Shukuran tulikuwa nanyi mwanzo hadi mwisho Wanawake kama naomba tunaweza kuwasababishia matatizo waume zetu tushukur natunachopata tamaa mbayaa🙏🙏🤲❤️❤️❤️
Tupo pamoja hakika mnajua mpo vizuri mashaallah hongereni naomba uwe na shukran unacholetewa na dongo ikisha enyi wanawake waulizeni wanaume zenu chakula ama riski ameipata kwa njia ya halali au
Mmejitahidi sana .. msimu uliopita series ya kwanini ramadhani ilikuwa bora kuliko hii .. ilikuwa na ucheshi na maudhui mazuri kulikoni series hii ya marejeo .. msikae sana basi tukawasahau.
ALHAMDULILLAH KAZI NZURI SANA NA IMEMALIZA . BINAFSI NMEJIFUNZA 1. WATU WAUME TUSIOWE WAKE ILI KURIDHISHA WATU BALI TUNATAKIWA TUKIWEZA KUWAHUDUMIA . 2. TUSIFANYE MAOVU ILI KUWARIDHISHA WQNAWAKE TUKAMKOSEA MOLA WETU .
Tulikwisha wazoea mau, naomba,dongo Mzee wa busara makunde,mussa uso n,k ahsanteni Kwa burudani safi kabisa bila kusahau na lahaja za kipemba ziliupamba mchezo wetu kama wasemavyo wahenga Mcheza kwao hutunzwa ,ila dongo ulitutowa mchezoni tukahisi kama kweliii
Leo wastagfiru pale ukimpelekesha mumeo akuletee ftari kumi kw siku hebu tuchukueni funzo wanawake tusiwaklifishe waume zetu lzma wagufanyie mambo yasio juu y uwezo wao 😢😢😢
Tofauti kabisa na bara kwanza Mwaigiza kiheshma hakuna anae vaa mavazi ya uchi pili mafunzo dini na maisha nyongeza naucheshi juu Yani mmechanganya vyote ,,,,,MAFUNZO,DINI,UCHESHI, NA KIKUBWA NACHOPENDA SIJAONA WANAWAKE WAKIIGIZA MAPAJA WAZI mnafaa kutiwa nguvu Mzee mwinyi mpeku na dongo na kake Mau mpemba hongereni Kwa kuongoza jahazi
Chapter ya naomba imenigundisha mengi wanawake wenzangu tuwe niwenye kutoaheka na kile tunacholekewa na sio kunilazimisha mtu akuletee alichokua hana uwezo nacho😢
Natoa shukrani za dhati kwenu nyote mlio shiriki katika mchezo huu hakika mmetufunza mengi sana asanteni he hongereni sana.
Wallah tena ata mm nmeumia kwa kifo cha Dongo🥹🥹 Naomba kifo cha Dongo umekisanabisha weye😢😢😢
Jomn tumejifuza kitu wanawake tunapenda kuwamrisha warmer zetu watupe vitu vilivo nnje ya uwezo wetu km unamini ili naomb like
Hujambo
Dada vip hali
Kumbe mnajua ila ndo mnataka muyapate te jifuzeni
Afadhali kuyajua hayo hongera sana dada huyo ulonae usimwendeshe sawa ridhika anachokupa wewe upokee tu na useme ahsante kipenzi
Amn
Shukuran tulikuwa nanyi mwanzo hadi mwisho Wanawake kama naomba tunaweza kuwasababishia matatizo waume zetu tushukur natunachopata tamaa mbayaa🙏🙏🤲❤️❤️❤️
Ila makunde ameingiza kistarabu sana na busara nyingi mno big up brother 🎉🎉🎉
Tupo pamoja hakika mnajua mpo vizuri mashaallah hongereni naomba uwe na shukran unacholetewa na dongo ikisha enyi wanawake waulizeni wanaume zenu chakula ama riski ameipata kwa njia ya halali au
Mashallah mashallah mashallah ❤️❤️ Allah awaliipe kheri kwaukombusho 💪 mzuri 🌹🌹 👏👏👏👏👏👏👏 nawapenda sana❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
MashaaAllah MashaAllah mmejitahid sana Allah azd kuwapa kipaji muzd kutueleimisha na kutuburudsha
mashallah ila huzunu burdani yaisha
Binamize pole sana ndio mambo amakweli makunde umempa maneno kuntu binamize aliomba ujane kweli ❤
Mashaallah nmejifunza sana Allah awabariki
Makunde mzee wa busara 😂😂😂 team nzima swadakta kwa mafundisho yenu in sha Allah tukijaliwa binamize wacha ukaidi 😂😂😂
Mashaallah bimwamiz iyo kasid inanikumbusha enz zilizopit pia hongeren kwa kaz nzr
Asanteni kazi mzuri hongereni sana
Allah awe pamoja nanyi mwisho WA film hii mwanz WA filam nyengine
Wa kwanzaaaaa ❤
Daaah hongereni sana kazi nzuri kw wote ina mafunzo na nilihisi leo itakua ya mwisho daah
😢😢sad jmn imeisha na huzun😢😢
Ahsantee wote kwa kazi nzur mungu awabariki
Leo wa kwanza jamani naomba like zanguu
Hongera
🎉🎉🎉🎉🎉 asanteni nyote washiriki jaman wapemba twaweza ❤❤❤
Kweli kabisa tena
Wew upo pemba sehem gan
@@mrajjasissa5909 hapana sipo pemba
Tulio anza pamoja na kumaliza pamoja tujuane hapa
❤
Nipooo namalizana nayo
😂😂😂😂😂
Mm ap namaliza nay tup pamoj
hahaha, afande mwinyi umetisha sana.
