KISUGU: ALIA NA KAYOKO KUIBEBA YANGA | TUMEONEWA YANGA HANA UBORA HUO KUIFUNGA SIMBA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 окт 2024
  • JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
    KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.

Комментарии • 68

  • @berthalusuve1231
    @berthalusuve1231 4 часа назад +2

    Kwahiyo wandishi wa habari wote ni yanga😊😊😊

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 5 часов назад +4

    Mtalia saaaaaana😂😂😂😂😂

  • @DenisSanga-bj5ud
    @DenisSanga-bj5ud 5 часов назад +5

    Malalamiko fc mateso yanaendelea Raha sana Kuona Simba wanalialia

  • @mgemaposta47
    @mgemaposta47 4 часа назад +3

    Acha uropokaji chunga mdomo wako hakuna referee aliechezesha Kwa maelekezo kama umefungwa vunga basi acha kelele Quality ya Yanga ndiyo imeamua matokeo🤗

  • @iddyissa8110
    @iddyissa8110 4 часа назад +1

    Mwbie aende polis kama kaonewa

  • @mgemaposta47
    @mgemaposta47 4 часа назад +2

    Mmmh! 4 games consegatively munaonewa ninyi tu?😅

  • @yothamgwanika9530
    @yothamgwanika9530 5 часов назад +1

    Dodoma Jiji uliongea 😂😂😂😂😂

  • @songombingo108
    @songombingo108 4 часа назад +1

    Hawa sio Wanamichezo. Midomo tu.

  • @HarunaKitiku-sv1fe
    @HarunaKitiku-sv1fe 4 часа назад +1

    Huyu ni kichaa kila wakifungwa hawakosi sababu kama leo kayako kaibeba YANGA na Coast walibebwa na nani?

  • @RevithaRevitha-f5q
    @RevithaRevitha-f5q 4 часа назад +1

    Penat gani unaongelea mbn ya dodoma jj ukusema tulia sisi tushapata points 3 mengine ni yenu

  • @HarunaKitiku-sv1fe
    @HarunaKitiku-sv1fe 3 часа назад +1

    Waandishi wanashindwa kuhoji watu wanaojua mpira wanahoji vichaa ambao hawajui mpira

  • @mrrockboy9508
    @mrrockboy9508 3 часа назад

    Mjasema mpaka msemee😂😂😂

  • @AllyHamisi-c7j
    @AllyHamisi-c7j 5 часов назад

    Man of the mech kayoko

  • @BarakaKamara
    @BarakaKamara 4 часа назад

    Ameni nchi Simba

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi148 6 часов назад +8

    Na wewe upunguze mdomo Juzi umeongea wewe sijui tutaroga mnapo ropoka ropoka hivo ivi hamjui ka mnawafungua masikio ifike mahali muwe mnafunika mikopo yenu hiyo ivi mnajua ni jinsi Gani tunaumizwa na haya matokeo

  • @OS-pf6op
    @OS-pf6op 4 часа назад

    Sio kila tackling ni foul! Msipende mpaka mnakuwa kama mazezeta!

  • @Ucheshi
    @Ucheshi 5 часов назад +2

    Yani simba mnalalamika nn sijui mbona yanga awalalamiki kuna kadi nyekundu alitakiwa apewe mchezaji wa simba alimzuia mchezaji yanga kwenda kufunga kwa kumvuta mkono na alikuwa kamtoka tiyar

  • @RahmaKhalfani-qp3vc
    @RahmaKhalfani-qp3vc 5 часов назад

    Mwandishi mbea sana

  • @hendricksjohn6201
    @hendricksjohn6201 5 часов назад

    Kayoko chokooo

  • @linuslusian-d5w
    @linuslusian-d5w 5 часов назад +1

    siku ile refa kawabeba mlikaa kimya

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 4 часа назад

    Kaka mechi ijayo chezesha wewe Kisugu😂😂😂

  • @ZauloChanga
    @ZauloChanga 5 часов назад

    Mnafik mshamba wa mpira kisugu nyie kila sk tunawapdd tu❤😅😂

  • @wazirimagayuka9681
    @wazirimagayuka9681 4 часа назад

    Ukigongwa tena round ya marudino?

