Rais Ruto alaumu mashirika ya kigeni kwa maandamano

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 июл 2024
  • Rais William Ruto sasa anaonekana kurejelea majukumu yake rasmi tangu maandamano yaliyochacha kote nchini. Akizungumza katika kaunti ya kajiado rais Ruto amekashifu washiriki kutoka mataifa ya kigeni ambao hakuwataja kwa kuhusika na maandamano hayo.

Комментарии • 148

  • @mayaspanic221
    @mayaspanic221 17 дней назад +43

    He's a true definition of a narcissistic, always blaming others, its never their fault.

  • @elizabethiradukunda1950
    @elizabethiradukunda1950 17 дней назад +56

    uyu jamaa ni mwenda wazimu

  • @jefwafikirini
    @jefwafikirini 17 дней назад +16

    Hyu kiburi ndio itakupeleka sugoi hii Kenya si mama yko

  • @tracynzioka7246
    @tracynzioka7246 17 дней назад +27

    Huyu jamaa amechanganyikiwa na pia hana leadership ndani yake

  • @rebeccabrown5135
    @rebeccabrown5135 17 дней назад +18

    Totally madness hafai kuongeza Kenya yetu Ruto goooooo home salama

  • @Sasaaa_Sema
    @Sasaaa_Sema 17 дней назад +15

    Ruto should go back to ICC. He cheats, kills and steals.😢😢

  • @Agro_nomad
    @Agro_nomad 17 дней назад +14

    I thought he was going to trim his cabinet by now...😂😂😂😂

  • @MsDavali
    @MsDavali 17 дней назад +18

    He still refuses to see his faults

  • @salimmashjary8028
    @salimmashjary8028 17 дней назад +31

    Sasa ndio ana haribu kabisa MR. RUTO FIND THE GOOD ADVISORS

  • @user-sj8ck1bk1d
    @user-sj8ck1bk1d 17 дней назад +15

    Trust Ruto At Your Own Risk

  • @humphreyakwabi8343
    @humphreyakwabi8343 17 дней назад +16

    Hi kiburi imerudi...haiya

  • @briankwala7923
    @briankwala7923 17 дней назад +39

    When the Gods want to deal with you, they 1st make you mad, huyu mze ni mwenda wazimu!

  • @jairuscr7310
    @jairuscr7310 17 дней назад +7

    😂😂hakuna cha 2027 right now toka unangojea nn , eti mtiani utafanya mtiani ukiwa sogoi sio statehouse on

  • @Star-y3p-b7w
    @Star-y3p-b7w 17 дней назад +13

    2027 you must go omh ata kama 😅😮😢

  • @peteroloo2472
    @peteroloo2472 17 дней назад +8

    In other words he has not changed

  • @petermbogo2254
    @petermbogo2254 17 дней назад +6

    Ruto must go

  • @peterkoinange1904
    @peterkoinange1904 17 дней назад +6

    Tusikubali nchi iharibike na ni ww wa kwanza kuharibu

  • @gulftranspoters1762
    @gulftranspoters1762 17 дней назад +12

    Wululu yaaayi! Maangai!! Hiki Kweli hakina masikio. Kumbe bado tutalia tu 😂😂😂😂 ?

  • @agotobura7660
    @agotobura7660 17 дней назад +5

    2027 anasema ni mbali sana.Not a must he leave the office through ballot,persistent protests is enough to send him home as soon as possible

  • @kenfamenterprise7204
    @kenfamenterprise7204 17 дней назад +5

    Mheshimiwa rais...laumu hadi hewa lakini uongozi mbaya ni uongozi mbaya

  • @nyakwarchuma2475
    @nyakwarchuma2475 17 дней назад +9

    He is lost in his own world

  • @asminmakoha6889
    @asminmakoha6889 17 дней назад +4

    Nikiona ruto nasikia kutapika

  • @SwalehSaleh
    @SwalehSaleh 17 дней назад +6

    Nani akupe kura ww mwizi

  • @remiomar7154
    @remiomar7154 17 дней назад +13

    Akwende nyumbani tumochoka ulipotufikisha is enough

  • @parismakki177
    @parismakki177 17 дней назад +6

    woooiiiye hadi amekonda jamani😢

  • @swts4k
    @swts4k 17 дней назад +5

    I thought it was Azimio, Dangerous Criminals, invisible coup plotters, student leaders or political opponents....make up your minds who you want to blame

  • @yohanalemaiyan3076
    @yohanalemaiyan3076 17 дней назад +5

    Name them!....we are just sozzled and intoxicated with your whole of government approach!

