UNYAKUO UTATOKEA MWAKA 2026,NI HESABU ZA KIBIBLIA NA MUNGU AMENITHIBITISHIA|Ask.Alexander Mgunda
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.3878783
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV
Huyu mzee anamjua Mungu. Anasisitiza sana kwamba Mungu yupo ndani ya mtu na siyo dhehebu wala dini. Mungu aliupenda ulimwengu hata akamtoa mwanae wa pekee ili yeyote aaminiye asipotee...
Hatupingi neno au maono ya huyu mzee kwa sababu neno la mungu linakuja kwa njia nyingi hata wakati nuhu aliambiwa tengeneza safina watu wakapuuza mi nalosema tukae katika kumpendeza bwana tukae na utakatifu kila wakati endapo siku inafika upatikane ukiwa ktk mikono salama ya mungu
I see God in Christ Jesus in this old man.... Glory to Jesus
Mzee mwenyewe ni ushuhuda tosha. 82 years hatumii miwani ananikumbusha habari za Musa macho yake yalikuwa angavu hata uzee wake na kifo. Kumtegemea MUNGU kuna faida.
Inavyoonekana watu wengi hatutaki kurudi nyumbani bado tunatamani kuwepo kuwepo Duniani,nimesoma comment nyingi nikawa ninatabasamu,kwani tatizo liko wapi Yesu akirudi 2026? Unadhani Mungu atasubiri kila mmoja akamilishe mipango yake ya maisha ndio mwisho ufike?Yeye haangalii matakwa yetu,anachopanga kukifanya anakifanya kwa mapenzi yake.KUWA TAYARI KURUDI NYUMBANI KWETU.
Hatakama haitakuwa hivyo ila heli yako mtumishi wa BWANA naona maandalizi yako kuusu kwenda na YESU ni makubwa sana nautamani moyo wako
Ubarikiwe sana mzee mgunda kanisa niwewe mwenyewe ukinyakuliwa wewe vijana bado wataendelea kuchapa injili DUNIANI.
😂
Mungu akubari baba yetu tunakushukuru kwa kutufikishia ujumbe. Mwenye masikio na asikie
Mtumishi wa Mungu Mungu akubariki sana happy umefika sio nguvu zalo Bali ni neno lake Mola, Uishi Hadi Bwana wetu Yesu kurundi kwake Amena na Amena umbarikiwe Amena.
Mahesabu ya miaka huwa tunatumia kalenda ipi? Maana waethiopia wana kale nda yao waislam wanayo waislael kalenda yao je sis tunatumia ipi je tunajuaje kalenda ipi iliyosahihi Zaidi kwa Mungu kuitumia? Maana miaka ya 20000 tuliambiwa nimwisho na haujatokea. mwisho yetu hi
Mungu wangu unirehemu mimi. Nimepokea kitu kikubwa hapa na sikuwahi kufikiria. Mungu akujaze wingi wa siku Mzee wangu. Asante promover
Pingeni tu mwewezavyo Neno moja mfahamu Yesu anakuja upesi hakuna ajuaye siku Wala saa jiandae tu ,
Kuja kwa Yesu ni uhakika ila hatui siku wala saa jiandae
Hata yesu mwana wa MUNGU hajui
Mzee asante kwa kalenda.Lakini siku ya mwisho hakuna ajuaye hata mwana wa adamu hajui.Tumepewa kuzitambua nyakati na dalili.Mhimu tuishi maisha ya kujitkasa.umenikumbusga mzee Kulola kila mwaka alipokuwa akisimama furahisha alikuwa akituaga akisema mwakani ni siku za mwisho,Ila tuliendelea kumwona mpk ameondoka mwaka2013 aliacha bila mwisho wa dunia kufika.Tuushi kwa kuzijua dalili za siku ya mwisho japo mwaka na siku hatujui.