big up to you afande.
Ajidai kustahafiru naomb asaiv hujui km ww ndio chanzo chakuuwaw mumeo donq unasfk 2 nauchuro🥰🥰🥰🥰🥰🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Good job ❤next movies
Uko vizuri mpemba na Crew Yako
❤❤ hongereni Kwa mafundishi mazuri mashaallah
Allah awabareek 🤲🏼
Dah........tushawazowea jmn
Tuliokuw mwanz had mwisho wa series hii tujuane❤❤
MWINYI MPAKU GOOD WORK 💯😊
Masha allah tumejifunza,,,,
Film ni nzur hongeren sana
Haya tuandalieni ingine tuendelee kufaidika
Nilikuwa ninaenjoe kuona Pemba home sweet home
Ujumbe mzuri sana kwa hawa dada zetu
Bi Namize usilie sana, lia kidogo kidoooogo
Lakini Mussa Uso kanzu kuanzia mwanzo wa mchezo hadi mwisho hakuibadilisha
Mmejitahidi sana .. msimu uliopita series ya kwanini ramadhani ilikuwa bora kuliko hii .. ilikuwa na ucheshi na maudhui mazuri kulikoni series hii ya marejeo .. msikae sana basi tukawasahau.
very nice work
mashallah
Tuliopo nnje ya nchi tujuane hapa
iliiweje😅
Aah! Wanje ya ndoa mjuane et?
@@alliymohammed4227😂😂😂😂
Acha utoto weweee!
Hhhhhhh et walio nje wandoa hhhhh
Aka kumbe mzee mwinyi hutembea Tu vizuri 😂😂😂
Asanteni kwa elimu muliotupatia allah atawalipa insha allah
Hya mie leo wa 9 tumalize mnipe japo likes 1
Sapna walia kinafiki hata machozi hayakutoki 😂😂😂😂
ALHAMDULILLAH KAZI NZURI SANA NA IMEMALIZA .
