuta ku kumbuka

  • @hassanmpwepwe3826
    @hassanmpwepwe3826 4 года назад +10

    Safi sana rais wangu piga kazi invur Sana jpm hapa kazi 2

  • @joakimmasawe1657
    @joakimmasawe1657 4 года назад +4

    Mweshimiwa rais kwakeli kazi yako mimi naiona na ingewezekana kuendelea hata miaka 50 zaidi ingekuwa siombaya maana tulikua ni haibu sana na tuliachwa mbali na mwenzetu kimaendeleo ila wazo langu ulio wateua mawaziri na wakuu Wa mikoa na wilaya waongeze kasi maana bado kidogo kasi hazijafanana vizuri asante mweshimiwa rais wetu Mungu akusaidie kuibadilisha zaidi na kuiletea maendeleo nchiyetu.

  • @gloriamichael3698
    @gloriamichael3698 4 года назад +31

    I wish angekuwepo Baba Wa taifa aka Nyerere angesemaje kwani haya ndo alikuwa anayataka sana kuyafanya .asante nyerere ulitoka kwanza kipau mbele cha elimu na hayo ndo matokeo yake barikiwa sana huko uliko

  • @maidamwaipopo7645
    @maidamwaipopo7645 4 года назад +24

    Katoto kana akili hako pia kazuri hataree

  • @angelinakishunda1657
    @angelinakishunda1657 4 года назад +8

    Kama rais tunae mungu azidi kukuongoza ktk maisha yako

  • @omurwasolomon5131
    @omurwasolomon5131 4 года назад +13

    Mimi mkenya..kweli Tanzania mmebarikiwa na raisi..wetu hapa kenya ni wakuvuta bangi na kulewa tu

  • @benbuyabo7710
    @benbuyabo7710 3 года назад +4

    Iam a Kenyan ive never seen suchlike a leader on the continent of Africa who loved his country and entire people

  • @bigowillythomaskayanda7763
    @bigowillythomaskayanda7763 4 года назад +95

    Kama umesikia Mtoto amesema "VYOO VYA CHOONI'' gonga like jamani...!!

  • @najmarushda4390
    @najmarushda4390 4 года назад +17

    Huyu MTT mh amemkumbuka bint yake wa mwisho

  • @kiswahilikitukuzwe2547
    @kiswahilikitukuzwe2547 4 года назад +11

    +254 Kwa kweli Rais Magufuli ndiye rais wa kwanza wa Afrika! JPM nakuombea mafanikio ya zako za kuwasshauri sana marais wa nchi jirani kama vile wa Kenya, Burundi, DRC na South Sudan, Rwanda, Uganda, na Somalia ili tufuate mtindo huu wa kujitegemea sisi wananchi wa Afrika Mashariki.
    Tuimarishe Jumuiya yetu, kwani siyo Tanzania tu bali nchi zetu zote za Afrika Mashariki hatuna baba wala mama atakayekuja kutusaidia. Wengine watamsema mwishowe watachoka lakini kwa JPM ni kazi tu!

  • @zachmaselle6635
    @zachmaselle6635 4 года назад +13

    Anaanza ujenzi kesho; kesho ni jumapili, Jumatatatu ni sherehe ya uhuru. Mbona hawakuanza jana kabula ya raisi kuja? Wanafunzi 1300 ni wengi sana. Wawakilishi wa mkoa wa mwanza wengi hatuwasikkii utafikiri kila kitu kiko sawa, mpaka watoto wanawasemea. Kwe kweli inasikitisha. Ansingesomama raisi, hakuna kitu kingefanyika.

  • @omarylukindo5306
    @omarylukindo5306 4 года назад +18

    Nahisi diwan wa hapo ni mpizani,maana nimesikia dongo kutoka kw mbunge mabula kuwa diwani anakimbia maendeleo.

  • @lawyerjunior8702
    @lawyerjunior8702 3 года назад +2

    Mungu aulaze moyo wako mahali pema peponi magufuli

  • @jamessitati7396
    @jamessitati7396 4 года назад +7

    Haya kenya tuko hapa, kweli Bongo mume barikiwa.

