Ee, Nafsi Yangu Rudi Rahani Mwako | Recovery From The Fear Of Change | Rev. Dr. Eliona Kimaro

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • IBADA YA EVENING GLORY: FRIDAY PRAYERS: 19/ 07/ 2024
    SEMINA YA NENO LA MUNGU:
    MADA:
    "HOFU YA MABADILIKO"
    (FEAR OF CHANGE)
    SOMO LA LEO:
    EE, NAFSI YANGU URUDI RAHANI MWAKO.
    (RECOVERY FROM THE FEAR OF CHANGE)
    Zaburi 116 : 1 - 8
    NENO KUU:
    "UTABARIKIWA UINGIAPO, UTABARIKIWA NA UTOKAPO"
    KUMBUKUMBU LA TORATI 28 : 6
    &
    Yohana 12 : 24
    24 Amin, amin, nawaambia, Chembe ya ngano isipoanguka katika nchi, ikafa, hukaa hali iyo hiyo peke yake; bali ikifa, hutoa mazao mengi.
    MAANDIKO YA LEO:
    Zaburi 116 : 1 - 8
    1 Haleluya. Nampenda Bwana kwa kuwa anaisikiliza Sauti yangu na dua zangu.
    2 Kwa maana amenitegea sikio lake, Kwa hiyo nitamwita siku zangu zote.
    3 Kamba za mauti zilinizunguka, Shida za kuzimu zilinipata. Naliona taabu na huzuni;
    4 Nikaliitia jina la Bwana. Ee Bwana, nakuomba sana, Uniokoe nafsi yangu.
    5 Bwana ni mwenye neema na haki, Naam, Mungu wetu ni mwenye rehema.
    6 Bwana huwalinda wasio na hila; Nalidhilika, akaniokoa.
    7 Ee nafsi yangu, urudi rahani mwako, Kwa kuwa Bwana amekutendea ukarimu.
    8 Maana umeniponya nafsi yangu na mauti, Macho yangu na machozi, Na miguu yangu na kuanguka.

    HOJA ZA MAOMBI:-
    1. TOBA & KUOMBA REHEMA KWA MUNGU..
    2. KUKATA KAMBA ZA MAUTI ZILIZOSHIKILIA MAISHA YAKO.
    3. KUJIOMBEA MFUMO WA KIMAONO KTK MAISHA YAKO.....(VISION CONNECTIONS &NETWORKING. )

    Mhubiri: Rev. Dr. Eliona Kimaro.
    Kwa maombi na ushauri :
    Mch. Kiongozi: Dr. Eliona Kimaro
    Simu: +255 655 516 053, +255 754 516 053

Комментарии • 28

  • @hffh7717
    @hffh7717 2 месяца назад +1

    Ameeen ameeen

  • @monicahJeptoo
    @monicahJeptoo 28 дней назад

    Amen .Nafsi yangu nairudi rehani mwako

  • @BeatriceMunyua-v2z
    @BeatriceMunyua-v2z Месяц назад

    Wow Man of God Ur a blessing watching from Kenya Kikuyu am blessing napenda Ur teachings

  • @forminaformina7694
    @forminaformina7694 2 месяца назад

    Amina

  • @anchilaachileus8765
    @anchilaachileus8765 2 месяца назад

    Baba ubarikiwe na Bwana 🙏🙌maana kwaneno ili limenibariki sana nakunipa nguvu sana aya ndio mafundisho tulioyonakiu nayo akiki twajifunza vema🙏🙌🙌🙌❤️❤️❤️🌹🌹🌹🌹🌹♥️♥️♥️💕

  • @marymalongo6855
    @marymalongo6855 2 месяца назад

    Kamba za mauti zilizozunguka kwenye kizazi changu,uchumi wangu,karama yangu,ndoa yangu,biashara, kwenye ufaham wa mumewangu, zikafunguke ktk jina la Yesu kristo

  • @SimionDaudi
    @SimionDaudi 2 месяца назад

    Mungu akubariki mchungaji na Mungu alikuwa na kusudi na maisha yako. Yeremia 1:5 Mungu akubariki na watoto wako wote, wote mnafanyika baraka.

  • @miriammbwambo-cr4jn
    @miriammbwambo-cr4jn 2 месяца назад

    Mimi ni Mmoja wawalioshangazwa oooh haleluya Jina labwana litukuzwe🙏🙏🙏

  • @hffh7717
    @hffh7717 2 месяца назад

    Nikoooo🎉🎉🎉❤

  • @miriammbwambo-cr4jn
    @miriammbwambo-cr4jn 2 месяца назад

    Ee nafs yangu urudi rahani mwako

  • @hffh7717
    @hffh7717 2 месяца назад

    ✋✋

  • @miriammbwambo-cr4jn
    @miriammbwambo-cr4jn 2 месяца назад

    Ameren🙏🙏🙏

  • @MonicaKitone
    @MonicaKitone 2 месяца назад

    Asante sana nimebarikiwa ,nimefarijika nimepona maumivu yote mpaka nafisi yangu imerudi rahani mwa Bwana.Umeniganga majeraha ya moyo.Mungu akutie nguvu ktk utume wako🙏

  • @lindaernest5530
    @lindaernest5530 2 месяца назад

    Amen🙏🙏🙏

  • @IreneMtoto-un5lg
    @IreneMtoto-un5lg 2 месяца назад +1

    Eeh nafsi yangu urudi rahani mwako...Kwa kuwa Bwana amekutenda ukarimu. ZABURI 116:7 AMINA🙏🙏

  • @consolathJacob
    @consolathJacob 2 месяца назад

    Ruwa akuichuryie mbora papako mmbe kany kyindo kyo olosha inu kyiwe mbora kowandu wose kila mfiri amen ubarikiwe Baba

  • @MsangoDiesel
    @MsangoDiesel 2 месяца назад

    ❤Asante mchungaji kwa kutupa ujasiri kutoka kwenye hofu mtaani wanatuona majasiri hawajui unatupa nguvu ya masomo yako.

  • @MaryburaTluway
    @MaryburaTluway 2 месяца назад

    Ee nafsi yangu urudi rehani mwangu.

  • @AliceHatibu
    @AliceHatibu 2 месяца назад

    Amen 🙏 🙏 🙏

  • @grace-rh3vv
    @grace-rh3vv 2 месяца назад

    Amen. Amen

  • @happiness_713
    @happiness_713 2 месяца назад

    Amen 🙏🙏

  • @ReginaMwongeli-t8d
    @ReginaMwongeli-t8d 2 месяца назад

    Na maitaji ya moyo wangu yakatimie

  • @ReginaMwongeli-t8d
    @ReginaMwongeli-t8d 2 месяца назад

    Mtumishi niombee ndoto zimenizidia baya

  • @stephanosospeter1709
    @stephanosospeter1709 2 месяца назад

    Ameen

  • @doreentemba7833
    @doreentemba7833 2 месяца назад

    ✝️💟😇🙏🏿

  • @hffh7717
    @hffh7717 2 месяца назад

    Ameeen ameeen

  • @sophiandaro3861
    @sophiandaro3861 2 месяца назад

    Amen

  • @AleaSintoo
    @AleaSintoo 2 месяца назад

    Amina