Комментарии •

  • @daudiazizi8495
    @daudiazizi8495 10 месяцев назад

    Baba mungu azidi kurisha roho yako''''agupe myaka mingi ,,nagupenda saaaaaaaaana baba

  • @Neemakilimba
    @Neemakilimba 10 месяцев назад

    Ni kweli Mimi nilishabadilisha masaa ykulala kuanzia saa sita mpaka saa Kumi kamili nakuwa naomba nasifu nasima Neno ,Ila nimemwomba Mungu isivyokuwa kawaida aisee Mungu yupo Sana Mungu amekuwa rafiki yangu wa karibu mno

  • @stellahokworo3947
    @stellahokworo3947 11 месяцев назад +2

    Amen 🙏 glory glory to Christ Jesus

  • @julianamyaka4537
    @julianamyaka4537 9 месяцев назад

    Praise God

  • @catherinekatoto8278
    @catherinekatoto8278 11 месяцев назад +3

    Kila pando la adui naling'oa kwa Jina la Yesu. Kulala usiku ni hatari. Nabadili masaa sasa....Eee Mungu nisaidie .

    • @edwinmanji74
      @edwinmanji74 11 месяцев назад

      Zingatia,Shetani hakwenda kwa hawa usiku,pia wakati wa majaribu ya Yesu kule jangwani bado haikuwa usiku biblia inamaanisha nini inaposema Usiku pata maarifa ya kweli ili uufikie ujuzi sahihi

    • @catherinekatoto8278
      @catherinekatoto8278 11 месяцев назад

      @@edwinmanji74 waniuliza swali au wasemaje? Sikiliza ujumbe vz ndiyo urudi kuuliza tena.

    • @edwinmanji74
      @edwinmanji74 11 месяцев назад

      Tusiwape faida watu wa Mtandao ndiomaana nikaandika namba yangu ili nikueleweshe kama ni makosa kukwambia hvyo basi nijulishe

    • @zawadikaminyoge8552
      @zawadikaminyoge8552 10 месяцев назад

      ​@@edwinmanji74upo sawa pia tamani na ww ujifunze Kwa wengine Mithali 4:16, Zaburi 30:5 pia atausemacho Zaburi 19:2 nazani mtumishi yupo Sawa tu na ww upo sawa.

  • @raphaelatukuzwe1740
    @raphaelatukuzwe1740 2 месяца назад +1

    Amina kubwa

  • @celynmwenewanda3949
    @celynmwenewanda3949 10 месяцев назад

    Asante CHIEF APOSTLE kwa mafundisho mazuri sana.

  • @alimambabazi3666
    @alimambabazi3666 11 месяцев назад

    BABA muchungagi wewe ni ni muchungagi 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 you teach deep and clear ❤❤❤❤❤❤❤🙏

  • @victorialema4033
    @victorialema4033 11 месяцев назад

    Amen My international Pastor 🙏 kila pando lilopadwa na ADUI kwa njia yeyote ile,Ng'okaa kwa jina la YESU 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @naimarishedy1523
    @naimarishedy1523 10 месяцев назад

    Magugu naya.ngoa katika maisha yangu na kwa mwanangu na familia 🙏

  • @TembaNestory-d4j
    @TembaNestory-d4j 11 месяцев назад

    Kila pando ktk maisha yangu kiroho,chumi, family! NG'OKAAAA KATIKA JINA LA YESU.

  • @rosemundajames3969
    @rosemundajames3969 11 месяцев назад

    Kila pando lililopandwa usiku ng'okaaaaa katika jina la Yesu

  • @japhetmkumbwa7914
    @japhetmkumbwa7914 11 месяцев назад

    Asante apostle Kila pando ng'olewa Kwa jina la yesu

  • @leatimoth3611
    @leatimoth3611 11 месяцев назад

    Na ngoa mapando mapando mambaya ndani yangu katika jina la yesu ❤❤❤❤love you daddy you teaching us very good thus why I love you

  • @GladysMonranga
    @GladysMonranga 11 месяцев назад

    Mimi ndio mmoja wao mungu nisaidie

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 10 месяцев назад +2

    Kweli viache vikue pamoja yaani mtalemwa anahubiri.vizuri dunia watu wanapenda lakini.wanawake wanavaa masuluali hapo sijui wametumwa naamini wametumwa hao mabinti.sijui wamama ingekuwa karibu ningewajia niwatandike bakora harafu sijui mtalemwa kama anaweza.kunikataza namuona anavohubiri hawezi kuwasaidia nanyooka na masuluali tu kwA wanawake kwamba hawajui Kuwa ni mavazi ya kikahaba daa wamepiga na foo.kabisa.

    • @Neemakilimba
      @Neemakilimba 10 месяцев назад

      Ni moja wapo ya magugu

    • @Neemakilimba
      @Neemakilimba 10 месяцев назад

      Eti oo yes na suruali zao utadhani mbingu ya Babu yao wasipobadilika nakutubu sehemu yao inawasubiri Suruali kabisa ukaingia nayo kanisani hivi watu hawajui kuwa YESU anarudi ?

    • @festinamwakipale3919
      @festinamwakipale3919 10 месяцев назад

      @@Neemakilimba mpaka utashangaa shetan.hujifanya.maraika.wa.nuru yaani watu wanaokoka matilion.kwenye mtandao kwa huduma ya bushiri mtalemwa manamke ya pale yamestalee lakini mm nahisi wametumwa wale I'li wasimame milangon ma'ana hatukatai kama walizoea kale lakini yesu anabadilisha anakuvua.utu wa kale anakuvalisha utu upya.wenyewe wameingia na ridunia.kanisan.

    • @festinamwakipale3919
      @festinamwakipale3919 10 месяцев назад

      @@Neemakilimba niliwahi washauri kuwa mtalemwa.amebeba mizigo mizito.ya.kuihubiri dunia lakini hamuwezi kutofautisha nguo za kike na za kiume mnakuwa.huru.kwenye nyumba ya ibada.hiyo ni nyumba ya ibada ni nyumba ya Sara tuweni.na adabu

  • @amosmhimba3237
    @amosmhimba3237 11 месяцев назад

    Asante Sana Chief kwa Mafunuo haya. 🙏

  • @franklynelucyevekepi2226
    @franklynelucyevekepi2226 11 месяцев назад

    Amen pastor love your teachings

  • @rhodamashauri7720
    @rhodamashauri7720 11 месяцев назад

    Amen nitakesha .

  • @evarnafula2898
    @evarnafula2898 9 месяцев назад

    Amen

  • @glorianshimanyi1545
    @glorianshimanyi1545 11 месяцев назад

    Nashukuru kwa mafundisho mazuri na maombi ya kung'oa mapando yaliyopandwa na adui ktk maisha yangu. Mungu nipe neema ya kukesha kiroho.

  • @AmosDeus-z8e
    @AmosDeus-z8e 3 месяца назад

    Ameeni

  • @annamakomele339
    @annamakomele339 10 месяцев назад

    Chief 🙏🙏🙏🙏Asante

  • @samwelikisigila4818
    @samwelikisigila4818 11 месяцев назад

    ASANTE CHIEF KWA SOMO ZURI LA KUNG'OA MAPANDO NINALIFANYIA KAZI