Wazee kutoka kaunti ya Lamu wamtetea Noordin Haji

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • Wazee wa kibajuni katika kaunti ya Lamu wamemtaka Naibu wa Rais Rigathi gachagua kuomba msaha kwa wakenya kufuatia matamshi yake ya kumtaka mkurugenzi wa Idara ya ujasusi Noordhin Hajj kujiuzulu kufuatia mauaji ya vijana walioandamana maeneo mbalimbali nchini wakipinga mswada tata wa fedha. Kulingana na wazee hao, matamshi ya Gachangua yanalenga kuwagawanya wakenya kwa misingi ya kidini na kikabila.

Комментарии • 41