UNYAKUO UTATOKEA MWAKA 2026,NI HESABU ZA KIBIBLIA NA MUNGU AMENITHIBITISHIA|Ask.Alexander Mgunda

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
    M-pesa Lipa Namba.5634017
    AirtelMoney Lipa No.3878783
    Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
    Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
    PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
    1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    #ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV

Комментарии • 208

  • @belovedflorence4109
    @belovedflorence4109 Год назад +5

    Huyu mzee anamjua Mungu. Anasisitiza sana kwamba Mungu yupo ndani ya mtu na siyo dhehebu wala dini. Mungu aliupenda ulimwengu hata akamtoa mwanae wa pekee ili yeyote aaminiye asipotee...

  • @godfreymollec8206
    @godfreymollec8206 Год назад +7

    Hatupingi neno au maono ya huyu mzee kwa sababu neno la mungu linakuja kwa njia nyingi hata wakati nuhu aliambiwa tengeneza safina watu wakapuuza mi nalosema tukae katika kumpendeza bwana tukae na utakatifu kila wakati endapo siku inafika upatikane ukiwa ktk mikono salama ya mungu

  • @MamaLio475
    @MamaLio475 Год назад +8

    I see God in Christ Jesus in this old man.... Glory to Jesus

  • @ellenkalinga6860
    @ellenkalinga6860 Год назад +6

    Mzee mwenyewe ni ushuhuda tosha. 82 years hatumii miwani ananikumbusha habari za Musa macho yake yalikuwa angavu hata uzee wake na kifo. Kumtegemea MUNGU kuna faida.

  • @tabithajeremiah4589
    @tabithajeremiah4589 Год назад +3

    Inavyoonekana watu wengi hatutaki kurudi nyumbani bado tunatamani kuwepo kuwepo Duniani,nimesoma comment nyingi nikawa ninatabasamu,kwani tatizo liko wapi Yesu akirudi 2026? Unadhani Mungu atasubiri kila mmoja akamilishe mipango yake ya maisha ndio mwisho ufike?Yeye haangalii matakwa yetu,anachopanga kukifanya anakifanya kwa mapenzi yake.KUWA TAYARI KURUDI NYUMBANI KWETU.

  • @zahakiosward1575
    @zahakiosward1575 Год назад +5

    Hatakama haitakuwa hivyo ila heli yako mtumishi wa BWANA naona maandalizi yako kuusu kwenda na YESU ni makubwa sana nautamani moyo wako

  • @EnockKibona-xe5hp
    @EnockKibona-xe5hp Год назад +7

    Ubarikiwe sana mzee mgunda kanisa niwewe mwenyewe ukinyakuliwa wewe vijana bado wataendelea kuchapa injili DUNIANI.

    • @TrezaPeris
      @TrezaPeris Год назад

      😂

    • @reginaruta3249
      @reginaruta3249 Год назад +1

      Mungu akubari baba yetu tunakushukuru kwa kutufikishia ujumbe. Mwenye masikio na asikie

    • @MaryMuigai-zj8fz
      @MaryMuigai-zj8fz Год назад +1

      Mtumishi wa Mungu Mungu akubariki sana happy umefika sio nguvu zalo Bali ni neno lake Mola, Uishi Hadi Bwana wetu Yesu kurundi kwake Amena na Amena umbarikiwe Amena.

    • @MussaMabula-qg6rm
      @MussaMabula-qg6rm Год назад

      Mahesabu ya miaka huwa tunatumia kalenda ipi? Maana waethiopia wana kale nda yao waislam wanayo waislael kalenda yao je sis tunatumia ipi je tunajuaje kalenda ipi iliyosahihi Zaidi kwa Mungu kuitumia? Maana miaka ya 20000 tuliambiwa nimwisho na haujatokea. mwisho yetu hi

  • @dadamuebrania1539
    @dadamuebrania1539 8 месяцев назад

    Mungu wangu unirehemu mimi. Nimepokea kitu kikubwa hapa na sikuwahi kufikiria. Mungu akujaze wingi wa siku Mzee wangu. Asante promover

  • @MAONYOTVTANZANIA
    @MAONYOTVTANZANIA Год назад +13

    Pingeni tu mwewezavyo Neno moja mfahamu Yesu anakuja upesi hakuna ajuaye siku Wala saa jiandae tu ,

  • @annabyekwaso-wt7oi
    @annabyekwaso-wt7oi Год назад +22

    Mzee asante kwa kalenda.Lakini siku ya mwisho hakuna ajuaye hata mwana wa adamu hajui.Tumepewa kuzitambua nyakati na dalili.Mhimu tuishi maisha ya kujitkasa.umenikumbusga mzee Kulola kila mwaka alipokuwa akisimama furahisha alikuwa akituaga akisema mwakani ni siku za mwisho,Ila tuliendelea kumwona mpk ameondoka mwaka2013 aliacha bila mwisho wa dunia kufika.Tuushi kwa kuzijua dalili za siku ya mwisho japo mwaka na siku hatujui.

