RECAP: SABABU ZA DIAMOND, HARMONIZE KUKOSEKANA BET, WANASHINDANISHWA NA DIAMOND KIMAKOSA DISCONNECT
HTML-код
- Опубликовано: 16 май 2024
- Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
#entertainment #news #music #funny - Развлечения
Konde boy 🔥🇨🇩🇨🇩 jeshi i love you harmonize 🐘💪💪🔥🔥
Bro ama haujuwe kama harmonize ana album 💿 5 kuwa naheshima bro
Yani ndomana nakufatiiriagakirasiku Waereweshe Wajue👏👏
Huyu jamaa chawa wa WCB ila kama anatuchangany iv
Kondeeeeboy jeeeeeshiiii
Wewe kama nani unazungumza harmonize
Wewe kwanza una juwa harmonize ni sawa na Diamond, alafu weye hunaga musimamo tume kuchoka
Bro harmonize biye habari ya mkini dio kwamana ww pia unamuzungumuzia kwa ubaya 😂😂😂 konde boy coll me number one tembo jeshi mkuruma konde boy harmonize 🐘🇨🇩🔥🔥🔥
We mnafiki sana hamonize unamulizanga nn
HII SASA SIO BONGO5,,HII NI ( BONGOdiamond) HUYUJAMAA analipwaaa nakama halipwi bac Wasafi wamuangalie kwa jicho lahuruma
UKO DOWN BRO , UNAJIFANYA MUJUWAJI
KONDE ATA WANYOOSHA 😂😂
Bro harmonize kasha sema usi compare muda yeye niwa kizazi hiki basi
Kwellly broooo
Haha😂😂 huyu jamaaa sam-time nikinkanga we muace atajuta mutaniambia konde number 1 kwasas
Wee ni fala wakawaida tu kwaio wamanisha mtu akiwa ametangulia ndio nimkubwa wee tafuta chakuongea harmonize siwakawaidaa ujue ilooo
Harmonize atawanyoosha sana tena zaidi ya sana
Konde atawauwa
Mbaya mno na sio chuki fanya vzr comparison zako
Wamshukuru lukunga amewafunza kila kitu promo
You are ryt bruh abt quality of our Bongo Music but tatizo ni moja kwamashabiki wa Bongo Msani akipima kuchamge quality u gyz u not supporting it it coz u feel it's not wat u used to ......Music fans in East Africa loves the flavour of other countries if it is of those artists but if it is of our own artist they juc talk but don support! listen to Down and shake shake by rayvanny bruh .....you won't even imagine the guy is from TZ.... listen to Side N!ga by harmonize.....Fans needs to complete this revolution ❤from USA!
umeiona documentary ya ay Sasa Rudi uambie watu ukweli nani alichonga njia kimataifa
Sahihi sanaa
Diamond hana uandishi wowote kinacho mbeba Diamond ni jina tuh hio comasava unavyo iita ni hit ni uandishi gani hapo ulio andika acha shobo
Akili huna ww rud shule maana hujielew
Wew brow uwaga harmonize upendi ata kidogo tunajua Ilo,,wew siyo mtangazaji wew ni shabiki mandazi fala kabisa😂😂😂
Kkk😂😂 nakubar tena maandaz ya jana
Hakuna siku utamkosoa diamond siku zote ww ni kumsifia ndio anajiona uko swa baada ya kuleta mziki uandishi wake kaishiwa
Watu Wana makasiriko ww ambaye hujaishiwa unateseka ukiwa wapi eti hii mbwa inasema mondi kaishiwa n nyimbo zake zinachezwa mpaka n wazungu ww ukitunga zako hta familia yko haitocheza mbwa ww
Bro we huaga unasema kwli 🎉
Waache wakubwa wenyewe wamepoah madogo wanafanya kazi
Brother swa umeskiya lakini tatizo niwao wasani wenye koseana heshima kama huyu harmo hanaga heshima kwa diamond platnamz ndomaana brother Ana force angejuwa heshima ndo tuta elewa amuheshimu kwanza giant
sasa El Mando diamond alivyo chaguliwaga ni nyimbo yake ipi ilienda bilibord so hapo umepuyanga
I waited you done then nianziye apo ku ongeya but umeyaongeya yote, big up bro
Hivi bro huwa unasoma comments
Maana yote unayo sema nishakwambia sana
😂😂broo kwani mimi ndio huaga nakuelewagaa kila sikuu ama vp❓❓
Huyo diamond hana hata tuzo toka mwakaja na hio nyimbo zake alotoa zimefika wapi hata hazikuleta mafanikio yoyote saa hii yuwalewa sifaa na kuwa na ubinafsi mpaka yuwaingilia wachekeshaji wa bongo 🎥 kuwakataza kuparfom jukwaani
Wewe ni mbwa kabisa kwani kuna msani tanzania aneye towa hit song kuzidiya diamond
N ww tngu uanze kuishi umepata tuzo gani ama umepiga hatua gani kubwa mbwa Koko ww shenzi kazi kusema watu usiowafika angalia maisha yko kwanza
Matako ww ndo maana SnS na TV nyingi zinakupita ivo mbwa ww
Nimeangalia hizi comment kuna watu wanamatatizo ya akili😂😂
Point babu!