Yuko Roho mtakatifu atakaye tujulisha yote
Unyakuo umefika ndugu
hajasema siku wala saa. amesema mwaka. so nafikiri siku na saa hatutajua ila wakati tutaufahamu
La muhimu zaidi hakuna ajuaye siku wala saa ila tukae Kwa KUKESHA
Kwanini unasema hata mwana wa adamu hafahamu,,,Yesu kwa Sasa Yuko mbinguni sure anajuaa
Amen Utukufu kwa Yesu. Barikiwa baba. Promover TV be Blessed
MUNGU ambariki huyo mzee vijana wezangu tumgeukie mungu wetu
Hongera baba yaani nimejifunza kwako kuwa biblia iko akilini na moyoni kwelikweli. Mhh. Kwakweli tunapaswa kuyasikia na kuyafanyia kazi. Mungu tusaidie
Bro and sister 😢naomba tu mpewe kibali ya maono ndio mjue kuna life after death mi siwezi pinga lolote haya nayajua yote nkweli ila watu watapinga tuu😢Skuzote mungu aitwe mungu 2 nimemuona yesu Ana kwa Ana yupo na anaishi milele mungu tufungue machoo sote tusimezwe na jehanam😢
Umemwona yesu wapi...?
tunashukuru kwa comment yako hiyo lkn please jina la Mungu aliye hai na Yesu Kristo Mwokozi wa ulimwengu wote ni marufuku kuliandika kidharau-dharau, anza na herufi kubwa, kuwa na heshima basi
Siwezi kueleza ata nkijaribu uwezi elewa naomba tu upwards na ujaliwe maono ndio uwelewe juu ata nkiharibu kukueleza utampinga 2 bt ivo ndio tulivo wanadamu naelewa vile nuhuu alipingwa na wanadamu bt what followed 😑
Tunaishi kwa maono au kwa Neno la Mungu, acha kuharibu neno la Mungu mna mzingizia Roho Mtakatifu, kasema 2026 na hesabu zenu Zaki mjinga Yesu alisha Kuja, 1Yoh 5:20 kasome hiyo uelewe BIBILIA ndiyo Ufunuo wa Mungu pekee akuna Ufunuo mpya tena ishi Neno la Mungu, kila mtu nilipo kuwa naomba Yesu akasema nami, ivi wewe unajuwa, Yesu kule nyikani alizughumza nani wewe mpende Yesu Kristo ndani yake mna mapenzi ya Baba Yesu alisha tupa Ufunuo wote sasa unakuja na Ufunuo mpya wawapi wewe mtu wa upande gani wewe, nawengine walitiwa upofu, mna sapoti upotovu, hii ndiyo kazi mbaya mtume Paulo alilia kuhusu manabii wa uongo, nikupotosha ukweli wakati wote, tambua Mungu ni Roho, na shetani ni roho ila ukisikia kila kitu kwa maono nabila kukifanyia kazi wengi mtapotea, nasema tena Kuna watu mtapotea nakuibiwa Sana msipo kuwa makini, Kibwetele alisema hivyo, shakahola ivi uwa natafakari mnapo comment
Alexander Isaih Mgunda. Natamani kumsikiliza mtumishi huyu mtu mzima. 1973 Moses Kulola akiwa ARUSHA alitumika NAYE miaka 50 kunjilisha! BARIKIWA BABA.
