🛑FRIJI BOVU: HII NDIO MAANA HALISI YA UBAYA UBWELA , HII SIMBA INACHEZA KIBINGWA SANA, WANAPIGA TU
HTML-код
- Опубликовано: 28 сен 2024
- 🛑FRIJI BOVU: HII NDIO MAANA HALISI YA UBAYA UBWELA , HII SIMBA INACHEZA KIBINGWA SANA, WANAPIGA TU #azamfc #football #wasafi #yanga #footballclub #globaltvonline #live #millardayo #simba #simbasc
Friji Bovi silute. Upo vzr kaka.maua yangu pokea🌹❤️
Mukwala ni mzuri tatizo simba haina kiungo mzuri mchezeshaji. Kila mara tutalaumu wafungaji.
Hii game ilikuwa na pressure sana atacheza mda bado acha kujifanya unajuwa kuliko kocha
Timu haijapata muda wa kupumzika.Siku 2 na kusafiri sio mchezo.
Yani kaka nakukubali kwa kweli uko na kumbukumbu kuhusu simba
Hakuna cha golinyingi wala nini
Uto chupi chini
Mimi nimefurahi sana kucheza mukwala na Ateba nilikuwa natamani sana lkn nimeridhika sana kwamba mkwala bado hawezi kuwa msaada kwa Ateba
Mechi ngumu....Simba walikamiwa kwani 30M iliwekwa mezani kwa Dodoma Jiji; uchovu pia umechangia. Mukwala kucheza kama winga au midfielder imelipa. Kocha Fadlu aendelee kumuamini. Tumepata pointi 3....Mungu ni mwema.
Fliji unajua kuchambua
Wapewe hiyo pesa 😃😃😃
Atacheza tu usijaliii
Chasambi anapikwa
Mzee baba wafundishe waliopanik kuwa simba imebebwa
Hujui mpira wewe tulia. Kwanini tubebwe???
@@jascinthakameleki104 soma comment vzr nasemea waliopanik kuwa penat tumebebwa ndio wafundishwe