NGELELA NGWANASAMO SONG UFUNGUZI WA MSIKITI WA JANE DIR GABRIEL 0765567948

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 фев 2025

Комментарии • 29

  • @budaganzagabulu1756
    @budaganzagabulu1756 Месяц назад +1

    Hongera baba ufunguzi wa msikiti 🎉

  • @Kahogoasili2024
    @Kahogoasili2024 Месяц назад +1

    Kazi zuri sana NG'WANA SAMO

  • @athumanbalozi9748
    @athumanbalozi9748 Месяц назад

    Janhe kwa masjid
    Allah awalipe mema
    Ngelela hongera
    Pia otewaloshiliki
    Tuenderee. Kukumbushana
    Kufanya ibaada
    Karibuni katoro kilimahewa

  • @DjZombiOG96
    @DjZombiOG96 Месяц назад +1

    Ngoma IPO vzrii

  • @NdilanhaBoniphace
    @NdilanhaBoniphace Месяц назад

    Asee Jane ni balaaa hapo kahama🎉🎉🎉🎉

  • @mustaphakisanzo479
    @mustaphakisanzo479 Месяц назад

    Mungu akuzidishie neema zikaongeke mara nyingi zaidi

  • @SelePaulo
    @SelePaulo Месяц назад +2

    Dj sele luhafwe mpanda tumeipata🎉🎉❤

    • @sanzu336
      @sanzu336 Месяц назад

      Mambo niaje mpanda huko

  • @konderaeriasi6251
    @konderaeriasi6251 4 часа назад

    Yan nikikumbuka nimekukuta mbaya nkaz unauerew yan tangu lin jaman mskit au kanisa lifungulow namsanii wakidunia uku anajichanja chare moto jehanam inakusubili

  • @JumamgemamatogoloMatogolo
    @JumamgemamatogoloMatogolo Месяц назад

    Safi Sanna waisilamu wote wakiwa na umoja ndio kuwakilisha sote ni wa Muumba mmoja hata pale mtu akikosea inakua ni rahisi hata kumshauri sio kama walivyo zoea waislamu wengi kubwa na chuki na watu wengine kisa sio waislamu wenzao chuki haileti amani ila amani ndio inaleta umoja

  • @NyasanaTv-ol4ix
    @NyasanaTv-ol4ix Месяц назад +1

    jamani mbona mungu mnamchezea sana saizi ivi kafiri anawezaje fungua msikiti kwanza hao walio mwita kufungua masjid hakili haziwatoshi hivi mungu tusimfanye kama shemeji yetu

    • @petrovisent3805
      @petrovisent3805 Месяц назад

      uelewa wako ndio mwisho apo 😅

    • @EmmanuelNdahya
      @EmmanuelNdahya Месяц назад

      Amini unachokiamini wewe unachokiamini ndo mungu wako 😂😢

    • @daudijohn8416
      @daudijohn8416 Месяц назад

      Kafiri? Wewe ninani mpaka unahukumu watu?

    • @budaganzagabulu1756
      @budaganzagabulu1756 Месяц назад

      Amini unacho Amin mm wapongeza kwa umoja huo🎉

  • @NyasanaTv-ol4ix
    @NyasanaTv-ol4ix Месяц назад +1

    hii masjdi mungu haitambui kabisa masijidi ya kishetani ulishindwa nini kumwita shehe mazinge akaja kuifungua hii masjd asta kafililla

    • @ngelelasbupina
      @ngelelasbupina  Месяц назад

      Kumbuka Imani Yako ndio itakayokuponya,sio jengo la kanisa Wala msikiti!!
      Be blessed bro!

    • @shangazshangaz4222
      @shangazshangaz4222 22 дня назад

      Mazige ndio Allah au

    • @konderaeriasi6251
      @konderaeriasi6251 4 часа назад

      Ww ngerera muogope mungu mungu achezew Yan umekosea sana Yan wwunaangalia heratu ​@@ngelelasbupina

  • @NyandaNkingwa-z6f
    @NyandaNkingwa-z6f Месяц назад

    Hatali🎉🎉🎉🎉🎉sana

    • @CosmasJohn-vv1ro
      @CosmasJohn-vv1ro Месяц назад

      Mashekhe wako wap ushirikina unaingizwa mskitin hawa ni washirikina dah

  • @PauloJilala
    @PauloJilala Месяц назад

    Saf❤❤

  • @NyasanaTv-ol4ix
    @NyasanaTv-ol4ix Месяц назад +2

    kwanza huyo shee atakua naye ni kafili vile vile huezi kumwita kafili afungue masijdi ivi uisillam unaluhusu mambo ya ushetani kama hayo mmemkosea sana mungu

    • @IkambulaMtunga4670
      @IkambulaMtunga4670 Месяц назад

      Mmmmh imani yako isikufanye uhukumu wenzako mwenye jukumu hilo ni Mungu pekee na siyo binadamu kama wewe.!!

    • @ngelelasbupina
      @ngelelasbupina  Месяц назад

      Umemjibu exactly !!
      Mungu ni wetu Sote!

    • @FaustineKishiwa
      @FaustineKishiwa Месяц назад

      We msenge ndo kafiri ,,viumbe vyote duniani ni vya Mungu mmoja huyo Mungu wako mbaguzi wew n yupi huyo utuonyeshe anaebagua

    • @massanja221
      @massanja221 Месяц назад

      Eeeh nawe jamaa bas kafungue msikiti wako inamana we umeona unajua sana kuliko watu zaidi ya watano walioshauriana wafungue kwa namna gani hiyo ni burudani tu na Kila mtu anamtegemea mungu wachawi wenyewe tu wanamtegemea mungu ili mambo Yao yaende vizur so sio Kila kitu Hadi ujaji vingine pita tu aaaah!

  • @UmmuJauzan
    @UmmuJauzan 29 дней назад

    Sasa hiyo kasida ? Mbona kufuru ndani yake