Maneno ya Sheikh Mkuu wa DSM Mbele ya Maaskofu, Awataka Waislam kujifunza kwa Wakatoliki Nidhamu
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- Tafadhali Subscribe, Like, Comment na Share tone hili la upendo kwa ndugu jamaa na marafiki.
Jumuika nasi katika mitandao mingine ya Kijamii:
Instagram: / jugo_media
Facebook: / jugomedia2019
Mawasiliano:
JUGO MEDIA,
Sokoine Drive, Posta
P. O. BOX 34014,
Dar es Salaam.
For Bookings and other Enquiries
Phone Number +255757560764/657790405
#jugomedia #kanisakatoliki #familiatakatifu #wawata #uwaka #viwawa #australia #unitedstates #canada #america
Nakupenda Tanzania yangu mungu tupe zaidi UPENDO na AMANI
Mungu akubariki Sheikh Mkuu wa Dar uengezewe miaka 400 tunataka wengine kama 10 Nchi yetu itakuwa imara.Ubarikiwe sana.
Amen amen MUNGU anafanya kazi balikiweni Sana
Asante sana
Safi sana Tena sana uo ndio uzalendo wa ukweli ukisikia upendo na umoja ndio uo ongera sana shekhe Mwenyezi Mungu akulinde zaid na zaid
The best and real man of God, hana mawaa huyu mtu,Allah will be with you.Amen.
Vizuri sana sheikh umeongea ukweli na mungu akubariki sana.
Asante sana Shekh Alhadj Musa Salum, mwwnyekiti wa Amani na maridhiano, wewe ni mkomavu sana katika imani
Mpuuzi ww
Ubarikiwe acha wengine wana ropoka.tu na kudharau imani ya mtu wanajiona eti wao niwema
Innalillah wainnailayhi raajiun allah atuifadhi kwa tuyatamkayo
Kabisa point
huo ndiyo uwongozi sahihi sana ubarikiwe sana
Ameongea vizuri sana hata mtume( Saw ) aliingia mikataba ya maridhiano na ndugu zetu hao .
Hakuna ubaya juu ya hili shekhe umesema ukweli na kuzingatia taratibu safi
Ahsante Na Hongera Sheikh Mkuu wa Dar es salaam, Busara Na Hekima siku zote umekuwa imara
Njaa ni tatizo jamani Mungu atuepushe na unafik
Kweli kbs uasikofu sioo mchezo
Very nice cemina
Amani ldumu milele Amina
Raisi wa baraza la Maaskofu katoliki gerephasi nyaisonga ni kiongozi mwenye uwezo wa kujieleza ,hongera.sana baba
Katoliki all the way
Innalillahi wainailahi rajiiun sio sheikhe wala sio muumini wa kiislam kwa mujibu wa dini ya kiislam atae kua pamoja nao nae ni miongon mwake ? Acheni unafiki masheikhe
Yupo sahihi,kwanihapo ni chooni?
Yaaani....!!
Inapendeza ee
Nimependa,kuona mnaishi kwa ushilikiano,na kila mtu kuishi kwa imani yake,
Huyu na bakwata yote ni madhalimu ktk Uislam...walwahi ni mtihani mkubwa ALLAH anajua zaidi...SUB'HANALLAH.
We unamatatizo gani wewe,huyo anayeongea sio kiongozi wako mkuu wa dini?kibaya kipi hapo au wewe ndo unajua zaidi kuliko yeye?
Akili huna
Mungu wetu n wa Upendo ndio maana hata mwizi akiiba Mwenyez Mungu hamuondolei pumzi nae akifanya Toba Asamehewa
Sasa kama wewe una Mungu wa peke ako Mbinafsi tuambie
Huyu ni mnafkiki km mnafiki km wanafiki wengne
Dini si Kila mtu anaweza kuiwakilisha laiti Kama pangekuwa na uchaguzi wa waumini huyu asinge kuwa hata muadhini kwa nidhamu na uelewa alionao.