Mungu atuwezeshe.Hapo sipingi
Nice INTERVIEW very composed. Lord bless this man of Jesus. Message imefika
Amen Amen barikiwa sana mtumishi wa Mungu kwa ufunuo huu Kwa kweli kitabu cha UFUNUO kinafunuo yote kwa wele wanaosoma kitabu hiki, wenye kupinga wacha waendelee kupinga, jana la BWANA litukuzwe milele Amen Amen
Yesu atusaidie Sana tuishi maisha matakatifu kwa kujiweka tyr haijalishi ni lini atarudi kikubwa ni kumtii Mungu2 hatujui siku Wala saa barikiwa Sana mzee mungu akutunze umalize vyema
Kwa kawaida mbinguni kuna namba 7 hakuna namba 8,,dunia ilisimama ndani ya siku 6 na siku ya 7 alistarehe, siku 1 ni sawa na siku 1000 kwa MUNGU,,kizazi cha Adam kiliishi miaka 2000,, baadae kikafutwa kwa maji kikaja kizazi cha nuhu nacho kikaishi miaka 2000 jumla miaka 4000 amabazo sawa na siku 4,,kikaja kizazi cha neema(YESU) ,,naye YESU alisema kizazi hiki hakitapita yote yatimie ,,tumeishi miaka 2000 jumla miaka 6000 sawa na siku 6,,siku ya 7 ni miaka 1000 ambayo tutatawala na kristo,, YESU aliishi miaka 33 na nusu,,ukitoka hiyo na miaka 7 ya mpinga kristo utaona siku zilizo baki kukamilisha siku SITA,
Weeeh kwa kifupi muda umeisha, kama una make sense hviii @stephenomakoye
Anajichanganya Ila promova please Ebu jitaidini kupata kibari cha roho mtakatifu Mtume ukweli maana kunawengine watapotea na manabii wa uongo
Huwo ni ukweli kabisa!! Asante sana kwa ufafanuzi huwo !! Hesabu ya Mungu sio Kama ya mwanadamu!! Kwa mfano anaposema , one can chase 2000 but two can chase 10,000 ! Deuteronomy 32 : 30 .
kweli kabisa ndugu yangu lakini ujuwe siku ya saba tumeshaianza ambayo ni siku ya tatu Yesu alisema atalivunja hekalu na kulisimsmisha kwa siku3 na kweli ufslme wa Mungu utasimama siku hii ya tatu amvayo tumeanza mwska wa elfu3 Asante pia kwa mafundisho ysko
@@gloriousfrancis8201 alimanisha kifo chake
Jamani Jamani mzee nakuomba umalizie vizuri safari yako.
Iknow he might look like he is out of his mind but woe onto you if it happens prepare be ready always
I saw someone laughing,but it might seem fanny to other but we put trust in the word of God,mungu anasema tusipuzie unabii wake Mimi nakubali pia nikikesha kwa toba
@@josykogei7647😂😂😂 🤣🤣🤣!!!!!!!!!
Ishu NI kujiweka tyr ....so kupuuzia
Very true 🙏🙏🙏
@@josykogei7647😅😅😅😅😅😅
Everyone be ready, prepare the ways of the Lord, for no one knows the day or the time for the second coming of Jesus Christ 🙏🙏 he may look as if he's out of his minds,but God is on the way to take us home🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amen Amen, NIKWELI YESU KRISTO ANARUDI, ila hakuna ajuaye siku Wala saa, Bali tujiandae na kujitakasa Kila wakati................( Luka 17:20........ Na alipoulizwa na mafarisayo, UFALME WA MUNGU utakuja lini?? Aliwajibu akawaambia, UFALME WA MUNGU HAUJI KWA KUUCHUNGUZA,,Wala hawatasema, Tazama, upo huku au huku au kule, Kwa maana Tazama,UFALME WA MUNGU umo ndani yenu. ( amen)
Mwenye dhambi aache lakini suala la 2026, sisi tupo hapa kama kweli atatokea.
Mzeee Mungu akubariki sana,
Wataalamu wamejiandaa mwaka huu ianze new world order. 2023 fuatilia usipinge kila kitu
Nandio kwama Yesu akisema eti kwanyinyi mko hapa panawenye hawataona kifo kabla sijarudi,basi nyakati hizo saa ya Mungu imesimama tukawa kwenye mda wa Neema!!!
