Hallo am Derick from Nakuru....my opinion ni Kenya ikuwe na community football clubs rather than companies or brands football club ndo tukue na community stadiums and many co)lections of stadiums
mombasa na serikali yao watajilaumu,namba mbili kiuchumi nchini kenya mombasa ni mji wenye makubwa lakini tunaelewa,upungufu wa uongozi bora ndio sababu
Muhimu sana kuju status ya viwanja vyetu tukielea kwenye kuandaa michuano hiyo mikubwa. Matengenezo mazuri ya viwanja vyetu itakua miongoni mwa alama kubwa zitakazoachwa na hii michuano. Pia uwepo wa viwanja vingi bora itakaribisha michuano au michezo mingi kufanyika katika maeneo yetu haya, hivyo kuwa na athari chanya kwa uchumi wetu. Kila lenye kheri kwetu Tanzania, Kenya na Uganda. Michuano hii iwe sababu ya kuimarika kwa uhusiano wetu. Msichoke kutuhabarisha tafadhali!!
Guys , Subscribe To Our Sister Channel www.youtube.com/@bongatube
Hallo am Derick from Nakuru....my opinion ni Kenya ikuwe na community football clubs rather than companies or brands football club ndo tukue na community stadiums and many co)lections of stadiums
True, like Afc leopards na Gor Mahia ?
Guys , Subscribe To Our Sister Channel www.youtube.com/@bongatube
mombasa na serikali yao watajilaumu,namba mbili kiuchumi nchini kenya mombasa ni mji wenye makubwa lakini tunaelewa,upungufu wa uongozi bora ndio sababu
Balaa lakini nina imani wataamuka
Guys , Subscribe To Our Sister Channel www.youtube.com/@bongatube
serikali ya sasa inamaanisha na inaweza
ndio , uwezo na malengo !
Guys , Subscribe To Our Sister Channel www.youtube.com/@bongatube
Muhimu sana kuju status ya viwanja vyetu tukielea kwenye kuandaa michuano hiyo mikubwa.
Matengenezo mazuri ya viwanja vyetu itakua miongoni mwa alama kubwa zitakazoachwa na hii michuano. Pia uwepo wa viwanja vingi bora itakaribisha michuano au michezo mingi kufanyika katika maeneo yetu haya, hivyo kuwa na athari chanya kwa uchumi wetu. Kila lenye kheri kwetu Tanzania, Kenya na Uganda.
Michuano hii iwe sababu ya kuimarika kwa uhusiano wetu.
Msichoke kutuhabarisha tafadhali!!
Ahsante sana bingwa
Guys , Subscribe To Our Sister Channel www.youtube.com/@bongatube
Mombasa pia kunafaa kujenge uwanja ingine kubwa international
Hakika
Guys , Subscribe To Our Sister Channel www.youtube.com/@bongatube
kazi nzuri,,napenda kazi yako.
Karibu sana.Ahsante kwa kutufuatilia !
Guys , Subscribe To Our Sister Channel www.youtube.com/@bongatube
Bien
Kabisa
Why don’t you speak English or have English subtitles 😢
we shall do that
Guys , Subscribe To Our Sister Channel www.youtube.com/@bongatube
English is not our first language...