Alihama zamani kama Triple C alivyoanza kuuza mechi huko alikohamia. Msigwa alizaliwa kipindi cha msiba, hivyo hana jipya isipokuwa kifiliska kidini na kisiasa.
Peter msigwa anajibalaguza ni kwamba kakosa nafasi ndio maana unaona ameamua kuhama' akumbuke watanzania wa leo sio wa miaka 5iliyopita wanajua nakupembua hoja zake
Amewakimbia wajumbe alikuwa hawpendi hao wajumbe akajalibu kupiga chini ikashindikana sasa wakapiga chini ngazi za chini wakapita ngazi za juu akachungulia safu hiyo akaona weee naabika hapa ngoja niunge juuhudi
Msigwa mtu mwenye tamaa ya madalaka pia asipenda kushindana mtu mpekee alie kuwa ikimbeba msigwa na mzee butinini toka atoweke dunian butinini msigwa alikosa kabisa kujitambua kama kiongoz hawezi kujiongoza mbaka aongozwe pia amekimbia madeni alikula pesa za ujenzi ofc ya mkoa iringa huyoo pamoja na mweka hazina wake Rose chumi mchungaji feki kabisa
PITER MUSGWA OGOPA SANA KUFANYA MAAZI UKIWA NA HASILA AU FULAHA ILIYO PITILIZA UTAKUJA JUTIA BAADAYE KUNA KUND LA WATU UMEWAUMIZA UPANDE WA PILI WALIKUA WANA KUPIGANIA IJAPO WW UNAONA NI KAWAID KWA MCHEZO WA SIASA
Mloo wa madalaka huyo amekosa uongozi ktk chama ndio maana kakimbia ameona hawezi kupata kupita kwenye kila za maoni za ubunge kwani viongozi wote walio juu sio timu yake ndio maana kakimbia mm binaf nimefulahi sana
Amakweli mwenyezi Mungu ni hakimu wa haki nakumbuka uyu jamaa alivokuwa akimsema vibaya marehemu maali seifu kwa kumuita mnafiki tena kwa hasira alivokuwa akizungumza kwenye mahojiano ya TV flani nimeisahau eti kwasababu kakubali ukiingia kwenye serekali kuwa pamoja na mwinyi kumbe ilikuwa ni choyo kwa wazanibar yeye binafsi hakufurahia lakini Leo Mungu kahukumu sasaivi kila mtu anamjuwa ni nani mnafiki kati yake na maalim ivo kweli kuna haki na uadilifu kwenye hii serekali ya CCM mpaka mtu kama yeye asema anahitaji kuungana não na wao chadema wameishiwa na hoja ni mwenyezi Mungu anamuhukumia mzee wetu maalim seifu malim alikuwa mkweli na mwenye upendo kwa Zanzibar na watanzania wote pkwa msigwa kutoka chadema kwenda ccm ni uzalili na hata bado utaendelea kudhalilika m/mungu hayuko pamoja na watu wanafi
Njaa ni mbaya sana.
Alihama zamani kama Triple C alivyoanza kuuza mechi huko alikohamia. Msigwa alizaliwa kipindi cha msiba, hivyo hana jipya isipokuwa kifiliska kidini na kisiasa.
Wakati umefika was kuondoa makapi na kubakisha ngano ,ndiposa ngano itatunzwa ghalani.
kama alikuwa mchungaji akurizika na utume je siasa ndio atarizika nayo
KapateNa,nn,msigwa
Njaaaaaaaaaaaasass itawauwa
Mboe jipange achana na Marehemu wako mbele za haki. Mambo ya historia hayasaidii.
Bado lema nae naona Yuko njiani kulejea nyumbani ccm
Miaka 20 ndani ya Chadema Leo ndio amekuwa mnafiki/msaliti?
Peter msigwa anajibalaguza ni kwamba kakosa nafasi ndio maana unaona ameamua kuhama' akumbuke watanzania wa leo sio wa miaka 5iliyopita wanajua nakupembua hoja zake
Msigwa katumiwa democrasia na ni maamuzi sahihi.
Amewakimbia wajumbe alikuwa hawpendi hao wajumbe akajalibu kupiga chini ikashindikana sasa wakapiga chini ngazi za chini wakapita ngazi za juu akachungulia safu hiyo akaona weee naabika hapa ngoja niunge juuhudi
Msigwa mtu mwenye tamaa ya madalaka pia asipenda kushindana mtu mpekee alie kuwa ikimbeba msigwa na mzee butinini toka atoweke dunian butinini msigwa alikosa kabisa kujitambua kama kiongoz hawezi kujiongoza mbaka aongozwe pia amekimbia madeni alikula pesa za ujenzi ofc ya mkoa iringa huyoo pamoja na mweka hazina wake Rose chumi mchungaji feki kabisa
PITER MUSGWA OGOPA SANA KUFANYA MAAZI UKIWA NA HASILA AU FULAHA ILIYO PITILIZA UTAKUJA JUTIA BAADAYE KUNA KUND LA WATU UMEWAUMIZA UPANDE WA PILI WALIKUA WANA KUPIGANIA IJAPO WW UNAONA NI KAWAID KWA MCHEZO WA SIASA
Sasa kwa serikali ya sasa utaiogopa ccm? Mbowe unakiua chama cha Chadema
Mloo wa madalaka huyo amekosa uongozi ktk chama ndio maana kakimbia ameona hawezi kupata kupita kwenye kila za maoni za ubunge kwani viongozi wote walio juu sio timu yake ndio maana kakimbia mm binaf nimefulahi sana
Amakweli mwenyezi Mungu ni hakimu wa haki nakumbuka uyu jamaa alivokuwa akimsema vibaya marehemu maali seifu kwa kumuita mnafiki tena kwa hasira alivokuwa akizungumza kwenye mahojiano ya TV flani nimeisahau eti kwasababu kakubali ukiingia kwenye serekali kuwa pamoja na mwinyi kumbe ilikuwa ni choyo kwa wazanibar yeye binafsi hakufurahia lakini Leo Mungu kahukumu sasaivi kila mtu anamjuwa ni nani mnafiki kati yake na maalim ivo kweli kuna haki na uadilifu kwenye hii serekali ya CCM mpaka mtu kama yeye asema anahitaji kuungana não na wao chadema wameishiwa na hoja ni mwenyezi Mungu anamuhukumia mzee wetu maalim seifu malim alikuwa mkweli na mwenye upendo kwa Zanzibar na watanzania wote pkwa msigwa kutoka chadema kwenda ccm ni uzalili na hata bado utaendelea kudhalilika m/mungu hayuko pamoja na watu wanafi
Msigwa Angepewa uwenyekiti wa mbowe kesho chadema ingewekezwa kama bandari ili apate chake
Hapo ndo mjue Chadema ni chama cha wachaga ukanda wa kaskazini, asiekuwa mchaga pale anachipendekeza tu