Комментарии •

  • @mohamedalawy6172
    @mohamedalawy6172 2 месяца назад +1

    Rio de Janairo in Brazil iko ufukweni mwa Bahari , Bukoba iko ufukweni mwa Ziwa . Haziwezi kufanana .

  • @shaidumahamudu
    @shaidumahamudu Год назад +2

    Bukoba sasa kidogo kidogo panaanza kuchangamka❤❤❤ ..Asant kwa kutuonesha nyumbani...Nimepamiss

    • @godlove20
      @godlove20 Год назад

      Panazidi kuchangamka

  • @utopolo543
    @utopolo543 Год назад +5

    Bukoba imebadilika sana aisee...Naona kuna Taa, na uchangamfu mwingi mjini....Stendi tu ndo inawaangusha ila maendeleo ya mitaa, makazi hasa pembezoni, kila mtaa unafikika aisee....May be manispaa imeamua ianze kujenga barabara na huduma nyingine ndo ije imalizie stendi na soko

    • @godlove20
      @godlove20 Год назад

      Nafikiri watakuwa wapo katika mpango wa kujenga stand Mpya maana hii nikweli imeshazidiwa

  • @ausonjustinian4673
    @ausonjustinian4673 Год назад

    Wakola Waitu kasinge muno.

  • @musiradam4445
    @musiradam4445 Год назад +1

    asante sana kaka godlove m.

    • @godlove20
      @godlove20 Год назад

      Shukrani sana kaka. I really appreciate

  • @guyradcliffe
    @guyradcliffe 9 месяцев назад +1

    Inawezekana kununua nyama Ya ng'ombe Huko Bukoba? (kupika nyumbani, sio kwenye mgahawa)

  • @MtashobyaJosia-wt9jq
    @MtashobyaJosia-wt9jq 8 месяцев назад

    mtashobya josia nikiwa kenya isibania kamada umenikumbusha mbari tuko Pamoja mpaka mwisho

    • @godlove20
      @godlove20 8 месяцев назад

      Shukrani sana

  • @ausonjustinian4673
    @ausonjustinian4673 Год назад

    ❤❤