Nashukuru sana kwa ujumbe huu hâta Kama Biblia inasema kwamba Siku n'a saa haijulikani .mimi ninaamini kwa muda imeisha tuée tu tayari kwa dalili zote kama sindanganyike zimetimia
Ameeni!! Nimemuelewa mzee, MUNGU aendelee kumtunza, kweli MUNGU hana dhehebu,yupo na anaishi popote anapatikana kwa yeyote anaekuwa tayari kumkaribisha nae atakua baba kwake,tuwe ktk kumsubiri BWANA YESU KRISTO akirudi atukute tayari tumejiandaa.
Bwana wetu yesu christo atu saidiye sana tuweze ku fika sikuhiyo salama
Amen mtumishi,ni sahihi kabisa kua MUNGU hakai katika dhehebu bali katika neno,tusome neno kwa bidii ndio njia pekee ya kuwatambua wanaojiita watumishi wakati ni mbwa mwitu
Mungu tusaidie tusifumbwe macho na ibilisi tuendele kupiga watu mkeshe kwa toba na maombi mahana mungu anasema hamjui siku wala saa,unaeza ngoja 2026 alafu ukose kufika jamani wee ghaii lord have mercy
Mbaya zaidi wasiostahili hawatajua unyakuo utakapotokea, maana watakaoisikia sauti ya parapanda ni wale tu watakaonyakuliwa.
Amefunuliwa na Mungu, hajafunuliwa na Mungu umuhimu ni kumtii Mungu tu na kufuata sheria zake maana ni kweli mwisho wa dunia waja na jehanam ipo so tukaze bidii tujipushe na moto huo wamilele
Usiseme Etty watu Fulani walisema kama huyu na haikutokea wewe jiandae kuwa tayari taa yako iweke mafuta
JESUS IS COMING SOON LISTENING FROM KENYA
NI UONGO ULIOTUKUKA NI MARA KARIBU TANO WALITABIRI STAILI HII NI UONGO HATA HESABU HAZIPO ZA UJIO HAPO MTANIAMINI MBELENI UONGO MTUPU HUO
Amen 🙏 Mungu akubariki sana mzee wangu.
Mie hufurahia mambo ya MUNGU kupitia kwa jina la Yesu Kristo ila kuhusu tarehe na siku.... Tutoke hapo.
kweli jamani MWININI MUNGU NA AHADI ALIZO TUPA. ALIENDA KUTU ANDALIA MAKAO NUUKWELI KABISA
Yesu azidi kukutumia mtumishi wa Mungu
Kweli kabisa mafundisho ya bibilia c kwenda bible study n Mungu hufundisha , ujumbe wa kweli kabisa kwa wale wanaelewa na bibilia na wanaoisoma vizuri na kwa umakini
Tutubu na kuacha ubishi hayo asemayo mtumishi yanaweza kutokea. Hajataja siku wala saa anasema nyakati
Huyu Mzee akifa Leo anakwenda motoni mungu amsamehe shetani amemhadaa
Anasema Mungu habagui dini yo yote ila biblia iko wazi kuwa wale ambao hawaamini kwa Yesu kama mwana wa Mungu aliyetufia msalabani tayari wamelaaniwa kumaanisha wasipookoka na kutubu hawawezi kuingia mbinguni. Na hapo ndo kuna waislamu, wahindu na kadhalika.