Uko sahihi ndugu yangu Salum
Safi sheikhe maneno yenye kutia nguvu Sanaa
Ndugu zangu waislam mungu tanae muomba ni mmoja tofauti ni dini tu hivyo wakristo na waslam wote ni wototo wa baba mmoja hivyo sijaona kosa kwa shehe hapo tupendane jamani
Daima watanzani tudumishe aman na upendo
Mhhh hatar!!Allah atulinde
Aamin
Amiyn njaa zinawaponza wengi
Mtihani
Tatizo dini yetu inasema tu wasilamu ndo wa Allan wenu na mafundisho yenu yamefanya na kuweka akili zenu mipaka kiasi kwa mambo km hayo akilini zenu zinafika mwisho na kuanza kupungukiwa na amani na kuanza chuki
Na mkumbuke akili za Mungu c za mwanadamu.
alicho kifanya bondia umeitwa MCHONGO yaani pesa tupuuuuu apo
😅😅😅😅😅😆Waslm kma na waona 😆😆😅😅😅😅👌🏽
HAWATAKUBALI MANASWALARA NA MAKAFIRI MPAKA MFUATE MILA YAO .. INNALILAH WAINAILAH RAJUN
Kichwa chako hakipo sawa wewe(chizi) kama hauna coment kaa kimya.
kafir na Manaswara mamako alie halisha Mavi ukatoka wewe usie na akili
Nyani watampinga,lkn yupo sahihi
Roho mbaya tuu kwani sheikh kakosea Nini hapoo
Kilichotakiwa kuzingatiwa ni point anazo zungumza hapo, na sio kutukana bila kutafakari kwa kina
🙏🙏🙏🙏🙏
Haleluyaaa
Jipatie vitabu vya maombi ya kiroho bureee Kwa njia ya WhatsApp
1=Maombi ya kuvunja madhababu za kichawi
2=Maombi ya kuzima mashambulizi ya kuzimu
3=Maombi ya vita vya kiroho
Bonyeza picha kushoto mwa comment hii tutakutumia bureee
This is what l have been looking for before late John pombe makufuli deeth mwislim and cresianity are they one single africa not wait people culler first our culler then religious because African American calctur is out skin then religious because we have born in Africa land first respect of our africa calctur then our religious this is Tanzania unity. On our national Africa belong to our calctur on trable believe before religious
Mswiba innalillah wainnalilah rajiun
Mmm acheni fitina
Achana na chuki za wakoloni wa kiarabu na kizungu,cc ni waafrika na tunatakiwa kuishi kwa umoja kama huu
😇🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Njaaaa hiii itatuua imani zetu kwa kweli
Umoja siyo njaa,achana na chuki tulizopandikiziwa na wakoloni wa kiarabu na kizungu.Huu ndo uafrika halisi
Kiigizo chema ni mtume uwisilam bila elimu ni mtihani
Huyu Sheikh ni msomi anaelewa anachokisema
(wamakana Muhamad abuu ahad) sasa huyo askofu umempa cheo ambacho hata bwana mtume swalallahu aleihi wa Salam hana, hiko cheo ulichompa askofu ndio kimenishangaza salamu haikunishangaza.
Eeeeee kak weee hujui kuwa hapa dunia ni miaka 60 ad 70 tu subir ss
Daaaaah ebu jaribu kupitia comment zote utagundua kinachonisikitisha.
Shekhe umeongea vizur sana na ukweli mtupu 👏👏👏
Mtasema yote..bado
Huyo sio she no kafili mwenzenu laana kum
Ukiona vya eleya, vimeundwa, na ukisikia yanayozungumzwa uwe mkini, kwasababu yanawezayakakujenga na yanawezayakakubomoa , tafakarini sana yanayoendelea hasa kuhusu mkataba wa BANDARI
Duu uyu shekh vp jaman mbona mm sijakuelewa huyu nishekhe au ni padri watanzania
Utaelewa mdogo mdogo 😃😃
Sihaminigi hizi dini bali na mwamini mungu tu
Siamini Kufuata Muhamad naamani kumwani Yesu Kristo tu
Bahasha inafanya kazi
Kiukweli waislam mnaubaguzi Sana yan nimesoma comment du!!!
Wakoloni wa kizungu na Kiarabu walitugawa sana kifikra waafrika
Sheikh unapoelekea siko...innalillahi wainnailahi raajioun.
Nizamu aliyoisema muheshimu atakama amekosea nibinadamu.
Jifunze Kwa shehe wako! Upendo na umoja alionao Kwa dini zote! Huyu ndio kiongozi wa kweli!
Njaa mbaya sana Hawa Wataweza kukubali hata Ushoga
Utahira mlionao ni kwamba ulitaka ataje kanisa unalosali ww . Ebu ifike mahali akili ziwafunguke
Kwanza nikupe pole sana maana ushoga ni kazi ya ibilis shetani
Hawa viongozi wa dini wanahubiri habari njema ya MWENYEZI MUNGU ya KRISTO YESU MKOMBOZI WETU ALIE MTAKATIFU WA WOTE wala hawana mawazo machafu kama hayo yako ya ibilisi lusufa kwahio anaetoa mawazo mabaya kama yakwako juu ya viongozi wa dini watu wa MUNGU
nidhari kua hata ww mwenyewe nimtumwa wa hayo anayojaribu kubambikizia viongozi wa dini
Mh. Sheikh ameongea kwa busara ya hali ya juu sana kwa namna ambayo sikudhania hata kidogo kweli kweli Sheikh yu nahekima kubwa sana
MUNGU AWABARIKI WATU WAKE SANA!