    • @EliasKisuma-kg7qf
      @EliasKisuma-kg7qf Год назад +1

      Yuko Roho mtakatifu atakaye tujulisha yote

    • @irenejames110
      @irenejames110 Год назад +2

      Unyakuo umefika ndugu

    • @dativajoachimwai1194
      @dativajoachimwai1194 Год назад +4

      hajasema siku wala saa. amesema mwaka. so nafikiri siku na saa hatutajua ila wakati tutaufahamu

    • @deogratiasmnubi8783
      @deogratiasmnubi8783 Год назад +4

      La muhimu zaidi hakuna ajuaye siku wala saa ila tukae Kwa KUKESHA

    • @petermaziku5554
      @petermaziku5554 Год назад +3

      Kwanini unasema hata mwana wa adamu hafahamu,,,Yesu kwa Sasa Yuko mbinguni sure anajuaa

  • @tamarali8325
    @tamarali8325 Год назад +2

    Amen Utukufu kwa Yesu. Barikiwa baba. Promover TV be Blessed

  • @OwenMgoba
    @OwenMgoba Год назад +7

    MUNGU ambariki huyo mzee vijana wezangu tumgeukie mungu wetu

  • @beatricenangale5439
    @beatricenangale5439 6 месяцев назад +1

    Hongera baba yaani nimejifunza kwako kuwa biblia iko akilini na moyoni kwelikweli. Mhh. Kwakweli tunapaswa kuyasikia na kuyafanyia kazi. Mungu tusaidie

  • @issachege5606
    @issachege5606 Год назад +10

    Bro and sister 😢naomba tu mpewe kibali ya maono ndio mjue kuna life after death mi siwezi pinga lolote haya nayajua yote nkweli ila watu watapinga tuu😢Skuzote mungu aitwe mungu 2 nimemuona yesu Ana kwa Ana yupo na anaishi milele mungu tufungue machoo sote tusimezwe na jehanam😢

    • @mercykasyoka4007
      @mercykasyoka4007 Год назад

      Umemwona yesu wapi...?

    • @sarahkeivaly3351
      @sarahkeivaly3351 Год назад +1

      tunashukuru kwa comment yako hiyo lkn please jina la Mungu aliye hai na Yesu Kristo Mwokozi wa ulimwengu wote ni marufuku kuliandika kidharau-dharau, anza na herufi kubwa, kuwa na heshima basi

    • @issachege5606
      @issachege5606 Год назад

      Siwezi kueleza ata nkijaribu uwezi elewa naomba tu upwards na ujaliwe maono ndio uwelewe juu ata nkiharibu kukueleza utampinga 2 bt ivo ndio tulivo wanadamu naelewa vile nuhuu alipingwa na wanadamu bt what followed 😑

    • @pastormalitiushuhuda9965
      @pastormalitiushuhuda9965 Год назад

      Tunaishi kwa maono au kwa Neno la Mungu, acha kuharibu neno la Mungu mna mzingizia Roho Mtakatifu, kasema 2026 na hesabu zenu Zaki mjinga Yesu alisha Kuja, 1Yoh 5:20 kasome hiyo uelewe BIBILIA ndiyo Ufunuo wa Mungu pekee akuna Ufunuo mpya tena ishi Neno la Mungu, kila mtu nilipo kuwa naomba Yesu akasema nami, ivi wewe unajuwa, Yesu kule nyikani alizughumza nani wewe mpende Yesu Kristo ndani yake mna mapenzi ya Baba Yesu alisha tupa Ufunuo wote sasa unakuja na Ufunuo mpya wawapi wewe mtu wa upande gani wewe, nawengine walitiwa upofu, mna sapoti upotovu, hii ndiyo kazi mbaya mtume Paulo alilia kuhusu manabii wa uongo, nikupotosha ukweli wakati wote, tambua Mungu ni Roho, na shetani ni roho ila ukisikia kila kitu kwa maono nabila kukifanyia kazi wengi mtapotea, nasema tena Kuna watu mtapotea nakuibiwa Sana msipo kuwa makini, Kibwetele alisema hivyo, shakahola ivi uwa natafakari mnapo comment

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 Год назад +2

    Alexander Isaih Mgunda. Natamani kumsikiliza mtumishi huyu mtu mzima. 1973 Moses Kulola akiwa ARUSHA alitumika NAYE miaka 50 kunjilisha! BARIKIWA BABA.