  • @peteroloo2472
    @peteroloo2472 17 дней назад +2

    Who else has been traveling to that ngambo if not him. Hata ni Gen z wamesitisha

  • @oranchez
    @oranchez 17 дней назад +3

    Now we are not criminals but we are beening sponsored😅😅😅😅⏳

  • @edu-pw7hu
    @edu-pw7hu 17 дней назад +3

    Siku ya kufa kwa nyani....
    Miti yote huteleza..😢.
    With such statements..
    I don't need advisers..
    Halafu inchungwa ...😢

  • @nyambats
    @nyambats 17 дней назад +6

    Are we speaking japanese?

  • @gugahmediaafrica9405
    @gugahmediaafrica9405 17 дней назад +13

    HAHAHA HUYU MTU NI MBWEHA...SASA SISI TUMEPATA WAPI HAYO MASHIRIKA

  • @dandaggy066
    @dandaggy066 17 дней назад +3

    Mr Ruto mashirika has nothing to do with gen-zs, Gen-zs are only tired of ua empty promises and lack of following constitutional,,

  • @msa3957
    @msa3957 17 дней назад +5

    😢😢😢continue daring millions of suffering kenyans at your own peril. You better work and stop useless yapping on daily basis. Kenyans are literate and know what they want. Nkt

    • @lucafrica123
      @lucafrica123 17 дней назад +2

      He needs new ears. What he got are expired

  • @peterkoinange1904
    @peterkoinange1904 17 дней назад +3

    Anaelekeza kindole cha lawama kwani alikua amefunga macho hiyo yote ikifanyika

  • @Donebsen92
    @Donebsen92 17 дней назад +3

    he should blame jacob zuma

  • @justinebosire9804
    @justinebosire9804 17 дней назад +3

    ameanza tena....story za jaba..

  • @abassabass529
    @abassabass529 17 дней назад

    He is very right,,,even the NIS knew it before....

  • @maryreigns6734
    @maryreigns6734 17 дней назад +1

    😅😅😅😅Ni uhuru...ni raila...sasa ni watu kutoka inje.....huna akili

  • @elenahk7315
    @elenahk7315 12 дней назад +1

    Bro, wakenya ndio hawakutaki

  • @onyangodominick3789
    @onyangodominick3789 17 дней назад +2

    Toka kenge

  • @isaacmboi8692
    @isaacmboi8692 17 дней назад +1

    RUTO IS MAKING ANOTHER MISTAKE.
    NOW HE BLAME FOREIGN COUNTRIES NA MAMBO YALE YAMEKUWA PRESENTES BY GENZ ARE CLEAR......
    RUTO IS PROVOKING FOREIGN COUNTRIES, NA ATAKIPATAPATA TU

  • @jotonyae-04
    @jotonyae-04 17 дней назад +1

    Aende zake huko, anatarajia kuiba tu. Asitudanganye

  • @salimshombo6188
    @salimshombo6188 17 дней назад

    Damu za wakenya ndio zinamsumbua kichwa huyu jamaa, wakenya wamechoka na ww..# ruto must go

  • @mainakihurusia6380
    @mainakihurusia6380 17 дней назад +1

    When Moses leads Israel from Egypt to the promise land Canaan.. Israel started disobey Moses by wisheses that they could stayed back in Egypt for been prisoners and eating rather than brought them in desert land to dye for drought and hunger...Later God punish them ...staki kusema vile walikua punish 40yrs wakizunguka mlima ndio mmja ndio wafike caanan

