Maneno ya Sheikh Mkuu wa DSM Mbele ya Maaskofu, Awataka Waislam kujifunza kwa Wakatoliki Nidhamu

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Tafadhali Subscribe, Like, Comment na Share tone hili la upendo kwa ndugu jamaa na marafiki.
    Jumuika nasi katika mitandao mingine ya Kijamii:
    Instagram: / jugo_media
    Facebook: / jugomedia2019
    Mawasiliano:
    JUGO MEDIA,
    Sokoine Drive, Posta
    P. O. BOX 34014,
    Dar es Salaam.
    For Bookings and other Enquiries
    Phone Number +255757560764/657790405
    #jugomedia #kanisakatoliki #familiatakatifu #wawata #uwaka #viwawa #australia #unitedstates #canada #america

Комментарии • 156

  • @godwinhaule6100
    @godwinhaule6100 2 года назад +2

    Nakupenda Tanzania yangu mungu tupe zaidi UPENDO na AMANI

  • @rithaurassa
    @rithaurassa Месяц назад

    Mungu akubariki Sheikh Mkuu wa Dar uengezewe miaka 400 tunataka wengine kama 10 Nchi yetu itakuwa imara.Ubarikiwe sana.

  • @sautiyamunguduniani4620
    @sautiyamunguduniani4620 Год назад

    Amen amen MUNGU anafanya kazi balikiweni Sana

  • @mwabigabriel3053
    @mwabigabriel3053 2 года назад +1

    Asante sana

  • @jaksonmayuyaemanuel4041
    @jaksonmayuyaemanuel4041 2 года назад +2

    Safi sana Tena sana uo ndio uzalendo wa ukweli ukisikia upendo na umoja ndio uo ongera sana shekhe Mwenyezi Mungu akulinde zaid na zaid

  • @daffagunda-rm3hj
    @daffagunda-rm3hj Год назад

    The best and real man of God, hana mawaa huyu mtu,Allah will be with you.Amen.

  • @emmanuelbrassy4000
    @emmanuelbrassy4000 3 года назад +7

    Vizuri sana sheikh umeongea ukweli na mungu akubariki sana.

  • @piuspanga864
    @piuspanga864 3 года назад +3

    Asante sana Shekh Alhadj Musa Salum, mwwnyekiti wa Amani na maridhiano, wewe ni mkomavu sana katika imani

  • @SmilingBuoy-kb1yn
    @SmilingBuoy-kb1yn 4 месяца назад +1

    Ubarikiwe acha wengine wana ropoka.tu na kudharau imani ya mtu wanajiona eti wao niwema

  • @mwanamgenimwamzandi1941
    @mwanamgenimwamzandi1941 Год назад +1

    Innalillah wainnailayhi raajiun allah atuifadhi kwa tuyatamkayo

  • @makara6671
    @makara6671 Год назад

    Kabisa point

  • @rubenharuni79
    @rubenharuni79 2 года назад +1

    huo ndiyo uwongozi sahihi sana ubarikiwe sana

  • @idrisasimba8501
    @idrisasimba8501 Год назад +2

    Ameongea vizuri sana hata mtume( Saw ) aliingia mikataba ya maridhiano na ndugu zetu hao .

  • @singanoatanasi1994
    @singanoatanasi1994 3 года назад +7

    Hakuna ubaya juu ya hili shekhe umesema ukweli na kuzingatia taratibu safi

  • @adammlonganile7921
    @adammlonganile7921 2 года назад +1

    Ahsante Na Hongera Sheikh Mkuu wa Dar es salaam, Busara Na Hekima siku zote umekuwa imara