  • @scholasticakariuki6775
    @scholasticakariuki6775 Год назад +8

    Nice INTERVIEW very composed. Lord bless this man of Jesus. Message imefika

  • @helenbahati8038
    @helenbahati8038 Год назад +1

    Amen Amen barikiwa sana mtumishi wa Mungu kwa ufunuo huu Kwa kweli kitabu cha UFUNUO kinafunuo yote kwa wele wanaosoma kitabu hiki, wenye kupinga wacha waendelee kupinga, jana la BWANA litukuzwe milele Amen Amen

  • @GetudaRashidy
    @GetudaRashidy Год назад +1

    Yesu atusaidie Sana tuishi maisha matakatifu kwa kujiweka tyr haijalishi ni lini atarudi kikubwa ni kumtii Mungu2 hatujui siku Wala saa barikiwa Sana mzee mungu akutunze umalize vyema

  • @stephanomakoye6936
    @stephanomakoye6936 Год назад +16

    Kwa kawaida mbinguni kuna namba 7 hakuna namba 8,,dunia ilisimama ndani ya siku 6 na siku ya 7 alistarehe, siku 1 ni sawa na siku 1000 kwa MUNGU,,kizazi cha Adam kiliishi miaka 2000,, baadae kikafutwa kwa maji kikaja kizazi cha nuhu nacho kikaishi miaka 2000 jumla miaka 4000 amabazo sawa na siku 4,,kikaja kizazi cha neema(YESU) ,,naye YESU alisema kizazi hiki hakitapita yote yatimie ,,tumeishi miaka 2000 jumla miaka 6000 sawa na siku 6,,siku ya 7 ni miaka 1000 ambayo tutatawala na kristo,, YESU aliishi miaka 33 na nusu,,ukitoka hiyo na miaka 7 ya mpinga kristo utaona siku zilizo baki kukamilisha siku SITA,

    • @elleng5227
      @elleng5227 Год назад +1

      Weeeh kwa kifupi muda umeisha, kama una make sense hviii @stephenomakoye

    • @Reginajohnson19884
      @Reginajohnson19884 Год назад +3

      Anajichanganya Ila promova please Ebu jitaidini kupata kibari cha roho mtakatifu Mtume ukweli maana kunawengine watapotea na manabii wa uongo

    • @serahmatiru3741
      @serahmatiru3741 Год назад +1

      Huwo ni ukweli kabisa!! Asante sana kwa ufafanuzi huwo !! Hesabu ya Mungu sio Kama ya mwanadamu!! Kwa mfano anaposema , one can chase 2000 but two can chase 10,000 ! Deuteronomy 32 : 30 .

    • @gloriousfrancis8201
      @gloriousfrancis8201 Год назад +2

      kweli kabisa ndugu yangu lakini ujuwe siku ya saba tumeshaianza ambayo ni siku ya tatu Yesu alisema atalivunja hekalu na kulisimsmisha kwa siku3 na kweli ufslme wa Mungu utasimama siku hii ya tatu amvayo tumeanza mwska wa elfu3 Asante pia kwa mafundisho ysko

    • @Reginajohnson19884
      @Reginajohnson19884 Год назад +1

      @@gloriousfrancis8201 alimanisha kifo chake

  • @jaminusisanga607
    @jaminusisanga607 Год назад +5

    Jamani Jamani mzee nakuomba umalizie vizuri safari yako.

  • @lisawanjiru4773
    @lisawanjiru4773 Год назад +9

    Iknow he might look like he is out of his mind but woe onto you if it happens prepare be ready always

    • @josykogei7647
      @josykogei7647 Год назад +2

      I saw someone laughing,but it might seem fanny to other but we put trust in the word of God,mungu anasema tusipuzie unabii wake Mimi nakubali pia nikikesha kwa toba

    • @ufunuoministry
      @ufunuoministry Год назад

      ​@@josykogei7647😂😂😂 🤣🤣🤣!!!!!!!!!

    • @ellyitete938
      @ellyitete938 Год назад

      Ishu NI kujiweka tyr ....so kupuuzia

    • @SiphirahWaithira
      @SiphirahWaithira Год назад

      Very true 🙏🙏🙏

    • @angiemkusa3845
      @angiemkusa3845 11 месяцев назад

      ​@@josykogei7647😅😅😅😅😅😅

  • @SiphirahWaithira
    @SiphirahWaithira Год назад +4

    Everyone be ready, prepare the ways of the Lord, for no one knows the day or the time for the second coming of Jesus Christ 🙏🙏 he may look as if he's out of his minds,but God is on the way to take us home🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @doricemrema2177
    @doricemrema2177 Год назад +1

    Amen Amen, NIKWELI YESU KRISTO ANARUDI, ila hakuna ajuaye siku Wala saa, Bali tujiandae na kujitakasa Kila wakati................( Luka 17:20........ Na alipoulizwa na mafarisayo, UFALME WA MUNGU utakuja lini?? Aliwajibu akawaambia, UFALME WA MUNGU HAUJI KWA KUUCHUNGUZA,,Wala hawatasema, Tazama, upo huku au huku au kule, Kwa maana Tazama,UFALME WA MUNGU umo ndani yenu. ( amen)

  • @HelbethMlelwa
    @HelbethMlelwa Год назад +1

    Mwenye dhambi aache lakini suala la 2026, sisi tupo hapa kama kweli atatokea.

