Nanga u have the capability to fill the gap left by legend #Mzee Majuto rip,u need to improve place where you shoot your vida not everytime unashoot Kwa Ile nyumba yenu no. 1 fan from Kenya
@@raymondclaud6026acha ushoga ww tutakup Diddy yaan unaongea ujinga kwan hapo kaongea kipi kibaya hii nchi Ina misingi,miiko na maadili yake walipaswa kupisha adhana mpuuzi ww
Ku act mnajua sanaaa. Shida creativity. Vitu vyenu vinafanana sanaa. Issue zenu nyingi ni mnaitana mnakaa mnaongea weee afu ambavyo ni common na vilevile. Ila kujua mnajua sanasana muongeze ubunifu
Always huwa nafatiliaa san clips zako hongereni sana
Hahahaha nanga wepeleke kwenye point 😂😂😂😂
🤣🤣🤣 wakusmarta jau sana yani anapinga kila wazo
Uyo dada mwenye nguo nyekundu anaga nguo nyingne
Nanga u have the capability to fill the gap left by legend #Mzee Majuto rip,u need to improve place where you shoot your vida not everytime unashoot Kwa Ile nyumba yenu no. 1 fan from Kenya
Waku smart mbishi
Mumefeli mwadhini huo bado mwaongea
Wakusmarta jau sana 😂😂😂😂
Nanga bado 3 hawapo mbon hapo
Wakwanza ku Comment nakubali sana 😂
Wakina shishi wanafata nini huyu jau xna
Nanga mngepisha Adhana halfu mngeendelea
Acha kuchanganya dini na Sanaa hii nchi sio ya dini moja
@@raymondclaud6026hivi vitu vinanichanganya aise. Sana sana dini ya upande wa pili.
@@raymondclaud6026saaafi hawa sijui wanajionaga nan hawa😅😅😅😅😅😅
@@raymondclaud6026acha ushoga ww tutakup Diddy yaan unaongea ujinga kwan hapo kaongea kipi kibaya hii nchi Ina misingi,miiko na maadili yake walipaswa kupisha adhana mpuuzi ww
@@nancyfantasia1945tunajiona wasafi na watakatifu kwani we unataka Nini kwamfano mpuuzi Nini wewe
Shuhuli tunayo hatuna
Ku act mnajua sanaaa. Shida creativity. Vitu vyenu vinafanana sanaa. Issue zenu nyingi ni mnaitana mnakaa mnaongea weee afu ambavyo ni common na vilevile. Ila kujua mnajua sanasana muongeze ubunifu
daaah inabd tuwape moyo
Muoaji anagubu sijawah ata kuona😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Jay akuna anacho kubali😂