  • @mfalmekima5318
    @mfalmekima5318 3 года назад +12

    Njaa ni tatizo jamani Mungu atuepushe na unafik

  • @festusngolo1405
    @festusngolo1405 2 года назад

    Very nice cemina

  • @raphaelchua6478
    @raphaelchua6478 2 года назад +1

    Amani ldumu milele Amina

  • @r14kgroup68
    @r14kgroup68 3 года назад +2

    Raisi wa baraza la Maaskofu katoliki gerephasi nyaisonga ni kiongozi mwenye uwezo wa kujieleza ,hongera.sana baba

  • @bennjanja2382
    @bennjanja2382 Месяц назад

    Katoliki all the way

  • @magomakabanja4861
    @magomakabanja4861 3 года назад +8

    Innalillahi wainailahi rajiiun sio sheikhe wala sio muumini wa kiislam kwa mujibu wa dini ya kiislam atae kua pamoja nao nae ni miongon mwake ? Acheni unafiki masheikhe

  • @husseinbachwa8372
    @husseinbachwa8372 2 года назад +1

    Yaaani....!!

  • @mosesnyoni2759
    @mosesnyoni2759 2 года назад +1

    Nimependa,kuona mnaishi kwa ushilikiano,na kila mtu kuishi kwa imani yake,

  • @amourmaftah258
    @amourmaftah258 Год назад +1

    Huyu na bakwata yote ni madhalimu ktk Uislam...walwahi ni mtihani mkubwa ALLAH anajua zaidi...SUB'HANALLAH.

    • @edwinmanji74
      @edwinmanji74 Год назад

      We unamatatizo gani wewe,huyo anayeongea sio kiongozi wako mkuu wa dini?kibaya kipi hapo au wewe ndo unajua zaidi kuliko yeye?

    • @PeterLubala
      @PeterLubala 5 месяцев назад

      Akili huna

    • @raulianraphael6853
      @raulianraphael6853 3 месяца назад

      Mungu wetu n wa Upendo ndio maana hata mwizi akiiba Mwenyez Mungu hamuondolei pumzi nae akifanya Toba Asamehewa
      Sasa kama wewe una Mungu wa peke ako Mbinafsi tuambie

  • @hajihaji5296
    @hajihaji5296 Год назад +2

    Huyu ni mnafkiki km mnafiki km wanafiki wengne

  • @salumkhamis7818
    @salumkhamis7818 2 года назад +3

    Dini si Kila mtu anaweza kuiwakilisha laiti Kama pangekuwa na uchaguzi wa waumini huyu asinge kuwa hata muadhini kwa nidhamu na uelewa alionao.

  • @rosetreffert6727
    @rosetreffert6727 2 года назад +1

    Safi sheikhe maneno yenye kutia nguvu Sanaa

  • @RichardAmosnkonje-pq9oh
    @RichardAmosnkonje-pq9oh Год назад

    Ndugu zangu waislam mungu tanae muomba ni mmoja tofauti ni dini tu hivyo wakristo na waslam wote ni wototo wa baba mmoja hivyo sijaona kosa kwa shehe hapo tupendane jamani

  • @kelvinkaijage3275
    @kelvinkaijage3275 2 года назад +4

    Daima watanzani tudumishe aman na upendo

  • @saidmuhsin2446
    @saidmuhsin2446 3 года назад +3

    Mhhh hatar!!Allah atulinde

  • @khamisseif9870
    @khamisseif9870 3 года назад +1

    Mtihani

    • @fredlyimo1263
      @fredlyimo1263 2 года назад +2

      Tatizo dini yetu inasema tu wasilamu ndo wa Allan wenu na mafundisho yenu yamefanya na kuweka akili zenu mipaka kiasi kwa mambo km hayo akilini zenu zinafika mwisho na kuanza kupungukiwa na amani na kuanza chuki

    • @fredlyimo1263
      @fredlyimo1263 2 года назад +1

      Na mkumbuke akili za Mungu c za mwanadamu.