  • @amockkalinga1520
    @amockkalinga1520 3 года назад +2

    Pumzika kwa amani baba kila ninapongalia video zako naishia kulia sana

  • @xaviournyongesa8896
    @xaviournyongesa8896 6 месяцев назад +4

    In east Africa Magufuli hamna wa kushindana naye lala salama baba Pombe Joseph Magufuli.❤🎉

  • @robertterry8909
    @robertterry8909 4 года назад +8

    pamoja sana raisi wetu mpendwa

  • @kurwpaul1134
    @kurwpaul1134 4 года назад +19

    hongera sana mtoto

    • @DanielSinavangi
      @DanielSinavangi 3 месяца назад

      Kua vyema ushakua nanembo ya Taifa🇹🇿

  • @mussataliye7815
    @mussataliye7815 4 года назад +4

    Mungu kaamua kutupa wewe rais wetu tunakutakia maisha marefu

  • @nicholausmushi44
    @nicholausmushi44 4 года назад +28

    Huyu mtoto ndiyo akina halima mdee wa kesho nimependa kujiamini kwake

    • @selemanivanmkungu4637
      @selemanivanmkungu4637 4 года назад +4

      Usimfananishe huyu mtoto na vitu vya kipuuuzi broo, huyu level zake ni za juu akina ummy mwalimu

    • @didakassim8666
      @didakassim8666 4 года назад

      @@selemanivanmkungu4637 nikweliii😸😸

    • @catherineshadrack6656
      @catherineshadrack6656 4 года назад +2

      Huyo ni mama samia wa kesho wewe sio hao wapiga kelele

    • @abuuhudhaify5195
      @abuuhudhaify5195 4 года назад

      hhh

    • @eliathomas8446
      @eliathomas8446 3 года назад

      We unamfananishaje huyo mtoto na vitu vya kijinga hivyo?

  • @shardalove1159
    @shardalove1159 3 года назад +1

    Eeh mungu akulaze pema magufuli,poleni watanzania

  • @halimanasihu1200
    @halimanasihu1200 4 года назад +6

    Mashallah mtoto mdhuri allah amuongoze vyema

  • @joetemba4614
    @joetemba4614 4 года назад +3

    Wewe ni raisi wa wanyonge Mungu akutie nguvu zaidi na zaidi penda sn ww

    • @joetemba4614
      @joetemba4614 4 года назад

      Hata sasa Mungu anampigania jina lake lihimidhiwe Amen!!!

  • @jaisuriapidas9307
    @jaisuriapidas9307 4 года назад +6

    Jamani watanzania fungukeni akili zenu , oneni kwa macho yenu na msikie kwa masikio yenu, watanzania wenzangu tumuachie mzee wetu pombe aongoze mpaka mwisho wa uhai wake , ili aijenge nchi yetu tanzania, raisi mzuri niyule anaeleta maendeleo ndani ya nchi, hamuoni wenzetu uchina ???

    • @jumaigembemakula3698
      @jumaigembemakula3698 4 года назад

      50/50

    • @jdh5432
      @jdh5432 4 года назад

      Kweli kabisa

    • @fidoslameck4316
      @fidoslameck4316 4 года назад

      Wewe ni mpumbavu wa kiwango cha lami.
      Kama shida zinatatuliwa pale akanyagapo tu, je, Tanzania nzima inazo shule ngapi zenye changamoto hata zaidi ya hizo na no shule ngapi alizokwishatemblea?

  • @kenncheruiyot8253
    @kenncheruiyot8253 3 года назад +3

    Nashindwa kukubali kwamba umetuwacha rais

  • @kenethjaphet8130
    @kenethjaphet8130 4 года назад +4

    Hatuna Mama hatuna Baba tuchape kaz bigapu sana president maguful

  • @yohanamussa8336
    @yohanamussa8336 4 года назад +10

    Mungu ampiganie Rais wetu anaitengeneza Tz mpya

  • @vascostanleymbisse4477
    @vascostanleymbisse4477 4 года назад +14

    Shule nyingi za Msingi zimesahaulika... Maboresho yafanyike..

  • @jackilineshija2409
    @jackilineshija2409 4 года назад +2

    Dah! Mungu atupe nini tena jaman kama ni rahisi tumebalikiwa mungu akulinde rais wetu

  • @sofiaahmed8880
    @sofiaahmed8880 4 года назад +10

    Hongera Raisi!!

  • @King-Jack-ryan
    @King-Jack-ryan 4 года назад +11

    Am akenyani but love you sir

  • @saumabdi6267
    @saumabdi6267 4 года назад +4

    Mtoto mwenye bahati yake hongera rais wangu

  • @vonethaleonard172
    @vonethaleonard172 3 года назад +1

    Jmnnn Baba kipenzi Rais wetu John Pombe Joseph Magufuli! Tuombee nchi yetu! Tuchape kazi

  • @elkanatimotheo1897
    @elkanatimotheo1897 4 года назад +2

    Naomba mwenyezi akujalie mbaraka tele na ,ulizi wa roho mtakatifu nakpenda pia twakupenda rais wa mapinduzi.

