Abari ndugu mtangazaji Mimi ni mdau wa video zako. Hiyo nyumba yenye IKO kwenye cover IKO sehemu gani ? Pia mbona haionekani ndani ya vidéo. Tafadhali tuonyeshe kile ambacho ni hakika mana na sisi huku tulipo tuna shawishi wengine.ivyo uwa tuna kutana na maswali Pia. Aksante jibu lako Ni muimu Ila naomba jibu
Mukuwe na urbanise , mu trace ma avenues apana ku jenga mais voiture aiwezi fika kunyumba mutu ana jenga
Mukuwe munaacha fasi kubwa kati kati ya manyumba. Musi jenge Kwa kubanana kama vile Bukavu.
Ville ya baraka inakatwa muzusana ma Avenue zake
Hivi viwanja vinapatikana Kwa bei gani
Bei ya parcelle nikuhanziya $3500 mpaka $10000
Unahulizwa bei ya uwanja ni gapi ?na utaratibu ni hupi
Tuma namba za simu ili watu wakuulize maswali
Bei ghani Sasa ili tujue
ELFU TATU ($3000) MPAKA KWENDA JUHU
Abari ndugu mtangazaji Mimi ni mdau wa video zako.
Hiyo nyumba yenye IKO kwenye cover
IKO sehemu gani ?
Pia mbona haionekani ndani ya vidéo.
Tafadhali tuonyeshe kile ambacho ni hakika mana na sisi huku tulipo tuna shawishi wengine.ivyo uwa tuna kutana na maswali Pia.
Aksante jibu lako Ni muimu
Ila naomba jibu
Iko baraka! mfanya sihasa alikataa tusihoneshe nyumba yake