KISUGU: ALIA NA KAYOKO KUIBEBA YANGA | TUMEONEWA YANGA HANA UBORA HUO KUIFUNGA SIMBA
HTML-код
- Опубликовано: 18 окт 2024
- JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.
Kwahiyo wandishi wa habari wote ni yanga😊😊😊
Mtalia saaaaaana😂😂😂😂😂
Malalamiko fc mateso yanaendelea Raha sana Kuona Simba wanalialia
Acha uropokaji chunga mdomo wako hakuna referee aliechezesha Kwa maelekezo kama umefungwa vunga basi acha kelele Quality ya Yanga ndiyo imeamua matokeo🤗
Mwbie aende polis kama kaonewa
Mmmh! 4 games consegatively munaonewa ninyi tu?😅
Dodoma Jiji uliongea 😂😂😂😂😂
Hawa sio Wanamichezo. Midomo tu.
Huyu ni kichaa kila wakifungwa hawakosi sababu kama leo kayako kaibeba YANGA na Coast walibebwa na nani?
Penat gani unaongelea mbn ya dodoma jj ukusema tulia sisi tushapata points 3 mengine ni yenu
Waandishi wanashindwa kuhoji watu wanaojua mpira wanahoji vichaa ambao hawajui mpira
Mjasema mpaka msemee😂😂😂
Man of the mech kayoko
Ameni nchi Simba
Na wewe upunguze mdomo Juzi umeongea wewe sijui tutaroga mnapo ropoka ropoka hivo ivi hamjui ka mnawafungua masikio ifike mahali muwe mnafunika mikopo yenu hiyo ivi mnajua ni jinsi Gani tunaumizwa na haya matokeo
Amini kweli kazingua sana huyu
Sio kila tackling ni foul! Msipende mpaka mnakuwa kama mazezeta!
Yani simba mnalalamika nn sijui mbona yanga awalalamiki kuna kadi nyekundu alitakiwa apewe mchezaji wa simba alimzuia mchezaji yanga kwenda kufunga kwa kumvuta mkono na alikuwa kamtoka tiyar
Mwandishi mbea sana
Kayoko chokooo
siku ile refa kawabeba mlikaa kimya
Kaka mechi ijayo chezesha wewe Kisugu😂😂😂
Mnafik mshamba wa mpira kisugu nyie kila sk tunawapdd tu❤😅😂
Ukigongwa tena round ya marudino?
Kwa hyo kufungwa simba ligi sio bora tena
Wandishi wa habari ni wachochezi sana.
Refaa mshenzi mnooo tena hafai
Hivi shida ya kayoko ni Nini hapo au kwa kuwa mmefungwa
KAYOKO HAJUI SHERIA.
Hlo kisugu nichoko sana linaongeaga sana sasa limepigwa bolo1 kundu wazi hapo kavaa ped
Mala ya 4 mfulilizo , manaonewa nyie tu, 😮😮, bado hamjasema,
Ukilalamikia refa sisi ndo tulitakiwa tulalamike kwa ile penat ya msonda tulonyimwa!!
Leo ndo mnamuona refa 😂😂😂😂 mmesahau refa alivyowabeba na coast!
Ww ndy 7bu maana ulitangaz kuroga ukasahau kuwa Allah ni m1 hafanani na chochote na anawez kbadilisha chochote. Baba tanguliz Allah unaniponz kjana
Kuzidiwa Kwa timu Mnajualakini
Maana
Ball position first Half Yanga 51-49
Sec Alf 58-42
Hapo hamuoni kuzidiwa au mnatafuta pa kushika......?
Tunapo semaga malefalee wanawabeba sana Simba mlikuwa hamuelewi
Chama zeee u???😂😂😂😂
Mwambie kisugu na coastal Union hakunawa mkono lakini simba mlipewa panaliti
Tunapokutana nayanga basi tuwe tunachagua sisi wanasimba muamuzi
Simba itakuuaaaa
Nyooooo nendauko bangi wee
SIMBA SC UKIMUONDOA MATOLA NDIYO MTASHINDA LKN KAMA HATAKI KUMUONDOA MATOLA HAWEZI KUFANIKIWA LOLOTE
Mfamaji hufa anatapatapa yote haya kayasababisha ateba anacheza Kama yupo pekeake
Leo penalti mbili tumeujumiwa
We Choko jana si ulisema mmeloga tayari na matokeo mmepata. Acha usengenyaji wewe.
Ndo tumewaacha point 5
Ndy mmezidiwa kama siyo kuzidiwa mngefunga goli unaongea kama ndege ngoma
Wamshukuru kayoko Yanga kwa Simba wameisha
Mechi ijayo mleteni 3 malogo au janeth maana hao wengine wanasaidia yanga
MECHI 4 GOLI 9 BADO UNAWABWEKEA YANGA ?
Mbumbumbu mnalalamika siyo?
muwe mnachezesha ninyi sa2 shda mnafungwa hamtafut kwann mnafungwa lakn mnatupa lawama kwa marefa fara nyie
Huo ukweli wa sheria 17 mbona hukuzisema mechi yako dhidi ya azam na dodoma? Shukur beki wako wa mwisho kamvuta dube alikua ale umeme.
KAYOKO NI MPUUZI SANA MPIRA UMEMSHINDA SANA. AMEWANYIMA SIMBA PENATI NA GOLI LA WAZI. REFA TUMEMCHUKIA SANA
Bado anjasema
Kwa Dodoma Jiji hamkusema mlivobebwa Leo ndo mnaleta lomoni mbona hata kawanyima yanga penalty husemi
Ili jamaa bwana😂kichwa nazi sana. Si alisema mtaroga?
Huna lolote mwehu tu unaongeaga sana mdomo wako ungekua unacheza ungefika jehanamu
Kisugu wewe nimropokaji ile kiswahili ndio imeonekana leo
Acheni umbumbumbu nyie Simba day tatu zilizopita kachezesha Nan??kolokwinyo nyie
Kisugu hao waandishi wajinga wasikusumbue ni nyuma mwiko makuma tu hao
Ww sio Kuma
Sisi ni ma p did tumewa p did
Ukisikia kuchanganyikiwa ndio huko simba wote wamechanganyikiwa sura mbaya na hivyo mshukuru wachezaji wengi wa yanga wamechoka
Mech ya ngao tulinyimwa penat HV hv na Leo Tena hii Ni mipango ya tff kuimaliza smba,mm ninajiuliza KilA sku hii lg inakuwaje namba sita kwa ubora afrika,hii lg ilipaswa kuwa ni ya mia kwa ubora afrika
Unaumia
Kama umenyimwa penalty andika barua FIFA
Kwahiyo wandishi wa habari wote ni yanga😊😊😊