  • @AgnesVenance-z9u
    @AgnesVenance-z9u Год назад +3

    Mzeee Mungu akubariki sana,

  • @rebekamwimi1394
    @rebekamwimi1394 Год назад +5

    Wataalamu wamejiandaa mwaka huu ianze new world order. 2023 fuatilia usipinge kila kitu

  • @simonnsengiyumva1000
    @simonnsengiyumva1000 Год назад +3

    Nandio kwama Yesu akisema eti kwanyinyi mko hapa panawenye hawataona kifo kabla sijarudi,basi nyakati hizo saa ya Mungu imesimama tukawa kwenye mda wa Neema!!!

    • @martinehangi8174
      @martinehangi8174 Год назад +1

      Nashukuru sana kwa ujumbe huu hâta Kama Biblia inasema kwamba Siku n'a saa haijulikani .mimi ninaamini kwa muda imeisha tuée tu tayari kwa dalili zote kama sindanganyike zimetimia

  • @annachachage4931
    @annachachage4931 Год назад

    Ameeni!! Nimemuelewa mzee, MUNGU aendelee kumtunza, kweli MUNGU hana dhehebu,yupo na anaishi popote anapatikana kwa yeyote anaekuwa tayari kumkaribisha nae atakua baba kwake,tuwe ktk kumsubiri BWANA YESU KRISTO akirudi atukute tayari tumejiandaa.

  • @sostenemunihire60
    @sostenemunihire60 Год назад +2

    Bwana wetu yesu christo atu saidiye sana tuweze ku fika sikuhiyo salama

  • @apostlezizi
    @apostlezizi Год назад

    Amen mtumishi,ni sahihi kabisa kua MUNGU hakai katika dhehebu bali katika neno,tusome neno kwa bidii ndio njia pekee ya kuwatambua wanaojiita watumishi wakati ni mbwa mwitu

  • @josykogei7647
    @josykogei7647 Год назад +2

    Mungu tusaidie tusifumbwe macho na ibilisi tuendele kupiga watu mkeshe kwa toba na maombi mahana mungu anasema hamjui siku wala saa,unaeza ngoja 2026 alafu ukose kufika jamani wee ghaii lord have mercy

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
    @RubenMtuwaMungu-bz8ee Год назад +2

    Mbaya zaidi wasiostahili hawatajua unyakuo utakapotokea, maana watakaoisikia sauti ya parapanda ni wale tu watakaonyakuliwa.

  • @juliuskalama2746
    @juliuskalama2746 Год назад +5

    Amefunuliwa na Mungu, hajafunuliwa na Mungu umuhimu ni kumtii Mungu tu na kufuata sheria zake maana ni kweli mwisho wa dunia waja na jehanam ipo so tukaze bidii tujipushe na moto huo wamilele

  • @ammykissbeats3296
    @ammykissbeats3296 Год назад +2

    Usiseme Etty watu Fulani walisema kama huyu na haikutokea wewe jiandae kuwa tayari taa yako iweke mafuta

  • @pablovicpabloski7929
    @pablovicpabloski7929 Год назад +1

    JESUS IS COMING SOON LISTENING FROM KENYA

  • @nabiiwaisharaonlinetv9863
    @nabiiwaisharaonlinetv9863 Год назад +2

    NI UONGO ULIOTUKUKA NI MARA KARIBU TANO WALITABIRI STAILI HII NI UONGO HATA HESABU HAZIPO ZA UJIO HAPO MTANIAMINI MBELENI UONGO MTUPU HUO

  • @marthaumazi2197
    @marthaumazi2197 Год назад +1

    Amen 🙏 Mungu akubariki sana mzee wangu.

  • @Annsikoboy-ut8bs
    @Annsikoboy-ut8bs Год назад +1

    Mie hufurahia mambo ya MUNGU kupitia kwa jina la Yesu Kristo ila kuhusu tarehe na siku.... Tutoke hapo.

