Allahummaghfirlahuu wa arhamu huu waskinhuu fil jannah. Allah akughufirie madhambi yako. Akuepushie na adhabul kabri wa adhabu nnar. Akutulie nuru katika kaburi lako akujaalie kaburi lako liwe ni bustan katika mabustan ya peponi. Akujaalie Jannatul Firdausi l a'alaa.. amin amin amin
Mwenyezimungu akusamehe makosa yako, akujalie kitabu chako kwa mkono wa kulia, alijaze nuru kaburi lako, na akujalie pepo ya Jannat fildus yarab ameen.🙏🙏🙏
Shukran Sheikh wangu Wallahi umenikumbusha Sheikh Nassoro Bachu wakati akitoa Darsa zake Mjini Nakuru nchini Kenya 1987 katika Maudhui hayo.Baraka Llahu fiykum fit Duniya wal Akhira.
إنا لله وإنا إليه راجعون اللهم اغفر له وارفع درجته في المهديين، وافسح له قبره، ونور له فيه، واجعل قبره روضة من رياض الجنة، واغفر لنا وله يا أرحم الراحمين.
Mashallah sauti yake na ya shekh Nassoro Bachu hazitofautiani mashekh wetu! Mwenyezimungu awaweke wote peponi pamoja na wazazi na ndugu zetu na jamii ya umati Muhamad s.a.w amen. Ajalie vizazi vyetu na sisi wenyewe elimu yenye kuendelea atusamehe makosa yetuna atujalie tuifate quran na sunna za bwana Nitume Muhamad s.a.w amen 🙏🙏🙏
Allah akukutanishe na mtume ewe babangu kipenzi. Tuko nyuma kufwata nyayo zako insh Allah.
Allahummaghfirlahuu wa arhamu huu waskinhuu fil jannah. Allah akughufirie madhambi yako. Akuepushie na adhabul kabri wa adhabu nnar. Akutulie nuru katika kaburi lako akujaalie kaburi lako liwe ni bustan katika mabustan ya peponi. Akujaalie Jannatul Firdausi l a'alaa.. amin amin amin
Allahumma Ameen Yarabby
Amiin thuma Amiin
Allah Akurehemu mufti shabaan
Mwenyezimungu akusamehe makosa yako, akujalie kitabu chako kwa mkono wa kulia, alijaze nuru kaburi lako, na akujalie pepo ya Jannat fildus yarab ameen.🙏🙏🙏
Shukran Sheikh wangu Wallahi umenikumbusha Sheikh Nassoro Bachu wakati akitoa Darsa zake Mjini Nakuru nchini Kenya 1987 katika Maudhui hayo.Baraka Llahu fiykum fit Duniya wal Akhira.
Allah akufanyie wepesi katika makaazi yako ya barzakh
اللهم اغفر له وارحمه واسكنه فى الجنة يارب العالمين
Allah akurehemu
Sheikh wetu
Allah akuweke mahali pema peponi ustadh wetu kipenzi 🤲🏾
Allahumma Ameen Yarabby
Allahummah Amiin
Allah akulipeni pepo ya juu inshaallah
إنالله وإناإليه راجعون،،،اللهم اغفر له و ارحمه واسكنه في الجنه
Innalillahi wa Innailaihi Rajiuuna. Mashallah. Khutba njema kabisa. Huyu ndie Skh Mussa. Katulia kabisa khutba zake.
Allah akupe maskani Bora peponi na akuepushie adhabul kabur
Innalilah wainna ilahy rajiuun
Inahlilahi wainah ilehi Rajiun Allahumah Arhamhum Waskinhum Filjanatul Firdaus Ameen
Allahummah Amiin
إنا لله وإنا إليه راجعون
اللهم اغفر له وارفع درجته في المهديين، وافسح له قبره، ونور له فيه، واجعل قبره روضة من رياض الجنة، واغفر لنا وله يا أرحم الراحمين.
Amiin thuma Amiin yakhe
Amin ya rabbi
الله أكبر الله أكبر الله أكبر.
Ma sha allah
Allah akurehemu sheikh wetu
Ujumbe umefikisha
Mbele yke Nyuma yetu
Yarabi msamehe mja wako huyu na mjalie pepo yako ya fildausi inshaallah.
اللهم ثبتح من كول ثا بت..May ALLAH GRANT YOU THE HIGHEST PLACE IN JANAT
Ameen
Mashhaalaah mungu amjaze mahalo pena peponi ammmmi
Nimeshukuru kwa hii clip.....naomba video zaidi za sheikh Shaban
Allah amrehem
Mungu amueke pema peponi
Allah amrehemu
Amwuepushe na adhabu ya kaburi
Allahummah Amiin
Alhmdolillah 🤲❣️🌹❣️
Inna lillahi wainaa ileihi rajiun
May Allah grant him janatul firthouse beside our prophets and swahabas inshallah
Mashallah sauti yake na ya shekh Nassoro Bachu hazitofautiani mashekh wetu! Mwenyezimungu awaweke wote peponi pamoja na wazazi na ndugu zetu na jamii ya umati Muhamad s.a.w amen. Ajalie vizazi vyetu na sisi wenyewe elimu yenye kuendelea atusamehe makosa yetuna atujalie tuifate quran na sunna za bwana Nitume Muhamad s.a.w amen 🙏🙏🙏
Ustadh Badru au Bachu... Hawaendani na Bachu hata kdgo
Innalilahi wainailahi raji'un.
Innalillah Wainna ilayhi Rajiun.Allah Akupe Kauli thabit
Inna lilahi wainna ilaihi rajiuni
Allahummah Amiin
Amiin
Mola amrehemu
الله يرحمه ويسكنه الجنة مع سيدالمرسلين
Amiin thuma Amiin yakhe Yahya
Allah amjaalie pepo ya daraja ya juu
Allahummah Amiin
Mola akulipe malipo mema.
May Allah grant him jannah
Innalilahi waina ilehi rajion
Inalillahi waiina ileyhi rajiun.....Allah akujaalie janaah firdaus
Allahumma ghufrlahu warhamhu askinnuzulahu,waghassilhu bil-mai wathalji walbard
رحمة الله عليه
Namuona machoni yani hapa namtizama mi si mjui ila nimeona hayo maziko yake eee jani KIFO kizito Leo ndio anaitwa marehem inalilah waina ilahi rajiun
Innalilahi waina illaih rajiun 😭😭
Ya rabb Aameen 🤲❤️🌹❤️
Allahu akbar
SubhaanAllah
Jamani niambieni aliumwa au ndio mwenye ulimwengu kamuita
Wacha fikra hzo kaka
Nime faidika
Allah amraham sheikh Shaabani Abdi
Masha allah
Ajib wallahi mtu ana dislike kwenye tafsiri
Allah amrehem