  • @sultanmussa2838
    @sultanmussa2838 2 года назад +2

    alicho kifanya bondia umeitwa MCHONGO yaani pesa tupuuuuu apo

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 2 года назад +2

    😅😅😅😅😅😆Waslm kma na waona 😆😆😅😅😅😅👌🏽

  • @abdullramadhanii626
    @abdullramadhanii626 2 года назад +7

    HAWATAKUBALI MANASWALARA NA MAKAFIRI MPAKA MFUATE MILA YAO .. INNALILAH WAINAILAH RAJUN

    • @johnbosconagalau1586
      @johnbosconagalau1586 2 года назад

      Kichwa chako hakipo sawa wewe(chizi) kama hauna coment kaa kimya.

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 2 года назад

      kafir na Manaswara mamako alie halisha Mavi ukatoka wewe usie na akili

    • @geraldtarimo3210
      @geraldtarimo3210 2 года назад

      Nyani watampinga,lkn yupo sahihi

    • @ggelishachannel450
      @ggelishachannel450 2 года назад

      Roho mbaya tuu kwani sheikh kakosea Nini hapoo

    • @basammussa6774
      @basammussa6774 Год назад

      Kilichotakiwa kuzingatiwa ni point anazo zungumza hapo, na sio kutukana bila kutafakari kwa kina

  • @elyhillary2000
    @elyhillary2000 2 года назад +2

    🙏🙏🙏🙏🙏

  • @CANAANTZ_TV
    @CANAANTZ_TV 5 месяцев назад

    Haleluyaaa
    Jipatie vitabu vya maombi ya kiroho bureee Kwa njia ya WhatsApp
    1=Maombi ya kuvunja madhababu za kichawi
    2=Maombi ya kuzima mashambulizi ya kuzimu
    3=Maombi ya vita vya kiroho
    Bonyeza picha kushoto mwa comment hii tutakutumia bureee

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 Год назад

    This is what l have been looking for before late John pombe makufuli deeth mwislim and cresianity are they one single africa not wait people culler first our culler then religious because African American calctur is out skin then religious because we have born in Africa land first respect of our africa calctur then our religious this is Tanzania unity. On our national Africa belong to our calctur on trable believe before religious

  • @Othmansheby
    @Othmansheby 2 года назад +1

    Mswiba innalillah wainnalilah rajiun

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 Год назад

      Mmm acheni fitina

    • @greysonmheni5176
      @greysonmheni5176 Год назад

      Achana na chuki za wakoloni wa kiarabu na kizungu,cc ni waafrika na tunatakiwa kuishi kwa umoja kama huu

  • @theophilwhiteheart1997
    @theophilwhiteheart1997 2 года назад +2

    😇🙏🏽🙏🏽🙏🏽

  • @khamisikhalfan4720
    @khamisikhalfan4720 Год назад

    Njaaaa hiii itatuua imani zetu kwa kweli

    • @greysonmheni5176
      @greysonmheni5176 Год назад

      Umoja siyo njaa,achana na chuki tulizopandikiziwa na wakoloni wa kiarabu na kizungu.Huu ndo uafrika halisi

  • @raynoldlisanga8106
    @raynoldlisanga8106 2 года назад +4

    Kiigizo chema ni mtume uwisilam bila elimu ni mtihani

  • @faisalmohamed727
    @faisalmohamed727 Год назад

    (wamakana Muhamad abuu ahad) sasa huyo askofu umempa cheo ambacho hata bwana mtume swalallahu aleihi wa Salam hana, hiko cheo ulichompa askofu ndio kimenishangaza salamu haikunishangaza.

  • @seifjuma4743
    @seifjuma4743 3 года назад +2

    Eeeeee kak weee hujui kuwa hapa dunia ni miaka 60 ad 70 tu subir ss

  • @Faby_tv
    @Faby_tv 2 года назад

    Daaaaah ebu jaribu kupitia comment zote utagundua kinachonisikitisha.

