Yan nikikumbuka nimekukuta mbaya nkaz unauerew yan tangu lin jaman mskit au kanisa lifungulow namsanii wakidunia uku anajichanja chare moto jehanam inakusubili
Safi Sanna waisilamu wote wakiwa na umoja ndio kuwakilisha sote ni wa Muumba mmoja hata pale mtu akikosea inakua ni rahisi hata kumshauri sio kama walivyo zoea waislamu wengi kubwa na chuki na watu wengine kisa sio waislamu wenzao chuki haileti amani ila amani ndio inaleta umoja
jamani mbona mungu mnamchezea sana saizi ivi kafiri anawezaje fungua msikiti kwanza hao walio mwita kufungua masjid hakili haziwatoshi hivi mungu tusimfanye kama shemeji yetu
kwanza huyo shee atakua naye ni kafili vile vile huezi kumwita kafili afungue masijdi ivi uisillam unaluhusu mambo ya ushetani kama hayo mmemkosea sana mungu
Eeeh nawe jamaa bas kafungue msikiti wako inamana we umeona unajua sana kuliko watu zaidi ya watano walioshauriana wafungue kwa namna gani hiyo ni burudani tu na Kila mtu anamtegemea mungu wachawi wenyewe tu wanamtegemea mungu ili mambo Yao yaende vizur so sio Kila kitu Hadi ujaji vingine pita tu aaaah!
Hongera baba ufunguzi wa msikiti 🎉
Kazi zuri sana NG'WANA SAMO
Janhe kwa masjid
Allah awalipe mema
Ngelela hongera
Pia otewaloshiliki
Tuenderee. Kukumbushana
Kufanya ibaada
Karibuni katoro kilimahewa
Ngoma IPO vzrii
Asee Jane ni balaaa hapo kahama🎉🎉🎉🎉
Mungu akuzidishie neema zikaongeke mara nyingi zaidi
Dj sele luhafwe mpanda tumeipata🎉🎉❤
Mambo niaje mpanda huko
Yan nikikumbuka nimekukuta mbaya nkaz unauerew yan tangu lin jaman mskit au kanisa lifungulow namsanii wakidunia uku anajichanja chare moto jehanam inakusubili
Safi Sanna waisilamu wote wakiwa na umoja ndio kuwakilisha sote ni wa Muumba mmoja hata pale mtu akikosea inakua ni rahisi hata kumshauri sio kama walivyo zoea waislamu wengi kubwa na chuki na watu wengine kisa sio waislamu wenzao chuki haileti amani ila amani ndio inaleta umoja
jamani mbona mungu mnamchezea sana saizi ivi kafiri anawezaje fungua msikiti kwanza hao walio mwita kufungua masjid hakili haziwatoshi hivi mungu tusimfanye kama shemeji yetu
uelewa wako ndio mwisho apo 😅
Amini unachokiamini wewe unachokiamini ndo mungu wako 😂😢
Kafiri? Wewe ninani mpaka unahukumu watu?
Amini unacho Amin mm wapongeza kwa umoja huo🎉
hii masjdi mungu haitambui kabisa masijidi ya kishetani ulishindwa nini kumwita shehe mazinge akaja kuifungua hii masjd asta kafililla
Kumbuka Imani Yako ndio itakayokuponya,sio jengo la kanisa Wala msikiti!!
Be blessed bro!
Mazige ndio Allah au
Ww ngerera muogope mungu mungu achezew Yan umekosea sana Yan wwunaangalia heratu @@ngelelasbupina
Hatali🎉🎉🎉🎉🎉sana
Mashekhe wako wap ushirikina unaingizwa mskitin hawa ni washirikina dah
Saf❤❤
kwanza huyo shee atakua naye ni kafili vile vile huezi kumwita kafili afungue masijdi ivi uisillam unaluhusu mambo ya ushetani kama hayo mmemkosea sana mungu
Mmmmh imani yako isikufanye uhukumu wenzako mwenye jukumu hilo ni Mungu pekee na siyo binadamu kama wewe.!!
Umemjibu exactly !!
Mungu ni wetu Sote!
We msenge ndo kafiri ,,viumbe vyote duniani ni vya Mungu mmoja huyo Mungu wako mbaguzi wew n yupi huyo utuonyeshe anaebagua
Eeeh nawe jamaa bas kafungue msikiti wako inamana we umeona unajua sana kuliko watu zaidi ya watano walioshauriana wafungue kwa namna gani hiyo ni burudani tu na Kila mtu anamtegemea mungu wachawi wenyewe tu wanamtegemea mungu ili mambo Yao yaende vizur so sio Kila kitu Hadi ujaji vingine pita tu aaaah!
Sasa hiyo kasida ? Mbona kufuru ndani yake