  • @limelighttv8609
    @limelighttv8609 17 дней назад +1

    Hii sio lazima ukivunja sheria umebuja msahadi huna haja ya kungojea 27 we are having a vote of no confidence in you and your leadership and you must go

  • @antonylikhako492
    @antonylikhako492 17 дней назад +1

    Mwongo we don't need him
    He has no capacity to run the nation

  • @nyamwangierick2820
    @nyamwangierick2820 17 дней назад +1

    Ww hakuna kitu umefanya aende nyumbani tu

  • @oranchez
    @oranchez 17 дней назад +3

    Democracy my left feet

  • @estheragung5807
    @estheragung5807 17 дней назад +1

    The president is blaming everyone else apart from himself,he laid down lies during his campaign and now when the lies have started eating him up,anatafuta watu wa kusingizia. Rais,hiki kitanda ulikitandaza mwenyewe,

  • @lilianomondi-ck1pl
    @lilianomondi-ck1pl 17 дней назад +2

    Kumwaga mchanga kwa pole ya stima ni kazi? Tafadhali toa css waporaji kwenye serikali yako. 2027 wachia Venezuela watafanya, kwa saahi fanya kazi wacha panganga

  • @duncofederer4973
    @duncofederer4973 17 дней назад +1

    Wewe ndio mwaribifu bure kabisa enda home wewe

  • @estherngigi8809
    @estherngigi8809 17 дней назад

    RUTO MUST GO

  • @irinekimalit2901
    @irinekimalit2901 17 дней назад

    Ndoto ya mchana ati 2027 baada ya kuuwa vijana Kwa maandano na wengine baada ya kushikwa wanaokotwa Kwa kidimbwi wameuliwa

  • @user-nr3yp6sk9k
    @user-nr3yp6sk9k 17 дней назад

    Nani akupe kura ww mwizi lazima aende nyumbani period

  • @MonicahMusyoka-f8q
    @MonicahMusyoka-f8q 17 дней назад

    Unaoneka umechanganyikiwa pia kiburi ndio utakumaliza

  • @yusufhassan8799
    @yusufhassan8799 17 дней назад

    Ukikimbilia kufurahisha nchi za kigeni watakuingilia

  • @user-fu7cg2ik2c
    @user-fu7cg2ik2c 17 дней назад

    Hauna hata aibu lakini kitu inyeuliona inaonyesha adharani watu hawakutaki . Walahawakupendi😅😂

  • @brendaker1459
    @brendaker1459 17 дней назад

    Ati mashirika za kigeni. My friend 😂😂😂

  • @user-on1cv7ui6v
    @user-on1cv7ui6v 17 дней назад +1

    A fool (RUTO) NEVER learn

  • @DzunyaSuleimani-tu1qh
    @DzunyaSuleimani-tu1qh 17 дней назад +2

    Mukundu wako

  • @BejenoLove-xb8zt
    @BejenoLove-xb8zt 17 дней назад

    Mbona asijilaumu kwa uongozi wake?

  • @papamnazarety6135
    @papamnazarety6135 16 дней назад

    Chebukati atakuibia kura Tu mm naona ukipta tena

  • @auntiemylee3157
    @auntiemylee3157 17 дней назад +1

    Kesho tuko street

  • @eldios831
    @eldios831 17 дней назад

    Kwani baba ameanguka nayo 😂😂😂😂

  • @josephkenga5627
    @josephkenga5627 17 дней назад +1

    Import democracy

  • @njerubernard1515
    @njerubernard1515 17 дней назад

    I don't blame anyone for anything. I take full responsibility for whatever happens in my life. The reason behind my happiness

  • @justinebosire9804
    @justinebosire9804 17 дней назад

    hapi amezingirwa..na jeshi kwerikweri

  • @Woodity100
    @Woodity100 17 дней назад

    We understand the bill he signed yesterday is already rigged in his favour ..