Barikiwa mzee wa miaka mingi umeshiba neno na siku ...barikiwa sana
Mungu anisaidie tu
Nakataa unabii huu KWA sababu kama ni kweli ,unabii huu utapinga a na mafundosho yaYesu Kristo aliyosema kuwa siku ile HAKUNA ajuaye ila BABA peke yake ... Mungu gani amekuthibitishia ?!!?!??😢😢
Mungu akubariki kwa kufikisha ujumbe wa bwana
Kweli apa kunasomo makini sana
Yesu tunaomba rehema.Amen
Nyie msioamini kwan mkiamini mnapungukiwa nn??kwanza nashukuru Sana Mungu kwa ajili ya Alexander!!hizo hesabu za Biblia siyo mchezo..kikubwa tujiandae dalili zote ziko waziwazi,God help us🙏 na pia kumbe ckujua kumbe chukizo la uharibifu lilishatokea yan nguruwe kuchinjwa kwenye hekalu!!! Kiukwel hatuna🕐
Unajuwa wengi awapendi kusoma Bibilia.Hakuna ajuwaye kuja Kwa yesu Mathayo 24:1 naombeni msome fungu hlo sana nilamhim sana
Tukae na mngu vizur kisa umeambiw 2026 nd ujio bas ndo uuze vitu yaan inaweza ikapita na maisha yakaendelea kama kawaida
Hongera baba kwA kukumbusha watu
8:49 / 1:13:09
PASTOR IBRAHIM,msomali mtafute umuhoji tafadhari
Usibishe, muulize Mungu Atakujibu. Mungu hawi mbali nasi. Soma Amos 3:7
Usikubal neno lnasema hakuna ajuae siku wala saa ya mwanawaadam kurud unaeza kuta unyakua ni wik ljaro so maboya wnakua washapotezwa watakao kaa kusubl 2026
@@samludo5435add hzo namba utapata 1 ambapo tafsr n Wakat wa Mungu
Sijui sana biblia wala sijidai naijua lakini nina jua YESU anakuja kama mwizi....hakuna ajuaye....hata mitume hawakujua..............TUSIDANGANYIKE.
Mzee mwachie mungu hayo yote hata ajaye hajui jitaidi kujitakasa tuu
Mzee mgunda unazeeka vibaya,unyakuo hata Yesu mwenyewe alisema hajui wewe umejulia wapi!?
Mzee wetu ubarikiwe sana --Dsm
Mtumishi Jactani hongera sana nawapenda. Mungu akubariki sana --Dsm
Yesu ana rudi tuwe masho tuashe jia baya turudi kwa YESU KRISTO
Wasomali mnakuja sana be careful with false prophets
Amena mtumishi wa mungu
Mzee moto unamsubiri atubumapema kabla hajakufa ila akifa tunaomba mwandishi utujulishe
Imeandikwa kwamba "hatujui siku Wala sana bwana ajapo"
Tunaona imeongelewa hatutajua siku Ile Wala saa Ile bwana yesu kristo atakaporudi ila biblia haikutaja mwaka.
Kwaiyo ndani ya mwaka Kuna siku na masaaa.
Imetupasa tu kuomba pengine tunaweza kupata neema ya kujua mwaka Ili kujiandaa ndani ya mwaka huo Ili siku Ile na saa Ile ndani ya huo mwaka tuweze kunyakuliwa
MZEE MDA BADO SANA, TUNADAIWA TU WAKATI HUU KUFUNUA UFALME WA MUNGU DUNIANI KOTE, YAKO MATAIFA MPAKA SASA HAWAJAPATA UHURU WAO ILI UHURU HUO UWAPE FURSA YA KUINGIA KWA UFALME, NA MDA HAKUNA AJUAYE ILA TUKIJUACHO NI UWEPO WA ROHO WA MUNGU KUWA NASI DUNIANI.... UPENDO WA KRISTO UMEJAA DUNIANI,
Sijaelewa kabisa,Ni ufunuo ,Maono au Ni hesabu za mzee wetu Mgunda
Ndio akomulangoni ilahakuna ajuwaye siku nayeye asema atakuja kama mwizi. Maandiko yasema
Huyu baba ameokoka. Tatizo inawezekana alitokea dini ya wasabato. Hakuna ajuaye siku. Wasbato walishaongea hivi kama uyu baba, lakini hayakutokea.
