Shukran Sana mwalim wng hakika mimi nakupenda sana kwa ajili ya Allah mpaka sasa nilichokipata kwako si hab a Alhamdulillah Allah akupe Afya na akuzidishiemapenzi ktk Yale aloamrisha na akutilie uzito ktk Yale alokataza ili uzidi kutuelimisha
Asalam alykum please pray for me as l have loans to pay due to hospital bills and medication for my daughter. I am so stressed as l am scared and worried as l hate loans coz l don't know my last breath
Allah atuhifadh na atustiri na madeni ya Allah,tuongoze na utusamehe uturuzuqu na ututosheleze na kile unacho turuzuku ,utulinde na tama'a,utupe taqwa ya Rabbi 🤲
Jazzaka llahu kher uwaminifu kweli imekua mtihani mtu kaniomba laki 2 nikampa 5.ili 3 anilipie ada ya mtt wangu kazichukua zote na ni mtu wa dini kaa boarding ya Quran miaka 7 nikamuamini kiiman lakini daah mtihani
Sadacta uwaminifu ni mgumu siku hizi Watu tunavifungia macho vitu vidogovidogo kumbe ndio vinatutoa iman tukafanya mambo mazambi makubwamakubwa Allah atuzindue Ameen
Shukran Sana mwalim wng hakika mimi nakupenda sana kwa ajili ya Allah mpaka sasa nilichokipata kwako si hab a Alhamdulillah Allah akupe Afya na akuzidishiemapenzi ktk Yale aloamrisha na akutilie uzito ktk Yale alokataza ili uzidi kutuelimisha
Aleyhi sallallahu
Aslm alkm ww.... wow masha Allah!!!! Yassssalllaam, tabarakallah!!!! Sheikh wetu kipenzi chetu doctor 💊 wetu mwalimu wetu kipenzi, masha Allah. Yameingia ndani ya moyo wangu maneno yako. Wapendeza kwa sofa zako Sheikh Othman. Masha Allah. Allah akulinde, akupe mengi mazuri, na mafanikio ikiwemo furaha ndani yake. Tumeelimika vyakutosha Sheikh wetu kipenzi. Allah akulipe Jannah firdaus kwa hili. Twakupenda sana Sheikh Othman. Jazakallahu kheir. Ramadhan mubarak. Usiku mwema inshallah. Masha Allah.
rabbi alhamdulillahi
Assalam aleykum warahmatullahi shekh Othman Michael masha Allah
584464347824262 2543284426224492
Jazakhallah kheir
Aslaam Alaykum Warahmatullah Wabarakatuh . MashaAllah
Mashaallah Mashaallah
Asalam alykum please pray for me as l have loans to pay due to hospital bills and medication for my daughter. I am so stressed as l am scared and worried as l hate loans coz l don't know my last breath
Allah atuhifadh na atustiri na madeni ya Allah,tuongoze na utusamehe uturuzuqu na ututosheleze na kile unacho turuzuku ,utulinde na tama'a,utupe taqwa ya Rabbi 🤲
Madeni yananinyima raha ya maisha. Natamani nami nifunge mlango wangu wa madeni. Allah aniwezeshe naumia kudaiwa ila maisha mazito
Barak'Allahu fiiQ wa Jazzaka Allahu kheir
Mashaallah allah akuzidishie kheri
Mm nilishasema HV kumkopesha mja wa Allah kher nimpe hata kdg kulikon kumkopeshana mtu anakuja anashida uumkope ukishampa2 khalas anabadili na lain
Assalamaleyhi warahmatullahi
mashallah mashaallah
Naam mwisho wa yote ukiwa na afya njema na unaweza kumiliki mlo wa kila siku we nitajir ALHAMDHULILAH
Jazzaka llahu kher uwaminifu kweli imekua mtihani mtu kaniomba laki 2 nikampa 5.ili 3 anilipie ada ya mtt wangu kazichukua zote na ni mtu wa dini kaa boarding ya Quran miaka 7 nikamuamini kiiman lakini daah mtihani
MASHAALLAH, MASHAALLAH, MASHAALLAH
mashallah mashaallah
Masha Allah
Allah Akbar, Allah Akbar
Shukrani
Allah atusameh tulipoteleza atuepushie riba hiz zama ZA ftina mtu hatk kujua chumo lake lahalali wala haramu😢😭😭😭
Asalam alykum warahmatullahi wabarakatuhu
A.alaykum sheikh baada ya somo zuri la Amana nahisi nimeingia wasiwasi , je sheikh tutatoka kweli? Tufanyeje sheikh na tushaenda mchomo apooo
🙏🙏
MashaAllah
Assalam Aleykum warahmatullahi wabarakatuh
Sadacta uwaminifu ni mgumu siku hizi
Watu tunavifungia macho vitu vidogovidogo kumbe ndio vinatutoa iman tukafanya mambo mazambi makubwamakubwa
Allah atuzindue
Ameen
Manshallah
Salallahu Alaihi Wasalam
Wallah maisha ya kukopa co mazur mtu anakopa akale bata