  • @mozasaid3869
    @mozasaid3869 4 года назад +9

    Mashaallah binti kachangamka vizuri!

  • @godfreymajoa4550
    @godfreymajoa4550 3 года назад +1

    Binadamu tuliubwa na makosa magufuli watanzania Sisi ni wanafaki baba tusaheme mungu Aileze Togo yako milele amina

  • @humudyhabiby5393
    @humudyhabiby5393 4 года назад +2

    Ime Aandikwaaa ktk Vitambuuu yoyote yuleee Aki Fanyaaa vizuriii upongezwee Nakupongezaa kwa Sifa zako ya 1 huchanguwiii hubanguwiii 2 una jiaminii ya 3 una jitahidiii kufanya hakiii ya 4 una jitahindii kusemaa ukweliii

  • @mubaiddy1164
    @mubaiddy1164 4 года назад +5

    Mmeipenda wenyewe

  • @leonardemmanuel9249
    @leonardemmanuel9249 4 года назад +16

    Wasoma komenti tujuane hapa

  • @sharmilarashid5401
    @sharmilarashid5401 4 года назад +2

    Masha Allah, Allah azidi kukubariki kwa afya nauhai rais wt amiina

  • @binthassancollection.6308
    @binthassancollection.6308 4 года назад +6

    Masha Allah

  • @ikerfrank4375
    @ikerfrank4375 4 года назад +2

    Magufuli Mungu akupe maisha marefu babaangu

  • @amrimzeru2913
    @amrimzeru2913 4 года назад +9

    Watani wangu lakini mnapenda sana wanawake weupe😂😂😂🤣

  • @zenaali1279
    @zenaali1279 3 года назад +2

    Rais magufuli was a parent and where he is now may her soul rest in peace amen

  • @zamamuuhamisi6654
    @zamamuuhamisi6654 4 года назад +2

    Mungu akuongoze mdg wangu kutetea kwako shule yk hatimae mnajengewa madarasa manne!

  • @hawasuedi4106
    @hawasuedi4106 4 года назад +5

    Jaman njooni na mtaani watu tunashida jaman milioni tano kweli njoooni jaman na mtaaani

  • @aminasalum1954
    @aminasalum1954 4 года назад +10

    Hahahahahaaaaaa jamn kuna mtot kacheka mbavu hana

  • @kilulukilulu902
    @kilulukilulu902 4 года назад +2

    Ok naipenda

  • @EzekieliAnselme
    @EzekieliAnselme 4 месяца назад

    Mu❤❤ mungu akwongoze katika ufalme wa mbingu kwakuwa ulekuwa mwema kwetu chuja magufuki

  • @AtuBwagilo
    @AtuBwagilo 6 месяцев назад +2

    Tutakukumbuka daima

  • @MrDoug002
    @MrDoug002 4 года назад +1

    You are a servant sent by God. African leaders to emulate your style of leadership

  • @MOODRICNguvumal
    @MOODRICNguvumal 2 месяца назад +1

    Nimeipenda

  • @udymakame5269
    @udymakame5269 4 года назад +2

    Dah makufuli ni kiongoz kweli Allah akulinde

  • @King-Jack-ryan
    @King-Jack-ryan 4 года назад +16

    Wooow I love you Mr. President your the best president in Africa

  • @eliathomas8446
    @eliathomas8446 3 года назад +2

    Ninavyozimia moyo kwa Rais wangu kidogo nife

  • @alicemwankotwa8813
    @alicemwankotwa8813 4 года назад +3

    Mtoto nimekupenda sana

  • @VK-il7yk
    @VK-il7yk 3 года назад +7

    RIP the great President. As an East African, I'm honored to have lived during your era.

    • @kaicy165
      @kaicy165 3 года назад

      I say to myself the same thing,I really thank the Almighty GOD for making me live during his era.

