Ali Kamwe nani kakuambia uondoke? Kwani uongozi si ndo ulokuweka kwenye nafasi husika? Ulipaswa kubaki mpaka uongozi wenyewe ndio ufanye maamuzi mengine! Huyo Haji alifungiwa na automatically kuondoka kwenye nafasi husika. Sidhani kama taratibu za kikazi zilitaka pia arudi automatically eti sababu kafunguliwa! Alipaswa asubiri muongozo wa viongozi wakuu kwanza na si vinginevyo! Hao "wazee wa dua" na wao vipi tena? Nani aliwaita kufanya dua viongozi wote Wakuu (Rais na C.E.O) wakiwa South Africa??? Rais na timu nzima ya uongozi tafadhali wekeni sawa hili haraka, mambo yasije haribika
Achen uwongo aongee mwenyewe hyo picha hajaongea
Ali Kamwe nani kakuambia uondoke? Kwani uongozi si ndo ulokuweka kwenye nafasi husika? Ulipaswa kubaki mpaka uongozi wenyewe ndio ufanye maamuzi mengine! Huyo Haji alifungiwa na automatically kuondoka kwenye nafasi husika. Sidhani kama taratibu za kikazi zilitaka pia arudi automatically eti sababu kafunguliwa! Alipaswa asubiri muongozo wa viongozi wakuu kwanza na si vinginevyo! Hao "wazee wa dua" na wao vipi tena? Nani aliwaita kufanya dua viongozi wote Wakuu (Rais na C.E.O) wakiwa South Africa??? Rais na timu nzima ya uongozi tafadhali wekeni sawa hili haraka, mambo yasije haribika
Utopolo ukiwafanyia mema wanakufanyia mabayaa,aje simba tutampa USEMAJI WA SIMBA QUEEN
majini Fc
Usifanye hivyo mnatuumiza mashabiki.
😭😭😭😭😭
Kumbe nanyi niwaongo siyo
Mmeanza kutuharbia vipenzi vyetu kuondoka
Mbona haongei mwenyewe
majini fc
Umetumwa na kolo
Mmaturudshia msemaj mzee awe msemaj atalaza mchezo
Daah
Magoma alisemaa 😂😂
Mbn kama sielew 😢
acheni bx
Hii ni prank
😂 kunann
Uongo