Комментарии •

  • @ev.antonyk
    @ev.antonyk 2 месяца назад

    From Kenya am greatly blessed by your teachings. Wewe baraka Sana Mtumishi Mungu akubariki sana

  • @NancyMuhindi
    @NancyMuhindi 5 месяцев назад

    Nanguzwa zaidi na mafundisho ya mtumishi mungu akubariki na azidi kukuinua

  • @patiencemapenzi4188
    @patiencemapenzi4188 6 месяцев назад +3

    Amen. Ninabarikiwa na neno hili. Jina la Bwana libarikiwe.

  • @risper-sn5rj
    @risper-sn5rj 6 месяцев назад +2

    Pastor you are indeed a blessing to many souls.
    May God bless you richly

  • @trizashanelly
    @trizashanelly 6 месяцев назад

    Amen naamini

  • @evalynependo3824
    @evalynependo3824 6 месяцев назад

    Hallelujah 🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @trizashanelly
    @trizashanelly 6 месяцев назад

    Ameeeeee fungua dirisha kwangu bwana 🛐

  • @trizashanelly
    @trizashanelly 6 месяцев назад

    Amen Amen

  • @jackthegreat8814
    @jackthegreat8814 6 месяцев назад +1

    I like this man the soloist i do sing he inspires me alot❤

  • @rosewambui5076
    @rosewambui5076 5 месяцев назад

    U nanibaliki sana praise be to
    God

  • @halimrasham1221
    @halimrasham1221 6 месяцев назад

    Baba ubarikiwe sana

  • @CelestineBeliot
    @CelestineBeliot 6 месяцев назад +1

    Gooday brethrens! May God keep on blessing you to be a blessing to All!Iam blessed so much pastor may this day henceforth change my life.

    • @CelestineBeliot
      @CelestineBeliot 6 месяцев назад

      How can I get the woody ya Uweponi make label? And it's how much?

  • @GraceKivolwe
    @GraceKivolwe 6 месяцев назад

    Wow I'm so blessed nimekua nasikiza na stop from Sunday but I'm so blessed 🙌🏽 barikiwa mtumishi

  • @tabiachilumba5735
    @tabiachilumba5735 6 месяцев назад +4

    Yaaani Mungu anisaidie siku Moja japo hata nishike mkono wako Pastor,unanibariki sanaaa na kujifunza kumjua Mungu

  • @TeeDesantos
    @TeeDesantos 6 месяцев назад +3

    Mungu akubariki mchungaji wetu kwakweli unaokoa maisha yetu

  • @glorymazengo793
    @glorymazengo793 6 месяцев назад

    Hakika Mungu akubariki Mtumishi. Kwangu hili somo imenivusha sana Barikiwa Mtumishi.

  • @salomemrembo7482
    @salomemrembo7482 6 месяцев назад +1

    Mungu Hazidi kukubariki Mchungaji..kila siku ninapo kuskiza..Napata Neno lakunituza kwa Kumjuwa Mungu

  • @JeniJosephat
    @JeniJosephat 6 месяцев назад

    Mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana ninapenda mafundisho yako yananivusha

  • @julmuwanje5281
    @julmuwanje5281 6 месяцев назад

    Hallelujah glory to our lord Jesus.

  • @safialuhizo4979
    @safialuhizo4979 6 месяцев назад

    Bwana yesu asifiwe mtumishi!!! Mara nyingi sauti mtumishi Huwa hatukusikii vizuri

  • @nyirintwariAlphonsenyirintwari
    @nyirintwariAlphonsenyirintwari 6 месяцев назад +1

    Kweli kabisa mafundisho ya mtumishu uyu ni Mazurie sana nikiyasikia nasikia uwepo wa Mungu ndani yangu ubarikiwe mtumishu wa Mungu❤😅 1:29:18

    • @MasiRose
      @MasiRose Месяц назад

      Asnte sana mtumishi wa mungu
      Neno lako limekuwa taa na muongozo mpya katika maisha yangu

  • @mercylinefaida5378
    @mercylinefaida5378 6 месяцев назад

    Glory be to God and God bless you Man of God

  • @MonicahkhalayiMwashi
    @MonicahkhalayiMwashi 6 месяцев назад

    Mtumishi inuliwa zaidi unapoendelea kutufundisha na kutuelimisha

  • @julmuwanje5281
    @julmuwanje5281 6 месяцев назад

    🙌🙌🙌I give you praise my God.