  • @jenifagerald1822
    @jenifagerald1822 2 года назад

    Shekhe umeongea vizur sana na ukweli mtupu 👏👏👏

  • @CHRISTOPHERDENIS-p6s
    @CHRISTOPHERDENIS-p6s 2 месяца назад

    Mtasema yote..bado

  • @jamilahamis2462
    @jamilahamis2462 2 года назад

    Huyo sio she no kafili mwenzenu laana kum

  • @GilesKhamis
    @GilesKhamis Год назад

    Ukiona vya eleya, vimeundwa, na ukisikia yanayozungumzwa uwe mkini, kwasababu yanawezayakakujenga na yanawezayakakubomoa , tafakarini sana yanayoendelea hasa kuhusu mkataba wa BANDARI

  • @mustafaosman1838
    @mustafaosman1838 2 года назад +1

    Duu uyu shekh vp jaman mbona mm sijakuelewa huyu nishekhe au ni padri watanzania

  • @yohanalukanga6263
    @yohanalukanga6263 2 года назад +1

    Sihaminigi hizi dini bali na mwamini mungu tu

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 Год назад

      Siamini Kufuata Muhamad naamani kumwani Yesu Kristo tu

  • @OmarySimba-j6s
    @OmarySimba-j6s Год назад

    Bahasha inafanya kazi

  • @atamotivetv8104
    @atamotivetv8104 2 года назад +1

    Kiukweli waislam mnaubaguzi Sana yan nimesoma comment du!!!

    • @greysonmheni5176
      @greysonmheni5176 Год назад

      Wakoloni wa kizungu na Kiarabu walitugawa sana kifikra waafrika

  • @zainabujahshi6587
    @zainabujahshi6587 2 года назад +4

    Sheikh unapoelekea siko...innalillahi wainnailahi raajioun.

    • @gideonibatangaki1317
      @gideonibatangaki1317 2 года назад

      Nizamu aliyoisema muheshimu atakama amekosea nibinadamu.

    • @dapinitiative2451
      @dapinitiative2451 2 года назад

      Jifunze Kwa shehe wako! Upendo na umoja alionao Kwa dini zote! Huyu ndio kiongozi wa kweli!

  • @nelsonjr7795
    @nelsonjr7795 3 года назад +1

    Njaa mbaya sana Hawa Wataweza kukubali hata Ushoga

    • @modernfarming5938
      @modernfarming5938 3 года назад +2

      Utahira mlionao ni kwamba ulitaka ataje kanisa unalosali ww . Ebu ifike mahali akili ziwafunguke

    • @f.a6043
      @f.a6043 2 года назад

      Kwanza nikupe pole sana maana ushoga ni kazi ya ibilis shetani
      Hawa viongozi wa dini wanahubiri habari njema ya MWENYEZI MUNGU ya KRISTO YESU MKOMBOZI WETU ALIE MTAKATIFU WA WOTE wala hawana mawazo machafu kama hayo yako ya ibilisi lusufa kwahio anaetoa mawazo mabaya kama yakwako juu ya viongozi wa dini watu wa MUNGU
      nidhari kua hata ww mwenyewe nimtumwa wa hayo anayojaribu kubambikizia viongozi wa dini
      Mh. Sheikh ameongea kwa busara ya hali ya juu sana kwa namna ambayo sikudhania hata kidogo kweli kweli Sheikh yu nahekima kubwa sana
      MUNGU AWABARIKI WATU WAKE SANA!

    • @halimamnyati9311
      @halimamnyati9311 2 года назад

      Nikweli hii ss ni hatr tuombe mungu atujalie mwisho mwema

  • @alexbenedict5378
    @alexbenedict5378 3 года назад

    Duh

  • @josaphatlukwaro2378
    @josaphatlukwaro2378 3 месяца назад

    Ukimsikiliza huyu shehe bila makasiriko utamuelewa

  • @husseinbachwa8372
    @husseinbachwa8372 2 года назад

    Amani ya Bwana iwe Nyani, Bwana yupo uyo?