  • @SostenesMallya
    @SostenesMallya Год назад +1

    kweli jamani MWININI MUNGU NA AHADI ALIZO TUPA. ALIENDA KUTU ANDALIA MAKAO NUUKWELI KABISA

  • @selestinimassawe3601
    @selestinimassawe3601 Год назад +1

    Yesu azidi kukutumia mtumishi wa Mungu

  • @titusmumo54
    @titusmumo54 Год назад +1

    Kweli kabisa mafundisho ya bibilia c kwenda bible study n Mungu hufundisha , ujumbe wa kweli kabisa kwa wale wanaelewa na bibilia na wanaoisoma vizuri na kwa umakini

  • @BM_Smart2-6
    @BM_Smart2-6 6 месяцев назад +1

    Tutubu na kuacha ubishi hayo asemayo mtumishi yanaweza kutokea. Hajataja siku wala saa anasema nyakati

  • @SeifumpeliMpeli
    @SeifumpeliMpeli Год назад

    Huyu Mzee akifa Leo anakwenda motoni mungu amsamehe shetani amemhadaa

  • @kennethogonda2947
    @kennethogonda2947 Год назад

    Anasema Mungu habagui dini yo yote ila biblia iko wazi kuwa wale ambao hawaamini kwa Yesu kama mwana wa Mungu aliyetufia msalabani tayari wamelaaniwa kumaanisha wasipookoka na kutubu hawawezi kuingia mbinguni. Na hapo ndo kuna waislamu, wahindu na kadhalika.

  • @jesusislord9190
    @jesusislord9190 Год назад

    Barikiwa mzee wa miaka mingi umeshiba neno na siku ...barikiwa sana

  • @dorsandollah3384
    @dorsandollah3384 Год назад +1

    Mungu anisaidie tu

  • @andersonchongoma1723
    @andersonchongoma1723 Год назад +1

    Nakataa unabii huu KWA sababu kama ni kweli ,unabii huu utapinga a na mafundosho yaYesu Kristo aliyosema kuwa siku ile HAKUNA ajuaye ila BABA peke yake ... Mungu gani amekuthibitishia ?!!?!??😢😢

  • @PAULINALAIZER-b6e
    @PAULINALAIZER-b6e Год назад

    Mungu akubariki kwa kufikisha ujumbe wa bwana

  • @nehemiaayo9527
    @nehemiaayo9527 Год назад +1

    Kweli apa kunasomo makini sana

  • @drmaryjohnmponda3484
    @drmaryjohnmponda3484 Год назад +2

    Yesu tunaomba rehema.Amen

  • @pendaelkaaya1930
    @pendaelkaaya1930 Год назад

    Nyie msioamini kwan mkiamini mnapungukiwa nn??kwanza nashukuru Sana Mungu kwa ajili ya Alexander!!hizo hesabu za Biblia siyo mchezo..kikubwa tujiandae dalili zote ziko waziwazi,God help us🙏 na pia kumbe ckujua kumbe chukizo la uharibifu lilishatokea yan nguruwe kuchinjwa kwenye hekalu!!! Kiukwel hatuna🕐

  • @komandowainjiliyayesu
    @komandowainjiliyayesu Год назад

    Unajuwa wengi awapendi kusoma Bibilia.Hakuna ajuwaye kuja Kwa yesu Mathayo 24:1 naombeni msome fungu hlo sana nilamhim sana

  • @paulinambuba9439
    @paulinambuba9439 Год назад

    Tukae na mngu vizur kisa umeambiw 2026 nd ujio bas ndo uuze vitu yaan inaweza ikapita na maisha yakaendelea kama kawaida

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 Год назад

    Hongera baba kwA kukumbusha watu

  • @sirpleasureb
    @sirpleasureb Год назад

    8:49 / 1:13:09
    PASTOR IBRAHIM,msomali mtafute umuhoji tafadhari

  • @adriannebatakanwa6904
    @adriannebatakanwa6904 Год назад +1

    Usibishe, muulize Mungu Atakujibu. Mungu hawi mbali nasi. Soma Amos 3:7

    • @samludo5435
      @samludo5435 Год назад +2

      Usikubal neno lnasema hakuna ajuae siku wala saa ya mwanawaadam kurud unaeza kuta unyakua ni wik ljaro so maboya wnakua washapotezwa watakao kaa kusubl 2026

    • @حسن-ح7م1ق
      @حسن-ح7م1ق Год назад

      ​@@samludo5435add hzo namba utapata 1 ambapo tafsr n Wakat wa Mungu

  • @nomamatata754
    @nomamatata754 Год назад

    Sijui sana biblia wala sijidai naijua lakini nina jua YESU anakuja kama mwizi....hakuna ajuaye....hata mitume hawakujua..............TUSIDANGANYIKE.

  • @LazimaEmanuel
    @LazimaEmanuel Год назад

    Mzee mwachie mungu hayo yote hata ajaye hajui jitaidi kujitakasa tuu

  • @thelivingwordchannel9027
    @thelivingwordchannel9027 Год назад +1

    Mzee mgunda unazeeka vibaya,unyakuo hata Yesu mwenyewe alisema hajui wewe umejulia wapi!?

