Комментарии •

  • @habari254
    @habari254 2 месяца назад

    Guys , Subscribe To Our Sister Channel www.youtube.com/@bongatube

  • @user-jl4du9ef4i
    @user-jl4du9ef4i 2 месяца назад +2

    Hallo am Derick from Nakuru....my opinion ni Kenya ikuwe na community football clubs rather than companies or brands football club ndo tukue na community stadiums and many co)lections of stadiums

    • @habari254
      @habari254 2 месяца назад

      True, like Afc leopards na Gor Mahia ?

    • @habari254
      @habari254 2 месяца назад

      Guys , Subscribe To Our Sister Channel www.youtube.com/@bongatube

  • @EDWINKISIERO
    @EDWINKISIERO 2 месяца назад +3

    mombasa na serikali yao watajilaumu,namba mbili kiuchumi nchini kenya mombasa ni mji wenye makubwa lakini tunaelewa,upungufu wa uongozi bora ndio sababu

    • @habari254
      @habari254 2 месяца назад

      Balaa lakini nina imani wataamuka

    • @habari254
      @habari254 2 месяца назад

      Guys , Subscribe To Our Sister Channel www.youtube.com/@bongatube

  • @EDWINKISIERO
    @EDWINKISIERO 2 месяца назад +2

    serikali ya sasa inamaanisha na inaweza

    • @habari254
      @habari254 2 месяца назад

      ndio , uwezo na malengo !

    • @habari254
      @habari254 2 месяца назад

      Guys , Subscribe To Our Sister Channel www.youtube.com/@bongatube

  • @hamidukweka9496
    @hamidukweka9496 2 месяца назад +1

    Muhimu sana kuju status ya viwanja vyetu tukielea kwenye kuandaa michuano hiyo mikubwa.
    Matengenezo mazuri ya viwanja vyetu itakua miongoni mwa alama kubwa zitakazoachwa na hii michuano. Pia uwepo wa viwanja vingi bora itakaribisha michuano au michezo mingi kufanyika katika maeneo yetu haya, hivyo kuwa na athari chanya kwa uchumi wetu. Kila lenye kheri kwetu Tanzania, Kenya na Uganda.
    Michuano hii iwe sababu ya kuimarika kwa uhusiano wetu.
    Msichoke kutuhabarisha tafadhali!!

    • @habari254
      @habari254 2 месяца назад

      Ahsante sana bingwa

    • @habari254
      @habari254 2 месяца назад

      Guys , Subscribe To Our Sister Channel www.youtube.com/@bongatube

  • @meekyhommy9758
    @meekyhommy9758 2 месяца назад +1

    Mombasa pia kunafaa kujenge uwanja ingine kubwa international

    • @habari254
      @habari254 2 месяца назад

      Hakika

    • @habari254
      @habari254 2 месяца назад

      Guys , Subscribe To Our Sister Channel www.youtube.com/@bongatube

  • @abassabass529
    @abassabass529 2 месяца назад +1

    kazi nzuri,,napenda kazi yako.

    • @habari254
      @habari254 2 месяца назад

      Karibu sana.Ahsante kwa kutufuatilia !

    • @habari254
      @habari254 2 месяца назад

      Guys , Subscribe To Our Sister Channel www.youtube.com/@bongatube

  • @bongatube
    @bongatube 2 месяца назад +1

    Bien

  • @vincentene4834
    @vincentene4834 2 месяца назад +1

    Why don’t you speak English or have English subtitles 😢

    • @habari254
      @habari254 2 месяца назад

      we shall do that

    • @habari254
      @habari254 2 месяца назад

      Guys , Subscribe To Our Sister Channel www.youtube.com/@bongatube

    • @eldios831
      @eldios831 Месяц назад +1

      English is not our first language...