Nikweli hii ss ni hatr tuombe mungu atujalie mwisho mwema
Duh
Ukimsikiliza huyu shehe bila makasiriko utamuelewa
Amani ya Bwana iwe Nyani, Bwana yupo uyo?
Ambae hajaetewa.akaekimwa....umeongea.sahihi.kabisa
So waislm hatujui nyinyi masheikhe wetu mkoje na jslimu wetu mbonahatukueleweni
Kwni baba wa taifa alibagua dini wakati anatafta uhuru?acheni ubaguzi mungu ni mmoja na wote shia moja
Wakristo pia wamcheka
Tulishaambiwa msijifananishe nao.subhana malikinas
Uliambiwa na nani? Na hao ni akina nani, soma vizuri kuruani usisikilize hadithi za mitaani.
Acha ukoloni wa Kiarabu wewe,usijifananishe na mwafrika mwenzio alafu ujifananishe na Mwaarabu au!!
Huyushehe anatia was was muislamu wakweli hasemi hivyo mana diniyetu inatufuza hata mtume aliambiwa yeye anadini yake na wao wanadini yao.VIP awasifu.mjinga huyu shehe pesa
🤣🤣🤣,Yesu,Yesu,Yesuuuuuuuuuu
Ubinafs utakuua
Huyu shek anatuaribia dini yetu jaman.. muft upo wap na unamwangalia tu na kumuacha
Dini yako au ya wakoloni wako wa Kiarabu?
Nawaonya sana ssna viongozi wetu wa kikatoliki msijiingize kichwakichwa kwenye kundi la huyo mfiraji wa wake za waumini wke wasiojielewa mtatuudhi sana. Kazi kwenu.
Wewe ndiye nini?
Nchi yetu ni Amani tupu na upendo
Innalilah wainna ilaih raajighuni uislam wako sheikh unatutia wasi wasi
🤣🤣🤣
Umerogwa ww
Yupo sahihi,walanguruwe ndiohawataelewa
wasiwasigani toeni ujinga
Huyu ndio shekh wakupigwa mjinga sana yeye dunia tuu
Wewe ndo mjingaa Yani huerewi lolote tunajemga nyumba oja tambuwa ivoo tofautu ni matilio ola nyumbaa ni ilelie hii ndo busaraa ya dino sijuio umenierewa labda mikuulize pengine huna erimu ya kutoshaa je umesoma dino IRA huna erimu ya Shure e Hilo ndo tatizooo sikulaumu
Acha ukoloni wa Kiarabu
mchapio wa nguvu eti amani ya Bwana iwe nyani, all in all umesema vizuri na ukweli huwaweka watu huru
hii kwa wasomi inapatikana wapi? kwamaswahaba au kwa mtume kanza mungano wa dini mbali mbali maana kama mtuma alikatazwa na ikashuka sura ikimkataza mtu asiungane sasa hii nini? naomba fatwa kwa wasomi
Abduli toa ubaguzu wako mungu ni moja tu sasa wewe nani
Sasa nimefahamu kwanini dr Mwaka kasema anataka Mufti atoe talaka sio wewe.
😂😂😂mwisho shekhe umenichekesha
Sadakta
Shekh hatakama umesoma kwahilo hapana nahau wala sarfa
Shehe hamjielewi,msibabmkubwa huu
Sheikh wa mchongo tubia kwa Allah hwenda Allah akakuongoz
Atubu kwa kosa gn.Acha ukoloni
uyu siyo shekh uyu ni mukalti
Kama umeona la kujifunza basi wafuate wewe unadhani uislam upo kwaajili ya Dunia!!?? Uislam haufungamani na upuuzi... Kasome Dini.
Waislam mmeniangusha jamani,,, kama kweli dini yenu ni safi kwa nini hamna Upendo??? Kwa comments zenu tu mngekuwa na uwezo mngemsaidia Israel kufanya kazi,,, ila hakuna shida tunawapenda tu maana sisi sote ni wa Mungu
Yani namuhisi kabisa anatamani awe askofu leo hii dah shida jamani.Allah ilinde dini yako tunaowategemea kama viongozi wadini yakiislamu nawao wanatamani nakuhusudu vyeo vyajuu katika dini nyengine.
