🛑FRIJI BOVU: HII NDIO MAANA HALISI YA UBAYA UBWELA , HII SIMBA INACHEZA KIBINGWA SANA, WANAPIGA TU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 сен 2024
  • 🛑FRIJI BOVU: HII NDIO MAANA HALISI YA UBAYA UBWELA , HII SIMBA INACHEZA KIBINGWA SANA, WANAPIGA TU #azamfc #football #wasafi #yanga #footballclub #globaltvonline #live #millardayo #simba #simbasc

Комментарии • 15

  • @jascinthakameleki104
    @jascinthakameleki104 Час назад +2

    Friji Bovi silute. Upo vzr kaka.maua yangu pokea🌹❤️

  • @silvanuskisinza4303
    @silvanuskisinza4303 4 часа назад +2

    Mukwala ni mzuri tatizo simba haina kiungo mzuri mchezeshaji. Kila mara tutalaumu wafungaji.

  • @mnyongeiddi2454
    @mnyongeiddi2454 3 часа назад +1

    Hii game ilikuwa na pressure sana atacheza mda bado acha kujifanya unajuwa kuliko kocha

  • @mahadshekh398
    @mahadshekh398 3 часа назад +1

    Timu haijapata muda wa kupumzika.Siku 2 na kusafiri sio mchezo.

  • @kubuleabdul6032
    @kubuleabdul6032 3 часа назад +1

    Yani kaka nakukubali kwa kweli uko na kumbukumbu kuhusu simba

  • @saidymbagalla6622
    @saidymbagalla6622 Час назад +1

    Hakuna cha golinyingi wala nini
    Uto chupi chini

  • @kassimntara6901
    @kassimntara6901 3 часа назад +1

    Mimi nimefurahi sana kucheza mukwala na Ateba nilikuwa natamani sana lkn nimeridhika sana kwamba mkwala bado hawezi kuwa msaada kwa Ateba

    • @jimmybrownkabingabinga9008
      @jimmybrownkabingabinga9008 3 часа назад

      Mechi ngumu....Simba walikamiwa kwani 30M iliwekwa mezani kwa Dodoma Jiji; uchovu pia umechangia. Mukwala kucheza kama winga au midfielder imelipa. Kocha Fadlu aendelee kumuamini. Tumepata pointi 3....Mungu ni mwema.

  • @SaidiIssa-iz4ct
    @SaidiIssa-iz4ct 4 часа назад +1

    Fliji unajua kuchambua

  • @mnyongeiddi2454
    @mnyongeiddi2454 4 часа назад +1

    Wapewe hiyo pesa 😃😃😃

  • @CostantineMaturo
    @CostantineMaturo 4 часа назад +1

    Atacheza tu usijaliii

  • @athmanimkangara9290
    @athmanimkangara9290 2 часа назад +1

    Chasambi anapikwa

  • @Orgy-go1gj
    @Orgy-go1gj 2 часа назад +1

    Mzee baba wafundishe waliopanik kuwa simba imebebwa

    • @jascinthakameleki104
      @jascinthakameleki104 Час назад

      Hujui mpira wewe tulia. Kwanini tubebwe???

    • @Orgy-go1gj
      @Orgy-go1gj Час назад

      @@jascinthakameleki104 soma comment vzr nasemea waliopanik kuwa penat tumebebwa ndio wafundishwe