SHEREHE

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 23

  • @afterx3172
    @afterx3172 3 дня назад +1

    Always huwa nafatiliaa san clips zako hongereni sana

  • @KasemboBarbers
    @KasemboBarbers 3 дня назад +3

    Hahahaha nanga wepeleke kwenye point 😂😂😂😂

  • @salumumawaya
    @salumumawaya 3 дня назад +4

    🤣🤣🤣 wakusmarta jau sana yani anapinga kila wazo

  • @bashiruhassani1017
    @bashiruhassani1017 5 часов назад +1

    Uyo dada mwenye nguo nyekundu anaga nguo nyingne

  • @albertyg7953
    @albertyg7953 2 дня назад

    Nanga u have the capability to fill the gap left by legend #Mzee Majuto rip,u need to improve place where you shoot your vida not everytime unashoot Kwa Ile nyumba yenu no. 1 fan from Kenya

  • @febbicrougeferooz2886
    @febbicrougeferooz2886 День назад

    Waku smart mbishi

  • @Abunazzar
    @Abunazzar 5 часов назад +1

    Mumefeli mwadhini huo bado mwaongea

  • @JamesMoses-bf4qj
    @JamesMoses-bf4qj 3 дня назад +2

    Wakusmarta jau sana 😂😂😂😂

  • @omanhh2875
    @omanhh2875 3 дня назад +2

    Nanga bado 3 hawapo mbon hapo

  • @faheemadeleke6207
    @faheemadeleke6207 3 дня назад +1

    Wakwanza ku Comment nakubali sana 😂

  • @RajabSufian
    @RajabSufian 3 дня назад +1

    Wakina shishi wanafata nini huyu jau xna

  • @alirissa4474
    @alirissa4474 3 дня назад +7

    Nanga mngepisha Adhana halfu mngeendelea

    • @raymondclaud6026
      @raymondclaud6026 3 дня назад +3

      Acha kuchanganya dini na Sanaa hii nchi sio ya dini moja

    • @Thisisgrace979
      @Thisisgrace979 3 дня назад

      ​@@raymondclaud6026hivi vitu vinanichanganya aise. Sana sana dini ya upande wa pili.

    • @nancyfantasia1945
      @nancyfantasia1945 3 дня назад +2

      @@raymondclaud6026saaafi hawa sijui wanajionaga nan hawa😅😅😅😅😅😅

    • @mohammedmohamed9969
      @mohammedmohamed9969 22 часа назад

      ​@@raymondclaud6026acha ushoga ww tutakup Diddy yaan unaongea ujinga kwan hapo kaongea kipi kibaya hii nchi Ina misingi,miiko na maadili yake walipaswa kupisha adhana mpuuzi ww

    • @mohammedmohamed9969
      @mohammedmohamed9969 22 часа назад

      ​@@nancyfantasia1945tunajiona wasafi na watakatifu kwani we unataka Nini kwamfano mpuuzi Nini wewe

  • @Al-farajiPanjalu
    @Al-farajiPanjalu 3 дня назад +1

    Shuhuli tunayo hatuna

  • @godfreygoyayi6576
    @godfreygoyayi6576 3 дня назад

    Ku act mnajua sanaaa. Shida creativity. Vitu vyenu vinafanana sanaa. Issue zenu nyingi ni mnaitana mnakaa mnaongea weee afu ambavyo ni common na vilevile. Ila kujua mnajua sanasana muongeze ubunifu

    • @saidkobero
      @saidkobero 3 дня назад

      daaah inabd tuwape moyo

  • @roi2554
    @roi2554 2 дня назад

    Muoaji anagubu sijawah ata kuona😂

  • @alirissa4474
    @alirissa4474 3 дня назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @febbicrougeferooz2886
    @febbicrougeferooz2886 День назад

    Jay akuna anacho kubali😂