Комментарии •

  • @MuammaryAbdalla
    @MuammaryAbdalla 14 дней назад +1

    mi nahisi walikuwa wamuwache yule yule mgunda shida ya timu yetu haikai na makocha ndo maan tunayumba sana

  • @maxmia100
    @maxmia100 13 дней назад

    Sasa hivi mnasema mnatengeneza timu ila mwisho wa ligi hammtaki mangungu .. sema safari hii Simba isipochukua ubingwa mfukuzeni mo coz viongizi waliojiuzuru ndo wamerudishwa kwenye uongozi

  • @mtumenyagaly9217
    @mtumenyagaly9217 14 дней назад

    Ukweli ni kwamba sina imani sana na huyu kocha
    kama vipi timu angeachiwa Mgunda

  • @DadiIssa-t5z
    @DadiIssa-t5z 14 дней назад +1

    Hap hakuna mchambuz

  • @JonayMbelwa
    @JonayMbelwa 14 дней назад

    Mechi tano za kwanza kocha wa simba atakuwepo tena tz

  • @user-xr2hw3om9z
    @user-xr2hw3om9z 15 дней назад

    Nakuhakikishia huyo kocha hatamaliza msimu mmoja tu chukua hii!!!!!!

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 15 дней назад

    Hii chanel ya umbea sana hasa huyu dada

  • @user-ib7kx9dc5m
    @user-ib7kx9dc5m 14 дней назад

    Ndio maana ume ficha macho Kwa gras maana hina lolote

  • @user-pj4mx2ro4h
    @user-pj4mx2ro4h 15 дней назад

    Oruma mbona hanaga akili ni kigeu geu yaani malaya

  • @abbydullax8546
    @abbydullax8546 14 дней назад

    Yaan huyu demu maswali yake yote na chombeza zake zote anatafuta/kulenga negative matters

  • @medardjustinemakonge9900
    @medardjustinemakonge9900 15 дней назад +2

    Kimsingi huyu kocha nimodogo mno kwa simba: harafu historia yake hajawahi kichukua kombe lolote A,kusini,,Kila timu aliyowahi kifunfisha ilishuka daraja:: sasa sijajua viogozi wameona nn kwake:: ngoja tuone mda utaogea:

    • @richardvallerian1003
      @richardvallerian1003 15 дней назад

      Sina imani nae kabisa

    • @adventureernest5599
      @adventureernest5599 15 дней назад

      Mbona Bayern Munich wamemchukua Vincent company kuwa kocha wao wakati timu aliyokuwa anafundisha england imeshuka daraja

    • @flova7022
      @flova7022 15 дней назад

      Arteta unamjua

    • @samwelchiamba6866
      @samwelchiamba6866 15 дней назад

      Walitaka Simba iendelee na kundi Lile Lile la mamluki waendelee kutufunga tano wamekwamaaa

    • @emmanueliman7408
      @emmanueliman7408 13 дней назад

      Hujui chochote ww

  • @samsonmwaipaja5231
    @samsonmwaipaja5231 15 дней назад

    hakuna wachezaji hapo

  • @user-qi3wv8sf5j
    @user-qi3wv8sf5j 14 дней назад

    HHAKUNA MCHAMBUZI WA MPIRA HAPI,HUYO NI BONGO WAZII TUU

  • @maxmia100
    @maxmia100 13 дней назад

    Oluma acha ujinga huyo kocha anawajua hao wachezaji? Nyie ndo ndo wachambuzi mnaoharibu simba

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 15 дней назад

    Eti oruma nae mchambuzi 😂😂😂😂😂😂 ngoja ni unsubscribe

  • @gorettimtungwe9011
    @gorettimtungwe9011 13 дней назад

    yaani wewe umesoma kwa misaada ndiyo maana akili yako inaishia puwani hapo, kwani lazima uchambue Simba? Hilooo

  • @emmanuelnkwabi8610
    @emmanuelnkwabi8610 14 дней назад

    Hakuna mchambuzi apa

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 15 дней назад

    Mweleweshe huyu dada kwani huja sikia viongozi wakisema wanatengeneza timu au masikio yako mabovu wametawala Africa wako nafasi ya ngapi Simba nafasi ya 6 Africa twambia yanga yangapi

    • @samwelchiamba6866
      @samwelchiamba6866 15 дней назад

      Wote hao Ni utopwinyo wanaulizana kuhusu Simba unafikiri kuna majibu ya maana hapo?

  • @franccoz94
    @franccoz94 15 дней назад

    SIMBA YA MANGUNGU HAIWEZI KUCHUKUA UBINGWAA MBELE YA YANGA NA AZAM, WACHEZAJI WANAOSAJILI HAWANA HIYO QUALITY

    • @sadih5333
      @sadih5333 15 дней назад

      Hatuna haraka kombe lipo tu.

    • @samwelchiamba6866
      @samwelchiamba6866 15 дней назад

      Wewe Nani pale Simba ? Tuacheni na timu yetu utopwinyo bhana kila wanalofanya Simba wanakosoa shoboo

    • @taseleli9181
      @taseleli9181 15 дней назад

      Timu inajengwa upya Sasa tulieni timu ijengwe kwanza muda utafika kila kitu kitakuwa sawa nyumba haijengwi siku moja

    • @franccoz94
      @franccoz94 15 дней назад

      @@samwelchiamba6866 mm n shabiki kama ulivyo wewe, nawewe unahaki ya kutoa maoni yakoo

  • @selemaniSalumu-p2e
    @selemaniSalumu-p2e 14 дней назад

    Hivi mchambuzi huyu ameajiriwa au anajitolea mana kama Yuko field vile

    • @gorettimtungwe9011
      @gorettimtungwe9011 13 дней назад

      Amesomeshwa kwa misaada ndiyo maana karukia kazi A watu jioni hata ongea yake

  • @nadilhassan6414
    @nadilhassan6414 15 дней назад

    Yan wachambuzi wengine mmesoma nini Simba nitaasi huko kusajili nimapng isaha