  • @siriakirojasi8243
    @siriakirojasi8243 3 года назад +1

    Ambae hajaetewa.akaekimwa....umeongea.sahihi.kabisa

  • @fadhilahaji7929
    @fadhilahaji7929 2 года назад

    So waislm hatujui nyinyi masheikhe wetu mkoje na jslimu wetu mbonahatukueleweni

  • @saumsaum1916
    @saumsaum1916 2 года назад +3

    Kwni baba wa taifa alibagua dini wakati anatafta uhuru?acheni ubaguzi mungu ni mmoja na wote shia moja

  • @azzanalzakwani7474
    @azzanalzakwani7474 Год назад

    Wakristo pia wamcheka

  • @khadijamusa2838
    @khadijamusa2838 2 года назад +2

    Tulishaambiwa msijifananishe nao.subhana malikinas

    • @jeremiahpirminnyoni618
      @jeremiahpirminnyoni618 Год назад

      Uliambiwa na nani? Na hao ni akina nani, soma vizuri kuruani usisikilize hadithi za mitaani.

    • @greysonmheni5176
      @greysonmheni5176 Год назад

      Acha ukoloni wa Kiarabu wewe,usijifananishe na mwafrika mwenzio alafu ujifananishe na Mwaarabu au!!

  • @alimakame9215
    @alimakame9215 2 года назад +2

    Huyushehe anatia was was muislamu wakweli hasemi hivyo mana diniyetu inatufuza hata mtume aliambiwa yeye anadini yake na wao wanadini yao.VIP awasifu.mjinga huyu shehe pesa

  • @fortyyellu9971
    @fortyyellu9971 2 года назад +1

    Huyu shek anatuaribia dini yetu jaman.. muft upo wap na unamwangalia tu na kumuacha

  • @faustinesamani6359
    @faustinesamani6359 2 года назад

    Nawaonya sana ssna viongozi wetu wa kikatoliki msijiingize kichwakichwa kwenye kundi la huyo mfiraji wa wake za waumini wke wasiojielewa mtatuudhi sana. Kazi kwenu.

  • @kiboshokibosho-ou6um
    @kiboshokibosho-ou6um Год назад

    Nchi yetu ni Amani tupu na upendo

  • @rayahaji800
    @rayahaji800 2 года назад +4

    Innalilah wainna ilaih raajighuni uislam wako sheikh unatutia wasi wasi

  • @salhabashir8280
    @salhabashir8280 Год назад

    Huyu ndio shekh wakupigwa mjinga sana yeye dunia tuu

    • @gabrielmdem4271
      @gabrielmdem4271 Год назад

      Wewe ndo mjingaa Yani huerewi lolote tunajemga nyumba oja tambuwa ivoo tofautu ni matilio ola nyumbaa ni ilelie hii ndo busaraa ya dino sijuio umenierewa labda mikuulize pengine huna erimu ya kutoshaa je umesoma dino IRA huna erimu ya Shure e Hilo ndo tatizooo sikulaumu

    • @greysonmheni5176
      @greysonmheni5176 Год назад

      Acha ukoloni wa Kiarabu

  • @nathanieldaud3744
    @nathanieldaud3744 2 года назад

    mchapio wa nguvu eti amani ya Bwana iwe nyani, all in all umesema vizuri na ukweli huwaweka watu huru

  • @abdullramadhanii626
    @abdullramadhanii626 2 года назад

    hii kwa wasomi inapatikana wapi? kwamaswahaba au kwa mtume kanza mungano wa dini mbali mbali maana kama mtuma alikatazwa na ikashuka sura ikimkataza mtu asiungane sasa hii nini? naomba fatwa kwa wasomi

  • @soudia9084
    @soudia9084 Год назад

    Sasa nimefahamu kwanini dr Mwaka kasema anataka Mufti atoe talaka sio wewe.