    • @fitinamarando
      @fitinamarando Год назад

      Mzee wetu ubarikiwe sana --Dsm

    • @fitinamarando
      @fitinamarando Год назад

      Mtumishi Jactani hongera sana nawapenda. Mungu akubariki sana --Dsm

  • @fatumaminyeko1875
    @fatumaminyeko1875 Год назад

    Yesu ana rudi tuwe masho tuashe jia baya turudi kwa YESU KRISTO

  • @christophermotonyi2547
    @christophermotonyi2547 Год назад

    Wasomali mnakuja sana be careful with false prophets

  • @kizandume3015
    @kizandume3015 Год назад

    Amena mtumishi wa mungu

  • @SeifumpeliMpeli
    @SeifumpeliMpeli Год назад

    Mzee moto unamsubiri atubumapema kabla hajakufa ila akifa tunaomba mwandishi utujulishe

  • @andrewmmassy5204
    @andrewmmassy5204 Год назад

    Imeandikwa kwamba "hatujui siku Wala sana bwana ajapo"
    Tunaona imeongelewa hatutajua siku Ile Wala saa Ile bwana yesu kristo atakaporudi ila biblia haikutaja mwaka.
    Kwaiyo ndani ya mwaka Kuna siku na masaaa.
    Imetupasa tu kuomba pengine tunaweza kupata neema ya kujua mwaka Ili kujiandaa ndani ya mwaka huo Ili siku Ile na saa Ile ndani ya huo mwaka tuweze kunyakuliwa

  • @mathayomwashambwa1238
    @mathayomwashambwa1238 Год назад

    MZEE MDA BADO SANA, TUNADAIWA TU WAKATI HUU KUFUNUA UFALME WA MUNGU DUNIANI KOTE, YAKO MATAIFA MPAKA SASA HAWAJAPATA UHURU WAO ILI UHURU HUO UWAPE FURSA YA KUINGIA KWA UFALME, NA MDA HAKUNA AJUAYE ILA TUKIJUACHO NI UWEPO WA ROHO WA MUNGU KUWA NASI DUNIANI.... UPENDO WA KRISTO UMEJAA DUNIANI,

  • @joyprecious8822
    @joyprecious8822 Год назад

    Sijaelewa kabisa,Ni ufunuo ,Maono au Ni hesabu za mzee wetu Mgunda

  • @UwezoBwitonde-dc3nc
    @UwezoBwitonde-dc3nc 24 дня назад

    Ndio akomulangoni ilahakuna ajuwaye siku nayeye asema atakuja kama mwizi. Maandiko yasema

  • @herielkishimbo9052
    @herielkishimbo9052 Год назад +2

    Huyu baba ameokoka. Tatizo inawezekana alitokea dini ya wasabato. Hakuna ajuaye siku. Wasbato walishaongea hivi kama uyu baba, lakini hayakutokea.

  • @christianmwabukusi8132
    @christianmwabukusi8132 Год назад

    Maandiko yanasema hakuna anayeifahamu ile siku! Hata Mwana haijui. Ninachofahamu ni kuwa mwaka 2026 kutakuwa na matukio mabaya Tanzania 😊

  • @حسن-ح7م1ق
    @حسن-ح7م1ق Год назад

    Kama unafahamu elimu y namba kwenye ulimwengu wa roho uki add napata 1 ambapo ni namba y Mungu ajuae n Mungu hata yesu aliwaambia mitume kwamba sio kazi yenu kujua nyakati au majira aliyoyaeka baba katika mamlaka yake mwenyew

  • @nsengiyumvaoseki3004
    @nsengiyumvaoseki3004 Год назад

    Mzee Mungu amekufunulia kuhusu kifo chako. Hayomahesabu kuhusu unyakuo wa kanisa kutokana na maono ya Daniel wengi walishindwa. Acha kujichanganya

  • @MamaLio475
    @MamaLio475 Год назад

    Crowdfundr...iyo kampeni ya Jenga makanisa ingia website ya Crowdfundr ni wanasaidia watu mbalimbali Kwa kazi ya Mungu ktk Yesu Kristo.

  • @easternyerembe7271
    @easternyerembe7271 Год назад

    Yesu amesema hata Yeye hajui, sa vp mwanadamu

  • @StellaPaul-z9y
    @StellaPaul-z9y 9 месяцев назад +1

    Jmn

  • @floramongi1410
    @floramongi1410 Год назад

    Macho yake tu yanaupako wa kutosha ubarikiwe sana babu

  • @FaithKiongo
    @FaithKiongo Год назад +1

    Unabii wawakati hatuna chamuhimu nikuwa tayari

  • @mbondok5828
    @mbondok5828 Год назад +1

    I sense the love of Christ in this old man, Askofu Alexander Mgunda. However, I don't agree with him giving us the exact year of the 2nd coming of our Lord Jesus Christ to rapture the church coz the Bible says in Mathew 24:36 “But of that day and hour no one knows, not even the angels of heaven, but My Father only".