Maandiko yanasema hakuna anayeifahamu ile siku! Hata Mwana haijui. Ninachofahamu ni kuwa mwaka 2026 kutakuwa na matukio mabaya Tanzania 😊
Kama unafahamu elimu y namba kwenye ulimwengu wa roho uki add napata 1 ambapo ni namba y Mungu ajuae n Mungu hata yesu aliwaambia mitume kwamba sio kazi yenu kujua nyakati au majira aliyoyaeka baba katika mamlaka yake mwenyew
Mzee Mungu amekufunulia kuhusu kifo chako. Hayomahesabu kuhusu unyakuo wa kanisa kutokana na maono ya Daniel wengi walishindwa. Acha kujichanganya
😊
Crowdfundr...iyo kampeni ya Jenga makanisa ingia website ya Crowdfundr ni wanasaidia watu mbalimbali Kwa kazi ya Mungu ktk Yesu Kristo.
Yesu amesema hata Yeye hajui, sa vp mwanadamu
Jmn
Macho yake tu yanaupako wa kutosha ubarikiwe sana babu
Unabii wawakati hatuna chamuhimu nikuwa tayari
I sense the love of Christ in this old man, Askofu Alexander Mgunda. However, I don't agree with him giving us the exact year of the 2nd coming of our Lord Jesus Christ to rapture the church coz the Bible says in Mathew 24:36 “But of that day and hour no one knows, not even the angels of heaven, but My Father only".
Huyo Mzee Alexander Mgunda ameeleza kwa kadri ya uwezo wake wa kupanga matukio na hesabu alizo fanya. Ni research yake. Hivyo mtu asimhukumu. Je, wewe hata hayo aliyodadavua unayaweza?! Bado akili yake iko vizuri. Siku Wala saa, Wala mwaka havipo kwenye kalenda ZETU, ila kwa Mungu. Tuamini tu kwamba kanisa litanyakuliwa na mwisho upo. Hata kanisa likinyakuliwa mwisho wa Dunia UTAKUWA bado. Asomaye na afahamu.
Hakuna mtu ajuaye siku ya unyakuo ni lini. Je, mnakumbuka kuwa papa hapa promover tv kuna mtu ambaye alisema kuwa bado kuna zaidi ya miaka 600 ndo unyakuo ufanyike? Na nimewahi kusoma kwa ushuhuda mwingine ati alionyeshwa unyakuo ni 2030. Na wote wanadai walionyeshwa na Mungu. Yesu alisema hakuna mtu anajua siku na atarudi kama mwizi wakati watu hawatarajii.
Tujenge vipi yesu hakujenga wala hajapita hata karibu yake
Unauhakika hakujenga?
Lkn hata Kama hajajenga katuagiza kujenga
Tunachezeana akili sana watu wa Mungu, Mungu sio huyo
Tunachotakiwa kushika ni kujiweka tayari muda wote Tatizo binadamu wameigeuza dunia kuwa ni mahari pao pa kuishi wamesahau hapa tunapita tuko safarini kuelekea Kwenye makao ya milele.
Hiyo siku haijulikani
Dalili zinaonyesha lakini mwisho aujuaye ni MUNGU aliye umba mbingu na nchi
Amen
Kushtua roho za watu ziamke Sawa ila mwaka wengi wamekosea Miller 1884, Family Redio 2000,Koresh marekani, huyu wakenya nae. Hakuna ajuaye siku ipi ila tumepewa kuzione dalili.
lakini ukisoma vizur biblia, inasema hata malaika wenyewe hawaijui siku ile ya mwisho wa Dunia jamani
MAANDIKO YANASEMA HATUJUI SKU WALA SAA ILA ZILITAJWA TU DALILI
Kwa habari ya siku ile na saa ile hakuna aijuaye hata Malaika walio mbinguni, wala Mwana ila Baba peke yake, mathayo 24:36
Uwongo huu! Hakuna ajuaye siku Wala saa.
Kabla Yesu hajanyakua kanisa, anakuja Musa na eliya ... Je hao Musa na elia wako wapi. Mbona hatuwaoni.. au eliasi wa mwanza ndio eliya.?
