Yeye founder tayari ameshakuwa na jina kubwa ayari kinachokosa apo tu ni support ila ameshawazima wasani wengine apo camp pia frestile anaimbakushinda wasani wengi apo na anajiamini awrzi feli ❤❤
*Nyie hv mmegundua kwamba ata akiongea km boss Fulani iv yaan anajiamin kinyama wallah hio sauti sasa *AMAZING ❤❤* yaaan UNYAMA MWINGI 🤩 inshallah ufike mbali🤲
Uyu Dogo ndo wakwanza kupiga views nyingi kwenye interview kwa siku chahe nyarugusu nzima 🔥🔥❤️💪🏾
Yuko nyarugusu ya Geita?
Kigoma
@@johntvonline1274 kigoma Camp ya wakombizi
@@johntvonline1274 ya kigoma
Makere kasulu kigoma
Yeye founder tayari ameshakuwa na jina kubwa ayari kinachokosa apo tu ni support ila ameshawazima wasani wengine apo camp pia frestile anaimbakushinda wasani wengi apo na anajiamini awrzi feli ❤❤
This is true 👌❤🙌
Huyu jamaa ananikimbusha..meshak wakati wa bbs..sauti kama yake..more love from kenya..
Mob love from 🇰🇪 ❤❤❤
Mtoto huyo angekua kwalevo yangu unge nihowa kweli ❤❤❤❤ nakupenda sana
Njoo kwangu tunaendana
Mimi hapa wa umri wako😅😅😅 kama vipi mbless dogo mapema kuwa kma wema sepetu, maana ni diamond wa kesho
Tuma namba
😂😂😂analeta moli haki unasisimka Kabisa
😅😅😅😅😅😅😅😅kumekucha
Namkubali sana huyu Dogo, he is a star already keep going my young brother.
MW/MUNGU bariki kipaji Cha mtoto huyu na wengine ambao wanatamani kuwa kama mtoto huyo ili waweze kufikia malengo yao❤
God bless you, I'm the one to comment give me likes
❤❤❤❤❤ mungu akupe afy njem ufike mbal zaid na zaid
namuona Aslay jnr anakuja... safi sana dogo vocal 100%
No matter what if God open 4 u no one can close
Dogo popote alipo apewe mauwa yake💐
Mungu akujalie kila itaji la moyo mdogo wetu ❤
Hitaji la moyo ushetani. Inabidi ashike sheria ya Mungu.
🌹🍑🌸
The boy is a vibe real talent ⚡
Good song
Njoo Kenya ufanye na susumila❤
This kid is just a vobe🎉🎉How can i reach him please
Woooow love you soo much from kenya ❤❤❤❤🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
so talented #founder tz
napenda uyu dogo sana adi venye anabongo❤❤. maua nakpa dogo🥀🌹🥀🌹
Voice imekubali kua mwanamziki❤
Kabisa🎉
Kenya well presented ❤❤❤❤❤
Congratulations boy. All the best. Mungu akuzidie ❤👌🏿🔥🔥
Wooow so amazing ❤❤❤
*Nyie hv mmegundua kwamba ata akiongea km boss Fulani iv yaan anajiamin kinyama wallah hio sauti sasa *AMAZING ❤❤* yaaan UNYAMA MWINGI 🤩 inshallah ufike mbali🤲
Umeonaeee😂
Nikazani nimeona mwenyewe😁
Be blessed young b 🙏🙏
Wonderful kids founded tz 😮😮big up lfollow you 💯 percent from 🇺🇸 🌎 God bless 🙌 🙏 ❤️
Dogo kujieleza anajua sana yaani. He is much better than so many artists on the mainstream.
This boy is talented msiuluze Nani atkuja take over bongo flavour ni uyu boy kin Mondi waandae retirement yao mapema
Unaumwa ww
@@kassimrajabu7805 sawa
Blessed
Yes......! it is yes for me.
Atakua mtu hatari sana huyo dogo🔥🔥🔥
Dogo kweli anaweza,bless Nyingi kwake mungu amuongoze
my nigga soo talented bro did better than the real version
❤❤❤❤feel loved from 🇰🇪 🇰🇪
From Canada 🇨🇦🇨🇦🇨🇦 uhmmm dodo utafika mbali sana great and talented artist that's your definition
waaaht much love 😘 keep it up
Pure Tallent 🇹🇿💚
The guys is cool, and to my notice he is not selfish. Mungu awe na wewe.
Nimeipenda bure ❤❤
Napenda sana uyu kijana hope one day I will meet him love home so much
Talented boy🇹🇿
Much love❤❤❤ from south
Nilikuwa nazipita tu interview zake saiv ndy nimesikiliza najikuta nimechelewa sana kumsoma dogo ni noma sana
Mpambaniye apinge goma na p boy ata tobowa kweli utanishukuru 🎉
Good job ❤❤🎉🎉🎉
Much love from Kenya ❤
🎉🎉🎉🎉 one love my brother
Wow dogo mungu akubariki sana
Mungu akuwezeshe dogo kwakipajichako❤❤❤❤❤
Nampa big up.huyu badae atakuwa mtu mkubwa sana.. msanii mkubwa
Wasanii ndo wanaharibu jamii
God atables
Nimeipenda hiyo big up bro sote tunaanza hivyo hivyo🇰🇪
Nyie wakenya kila kipaji kinachotokea tz ni chenu 😅😅😅
Naombe sapoti vijana wenzang nawasanii wenzang❤❤❤
Dodo unakipaji Mungu akusaidie upate support
Love more 💕 💗
Afanye nyimbo na appy tz sauti zao zitavutia sana kwenye nyimbo y pamoja
Mashallah nipo nasikiriza
Much love from 🇰🇪🇰🇪
I luv the voice
hongera sana kipenzi Cha mungu mengi yatapita ipo siku utaenjoy
Umetishaaa
Love Mach ❤❤
God bless you ❤
Much love from 🇰🇪❤❤❤
Hi
❤❤🎉🎉❤❤
Very good
❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️saut saut jamni🙌❤️❤️❤️
Good voice
Umejuaa kunifrahishaa😂😂 safiiii kijanaa
❤❤❤
Umempita diamond mwanangu❤❤❤❤❤❤❤
Dogo unajuwa sana tu ❤❤❤❤❤
anajuwa kazi
Big up sana dogo mungu akuinue
Mob love ❤❤from kenya
Mungu akubless boyboy uko fine bt don't forget umetoka wapi
Uko pow maashaallah
❤❤🎉🎉 much love
Wawu🎉
Tisha Sana mdg wetu💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯
Big up dogo.unyama na umaini mwingi full combat
Much love from Kenya ❤❤❤❤❤🎉🎉
Wow nice god bless you ❤
Unaweza🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
❤penda sana dogo unajuwa
BOOOOOOM!🔥🔥🔥
Mdg wangu me pende weye bya trop ashanti mama mabrand ft mama dg brand
Sauti Kali✍️
Unaweza dogo
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni..254
Safi sana
Dogo anayo speech ya kistar kbsa ✌️
🇰🇪🇰🇪🇰🇪 tuko pomoja
Dogo kamfunika mpaka diamond platnumz 🔥😀😀
Sauti tamu love u❤❤❤❤
Big up dogo god bless u
Nahomba namba yako kaka
Nice ❤❤❤❤❤❤❤
Good blessing you 🫵🤲🙏❤️🙌
Dogo Ana jibu vizuri kabisaaa kuliko wegine,big up
Na anaongea ki star kabsaa