  • @mariyamsalalah8204
    @mariyamsalalah8204 2 года назад

    😂😂😂mwisho shekhe umenichekesha

  • @ramadhanaldawiyya8659
    @ramadhanaldawiyya8659 2 года назад

    Sadakta

  • @abdallahkawambwa2666
    @abdallahkawambwa2666 2 года назад

    Shekh hatakama umesoma kwahilo hapana nahau wala sarfa

  • @binbadru8408
    @binbadru8408 2 года назад +1

    Shehe hamjielewi,msibabmkubwa huu

  • @hajihaji5296
    @hajihaji5296 Год назад

    Sheikh wa mchongo tubia kwa Allah hwenda Allah akakuongoz

  • @AbuKhayrati
    @AbuKhayrati 2 года назад +1

    uyu siyo shekh uyu ni mukalti

  • @husseinbachwa8372
    @husseinbachwa8372 2 года назад

    Kama umeona la kujifunza basi wafuate wewe unadhani uislam upo kwaajili ya Dunia!!?? Uislam haufungamani na upuuzi... Kasome Dini.

  • @siamuchunguzi
    @siamuchunguzi 2 года назад

    Waislam mmeniangusha jamani,,, kama kweli dini yenu ni safi kwa nini hamna Upendo??? Kwa comments zenu tu mngekuwa na uwezo mngemsaidia Israel kufanya kazi,,, ila hakuna shida tunawapenda tu maana sisi sote ni wa Mungu

  • @kassimmussa8015
    @kassimmussa8015 2 года назад +2

    Yani namuhisi kabisa anatamani awe askofu leo hii dah shida jamani.Allah ilinde dini yako tunaowategemea kama viongozi wadini yakiislamu nawao wanatamani nakuhusudu vyeo vyajuu katika dini nyengine.

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 2 года назад

    Kwenda Kwako Ni Sawa Kwasababu Apo Iko Msuguano Wa Dini Kubali Wito Toa Neno Washike Neno Siku Bola Uvune Wafuasi Kutoka Ndani Apo Apo Kwenda Apo Ni Sawa Kusalimia Pia Ni Sawa Kuwapongeza Ni Sawa Lakini Ndani Yake Utawapa Neno Ambalo Upande Wa Pili Akuna Wanaozani Kwenda Apo Kusalimia Sio Sawa Ao Awajui Imani Wanachojua Malumbano Bila Ukweli

  • @FatmaJumanne-mi2et
    @FatmaJumanne-mi2et Год назад

    Sheheh wewe ni mfano wakuingwa

  • @lumumbasankara6388
    @lumumbasankara6388 2 года назад

    Sijawahi ona shekh wa ovyo kuwahi kutokea kama huyu

    • @gabrielmdem4271
      @gabrielmdem4271 Год назад

      Wewe huna erimu kwanza hujui lolote kichwani umesoni din tu huna erimu darasani tambuwa kuwa mungu ni wetu sote sote tunajemga nyumba Moja tofautu ni matilio kira mmoja na Imani yake Imani sio uadui maskini pore ndo ulifunzwa ivoo kuamini ivoo tambuwa kuwa hatubaguani Kwa Imani wars dino ya Fulani sisi ni viumbe wamungu tunwachia mungu hukumu zetu harafu waweza kuwa mi mzima harafu huna akili usimwaminishe mtu unachoamini wewe ndo mama Nyerere alikataaa udini ndan ya ncho yetu akatupa uhuru wakuabudu vote akili huna una udini Yu ndayake kifunze wewewisram feli

  • @AbuKhayrati
    @AbuKhayrati 2 года назад +2

    kuna udugu gan baina wasilamu na manaswara

  • @jumajuma7413
    @jumajuma7413 Год назад

    walaatardhankal lyahudu walannaswara hatta Titania millatahu

    • @greysonmheni5176
      @greysonmheni5176 Год назад

      Andika kiswahili,usituandikie lugha za kikoloni hapa

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 3 года назад +2

    Shehe umewakosea wakristo wa madhehebu mengine unapodai kanisa katoliki ndio kanisa halisi linaloonyesha ukristo wa kweli kweli!

