Bukoba imebadilika sana aisee...Naona kuna Taa, na uchangamfu mwingi mjini....Stendi tu ndo inawaangusha ila maendeleo ya mitaa, makazi hasa pembezoni, kila mtaa unafikika aisee....May be manispaa imeamua ianze kujenga barabara na huduma nyingine ndo ije imalizie stendi na soko
Rio de Janairo in Brazil iko ufukweni mwa Bahari , Bukoba iko ufukweni mwa Ziwa . Haziwezi kufanana .
Bukoba sasa kidogo kidogo panaanza kuchangamka❤❤❤ ..Asant kwa kutuonesha nyumbani...Nimepamiss
Panazidi kuchangamka
Bukoba imebadilika sana aisee...Naona kuna Taa, na uchangamfu mwingi mjini....Stendi tu ndo inawaangusha ila maendeleo ya mitaa, makazi hasa pembezoni, kila mtaa unafikika aisee....May be manispaa imeamua ianze kujenga barabara na huduma nyingine ndo ije imalizie stendi na soko
Nafikiri watakuwa wapo katika mpango wa kujenga stand Mpya maana hii nikweli imeshazidiwa
Wakola Waitu kasinge muno.
asante sana kaka godlove m.
Shukrani sana kaka. I really appreciate
Inawezekana kununua nyama Ya ng'ombe Huko Bukoba? (kupika nyumbani, sio kwenye mgahawa)
mtashobya josia nikiwa kenya isibania kamada umenikumbusha mbari tuko Pamoja mpaka mwisho
Shukrani sana
❤❤
Thank you