MZEE wa BWAX AWAPAGAWISHA MASHABIKI MBEYA, WAPANDA JUU YA CHUMA NA KUCHEZA SINGELI
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- MZEE wa BWAX AWAPAGAWISHA MASHABIKI MBEYA, WAPANDA JUU YA CHUMA NA KUCHEZA SINGELI
www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Mwambaa katishaa Sanaa mtoto wa nje ya ndoa hawezi kuwa wa ndan? Mzee wa bwax kichaa akikutanaga na kiluza fanani mauaji kama una Mkubari gongaa like hapaa🙌🙌💥🔥🔥
Mzee wa Bwax umesababixha demu wangu apoteze Simu yake kwa vaibu la Jana😭😭😭😭😭😭
😂😂😂😂mununulie nyingine
😢😢
Dula makabila anaiona nafasi yake ikienda na machozi juu
Weka like kama unaamini
Umeonae alijikuta mfalme wa singeli akajijaza kiburi 😂vijana wanamkalisha vibaya
Sio kweli dula fundii
Watu hawajui hawa jamaa wa singeli ndio wana nguvu mtaani kuliko hao wasanii wengine kwenye show,then kwenye swala la performance wanapiga show live mwanzo mwisho..Big up mzee wa bwax
Fduu
Hii nazani ndy show yangu bola mpaka sasa ❤❤❤❤❤❤❤❤
Hahaha baada ya mzee wa bwax TU simu yangu sikuiiona Tena big up bro
Jamaa kakalisha Matembo vibaya Sana 🔥🔥
SHOW Kali sana all the way from Kenya watching. Noma sana
Mzeee Wa Bwaxxxxxxxxx balaa ziiitoooo Aisee 🎼🎶🎵💯🔥💥
Kabisa mzeee
Huyu jamaa ako juu Sanaa 🔥💯
Cature talented
Mzee wa bwiii❤❤❤
Mwamba hatumii nguvu kubwa Wala nn ila vibe lake ni 🔥🔥🔥💪💪Mzee wa bwax
Jamani singeli nomaaa
Daaah kila kukicha kama umezaliwa upyaa kweli mtoto wa nje ya ndoaa😅 bwax 🙌🙌🙌🙌🔥
Ila singeli mamae iheshimiwe mnooo
Big up to mzee Bwax and sele man # mbosso
Kid la nje ya ndoa on 🔥🔥🔥🔥🔥
Sitoagi comments lkn hii shoo imenifanya ni comments ume kill
Hili vibe sio la nchi hii
Now this us what you should push to international levels
How about ather musicians in tanzania
Olso they may go too us😂😊
@@user-tw3jc4zz3m its clear that majority of you love this kind of music. This should be your international sound.
Mzee umekuwa🎉🎉🎉❤❤
Umeua 🎉🎉
Sema.mbeya wanavibe hatrii
Mzee wa Bwax has nvr disappoints
Huyu mwamba katisha noma sana....💥💥💥
Good job brother 🙌🙌🙌💪💪
Ni moja ya show ambayo hainichoshi kuangalia
Show ya jana nimepoteza funguo ya get lakn sijal
Umtisha Sana🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Nakubali san munatisha wasafi
Noma sana
Noma🔥🔥🔥
Power of singeli
Huyuuu jamaa kafunika wasafi wote
Mwamba huyu apa🎉🎉🎉
Wasafi toeni tuzo baada ya kumaliza Wasafi Festival.
Dogo katisha
Uyo bwax nime mujuwa kupitiya wasafi festival
@bayotiba660😂😂😂😂 We.... wacha Ushari..😂
Kachelw huyuu🤣
Same here 254 sikuwa namjua
Singeli imetisha
Penda. sanaww
🔥
❤
Manyau hiyo fujo kaka siyo kwa vibati hivyo kaka sjuw anamkono gani huyo mwehu
Kaua sana
Anamfatilia sn barobaro
Mziki pekee wenye vibe kutoka tz
💪💪
Nilijua tuuu akuna mkoa utakao uzidi mbeya kwa shangweeeee
Bwax bwax umeuuuuuua
Jamaa ajaingia na kibanda wala madela kwenye steji😂😂😂
Nikirudiana na ex wang nampakia mkongo
😀😀😀hata hatumii nguvu mpuuzi huyu
😂😂
Alafu show zote kafunika
Mzee wa bwax mamae😂😂 umeua
Kwer mziki wasingeli watu tunaupende
Oyaaa mbeya kuna simba kama woteee😂😂😂
Mzeee nimeludia km mala 10 hiv lakn haichoshi
Du
Piga makofi kama hauja athirika 😢😢
bwax ni mmoja tyuu😂
🤣🤣🤣🤣🕺🕺🕺🔥🔥👊
Bwx
😂😂😂😂😂😂