BINAFSI NMEJIFUNZA
1. WATU WAUME TUSIOWE WAKE ILI KURIDHISHA WATU BALI TUNATAKIWA TUKIWEZA KUWAHUDUMIA .
2. TUSIFANYE MAOVU ILI KUWARIDHISHA WQNAWAKE TUKAMKOSEA MOLA WETU .
Dahhh leo mwishooo😢😢😢😢
Mzee mwinyi leo kaulamba
Nakwambia leo humjui😂😂😂
Na Mungu kamjalia kamuondolea kilema 😂😂
@@shamsilmunnirislamic5005 nakwambia kweli leo anaenda sawa
@@shamsilmunnirislamic5005 Hana kilema hhhhh
Haya wale wa kaskazini wenzangu tujuane hapa 😂😂
Tulikwisha wazoea mau, naomba,dongo Mzee wa busara makunde,mussa uso n,k ahsanteni Kwa burudani safi kabisa bila kusahau na lahaja za kipemba ziliupamba mchezo wetu kama wasemavyo wahenga Mcheza kwao hutunzwa ,ila dongo ulitutowa mchezoni tukahisi kama kweliii
Wanawake tumejifunza sana
Mussa shika adabuyo hhhh😂😂😂
Goro huo mwendo 😂😂😂😂 umeumaliza vizuri
😅😅😅😅😅
Ulimponza mumeo kwakila anachokuletea hakutoshi xx jee kinachokuliza nn wanawake tuweni n subra kwa waume wetu hebu tuwaonee imani japo kidogo 😢😢😢
Mussa uso nakupata vizuri kutoka maeneo ya vitongoji darajani ,mau kafa na pombe dongo amekufa kwenye wivi ukweli huu nimsiba ulioje
Wapili😂
from oman hakika ahsanten mupo vizur
Hee seem ya mwisho ❤❤❤😊😊
Maskini binamize kazimia eti mushazika na yy alikua akitaka mumewe afe apewe sadaka😂😂😂😂
Leo wastagfiru pale ukimpelekesha mumeo akuletee ftari kumi kw siku hebu tuchukueni funzo wanawake tusiwaklifishe waume zetu lzma wagufanyie mambo yasio juu y uwezo wao 😢😢😢
Kazy nzury
Mwinyi mpeku wa peku lya ungo
Me kila siku wa mwisho😂
Polee unakuwa wapi
Dongo alijua kma kuna ktu kitampta maskn😢 dahhh naomba wew ona sasa umemuulisha mume wako 😢
Mtihn vo wanawake tuna moto wet kila tunachofanyiw haturizik
@@wanyambi wanawake mfano wa naomba kuna ktu cha kujifunza hpa😪tusiwakalfishe waume zetu haswa tukijua wantupenda sana jmn dahh hyu naomba hjwh kuonsha upend kw mum wke hta cku1😪
Ndokwanza leyo nijuwe kama mwinyi mpeku siyo mlemavu , Mussa uso sheriya inakuruhusu kumuowa shemeji yako baada brother kudedi Mussa chkuwa zigo ilo ukalitaftiye vino 😂😂
Goro swadakta kwa maneno yako
Tofauti kabisa na bara kwanza Mwaigiza kiheshma hakuna anae vaa mavazi ya uchi pili mafunzo dini na maisha nyongeza naucheshi juu Yani mmechanganya vyote ,,,,,MAFUNZO,DINI,UCHESHI, NA KIKUBWA NACHOPENDA SIJAONA WANAWAKE WAKIIGIZA MAPAJA WAZI mnafaa kutiwa nguvu Mzee mwinyi mpeku na dongo na kake Mau mpemba hongereni Kwa kuongoza jahazi
Wanawake wapo uchi mana mikono wazi nayo ni uchi huwo kuona mwanaume mwengine asiekuwa mume ,Allah atujaaalie tuwe ni wenye kujisitiri
Leo wakwaz
Mbona cjaona commenti ya inayosema sana lite kazi dad😂 au anamwaleo Ali
Naomaba jejeje leo unajuwa kustaghafiru ila nikupe pole t 😅
Safi sana
Bi namize wasoma kasida unaburudi moyo mwenyeo..yaliyopo unayo ??😂😂😂
Hanayo😢 unatok mzima unarud mait Allah atupe mwish mwm
@@wanyambiAmin thuma aminiiiiii 🤲🥹
Naomba umeona Ivo majuto no mjukuu ilikua unaona sifa unataka vinono2😅😊😊😊😊
naomba naomba juba
Hapa director kafall mtu kapigwa chepeo ndani kipande chaoneshwa kafa nje vip??
Nsoña Naomba unachimba viaxi wslahavipo
Mkoma ww sikupend ushamuulisha mwenzio kwa roho yak ya tamaaa😢
Mwinyi mpeku peku la ungo 😂😂😂😂😂 police na miwani yako kama mchoma vyuma welding
Mm naomba hii kasida tu
Unajua tasbihi leo huna lolote
Mashaallah barkaullah
BIG UP MAU MPEMBA
Kizuka kakae ndani hee😂😂
Muanzishe muvi nyengn haraka sanaaa
Naomb ajidai kujiliz uchuro mnafki mmoj🤪🤪🤪🤪🤪
Naomba uroho umekuponza 😢
Naomba 😂😂😂😂😂na mussa uso
MZEEE MPEKU 😂😂😂😂
Aliemuowa dongo nae mbona hajakamatwa,tunatakiwa tusichukue Sheria mikononi mwetu,,,,, mafunzo makubwa wanawake turidhike na hali za waume zetu,,
mpk machoz yanatok
Kumbe mwinyi anatembea vizuri nilidhani kwenye zile movies ndio anavyo tembea kumbe sivyo
Tupooo pamoja
Watatu
Kashakufa ❌
Kashafariki ✔
Kufa anakufa mnyama binaadamu anafariki 🙏
Naomba kiredio 😂😂😂😂😂 jalbab kama jini subiani
Mau
Na kwa Dongo umeyataka weye naomba kibendera
Wa 5
Chapter ya naomba imenigundisha mengi wanawake wenzangu tuwe niwenye kutoaheka na kile tunacholekewa na sio kunilazimisha mtu akuletee alichokua hana uwezo nacho😢
Mm naww upo wp