Hii Yako nayo unangoja musa na eliya utangoja kabisa,ju mandiko inasema kizazi hiki kinataka ishara na miujiza, ila ishara Ile wataona Niya Yona peke kama mnangoja ya eliya we sorry
@@josykogei7647 sasa nani atamezwa na samaki safari hii😂
@@Nchiyangu23 si kumezwa na samaki Yona atapeleka injili ya toba,ju tuko na mayona wengi. Wametumwa na mungu ila wamesema mdaa Bado Sasa nilazima mungu awapige kiboko Ile Iko karibu na mauti ndio warudi kupeleka injili wakitetemeka
@@josykogei7647
Najua Yesu alisema kizazi cha nyoka ndio akiamini, mpaka kione ishala lakini wana wa Mungu wanaishi kwa iman hawaishi kwa ishara
@@Nchiyangu23 yes there you are
Mwisho wa dunia 2026 unafunuliwa hivyo mfumo wa utabadilika siyo, kwamba mtu akifa hiyo si ndiyo mwisho wa dunia kalenda yake. Tusaidiwe na watumishi WENGINE wafafanue kitabu cha Daniel
Jamani mnatuchosha sie tunasimama na neno tuu , maana BWANA ALISEMA AKUNA MTU ANAEJUA SIKU WALA SAA, kunawatu walisema 2012 hiyo nayo ikapitaaa, japo yote yanawezekana Ila SIMAMIENI NENO
Ni kweli ,wanatuchanganya sana,jambo la msingi ni kujiweka tayari tu.
A atusaidie kujiandaaa
mzee some upya bibilia naona inaingeuza anaye juwa ni baba wambinguni tu
hiyo Documents tunaomba U scan then Uitach pls
Jacktan msafiri Nipe no ya simu yako
Ata kwa nuhu walipinga wanadamu ni wale wale tu
Mathayo 7 mstari wa 15 jihadharini na manabii wa uongo asema Bwana.
Sisi ni wanadamu hatujuwi mambo ya Mungu hata kidogo Bibiliya inasema katika kitabu cha Marko : 13:32 Hakuna ajuaye siku hiyo itukuwa lini au saa ngapi hata malaika mbinguni hawajui wala mimi mwana sijui isipukuwa Mungu Baba peke yake.
Sasa Bibiliya inasema hata malaika mbinguni hawajui sasa sisi tuliopo hapa duniani tunashinda akili malaika walioko mbinguni? Hata Yesu anasema hajui sasa sisi ni nani kujuwa wakati hiyo? Yesu atakuja kama mwizi hakuna ajuwaye siku wala saa, Jacktan Mungu akusayidiye.
Unafikiri kuna athari gani? kabla hatujajadili faida
@@derickrangimoto1709 unamaanisha nini ndugu?
Umesema vyema halafu pia yesu atakuja baada ya dhiki kuu
Lakin mpaka leo hatuoni dhiki kuu labda itanza mwaka 2025
Ila kwa upande wa kuja Kama mwivi sio sahihi
Yesu atakuja Kama mwivi kwa wale ambao hawasali
Ila kwa wanaosali hatakuja Kama mwivi maana wamepewa daridri za kuja kwake
Zipo Dariri za kawaida zenyewe tumeshaziona tiar
Ila ipo Dariri ya mwisho kuondolewa sadaka ya dhabihu yaaani kuzuiliwa kwa kumwabudu MUNGU dunia nzima
Na badala yake kusimamishwa kwa chukizo la uharibifu yaani kumwabudu mpinga Kristi
Yesu atajaye mambo ya baadaye ambayo hayajaja bado, atashindwa vipi kujua siku ya kurudi kwake? Tunatakiwa kujua muktadha wa hayo maneno ya Yasu kwamba “hata Mwana hajui ila Baba?
@@barnabazawadi9433 natamani hili swala lingejadiliwa ili ieleweke kabisa kwamba Yesu alimaanisha nini kusema "Hata Mwana hajui ila Baba"
Hakuna ajuae