  • @naomimbele8500
    @naomimbele8500 6 месяцев назад

    Asante mtumishi wa Mungu

  • @beatusdaniel
    @beatusdaniel 6 месяцев назад

    Mtumishi wa mungu mung akubariki San mahubiri yako yananibarik San

  • @safialuhizo4979
    @safialuhizo4979 6 месяцев назад

    Eeeh mungu naomba nikutumikie Kwa furaha na amani ili madirisha ya mbinguni yafunguke,,,,nipate utele usiopunguka kama yule mama mjane aliyemfata mtumishi Elisha baada ya kumwamutu ajaze mafuta kwenye vyombo vyake vyote,,,na mungu asikie maombi yangu ahsante mtumishi wa mungu Kwa somo hili nimebarikiwa naahidi kutimiza mungu anisaidie

  • @DennisAngweye
    @DennisAngweye 6 месяцев назад

    Ubarikiwe Sana pastor u r blessings to me

  • @florancematipa
    @florancematipa 6 месяцев назад

    Amen mungu na mwama ubarikiwa na bwana

  • @prisca4612
    @prisca4612 6 месяцев назад

    Amen Amen Amen!!!!!

  • @annonciataumingabire1460
    @annonciataumingabire1460 6 месяцев назад

    ❤❤❤❤❤

  • @StephaneNumbi
    @StephaneNumbi 6 месяцев назад +1

    Mwalimu ume nibariki sana

  • @Justinakalogeza
    @Justinakalogeza 5 месяцев назад

  • @violethnyangasa9495
    @violethnyangasa9495 6 месяцев назад

    Leo wadada wamevaa vizuri mavazi hayo namtukuza Mungu na nyimbo pia

  • @محمدمم-م8ي
    @محمدمم-م8ي 6 месяцев назад

    Shalom watu wa MUNGU yani mpendeza sana hayo ndo mavaz mazuri yemye uwepo

  • @julienneaboki4105
    @julienneaboki4105 6 месяцев назад

    Pasta mafundisho yako tangu nilianza kufiatilia inanibariki sana ningelikua na nguvu nungelifika kumazabahu yako

  • @annonciataumingabire1460
    @annonciataumingabire1460 6 месяцев назад

    amen ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ ❤❤❤❤❤❤

  • @glorianyambua1348
    @glorianyambua1348 6 месяцев назад

    Amen

  • @samwellosili7957
    @samwellosili7957 6 месяцев назад

    Nime barikiwa sana wapendwa

  • @julienneasende2902
    @julienneasende2902 6 месяцев назад +1

    Mungu akubaliki baba mchungaji

  • @lucyurasa5805
    @lucyurasa5805 6 месяцев назад

    Mtumishi wa Mungu Barikiwa mno. Mungu akupe HAJA ya Moyo Wako

  • @RehemaYassin-n8t
    @RehemaYassin-n8t 6 месяцев назад

    Amen ❤❤❤🎉 nimebarkiwa

  • @monicahmwalozi
    @monicahmwalozi 6 месяцев назад

    😂😂😂😂😂😂😂baba unanibariki sana

  • @janethurio4802
    @janethurio4802 3 месяца назад

    @Lucy Msongole

  • @julienneaboki4105
    @julienneaboki4105 6 месяцев назад

    Kila mara kumaisha yangu ya kiroho ninapata kitu mupya ku mafundisho yako

  • @وليدالشمري-ح7ب
    @وليدالشمري-ح7ب 6 месяцев назад

    Amen 🙏

  • @gloriatoya72
    @gloriatoya72 6 месяцев назад

    Amen

  • @Saranabwire
    @Saranabwire 6 месяцев назад

    Amen Amen

  • @وليدالشمري-ح7ب
    @وليدالشمري-ح7ب 6 месяцев назад

    Amen