    • @jamesonkibangara8204
      @jamesonkibangara8204 Год назад

      Huyo Mzee Alexander Mgunda ameeleza kwa kadri ya uwezo wake wa kupanga matukio na hesabu alizo fanya. Ni research yake. Hivyo mtu asimhukumu. Je, wewe hata hayo aliyodadavua unayaweza?! Bado akili yake iko vizuri. Siku Wala saa, Wala mwaka havipo kwenye kalenda ZETU, ila kwa Mungu. Tuamini tu kwamba kanisa litanyakuliwa na mwisho upo. Hata kanisa likinyakuliwa mwisho wa Dunia UTAKUWA bado. Asomaye na afahamu.

  • @kennethogonda2947
    @kennethogonda2947 Год назад

    Hakuna mtu ajuaye siku ya unyakuo ni lini. Je, mnakumbuka kuwa papa hapa promover tv kuna mtu ambaye alisema kuwa bado kuna zaidi ya miaka 600 ndo unyakuo ufanyike? Na nimewahi kusoma kwa ushuhuda mwingine ati alionyeshwa unyakuo ni 2030. Na wote wanadai walionyeshwa na Mungu. Yesu alisema hakuna mtu anajua siku na atarudi kama mwizi wakati watu hawatarajii.

  • @hamzayusuf1894
    @hamzayusuf1894 Год назад +1

    Tujenge vipi yesu hakujenga wala hajapita hata karibu yake

    • @anselmoonolius
      @anselmoonolius Год назад

      Unauhakika hakujenga?
      Lkn hata Kama hajajenga katuagiza kujenga

  • @HelbethMlelwa
    @HelbethMlelwa Год назад

    Tunachezeana akili sana watu wa Mungu, Mungu sio huyo

  • @DianaRutaserwa-fh7wk
    @DianaRutaserwa-fh7wk Год назад

    Tunachotakiwa kushika ni kujiweka tayari muda wote Tatizo binadamu wameigeuza dunia kuwa ni mahari pao pa kuishi wamesahau hapa tunapita tuko safarini kuelekea Kwenye makao ya milele.

  • @jonasjoe3623
    @jonasjoe3623 Год назад

    Hiyo siku haijulikani

  • @juliuskitaluka1206
    @juliuskitaluka1206 Год назад

    Dalili zinaonyesha lakini mwisho aujuaye ni MUNGU aliye umba mbingu na nchi

  • @josephmutemi7494
    @josephmutemi7494 Год назад

    Amen

  • @santennko1195
    @santennko1195 Год назад

    Kushtua roho za watu ziamke Sawa ila mwaka wengi wamekosea Miller 1884, Family Redio 2000,Koresh marekani, huyu wakenya nae. Hakuna ajuaye siku ipi ila tumepewa kuzione dalili.

  • @shaddybmc8342
    @shaddybmc8342 Год назад +1

    lakini ukisoma vizur biblia, inasema hata malaika wenyewe hawaijui siku ile ya mwisho wa Dunia jamani

  • @magdalenapeter6106
    @magdalenapeter6106 Год назад +1

    MAANDIKO YANASEMA HATUJUI SKU WALA SAA ILA ZILITAJWA TU DALILI

  • @daudaloyce-km4id
    @daudaloyce-km4id Год назад

    Kwa habari ya siku ile na saa ile hakuna aijuaye hata Malaika walio mbinguni, wala Mwana ila Baba peke yake, mathayo 24:36

  • @johnmuemawambua6019
    @johnmuemawambua6019 Год назад

    Uwongo huu! Hakuna ajuaye siku Wala saa.

  • @Nchiyangu23
    @Nchiyangu23 Год назад +1

    Kabla Yesu hajanyakua kanisa, anakuja Musa na eliya ... Je hao Musa na elia wako wapi. Mbona hatuwaoni.. au eliasi wa mwanza ndio eliya.?

