Sasa hivi mnasema mnatengeneza timu ila mwisho wa ligi hammtaki mangungu .. sema safari hii Simba isipochukua ubingwa mfukuzeni mo coz viongizi waliojiuzuru ndo wamerudishwa kwenye uongozi
Kimsingi huyu kocha nimodogo mno kwa simba: harafu historia yake hajawahi kichukua kombe lolote A,kusini,,Kila timu aliyowahi kifunfisha ilishuka daraja:: sasa sijajua viogozi wameona nn kwake:: ngoja tuone mda utaogea:
Mweleweshe huyu dada kwani huja sikia viongozi wakisema wanatengeneza timu au masikio yako mabovu wametawala Africa wako nafasi ya ngapi Simba nafasi ya 6 Africa twambia yanga yangapi
mi nahisi walikuwa wamuwache yule yule mgunda shida ya timu yetu haikai na makocha ndo maan tunayumba sana
Sasa hivi mnasema mnatengeneza timu ila mwisho wa ligi hammtaki mangungu .. sema safari hii Simba isipochukua ubingwa mfukuzeni mo coz viongizi waliojiuzuru ndo wamerudishwa kwenye uongozi
Ukweli ni kwamba sina imani sana na huyu kocha
kama vipi timu angeachiwa Mgunda
Hap hakuna mchambuz
Mechi tano za kwanza kocha wa simba atakuwepo tena tz
Nakuhakikishia huyo kocha hatamaliza msimu mmoja tu chukua hii!!!!!!
Hii chanel ya umbea sana hasa huyu dada
Ndio maana ume ficha macho Kwa gras maana hina lolote
Oruma mbona hanaga akili ni kigeu geu yaani malaya
Yaan huyu demu maswali yake yote na chombeza zake zote anatafuta/kulenga negative matters
Kimsingi huyu kocha nimodogo mno kwa simba: harafu historia yake hajawahi kichukua kombe lolote A,kusini,,Kila timu aliyowahi kifunfisha ilishuka daraja:: sasa sijajua viogozi wameona nn kwake:: ngoja tuone mda utaogea:
Sina imani nae kabisa
Mbona Bayern Munich wamemchukua Vincent company kuwa kocha wao wakati timu aliyokuwa anafundisha england imeshuka daraja
Arteta unamjua
Walitaka Simba iendelee na kundi Lile Lile la mamluki waendelee kutufunga tano wamekwamaaa
Hujui chochote ww
hakuna wachezaji hapo
HHAKUNA MCHAMBUZI WA MPIRA HAPI,HUYO NI BONGO WAZII TUU
Oluma acha ujinga huyo kocha anawajua hao wachezaji? Nyie ndo ndo wachambuzi mnaoharibu simba
Eti oruma nae mchambuzi 😂😂😂😂😂😂 ngoja ni unsubscribe
yaani wewe umesoma kwa misaada ndiyo maana akili yako inaishia puwani hapo, kwani lazima uchambue Simba? Hilooo
Hakuna mchambuzi apa
Daah yaan nimekuelewa vyema,haujui kabisa
Mweleweshe huyu dada kwani huja sikia viongozi wakisema wanatengeneza timu au masikio yako mabovu wametawala Africa wako nafasi ya ngapi Simba nafasi ya 6 Africa twambia yanga yangapi
Wote hao Ni utopwinyo wanaulizana kuhusu Simba unafikiri kuna majibu ya maana hapo?
SIMBA YA MANGUNGU HAIWEZI KUCHUKUA UBINGWAA MBELE YA YANGA NA AZAM, WACHEZAJI WANAOSAJILI HAWANA HIYO QUALITY
Hatuna haraka kombe lipo tu.
Wewe Nani pale Simba ? Tuacheni na timu yetu utopwinyo bhana kila wanalofanya Simba wanakosoa shoboo
Timu inajengwa upya Sasa tulieni timu ijengwe kwanza muda utafika kila kitu kitakuwa sawa nyumba haijengwi siku moja
@@samwelchiamba6866 mm n shabiki kama ulivyo wewe, nawewe unahaki ya kutoa maoni yakoo
Hivi mchambuzi huyu ameajiriwa au anajitolea mana kama Yuko field vile
Amesomeshwa kwa misaada ndiyo maana karukia kazi A watu jioni hata ongea yake
Yan wachambuzi wengine mmesoma nini Simba nitaasi huko kusajili nimapng isaha