    • @hamisimhina1507
      @hamisimhina1507 3 года назад

      Nivizurisana huwezi kuishi bila choo

  • @centralboytz4240
    @centralboytz4240 4 года назад +8

    Dogo anajiamin sana kushinda hata wakurugenz😅😅😅

  • @aminaussi265
    @aminaussi265 4 года назад +3

    Kama umemuonapeleka maik honga likee nampendaaa yupo active

  • @YusuphAugostine
    @YusuphAugostine 4 месяца назад

    Very nice confident student

  • @nanzalajuritah6883
    @nanzalajuritah6883 4 года назад +1

    Kiongozi mtarajiwa huyo mtoto. Kama umeiona gonga like

  • @famitoissanawanda6295
    @famitoissanawanda6295 4 года назад +9

    Viongozi Wanaziangalia kwa hasira pesa za shule

  • @fredleonardo739
    @fredleonardo739 3 года назад +2

    💚💚💚💚💪🏼

  • @emmanuelmotto745
    @emmanuelmotto745 4 года назад +15

    anaye mchukia magufuri ni mchawi sijawahi ona raisi wa mfano wa raisi huyu

    • @shanimbaruku2071
      @shanimbaruku2071 4 года назад

      Mungu ampe Afya njema wallah

    • @mwlmazingira8705
      @mwlmazingira8705 4 года назад

      uchawi wa mtu sio kuchukia mtu tu hata kumsifia isivyostaili ni uchawi vilevile

    • @ashwramashallah7242
      @ashwramashallah7242 4 года назад

      Baba magufuli mungu azidi kukuweka kwa salama yake .

  • @firstname600
    @firstname600 4 года назад +9

    Huyo ndio shujaa sio unakutana na Rais baada ya kutoa matatizo yenu unaanza kumsifia, sifa za magufuli zinaonekana, mkikutana na Raisi toeni matatizo yenu sio kutaka sifa hongera mdogo wangu kwa ujasiri.

    • @obadiapesanane3180
      @obadiapesanane3180 4 года назад +1

      Jaman nimemukubali rais nampenda sana ongoza miaka 50

    • @obadiapesanane3180
      @obadiapesanane3180 4 года назад +1

      Rais nakupenda sana endelea kura yangu nakupa live mm na ukoo wangu wote sahz heshima ipo mahindi ya mgao hayapo na maisha yanaendelea uko vzr sana meatu tuko vizr sana viongoz wetu wanafanya kazi sana mungu akubariki .........
      .

    • @kiswahilikitukuzwe2547
      @kiswahilikitukuzwe2547 4 года назад

      @@obadiapesanane3180 Jamani tumsaidie kwa hivi sasa kwa kuchapa kazi. Hiyo miaka 50 itakuwa kazibure tu ikiwa kazi yetu itakuwa kumshabikia tu.

    • @mweupeclassic1802
      @mweupeclassic1802 4 года назад

      Nakupenda hauna ubaguzi

    • @justincosmas6751
      @justincosmas6751 4 года назад

      Ongoza miaka yote kwangu utapata. kura yangu

  • @samanthaali873
    @samanthaali873 4 года назад +4

    Mutapata watapata wapi raisi kma huyu duh binti hongera

  • @teychriss3248
    @teychriss3248 4 года назад +4

    Vyoo vya chooni! Mweeh!

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 4 года назад +5

    Uyo mwanafunzi nyota imemnyookea, njia ni nyepesi

  • @sophiakatogoro2234
    @sophiakatogoro2234 4 года назад +1

    Mungu akubariki raisi wangu

  • @Nsabimanamaxedouard-sc2td
    @Nsabimanamaxedouard-sc2td 6 месяцев назад

    Tutakumbuka sana Rais wetu John Pombe Magufuli of Tanzania 🇹🇿

  • @noelimafwele602
    @noelimafwele602 3 года назад +2

    We miss you our father

  • @مارياكافشى
    @مارياكافشى 4 года назад +1

    Namupenda magufuli kabisaaa🇧🇮🇧🇮

  • @anisiamedard3775
    @anisiamedard3775 4 года назад +23

    Mtoto upo vizur

  • @jacksonluzwiro9374
    @jacksonluzwiro9374 4 года назад +3

    nakuhakikishia kesho haki ya mungu😂😂😂😂😂

  • @gatanazisafari6542
    @gatanazisafari6542 4 месяца назад

    Tutakuliliya daima H.E Pombe Makufuli

  • @doreennelima7775
    @doreennelima7775 3 года назад +2

    Sory dear Tanzanians you have lost a president 😪

  • @jamesmichweya8428
    @jamesmichweya8428 4 года назад +5

    I am a Kenyan.Congratulations Mr President of Tanzania may the Almighty God always keep you blessings

  • @WendeliniLupagalo
    @WendeliniLupagalo 6 месяцев назад

    The good leadership from c. c.m that's good then we need mother continue to follow him but not brutal, follow by wisdom thanks

  • @aminasalum1954
    @aminasalum1954 4 года назад +6

    Wembunge hujielew kbs umeambiwa eleza changamoto zashule weunaleta maelezo mengiiii hovyo kbs,,nenda kajifunze kazi kwadiwani wa moro

  • @muyaburgermasoud5105
    @muyaburgermasoud5105 4 года назад +8

    Kama umeskia vyuo vya chooni gonga like