Kwenda Kwako Ni Sawa Kwasababu Apo Iko Msuguano Wa Dini Kubali Wito Toa Neno Washike Neno Siku Bola Uvune Wafuasi Kutoka Ndani Apo Apo Kwenda Apo Ni Sawa Kusalimia Pia Ni Sawa Kuwapongeza Ni Sawa Lakini Ndani Yake Utawapa Neno Ambalo Upande Wa Pili Akuna Wanaozani Kwenda Apo Kusalimia Sio Sawa Ao Awajui Imani Wanachojua Malumbano Bila Ukweli
Sheheh wewe ni mfano wakuingwa
Sijawahi ona shekh wa ovyo kuwahi kutokea kama huyu
Wewe huna erimu kwanza hujui lolote kichwani umesoni din tu huna erimu darasani tambuwa kuwa mungu ni wetu sote sote tunajemga nyumba Moja tofautu ni matilio kira mmoja na Imani yake Imani sio uadui maskini pore ndo ulifunzwa ivoo kuamini ivoo tambuwa kuwa hatubaguani Kwa Imani wars dino ya Fulani sisi ni viumbe wamungu tunwachia mungu hukumu zetu harafu waweza kuwa mi mzima harafu huna akili usimwaminishe mtu unachoamini wewe ndo mama Nyerere alikataaa udini ndan ya ncho yetu akatupa uhuru wakuabudu vote akili huna una udini Yu ndayake kifunze wewewisram feli
kuna udugu gan baina wasilamu na manaswara
walaatardhankal lyahudu walannaswara hatta Titania millatahu
Andika kiswahili,usituandikie lugha za kikoloni hapa
Shehe umewakosea wakristo wa madhehebu mengine unapodai kanisa katoliki ndio kanisa halisi linaloonyesha ukristo wa kweli kweli!
@Crazy Compilation soma vizuri hiyo comment
Juma huo wifi
Hakuna shida,kanisa linawakilisha alama moja tu ya Kristo
Wewe shekhe alihadi naww nikafilikamawao
Hata weeye ni kafili hivyo hivyo.tena zaidi ya huyo unayemtusi.
👏👏🙏
ndiyo maana unapopolewa na waumini kwa tabia zako za undumakuwili
msiba; mkubwa yan wakristo wanampinga allah na wanamkubali yes nabii issa nawe waunga mkono kwa wakristoo daa msiba mkubwa san yule anae kufa so muslam na akamkana mungu wa kwel na mtume wake uyoo ayupo saw ndo uyoo sufiiiiii wa mkoa
.
Kwa hiyo sisi waislamu hatuna nidhamu kwa mtume wetu Muhammad sw hatuna nidhamu kwa maswahaba hatuna nidhamu kwa wanawachuoni wa kiislamu hii kauli tunamuomba mufti amwambie huyu sheikh Alhady awaombe radhi waislamu co kauli njema
No, wisdom.
Unawaita Ndugu zako Haliakua ili Uwe Mkristo 👈 lazma Umkatae Allah Umkatae Mtume Muhammad sw uikatae Qur'an hapo ndipo Utaitwa Mkristo 👈 vp! Ww kama ni Muislam kweli ulietamka shahada Alafu ukawasifu hao na kuwaita Ndugu zako!?? Wa idhaja a l,munafiqun pindi watakapo kujia Wanafk Utasikia Wakisema sisi tuna shuhudia kua wewe ni Mtume kumbe hao ndio Wanafk Allah anawajua Vizur
Tatizo una akili ndogo sana , kwenye nchi hii sisi sote ni ndugu ndio maana tunaishi safii kwa Upendo na amani bila kujali tofauti zetu za kiimani, kikabika nk ,hutaki ondoka katafute nchi yako
Tunawasaidia kwanguvu zetu najuhudi zote makafiri kwani ameambiwa kwamba waambie ewe.Muhamad wao wana dini yao nawewe una dini yako leo shekhe anasema kajifunza kwawatu ambao hawaitakii mema dini yake😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Huo niuongo
Ww mwenyewe kwanza hapo naona umeridhika na yale Mh. Sheikh alioyasema na una cheka😂😂😂🤣🤣🤣 kabisa peace and love usimkosee kiongozi wako mheshim
Mengine muachie MWENYEWEZI MUNGU yeye ndie ajuae mambo yote
Saw ,
Makofi kwa shekhe tafadhali
@@greysonmheni5176 🤝