  • @abdulswalehe6959
    @abdulswalehe6959 Год назад

    Wewe shekhe alihadi naww nikafilikamawao

    • @gracemwakibolwa7910
      @gracemwakibolwa7910 Год назад

      Hata weeye ni kafili hivyo hivyo.tena zaidi ya huyo unayemtusi.

  • @erastoernest909
    @erastoernest909 2 года назад

    👏👏🙏

  • @harsoshelezi4658
    @harsoshelezi4658 2 года назад +1

    ndiyo maana unapopolewa na waumini kwa tabia zako za undumakuwili

  • @mwamedypwemu6117
    @mwamedypwemu6117 2 года назад

    msiba; mkubwa yan wakristo wanampinga allah na wanamkubali yes nabii issa nawe waunga mkono kwa wakristoo daa msiba mkubwa san yule anae kufa so muslam na akamkana mungu wa kwel na mtume wake uyoo ayupo saw ndo uyoo sufiiiiii wa mkoa

  • @saidmuhsin2446
    @saidmuhsin2446 3 года назад

    .

    • @kijitamfyomi5598
      @kijitamfyomi5598 3 года назад

      Kwa hiyo sisi waislamu hatuna nidhamu kwa mtume wetu Muhammad sw hatuna nidhamu kwa maswahaba hatuna nidhamu kwa wanawachuoni wa kiislamu hii kauli tunamuomba mufti amwambie huyu sheikh Alhady awaombe radhi waislamu co kauli njema

  • @ansfriedmsimbe9509
    @ansfriedmsimbe9509 3 года назад

    No, wisdom.

  • @hamisimkima117
    @hamisimkima117 2 года назад

    Unawaita Ndugu zako Haliakua ili Uwe Mkristo 👈 lazma Umkatae Allah Umkatae Mtume Muhammad sw uikatae Qur'an hapo ndipo Utaitwa Mkristo 👈 vp! Ww kama ni Muislam kweli ulietamka shahada Alafu ukawasifu hao na kuwaita Ndugu zako!?? Wa idhaja a l,munafiqun pindi watakapo kujia Wanafk Utasikia Wakisema sisi tuna shuhudia kua wewe ni Mtume kumbe hao ndio Wanafk Allah anawajua Vizur

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 2 года назад +2

      Tatizo una akili ndogo sana , kwenye nchi hii sisi sote ni ndugu ndio maana tunaishi safii kwa Upendo na amani bila kujali tofauti zetu za kiimani, kikabika nk ,hutaki ondoka katafute nchi yako

  • @kassimmussa8015
    @kassimmussa8015 2 года назад

    Tunawasaidia kwanguvu zetu najuhudi zote makafiri kwani ameambiwa kwamba waambie ewe.Muhamad wao wana dini yao nawewe una dini yako leo shekhe anasema kajifunza kwawatu ambao hawaitakii mema dini yake😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @titosilayo7550
      @titosilayo7550 2 года назад

      Huo niuongo

    • @f.a6043
      @f.a6043 2 года назад

      Ww mwenyewe kwanza hapo naona umeridhika na yale Mh. Sheikh alioyasema na una cheka😂😂😂🤣🤣🤣 kabisa peace and love usimkosee kiongozi wako mheshim
      Mengine muachie MWENYEWEZI MUNGU yeye ndie ajuae mambo yote

    • @titosilayo7550
      @titosilayo7550 2 года назад

      Saw ,

    • @greysonmheni5176
      @greysonmheni5176 2 года назад

      Makofi kwa shekhe tafadhali

    • @titosilayo7550
      @titosilayo7550 2 года назад

      @@greysonmheni5176 🤝