  • @LangoimiagieLangoi
    @LangoimiagieLangoi 4 часа назад

    Kwa hyo kufungwa simba ligi sio bora tena

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 5 часов назад

    Wandishi wa habari ni wachochezi sana.

  • @KaizaEdwin
    @KaizaEdwin 4 часа назад

    Refaa mshenzi mnooo tena hafai

  • @GOLDIANEDRICK-sm6xk
    @GOLDIANEDRICK-sm6xk 4 часа назад

    Hivi shida ya kayoko ni Nini hapo au kwa kuwa mmefungwa

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 5 часов назад

    KAYOKO HAJUI SHERIA.

  • @DanielIbrahim-h5x
    @DanielIbrahim-h5x 5 часов назад

    Hlo kisugu nichoko sana linaongeaga sana sasa limepigwa bolo1 kundu wazi hapo kavaa ped

  • @akidajulius8397
    @akidajulius8397 5 часов назад

    Mala ya 4 mfulilizo , manaonewa nyie tu, 😮😮, bado hamjasema,

  • @EmmanuelSebabi
    @EmmanuelSebabi 3 часа назад

    Ukilalamikia refa sisi ndo tulitakiwa tulalamike kwa ile penat ya msonda tulonyimwa!!

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 5 часов назад

    Leo ndo mnamuona refa 😂😂😂😂 mmesahau refa alivyowabeba na coast!

  • @Yassirjuma-i1c
    @Yassirjuma-i1c 4 часа назад

    Ww ndy 7bu maana ulitangaz kuroga ukasahau kuwa Allah ni m1 hafanani na chochote na anawez kbadilisha chochote. Baba tanguliz Allah unaniponz kjana

  • @Frankgamanuel
    @Frankgamanuel 4 часа назад

    Kuzidiwa Kwa timu Mnajualakini
    Maana
    Ball position first Half Yanga 51-49
    Sec Alf 58-42
    Hapo hamuoni kuzidiwa au mnatafuta pa kushika......?
    Tunapo semaga malefalee wanawabeba sana Simba mlikuwa hamuelewi

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 4 часа назад

    Chama zeee u???😂😂😂😂

  • @PriscaLwezaura
    @PriscaLwezaura 4 часа назад

    Mwambie kisugu na coastal Union hakunawa mkono lakini simba mlipewa panaliti

  • @idrisahamimuhasani5717
    @idrisahamimuhasani5717 4 часа назад

    Tunapokutana nayanga basi tuwe tunachagua sisi wanasimba muamuzi

  • @mulhatramadhan1147
    @mulhatramadhan1147 5 часов назад

    Simba itakuuaaaa

  • @KhamisahmadaMo
    @KhamisahmadaMo 5 часов назад

    Nyooooo nendauko bangi wee

  • @bedomgwalupogo2652
    @bedomgwalupogo2652 4 часа назад

    SIMBA SC UKIMUONDOA MATOLA NDIYO MTASHINDA LKN KAMA HATAKI KUMUONDOA MATOLA HAWEZI KUFANIKIWA LOLOTE

  • @idrisahamimuhasani5717
    @idrisahamimuhasani5717 4 часа назад

    Mfamaji hufa anatapatapa yote haya kayasababisha ateba anacheza Kama yupo pekeake

  • @abubakarishariff8489
    @abubakarishariff8489 5 часов назад

    Leo penalti mbili tumeujumiwa

  • @andrewkitema9838
    @andrewkitema9838 5 часов назад

    We Choko jana si ulisema mmeloga tayari na matokeo mmepata. Acha usengenyaji wewe.

