🔴BREAKING: ALLY KAMWE ATANGAZA KUJIUZULU NDANI YA KLABU YA YANGA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 окт 2024

Комментарии • 19

  • @WatuShazi
    @WatuShazi 2 месяца назад +1

    Achen uwongo aongee mwenyewe hyo picha hajaongea

  • @checkchannel3876
    @checkchannel3876 2 месяца назад +1

    Ali Kamwe nani kakuambia uondoke? Kwani uongozi si ndo ulokuweka kwenye nafasi husika? Ulipaswa kubaki mpaka uongozi wenyewe ndio ufanye maamuzi mengine! Huyo Haji alifungiwa na automatically kuondoka kwenye nafasi husika. Sidhani kama taratibu za kikazi zilitaka pia arudi automatically eti sababu kafunguliwa! Alipaswa asubiri muongozo wa viongozi wakuu kwanza na si vinginevyo! Hao "wazee wa dua" na wao vipi tena? Nani aliwaita kufanya dua viongozi wote Wakuu (Rais na C.E.O) wakiwa South Africa??? Rais na timu nzima ya uongozi tafadhali wekeni sawa hili haraka, mambo yasije haribika

  • @franccoz94
    @franccoz94 2 месяца назад

    Utopolo ukiwafanyia mema wanakufanyia mabayaa,aje simba tutampa USEMAJI WA SIMBA QUEEN

  • @GodfreyMwandike
    @GodfreyMwandike 2 месяца назад

    majini Fc

  • @awetumtengera1147
    @awetumtengera1147 2 месяца назад

    Usifanye hivyo mnatuumiza mashabiki.

  • @Bintisayuni50
    @Bintisayuni50 2 месяца назад

    😭😭😭😭😭

  • @MasaliSingu
    @MasaliSingu 2 месяца назад

    Kumbe nanyi niwaongo siyo

  • @AdrianJeremiah-j6c
    @AdrianJeremiah-j6c 2 месяца назад

    Mmeanza kutuharbia vipenzi vyetu kuondoka

  • @LightShirima-xs5jc
    @LightShirima-xs5jc 2 месяца назад

    Mbona haongei mwenyewe

  • @GodfreyMwandike
    @GodfreyMwandike 2 месяца назад

    majini fc

  • @PauloAlfayo-qi1gn
    @PauloAlfayo-qi1gn 2 месяца назад

    Umetumwa na kolo

  • @GabrielBenjamin-ib7cc
    @GabrielBenjamin-ib7cc 2 месяца назад

    Mmaturudshia msemaj mzee awe msemaj atalaza mchezo

  • @DoryGeorge
    @DoryGeorge 2 месяца назад

    Daah

  • @alitante4279
    @alitante4279 2 месяца назад

    Magoma alisemaa 😂😂

  • @LeylaSaria
    @LeylaSaria 2 месяца назад

    Mbn kama sielew 😢

  • @sumaiyyaelias
    @sumaiyyaelias 2 месяца назад

    acheni bx

  • @anyeresa928
    @anyeresa928 2 месяца назад

    Hii ni prank

  • @SebastinJulius
    @SebastinJulius 2 месяца назад

    😂 kunann

  • @SalumuManeno-o9g
    @SalumuManeno-o9g 2 месяца назад

    Uongo