Saa hio y Messi n tuzo y heshima ila muziki inaenda n tym wee kubali ukatae hii n tym y harmonize
Kwa kufanya show za muzikimnene au 😂😂😂 unafikiri kwa kutumia nn
Kama mavikali aliotea hit moja akajiona yeye ndo yeye
Washauri kabisa ile nikweli
Sasa kama kila siku unasema diamond mkubuwa Africa mashadiki msani wa international mbona ajaitiwa bet
Kwan ajawah naww au umezaliwa leo
A cha umbea ubwa
Kw kuongea usenge tu unaongza
Mpatie heshima wewe mwenyewe mond
Sio lazima wewe upende .
Ww ni mchumba t ujuwagi kitu fala t ww
Acha mamb ya kike boy tutakuvisha kijora
Wote mnaomponda uyu jamaa kweny comment kumamae zenu jamaa anaongelea ukwel afu nyie mnaumia
HUYUJAMAA hua anaongea upuuuuuuuuzi Tu Hanacha maana kabisa
Na ww upo unackiliza upuuzi
Wewe get your facts straights and stop being an hypocrite.Wacha kudanganya watu na kutwa unakaa hapa kumuongelea Harmonize all the time.Watu kama nyie ndio mme contribute kumfikisha diamond hapo alipofika kwa kumpa ukubwa asiokua nao.Ukiangalia Diamond kafika hapo kwa kudandia na kufanya collaboration nyingi.WAcheni kuwakatisha wasaani wengine. Ndio bado mziki wetu hauna viwango vya kimataisha.But you can not sit here and bring down Harmonize kila wakati kwenye channel yako.
When it comes to diamond you dont disreprect him the way you do to harmonize and the rest.I have been watching your channel your a very Biased and Unproffesional.
Kila harmonize akitoa wimbo you quick on "MAPUNGUFU YA WIMBO" i dont see you doing that to Diamond ndio maana ataendelea kukaa hapo hapo bongo wakati alikuwa huku na ki davido sasa wamepita by far.
Diamond hata kama amekuwa kwenye muziki muda mrefu lkn utakuta watu wame learn nini he was lacking and wao watataka kurekebisha and that is what Rayvanny, Harmonize, Mario and the rest are doing right now.
WACHENI KUKATISHA WATOTO TAMAA
❤❤👏👏👏🐘💪🔥💣🇨🇩
Unaumwa wewe
Matako yako imbwa ww iyo siyo bongo5 ni bongo diamond, wcf
We jamaa ipo siku harmonize takufanya kitu mbaya chunga sana baba levo alikua ivo ivo.
Kwani huyo mmakonde ndio nani acheni ushamba
NYINYI NDIO HUWA TUNAWATAFTA MTUSAIDIE MAELEZO 😅 KWA KUHAMASISHA MTU KUMSHAMBULIA MWINGINE, HUYO HARMONIZE NI NANI NA ANA MAMLAKA GANI HAPA NCHINI KWETU YA KUFANYA WATU MABAYA 😢
Usimutishe el mando tuta kuonesha weye mushenzi
@@gilliardgodfriend5745 haaaaaaaaa