    • @josykogei7647
      @josykogei7647 Год назад

      Hii Yako nayo unangoja musa na eliya utangoja kabisa,ju mandiko inasema kizazi hiki kinataka ishara na miujiza, ila ishara Ile wataona Niya Yona peke kama mnangoja ya eliya we sorry

    • @Nchiyangu23
      @Nchiyangu23 Год назад

      @@josykogei7647 sasa nani atamezwa na samaki safari hii😂

    • @josykogei7647
      @josykogei7647 Год назад +1

      @@Nchiyangu23 si kumezwa na samaki Yona atapeleka injili ya toba,ju tuko na mayona wengi. Wametumwa na mungu ila wamesema mdaa Bado Sasa nilazima mungu awapige kiboko Ile Iko karibu na mauti ndio warudi kupeleka injili wakitetemeka

    • @Nchiyangu23
      @Nchiyangu23 Год назад

      @@josykogei7647
      Najua Yesu alisema kizazi cha nyoka ndio akiamini, mpaka kione ishala lakini wana wa Mungu wanaishi kwa iman hawaishi kwa ishara

    • @floramongi1410
      @floramongi1410 Год назад

      @@Nchiyangu23 yes there you are

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 Год назад

    Mwisho wa dunia 2026 unafunuliwa hivyo mfumo wa utabadilika siyo, kwamba mtu akifa hiyo si ndiyo mwisho wa dunia kalenda yake. Tusaidiwe na watumishi WENGINE wafafanue kitabu cha Daniel

  • @Reginajohnson19884
    @Reginajohnson19884 Год назад

    Jamani mnatuchosha sie tunasimama na neno tuu , maana BWANA ALISEMA AKUNA MTU ANAEJUA SIKU WALA SAA, kunawatu walisema 2012 hiyo nayo ikapitaaa, japo yote yanawezekana Ila SIMAMIENI NENO

    • @bonifacemwansasu6638
      @bonifacemwansasu6638 Год назад +1

      Ni kweli ,wanatuchanganya sana,jambo la msingi ni kujiweka tayari tu.

  • @Reginajohnson19884
    @Reginajohnson19884 Год назад

    A atusaidie kujiandaaa

  • @perusisosoma898
    @perusisosoma898 Год назад +1

    mzee some upya bibilia naona inaingeuza anaye juwa ni baba wambinguni tu

  • @aulamongi2020
    @aulamongi2020 Год назад

    hiyo Documents tunaomba U scan then Uitach pls

  • @JosephSimatwa-u7q
    @JosephSimatwa-u7q Год назад

    Jacktan msafiri Nipe no ya simu yako

  • @josykogei7647
    @josykogei7647 Год назад

    Ata kwa nuhu walipinga wanadamu ni wale wale tu

  • @christinacharles6852
    @christinacharles6852 Год назад

    Mathayo 7 mstari wa 15 jihadharini na manabii wa uongo asema Bwana.

  • @StevenMirindi
    @StevenMirindi Год назад +1

    Sisi ni wanadamu hatujuwi mambo ya Mungu hata kidogo Bibiliya inasema katika kitabu cha Marko : 13:32 Hakuna ajuaye siku hiyo itukuwa lini au saa ngapi hata malaika mbinguni hawajui wala mimi mwana sijui isipukuwa Mungu Baba peke yake.
    Sasa Bibiliya inasema hata malaika mbinguni hawajui sasa sisi tuliopo hapa duniani tunashinda akili malaika walioko mbinguni? Hata Yesu anasema hajui sasa sisi ni nani kujuwa wakati hiyo? Yesu atakuja kama mwizi hakuna ajuwaye siku wala saa, Jacktan Mungu akusayidiye.

    • @derickrangimoto1709
      @derickrangimoto1709 Год назад

      Unafikiri kuna athari gani? kabla hatujajadili faida

    • @StevenMirindi
      @StevenMirindi Год назад

      @@derickrangimoto1709 unamaanisha nini ndugu?

    • @costantinemihayo
      @costantinemihayo Год назад

      Umesema vyema halafu pia yesu atakuja baada ya dhiki kuu
      Lakin mpaka leo hatuoni dhiki kuu labda itanza mwaka 2025
      Ila kwa upande wa kuja Kama mwivi sio sahihi
      Yesu atakuja Kama mwivi kwa wale ambao hawasali
      Ila kwa wanaosali hatakuja Kama mwivi maana wamepewa daridri za kuja kwake
      Zipo Dariri za kawaida zenyewe tumeshaziona tiar
      Ila ipo Dariri ya mwisho kuondolewa sadaka ya dhabihu yaaani kuzuiliwa kwa kumwabudu MUNGU dunia nzima
      Na badala yake kusimamishwa kwa chukizo la uharibifu yaani kumwabudu mpinga Kristi

    • @barnabazawadi9433
      @barnabazawadi9433 Год назад

      Yesu atajaye mambo ya baadaye ambayo hayajaja bado, atashindwa vipi kujua siku ya kurudi kwake? Tunatakiwa kujua muktadha wa hayo maneno ya Yasu kwamba “hata Mwana hajui ila Baba?

    • @mwebrannia
      @mwebrannia Год назад

      @@barnabazawadi9433 natamani hili swala lingejadiliwa ili ieleweke kabisa kwamba Yesu alimaanisha nini kusema "Hata Mwana hajui ila Baba"

  • @sophiajonas2090
    @sophiajonas2090 Год назад

    Hakuna ajuae