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg 5 часов назад

    Ndo tumewaacha point 5

  • @saidingumbo-is2oe
    @saidingumbo-is2oe 5 часов назад

    Ndy mmezidiwa kama siyo kuzidiwa mngefunga goli unaongea kama ndege ngoma

  • @AngelMwalukunga
    @AngelMwalukunga 5 часов назад

    Wamshukuru kayoko Yanga kwa Simba wameisha

    • @janejoel2465
      @janejoel2465 4 часа назад

      Mechi ijayo mleteni 3 malogo au janeth maana hao wengine wanasaidia yanga

  • @HABIBHASSAN-wf5mr
    @HABIBHASSAN-wf5mr 4 часа назад

    MECHI 4 GOLI 9 BADO UNAWABWEKEA YANGA ?

  • @masoudmwakoba2757
    @masoudmwakoba2757 5 часов назад

    Mbumbumbu mnalalamika siyo?

  • @edwardjeremia-v7d
    @edwardjeremia-v7d 5 часов назад

    muwe mnachezesha ninyi sa2 shda mnafungwa hamtafut kwann mnafungwa lakn mnatupa lawama kwa marefa fara nyie

  • @ibrahimdaniel4118
    @ibrahimdaniel4118 5 часов назад

    Huo ukweli wa sheria 17 mbona hukuzisema mechi yako dhidi ya azam na dodoma? Shukur beki wako wa mwisho kamvuta dube alikua ale umeme.

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 5 часов назад

    KAYOKO NI MPUUZI SANA MPIRA UMEMSHINDA SANA. AMEWANYIMA SIMBA PENATI NA GOLI LA WAZI. REFA TUMEMCHUKIA SANA

    • @ramadhanimrungu5806
      @ramadhanimrungu5806 5 часов назад

      Bado anjasema

    • @EliaMkumbo-wn7bm
      @EliaMkumbo-wn7bm 3 часа назад

      Kwa Dodoma Jiji hamkusema mlivobebwa Leo ndo mnaleta lomoni mbona hata kawanyima yanga penalty husemi

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 5 часов назад

    Ili jamaa bwana😂kichwa nazi sana. Si alisema mtaroga?

  • @SamoraMsangi-u3v
    @SamoraMsangi-u3v 3 часа назад

    Huna lolote mwehu tu unaongeaga sana mdomo wako ungekua unacheza ungefika jehanamu

  • @AlpherValeriani
    @AlpherValeriani 5 часов назад

    Kisugu wewe nimropokaji ile kiswahili ndio imeonekana leo

  • @Yonas-gc8kr
    @Yonas-gc8kr 4 часа назад

    Acheni umbumbumbu nyie Simba day tatu zilizopita kachezesha Nan??kolokwinyo nyie

  • @leonardfungo
    @leonardfungo 5 часов назад

    Kisugu hao waandishi wajinga wasikusumbue ni nyuma mwiko makuma tu hao

    • @HamisiUliza
      @HamisiUliza 5 часов назад +2

      Ww sio Kuma

    • @EliaMkumbo-wn7bm
      @EliaMkumbo-wn7bm 3 часа назад

      Sisi ni ma p did tumewa p did

    • @econmirajifacts5411
      @econmirajifacts5411 2 часа назад

      Ukisikia kuchanganyikiwa ndio huko simba wote wamechanganyikiwa sura mbaya na hivyo mshukuru wachezaji wengi wa yanga wamechoka

  • @kalebphilip3426
    @kalebphilip3426 5 часов назад

    Mech ya ngao tulinyimwa penat HV hv na Leo Tena hii Ni mipango ya tff kuimaliza smba,mm ninajiuliza KilA sku hii lg inakuwaje namba sita kwa ubora afrika,hii lg ilipaswa kuwa ni ya mia kwa ubora afrika

  • @berthalusuve1231
    @berthalusuve1231 4 часа назад

    Kwahiyo wandishi wa habari wote ni yanga😊😊😊