  • @rodgerthegreat9192
    @rodgerthegreat9192 17 дней назад

    He clearly ignores the memo

  • @erickjuma7643
    @erickjuma7643 17 дней назад

    I think he has dropped that kaunda suit. It was a symbol of dectatorship and failure the spirit of the late Seseseko

  • @boazkoech4649
    @boazkoech4649 17 дней назад

    Yes foreign agents I told you from the beginning

  • @OsagaMercy
    @OsagaMercy 17 дней назад

    Which Mashirika are you talking about aki baba Charlene will never change always putting blames on unknown people just resign 😊

  • @abubakarelkano6977
    @abubakarelkano6977 16 дней назад

    Let the investors pay taxes and comply with the law. They should not pock their noses in kenyan politics business. Kenya is no longer a colony to any nation.

  • @michaelkamauirungu2460
    @michaelkamauirungu2460 17 дней назад

    ruto must go

  • @MJ-ye7dd
    @MJ-ye7dd 17 дней назад

    He is running mad hahaahhahahahahahahahaahahahaha

  • @lampfeetlightpath
    @lampfeetlightpath 17 дней назад +1

    😳😳😳😳

  • @suluhusamia
    @suluhusamia 17 дней назад +2

    2027 is fat

  • @davidlocker8460
    @davidlocker8460 17 дней назад

    Ameanza tna hyu mara criminal, ssa umefka sponsor toka uende baba tumechoka buanaaaaaaaaaa

  • @KimweliJunior-ww4li
    @KimweliJunior-ww4li 17 дней назад

    tulikupea kichapo kidogo na hujaskia

  • @abdiali421
    @abdiali421 17 дней назад

    clueless😢

  • @Canduts2020
    @Canduts2020 17 дней назад +1

    You have robbed young people of their lives and you still have the audacity to spew nonsense

  • @wasida8646
    @wasida8646 17 дней назад

    Do we blame maandamano or deaths? Genzs lost lives from brutal police

  • @user-fu7cg2ik2c
    @user-fu7cg2ik2c 17 дней назад

    Lakini lakini

  • @kalonzo2073
    @kalonzo2073 17 дней назад

    😢😢

  • @BenardBett-xd5jb
    @BenardBett-xd5jb 17 дней назад

    Resign

  • @Woodity100
    @Woodity100 17 дней назад

    Is it true that you can vote from your van or toilet?

  • @MJN123
    @MJN123 17 дней назад

    Unaenda nyumbani

  • @IanMokua
    @IanMokua 17 дней назад

    ndugu zako na nani??

  • @oranchez
    @oranchez 17 дней назад

    Just to let your guys know i will be running 4 president 2027...

  • @GloriaSekeyian
    @GloriaSekeyian 15 дней назад

    Yesterday mandmano

  • @jamesngunjiri1215
    @jamesngunjiri1215 17 дней назад

    Wewe unasafiri dunia muzima ukikopa pesa unaweka kwa mufuko .alafu unaongeza ushuru. Tuko rada yako. Sana wanjinga warisha. Tukawabia umeaza story kulaumu wale wengine. Wewe dio ploblem. Ya Kenya hii utaeda tunakungonja hapa grauod

  • @bilalareys1304
    @bilalareys1304 17 дней назад

    This is the real Ruto we know … lier and a thief who will do anything to protect his own narcissistic interests…Arrogant sana

  • @sejerian
    @sejerian 17 дней назад

    Who goes abroad every month???????

  • @user-sy5bp1yq6w
    @user-sy5bp1yq6w 17 дней назад

    A leaders doesn't respond to everyone be wise on brain

  • @winslauschitechi983
    @winslauschitechi983 17 дней назад

    He'll not believe

  • @DanielKenneth-ys3oz
    @DanielKenneth-ys3oz 17 дней назад

    Ujinga ya Gen z....peleka huko

  • @user-xd7fc6zc9u
    @user-xd7fc6zc9u 17 дней назад

    Bado mapambano

  • @Jeremiahsaiton
    @Jeremiahsaiton 17 дней назад

    Hahaha wewe aki

  • @djyobrahh-twn2238
    @djyobrahh-twn2238 17 дней назад +1

    Your clueless